Ass...Kum. Shukran sana kutuonesha jinsi kutengeneza askrim. Lkn pia ninaswali naomba nisaidie,je naweza kutengeneza kwa kutumia whipping cream ya unga?
Naomba kujua condensed milk ni ile ambayo natengeneza maziwa ya maji naweka sukari nakoroga ndo inakuwa nzito ? Na hii whipsy cream ni lazima nipate ya maji au hata ya unga ?
Assalamu alaykum. Asante sana kwa recipe hii ya ice cream. Nimetengeneza na watu wote nyumbani wamependa👌😙😙
its me only me Mashallah
Whipping.cream.ninini
Vifaa nishingapi na vinapatikana wapi msaada jamni
condensed milk ni nn na naipata wapi?
@@sulemohd4812 unaeza kuipata supermarkets
Asante lwa fundisho zuri Gharama na upatikanaji wa whipped cream pamoja.na kijiko cha kuchotea icecream
Asante mungu akubarikie ujuzi zaidi na zaidi tufunze ile barafu ya rambaramba inatengenezwaje pls
Yes very nice I made it by following ur tips really it was grt...n easy...thx
Nice i enjoyed watch and listen easily to learn coz waongea taratibu
wewe mwanadada wajua ufanyalo kweli... i love your videos.... easy to follow and great outcome
Mashallah tabarakallah very nice
Hii recipe ni rahisi sana mungu akubarik
MashaAllah,shukran mydear nimeipika jana ikalala kwa freezer.Tamu sana👍
Haiwekwi sukari Ama Mimi ndio sikuelewa?
Wow mashaallah mabroukeen
Nice, will try this. Love the background music, would you mind sharing the name of the artist or link to the music?
Asante mwanadada.. sauti yako pia tamu kama hio Vanilla whipped Ice-cream😋👍🏾
Mashaallah inapendeza inatamanisha anti hiyo cream nitapata maduka yepi maana mezunguka mjini Leo sijapta. Nipo Zanzibar au kwetu hamna
Simple but
😚
Ass...Kum. Shukran sana kutuonesha jinsi kutengeneza askrim.
Lkn pia ninaswali naomba nisaidie,je naweza kutengeneza kwa kutumia whipping cream ya unga?
Sauti nyororo kweli inabidi nisikize Hadi nikaelewa.asante
MashAllah am Leila Allah akubariki na akupe maisha ndefu ya ibada na Afya.
You actually used puratos whipping cream, thot i wouldnt work bt it looks good, definitely will try it
I was shocked too, i thought it required heavy cream. ill have to try it.
Habari kama hauna machine unaweza tumia blender ama mkono
That's nice
I am subscribing your chanel
MashaAllah asante, Kwanini kwenye screen video zote naona zinaeleza kimaandishi mpaka inaficha maelezo ya mpishi , lugha nisioifahamu
I jst had to subscribe mashaaAllah
Kaza Suitii kidogooo🤓🤓🤓
Asante dada mungu akujalie
Shukran sana mungu akupe
thank you dear for a simple and easy recipe ... asante sana
Asante Sana kwa mafunzo hayo naomba kujua jinsi ya kutengeneza condensed milk ama naeza Pata wapi
I like it
Aki her voice is so magical...Sauti nyororo
Asalamaleku waweza tumia evaporated milk na condensed milk
Mama ebu tutengenezee recipe ya maziwa ya kawaida kwenda kwenye whipping cream..ahsante
😋😋😋 nakula kwa macho
Shukran nimeelewa sana
Mashllh
Mapishi rahisi what a voice
Naomba msaada nawezaje tengeneza ice cream for business with profit plz help 🙏🙏
Mzuli sana ilove
Nzuri MashaAllah. Ungeondosha music tungefurahia zaidi. Shukran.
Yummy❤
that was incredibly simple will try. ila hapo kwa kupiga watuchanganya direct translation...ulikuwa una mix sio kupiga
thanx for the tip !
Kupiga=whip
Kuchanganya=mix
Asante. Very simple.
It's very easy
Masha allah habinty shukrani
Wawezatumi evaporated milk
Tnx
Assalam alaykum mm nauliza je waweza kutumia hata maziwa ya kawaida tu au mpaka utumie hiyo waiping crim
Wow it doesn't have much sugar like the others
Wow mashaallah heheh niko na swali naeza onja hiyo ice cream ama wauza pesa gapi cz zafutia
Thanks this is simpler than I thought, asante dada
Very nice
You've taught me a lot...trying this soon
Nimeipenda
Nimeipenda San
Nimependa saut yako
Ahsante sana kwa video yako hii. Je kukoroga ice cream after two hrs, inasaidia nini? Thanks
Preventing ice crystals
asante sana Hamisa
Una sauti nzuri Maasha Allah
Ninzur san nilikuw naitaj pia nitengenez balaf za ice cream
Mashaallah..nice
mashaallah ni nzur Lkn vifaaa hatuvielew tuonyeshe vzr
MashaAllah nice. Shukran
Naweza kutumia whipping cream ya unga au haiwezekani ???
Naomba kujua condensed milk ni ile ambayo natengeneza maziwa ya maji naweka sukari nakoroga ndo inakuwa nzito ? Na hii whipsy cream ni lazima nipate ya maji au hata ya unga ?
@mapishi rahisi, whipping cream gani inafaa kutumika?? Nimetumia whipping cream ila nikitia condensed milk inakatika
Weeping cream nimekoswa je naweza tumia dream whip?
Ásante nitajaribu
what are the names of the biryani spices..zile leaves na mbegu mbegu
Kama sina iyo yavkuchanganyia nawza kutumia blenda ?????
Maa Shaa Allah, siku zote nilitamani kujua hiki kitu jinsi ya kutengeneza. Shukran. Allah akubarik
Whipping ya poda je, haifai? Nimekosa km iyo
Masha'allah nimeipenda sanaa'😙😙😙
Assalamu alaykum... Jamanj mi nimejaribu yangu imekua kama imekatika sjui nimekosea wap
Na iyo condensed naomba unisaidie kujua
masha Allah
Ongea saut vzr unAban san pua
Mbona this time hii ice cream una koroga na the one you made with strawberries haukukoroga?
Naweza tumia blender kumix hyo whipping cream
Ndio
Asalaam aleykum samahan naomba nijuze km nitamtumia dream whip niichanganye na nn ili iwe km hiyo whipping cream
Nice
Wow ice cream ang sarap mamaya kakain kami ng ice cream ang sarap niyan ah
So nice dear.. thanx alot
Na sukari haiwekwi ama whipping au condensed milk iko sweetened
Je! Kama hauna hiyo mashine ya kukorogea waweza tumia nn kukorogea????
Mbn hukuweka sukari hbbty?
Habar ivi ukisema hikombe viwl ni nn inakuwa cup au na je cup ya mls ngap?
MashaAllah
Je kama sina icho kifaaa cha kuchanganyia sina naweza changanya na kijiko??
Km sina mashine naweza kutumia blender?
Yummy! Thank you Wajukuu watafurahia
I tried this jaman,ni rahisi sana.Ubarikiwe
Ma Shaa Allah Shukran
Mashallah
Mashallah na hiyo whipping cream inapatikana wap au mpk supermarket
Inapatikana kwa duka za watu wa kuuza vitu vya keki 😊
@@Mapishirahisi asante my Allah hakuzidishie heri uzidi kutujuza mapishi mengi
New subscriber such an easy recipe looks yummy. Love your videos so far
Eti condensed milk ninsawa na butter milk?
Niraisi sana ila naomba uniambie kwajina lakiswaili ivo vyakutengenezwa vinaitwaje na Kama sina mashine yakuchanganyia inakuaje
Best cook😘😘😘😘
Mm cjaelewa hvyo vitu
Naipenda
Nzuri
Nice ice cream