Mwez mungu nakuomba Kwa baraka yakisomo hiki kikawatelekeze wale mahasid fitina na wachawi wote wenye kunifanyia mabaya na familia yangu waangamie Leo hii bidhiin Allah amen
Emwenye zimung ktk kisomo hiki yaarab ikawe kinga ktk family yng nyumba yng pia ktk kazi ya mume wng inshallah tuepushe na wachai husda pia mashwetwan ya allah 🤲🤲🤲
Mwwnyezi mungu nakuomba kwa baraka ya kisomo hiki ikawatelketeze wale mahasidi fitna na wachawi wote wenye kunifanyia mabaya na familia yangu waangamie biidhini allah
Emwnyezi mungu nahomba unisaidie nimejiungamisha na duwa ii wachawi woto wanao nifwatilia wakaangamie nai duwa na waonishikia dawa mbaya wakaangamie na kuteketea Miko's na vifungo na mauchawi kwenye mwili wangu vikateketee ameen
Ya Allah nakuomba kisomo hiki hapa ninavokusikiza kiende amna katika nyumba yna na familia yang yote kinde kuharibu wale wot wanaonitakia mabaya mm na familia yngu kiwalinde wanangu kwa kila hasadi ya mtu mbaya
O Allah please help me up with this prayer isaumu ayub ipraying for may marriage soon o Allah bless this Dua. Thanks may Allah bless you up and keep help many people
Mwez mungu nakuomba Kwa baraka yakisomo hiki kikawatelekeze wale mahasid fitina na wachawi wote wenye kunifanyia mabaya na familia yangu waangamie Leo hii bidhiin Allah amen
Emwenye zimung ktk kisomo hiki yaarab ikawe kinga ktk family yng nyumba yng pia ktk kazi ya mume wng inshallah tuepushe na wachai husda pia mashwetwan ya allah 🤲🤲🤲
Ya ALLAH kisomo hiki kiniondoshee kila aina ya dhiki na matatizo yanayonisumbua ktk maisha Yangu 🤲🙏 aaamiin Inshaallah
Shukran sana shehe amin Allah ajalie maqubuli yaduwa hii
Ya Allah naomba ninufaike kisomo iki kwaamana nadhalilishwa pasipo na sababu zozote na awa maadui zangu wote kisomo iki kiwateketeze
MashaAllah
Alhamdulillah
Yaalla niondoshee matato yang mazito yawe mepesi kupitia kisomo hiki inshaalla amiin
Shukran ya rabeel
Mwwnyezi mungu nakuomba kwa baraka ya kisomo hiki ikawatelketeze wale mahasidi fitna na wachawi wote wenye kunifanyia mabaya na familia yangu waangamie biidhini allah
Emwnyezi mungu nahomba unisaidie nimejiungamisha na duwa ii wachawi woto wanao nifwatilia wakaangamie nai duwa na waonishikia dawa mbaya wakaangamie na kuteketea Miko's na vifungo na mauchawi kwenye mwili wangu vikateketee ameen
Amiin , ewe alla niondolee maradhi yawe yakawaida yakijin aubyakichawi niondoshee Allah kupitia kisomo hiki ya allah
Mungu azid kuwatia nguvu
Assalam alaykumu walhama tullahiwa barakatuh! Mashaallah Allah awaripe kilallakher
Shukran
Alla awalipe heli hapa duniani na ahela kwa kisomo hicho kizuri mashaallaa
Allah kisomo hiki kimfikie shemegi yangu 🤲🤲ikawa kinga
Mashallah
Jazzakallahul kheyr
Allah nijalie kisomo hiki kikawe Kinga ya mwili wangu na kuludisha ndoa yangu
mashallah allah awape umri mrefu
Ya allah naomba ninufaike na kisomo hiki kwaamana nadhallilishwa pasi na makosa 😢
Ya Allah nijaali kisomo hiki kiniondolee matatizo yangu yote insha'Allah
Allah nakuomba kisomo hiki kikamludishe mkewangu popote alipo amin
Allha naomba dua hii iwe kinga ktk maisha yangu mwezi mungu nisaidie
Ameen
Shukraan sheikh
Mungu awatie nguvu.
Ya Allah nakumba uniondole matitizo yameno yanao nitesa sasa kwamunda mrefu amn
❤
MaashaAllah kisomo ni adabu tosha ya uadui
Yarabbi ninakuomba kisomo hiki kininufaishe na mimi
Ya Allah nakuomba kisomo hiki hapa ninavokusikiza kiende amna katika nyumba yna na familia yang yote kinde kuharibu wale wot wanaonitakia mabaya mm na familia yngu kiwalinde wanangu kwa kila hasadi ya mtu mbaya
Mashahall
O Allah please help me up with this prayer isaumu ayub ipraying for may marriage soon o Allah bless this Dua. Thanks may Allah bless you up and keep help many people
Allah nakuomba kwakisomo hiki naomba kiwe nikinga ktk mwiliwangu
Kisomo hiki kinisaidie husda shilk ee mwenyez mungu nisaidie
Mashaallah sheh
Ewe mwenyezi niondoshee kila aina yamabalaa vifungo kupitia dua hii
Asalaam aleykum. Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki sana. Ila ombi langu moja, naomba mpunguze speed ya kusoma. Mnaweza kukosea hata kutamka maneno.
Mtu akiwa mzoefu ulimi una kuwa mwepesi
EWEMWENYEEZI MUNGU, NIONDOSHEE HUSUDA NA VIJICHO, HASADI NA SHARI ZA ULIMWENGU, NIJAALIE KHERI NA MAFANIKIO 🤲🙏
ameeeeeen
Nilijisikia kutapika
Mchaw lazm atafute pakwenda kwa kisomo hchi
Alhamdulillah
Mashaallah
Masha Allah Allah bless you ❤❤❤
Mashallah
Alhamdulillah
Alhamdulillah
Alhamdulillah
Alhamdulillah
Alhamdulillah
Alhamdulillah