Hpa mama kachagua mtu sahihi kwenye hii seckta yaardhi.Mungu amweke jmn mtu wamungu hyu.Mtu wamana kbisa jmn.Dhulma kwenye nyumba ardhi nimyingi sna,kubadilisha hti nikitu chakawaida sana.
Mama zake wamezaliwa hapo hapo , Waziri amepigwa changa la macho. Mchaga Mmasi mungu anakuona, Kamishna wa ardhi TANGA mungu anakuona na atamlipa mwalimu. Iko siku. Yaani hakuna hata chembe ya huruma, Eneo lenu unapewa kiwanja kimoja, Mchaga anapewa 15. Mungu atamlipa Mwalimu Tabu. Inshallah.
Mimi nahisi Silaa hatishii mtu ila watanzania Huwa hatupendi ukweli tunaongea Sana ndio Maana hata ukitoka nje ya nchi kama Kenya mtanzania ukikutwa na hatia hupewi nafasi ya kujitetea Maana tunaongea sana
Kuna wakina wanabishana kama wako na waume zao kumbe na mh ambaye anasimama kama mwamuzi au judge wkt wowote anaweza kuwatia ndani kwa kukiuka sheria ...
Hpa mama kachagua mtu sahihi kwenye hii seckta yaardhi.Mungu amweke jmn mtu wamungu hyu.Mtu wamana kbisa jmn.Dhulma kwenye nyumba ardhi nimyingi sna,kubadilisha hti nikitu chakawaida sana.
Super Mheshimiwa Jerry Waziri wa Ardhi unafanya kazi nzuri na haki
Hpa mama kachagua mtu sahihi kwenye hii seckta yaardhi.Mungu amweke jmn mtu wamungu hyu.Mtu wamana kbisa jmn.Dhulma kwenye nyumba ardhi nimyingi sna,kubadilisha hti nikitu chakawaida sana.
Jerry Slaa,Mungu akusimamie aisee
Mama samia hongera sana kwa huyu waziri na mkuu wa mkoa mh Paulo makonda,,, nimekubali sana hawaonei mtu hata sekunde moja
Mheshiwa wetu waziri wa Arhdi Jerry Silaa kama ni haki unatoa Baba, Mungu akilinde 🙏
WAZIRI UNAFANYA KAZI NZURI SANAA. MUNGU AKUBARIKI SANA.
Good Mheshimiwa Waziri umefafanua vizuri sana.
Imagine huyo mama analia namachozi kumbe tapeli 😂😂.. Dah
Sio tapeli isipokuwa ameshindwa kujua historia ya vizuri namjua vyema wao ndio watu wa mwanzo maeneo ya kwakaheza!
Mama zake wamezaliwa hapo hapo , Waziri amepigwa changa la macho. Mchaga Mmasi mungu anakuona, Kamishna wa ardhi TANGA mungu anakuona na atamlipa mwalimu. Iko siku. Yaani hakuna hata chembe ya huruma, Eneo lenu unapewa kiwanja kimoja, Mchaga anapewa 15. Mungu atamlipa Mwalimu Tabu. Inshallah.
@@suleimanikirassahassan9711acha story sikiliza historia. Nii shida ya familia zetu iyo inatupa wakeup call ya kuakiki maeneo yetu
Mimi nahisi Silaa hatishii mtu ila watanzania Huwa hatupendi ukweli tunaongea Sana ndio Maana hata ukitoka nje ya nchi kama Kenya mtanzania ukikutwa na hatia hupewi nafasi ya kujitetea Maana tunaongea sana
Huyu waziri ana kazi ngumu sana Allah amlinde
Tulio nunua viwanja kwa mwenye kiti tujuane 😂😂😂 na tupo nje yanchi nyie ntakufa mie
😅😅😅😅😅😅😅 ni kweli kabisa
Akisema demarcation mama anaelewa kwel?
MWAMBIENI ULE MGOGORO WAKE WA NYUMBA YA WAKHFU KULE K KOO,,,WATU WASHAYATIBUA TENA,,,,HII KAZI NGUMU
Siokweli 😂😂
🙏🙏🙏❤❤
Badala ya kushughulika na watumishi wa ardhi
Huyu mama ni mdhulumati kabisa kwakuwa yeye ni mrasimishaji
Wazazi wako hayajawakuta.
MADAM MWALIMU KASOMA NA MPAKA SASA ANAFUNDISHA MBONA ANAJITOA FAHAMU 😂
Kuna wakina wanabishana kama wako na waume zao kumbe na mh ambaye anasimama kama mwamuzi au judge wkt wowote anaweza kuwatia ndani kwa kukiuka sheria ...
Tatizo clip za Waziri hazina usikivu mzuri
Tutalifanyia kazi ili usikivu uwe Mzuri zaid
Slaa acha kutishia watu polisi
Hatukusomi
Jamani wananchi tunataka kusikia unaowahoji wape mike
Waziri pita kila mahali
Hpa mama kachagua mtu sahihi kwenye hii seckta yaardhi.Mungu amweke jmn mtu wamungu hyu.Mtu wamana kbisa jmn.Dhulma kwenye nyumba ardhi nimyingi sna,kubadilisha hti nikitu chakawaida sana.