DIAMOND PLATNUMZ ANAJUA WATU WAKE WANAPENDA NINI NDIO MAANA ANAFANYA VIZURI NCHI ZA NJE

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 49

  • @kadito-kenya
    @kadito-kenya 3 місяці тому +5

    Huyo dem kauwaaa unyama mwingi international ❤

  • @Dasmaila
    @Dasmaila 3 місяці тому +5

    Hio remix ya huyo mdada ni Kali kuliko original ya fallen angel 💥🙌

  • @miguelvintany993
    @miguelvintany993 3 місяці тому +3

    Huyu demu noma🇲🇿

  • @kinjekitilew
    @kinjekitilew 3 місяці тому +3

    Asante dulla kama planet

  • @kinjekitilew
    @kinjekitilew 3 місяці тому +3

    Kaka tony wakati huu umebadilika sana umekuwa bora zaidi

  • @LobikiekiMarko
    @LobikiekiMarko 3 місяці тому +19

    EBU NIPENIA ATA LIKE 5 TU NIJIFUNIE PIA NIKIWA KENYA

  • @Waitarakariuki-hf8bg
    @Waitarakariuki-hf8bg 3 місяці тому +1

    That Girl is spitting fireee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @PatrickRichlimu
    @PatrickRichlimu 3 місяці тому +2

    Ooooooo ase huyo dada haina kujadliwa kiba ampe shavu bila kupingwa

  • @abdullahkazungu4025
    @abdullahkazungu4025 3 місяці тому +1

    Nice kwa kweli

  • @nyandichearts
    @nyandichearts 3 місяці тому +2

    Uyo roshiiii ni mnyamaaa sana anajuwa sana

  • @salekhkhamissalekh
    @salekhkhamissalekh 3 місяці тому

    sweet music 🎶 ❤❤

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 3 місяці тому +1

    Pamoja

  • @ahmed59122
    @ahmed59122 3 місяці тому +3

    Hapa Canada Ally kiba ndio anapendwa hasa Toronto .mnamfagilia sana Diamond. Au sababu kiba asuki nywele

    • @allyharoub-rl6rb
      @allyharoub-rl6rb 3 місяці тому +1

      Usilete hoja binafsi sas ... haujalizwa swali lolote kuhus icho kitu

  • @kinjekitilew
    @kinjekitilew 3 місяці тому +3

    Asante kwa huu mjadala. Lakini rais hana uwezo wa kusaidia mziki wa Tanzania bali tunatakiwa kujua wapi tumekosea nanini tufanye naiwe zaidi yahapo mana kunavitu haviko sawa, kwamfano watanzania wanao ishi inje ya inchi waanze kucheza nyimbo zetu kila wanapo kuwepo iwe kwa kuomba zipigwe ama wao wazipoge

  • @kaya.o5483
    @kaya.o5483 3 місяці тому +2

    huyo nimkali sanaaa. ALIKIBA amupe collabo

  • @kilchofkilali9926
    @kilchofkilali9926 3 місяці тому +2

    Show yenu ni nzuri ila najiuliza kwa nini kichwa cha habari kimekuwa Diamond wakati yeye ka kuchukuliwa kama mfono tu kama ilivyo kwa Harmonize na wengine! Kwa nini msiweke mbele challenge ya Kiba na Bilnas!?au ndo kile ;bila jina la Diamond mambo hayaendi!? Sijui kama mnahelewa kuwa mnamtangaza zaidi msani mmoja kuliko wengine!!ningependa mnijibu

  • @HasanalRushima
    @HasanalRushima 3 місяці тому +1

    👑 👑 👑 👑 👑 👑 🔥 🔥 🔥

  • @UwamuregeyeSamuel-rq7jz
    @UwamuregeyeSamuel-rq7jz 3 місяці тому +3

    Ongela♥♥♥🔥🔥🔥🔥💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃

  • @oscarcanan5068
    @oscarcanan5068 3 місяці тому +2

    Huyo dada anaitwa nani sijapata vizuri jina lake

  • @mosescalvinnyoha120
    @mosescalvinnyoha120 3 місяці тому +1

    ❤❤❤

  • @nyandichearts
    @nyandichearts 3 місяці тому +2

    Huyo roshi alikiba amsaini kabisa sababu ni mnomaa sanaaaa

  • @David-s6y8k
    @David-s6y8k 3 місяці тому +2

    Lesa yuko mimba nini

  • @jemaarsen6996
    @jemaarsen6996 3 місяці тому +1

    Mmnh? Mbona kama @_traveler ni team WCB maana sio kwa kuwatetea huko;ilankama huna D mbili huwezi elewa😂😂😂

  • @michaelseti1287
    @michaelseti1287 3 місяці тому +2

    Kiba sajili uyo dada

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm 3 місяці тому

    Simba la madongoti diamond platnumz

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 3 місяці тому

    Now days wasanii wanaimbia hela hawaimbii mashabiki kumekua na uhaba wa muziki mzuri

  • @muhsiniamiri9310
    @muhsiniamiri9310 3 місяці тому +1

    kiba mzngatie huyo mmmh mmmh anajua ten anaimba internatianal

  • @SufianMzee
    @SufianMzee 3 місяці тому

    Remix ya uyo dada kali kuliko original version

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz 3 місяці тому

    The Throne kipindi bora

  • @AlfredoManuelbaloManuelbalo
    @AlfredoManuelbaloManuelbalo 3 місяці тому

    huyu dada ninoma from Moz

  • @jemaarsen6996
    @jemaarsen6996 3 місяці тому +1

    Kwa Nini ushindwe kumalizia kua huenda style yake ya kuimba inaweza kumfanya alikiba na mondi kufanya colable umtaje tu kiba Kisha useme na naaa Leonardo?

  • @nyandichearts
    @nyandichearts 3 місяці тому +1

    Roshie jamani hiyo nyimbo hata kwa kulipia nahitaji nisikilize

  • @EzekielSaiguran
    @EzekielSaiguran 2 місяці тому

    Mleten nacha ck1

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 3 місяці тому +1

    Travella una midadi

  • @NurudinZuberi
    @NurudinZuberi 3 місяці тому +1

    Uyo Lisa side kashashiba tyr

  • @ahmed59122
    @ahmed59122 3 місяці тому +2

    Mnamuongelea sana Diamond it's not cool, just leave him alone. Mbona wasafi awamzungumzi sana Ally.

    • @ISSACKRICHARD
      @ISSACKRICHARD 3 місяці тому

      Awo wote ni team mondi 😂😂😂😂

    • @kaya.o5483
      @kaya.o5483 3 місяці тому

      Wanamuzungumziaga

    • @gloirekidigi8385
      @gloirekidigi8385 3 місяці тому

      Wote pale bila simba, akuna habari ya kuongelea

    • @mbwaralali5049
      @mbwaralali5049 3 місяці тому

      Mondi ni content bwana

  • @mukithedon9767
    @mukithedon9767 2 місяці тому

    Jamaa anaongea poit sn

  • @PatrickRichlimu
    @PatrickRichlimu 3 місяці тому +2

    Oyaaa achen uchawa apo sio wasaf mbona kama mnàjipendekeza mnatuboa diamond ndonan kwaza

  • @YohanaJoseph-ty7vk
    @YohanaJoseph-ty7vk 3 місяці тому +2

    Mtafukunzwa kazi na alikiba nyie

  • @KhamsoSule
    @KhamsoSule 3 місяці тому

    Poa

  • @jemaarsen6996
    @jemaarsen6996 3 місяці тому +2

    Harafu dullah planet anapigilia msumari kuwatetea akina @_traveler harafu kwa mbali nahisi Kuna nyimbo ya kiba na msanii mkubwa wa malekani inakuja soon so Simba kwa kutulia na dance zako sisi tunakuja na nyimbo sio dance tuu😂😂😂