THAMANI ZETU: Je? Watambua Kanisa linaloongoza kwa Maajabu Bagamoyo.
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- Subscribe / uwazi1
THAMANI ZETU: Ni kipindi kinachoelezea historia ya wapi tulipotokea tangu enzi za Utumwa na wakoloni kabla hatujapata uhuru. Katika kipindi hiki muongozaji wa watalii katika soko la watumwa Bagamoyo, Father Nicetac Kyala, anaelezea kanisa kuu la kristo Bagamoyo, ambalo lilikuwa likitumika kama soko la watumwa,Pamoja na Vito mbalimbali vya Thamani ambavyo vimeachwa na Wakoloni hao,Pia utaweza kujionea mbuyu mkubwa ambao una Historia ya Sehemu hiyo.
/ uwazi1 FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
Yes, hilo ndiyo Kanisa Katoliki. Asante sana Pd.
aksante nimefurahia sana kama vile na mi nilikuweko. thanks global tv
Umeeleweka kabsaa saf
Kanisa lenye utaratibu Kabisa
Simplisius Justin tena wenye kuheshimu na kudumishaa Mira na desturi zote.
Nagano kufika fr
Itapendeza sana ndugu zangu. Hii Jubilei nitaikosa tu kwa sababu hali yangu kifedha siyo nzuri Ila nawatakia kila LA kheri.
Nikanisa pekee lenye uwezo huo