Ila jamani acha aseme mtu kutafuta Jina anasugua sana acha aseme bwana anajua jamaa Sana na acha aongee kwa kujiamini ukiwa chini wanadamu hawakupi saport acha jamaa acheze jukwaa lake
Sasa anajua ndio lakin ajue anamalizia walipoanzia wengine hawez kuwa 🐐 GOAT wapo akina p-funk majani master j mika mwamba ndo wamefanya mziki upo hapa kwaiyo awe na adabu
@@ramseychobaliko1002 unashindwa kuelewa, yeye anasema ndio Producer wa kwanza kuwa namba kubwa ya hits song zinazofanya vizuri nje, na ndio producer alie kwenye nominise kubwa na nyingi nje mfano wa Grammy, ndio producer mwenye na ngoma nyingi za wasanii wa nje ya bongo, na ndio mana anasema yy ni BEST, sasa kama yupo mwenye vigezo hivyo aje na FACT na STATISTICS, je yupo?? ukiangalia hayupo.. UMEELEWA??
Ana Haki ya kujisifu sababu kazi anafanya kweli na inaleta matokeo mazuri kwake kama wasanii wanajisifia na hamjawai kuwaambia waache kujisifia kwann yeye mna crush mi nafikiri tutafute hela ili tupunguze makasiriko yasiyo na msingi broh
Acheni ushamba wakujisifia sana,,Amapiano ishafulia sijui mtajitamba na nini sasa kuweni humble beats zenywe ni makelele na kuimba ujinga huo mzk huwa haudumu so be humble.,,Pride is the devil 😝
@@BigZhumbe huyo ni kibaraka huwezi kuwa master wa style zote utakuwa ni ulimbuken trap yenyewe hajui anapiga 808 za mwaka wa 2000 alfu huku ndo mnasema hit songs 😅
Kwanini mtu akifanya vizuri asipewe maua yake? Kila mtu ana wakati wake s2kiz ni tym yake no matter anafanya na wasanii wakubwa... kwanini hao wasanii wakubwa wamtafute s2kiz ni kwasababu wanamkubali,maproducer wengine wanafanya poa lkn is time for zombie
Dogo janja ufilimason huo nd umekufanya uwe hivyo wahuni tunakula Ngoma ngumu Kam wakina one incredible Nikki mbishi stereo Songa s.o.n.g.a kwaiy we kula maisha uliyoyachagua saw dogo
Sio kwamba unajua sana babu ila ww una bebwa na diamond ila sio ww alaf elew kua sisi mashabiki tuna sikiliza alicho imba msanii ila sio bit laki boya ww
Hakuna hit song bila producer broh diamond utamsikiliza akiwa ndani ya beat ya producer mzee dogo anayo haki ya kujisifu sababu anafanya kazi na zinaleta matokeo makubwa mbn wasanii kila siku wanajisifia wao kila mtu number 1 na hamuwapingi sasa ata hii pia ni the same mi nafikiri tutafute hela ili tupunguze makasiriko yasiyo na maana
Emu tuacheni majungu s2kizz anajua kwanini hatupendi kumpa mtu haki yake S2KIZZ ANAJUA
Heshima yeke tumpe...beat ndio ua inasukuma ngoma 🇺🇲
Tunasema We Zhombie Haujui ila tuna-maanisha anajua sana 🔥🔥🔥🔥🔥
Jaman mwenye sifa yake mpen t maana anapamban sn na kweli watamroga awe makin t mtu wetu
Hakikaaa S2KIZZY NOW ISNWORLD WIDE PRODUCER
S2kizzy gat his own unique beat and sound
Producer ndo mtu wa kwanza kwenye music tumpe heshima yake bwana
Na wewe fungua studio sasa
Hkn ubishi apo s2kizy yupo creative sana
Dogo S2kizy ni mkali sanaaa
S2kizzy RESPECT YOU HOMEBOY,unajua kaka, ndomaana unaongea kwa comfidence, ❤🎉
Anaepinga apinge kwa hoja zenye ushahidi wa namba sio maneno maneno, Tisha sana Zombie 🔥🔥
Zoooombie 🔥🔥🔥 Numbers don’t lie. imeisha iyo
Ila jamani acha aseme mtu kutafuta Jina anasugua sana acha aseme bwana anajua jamaa Sana na acha aongee kwa kujiamini ukiwa chini wanadamu hawakupi saport acha jamaa acheze jukwaa lake
Zombie ile ngoma ya Vanessa Mdee ft Joh makini na Cassper 🔥🔥
Yogo on the beat 💓
Mbona umetoboa pua vip mwenzetu sio rijali nin muogope mungu dogo jua kunakufa
We mwenye hujatoboa,,hautakufa?
anaongea fact 100%, ukiangalia kwa STATISTICS yupo sahihi na hio haina ubishi, kwa anaepinga alete DATA zake.. ZOMBIE ni genious 🔥
Sasa anajua ndio lakin ajue anamalizia walipoanzia wengine hawez kuwa 🐐 GOAT wapo akina p-funk majani master j mika mwamba ndo wamefanya mziki upo hapa kwaiyo awe na adabu
@@ramseychobaliko1002 unashindwa kuelewa, yeye anasema ndio Producer wa kwanza kuwa namba kubwa ya hits song zinazofanya vizuri nje, na ndio producer alie kwenye nominise kubwa na nyingi nje mfano wa Grammy, ndio producer mwenye na ngoma nyingi za wasanii wa nje ya bongo, na ndio mana anasema yy ni BEST, sasa kama yupo mwenye vigezo hivyo aje na FACT na STATISTICS, je yupo?? ukiangalia hayupo.. UMEELEWA??
@@ramseychobaliko1002 sasa wabongo kusikia au kuambiwa ukweli ndio shida, na wala sio kuwavunjia heshima ila ndio ukweli
Mimi naamini kua wanamsema s2kizz kwa ubaya ni kwamba wanatamani kua kama yeye ila hawa uwezo maana hawajuwi na hawataki kujua
Icho ni kibri.njoo nikupe hit..ummpe hit wewe mungu...wewe unatembelea upepo wa wasanii huna lolote... Daimond ndo amekuambukiza upepo wake..mungu ndo Kila kitu..acha kibri wewe
Asa mnapinga nini @2kizzy yupo vizuri wakuu
Best producer kiukweli mdundo ndiounatambulisha mziki mkali huwezi sikiliza mziki kwa vijisauti sauti tuu
Msanii bila beat hamna kitu kwa huyu jamaa mkali
Unyama sana kaka mkubwa 🎉🎉🎉🎉🎉
Respect you brother🏋️♂️
Noma sana mwenyewe nakubali nataman siku tukae chin tufanye kaz
😂et ntakua jini jaman we kaka
nakubali sna ZOMBIEEEE💗💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
Nazierewa Sanaa Hit zako
Wazokubwa 🔥💯 haujui
Nakukubari mzee zombie unajua sana mzee wala haukoseiii mzee mungu bress you mziki wako kaka mimi nipo South Africa 🇿🇦 solute Johannesburg
Sauth africa ya mashambani unalima.
oya Traxx Haya Mambo Yataleta Shida 🥶📌🛠
You always deliver man ,you deserve it
S2kzy ni beat maker sio music producer ambae ni full package..🤞
+254 Kodi Namba CHORODO
#Dan B Wansagen Moshi Kama Mbele
001 Mbalali
YUPI NDO FULL PACKAGE
@@kelvinwilfred-p2e Wapo Younkizzy Morrento MixingKiller
LIZER
Beat mbona tume mkopi ya hiyo na ime toka zaid
Zombie unajua 🎉
Unajua sana kaka viba kaka
Kumbe huyu fala ndo kamharibu jux had kampeleka kusugua
Unajiamini sana ila acha kujisifu sana
Ana Haki ya kujisifu sababu kazi anafanya kweli na inaleta matokeo mazuri kwake kama wasanii wanajisifia na hamjawai kuwaambia waache kujisifia kwann yeye mna crush mi nafikiri tutafute hela ili tupunguze makasiriko yasiyo na msingi broh
@@ngadumbishi1405 elewa nilichomahanisha kama ni hela na mm ninazo mdog wngu ila kujisifu sn so vzr ujue hiv bhn
Ww hela huna nawe mjomba anajisifu mo 😂😂@@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
Ukiendelea hivi utakua mchawi
Ukiendelea hivi utakua mchawi
Laizer ni baba Ako wa mziki
Dogo unaongea sana dah!!yan mpaka unataka ku-takeover broadcaster
bro unajua
Kama ni rahisi copy paste na ww tukuone,mtu kafanya vzur tumpongeze na ana kila haki ya kujisifu maana Afrika wivu mpaka ufe ndo wakusifie
laiza mnamjua lkn
we n zombie kwel haipingwiiiiiiiiiii
Anaachaje kujisifia wakati uyu mnyakyusa ndoo walivo
Wee e!!!! Zombie unatisha achana na mambwera
Dude spk wth conf n hypr bt u shld gv thanx to God
Acha kujicfu kipapa cha woote ww kuna wanaojua zaid yako pumb ila ndio hvy mnahinga hela wanapotea kisa mnaogopa kupitwaa kuuuuma ww ya babuuu yakooo
Hivi haka ka dogo kanajielewa kweli? Kezii ka bit za watu
P-Funk Majani ndio wa kwanza Tz nzima.....wacha kwere ww...
Be humble mzee
We ni mkuuundu2 huna lolooteee
Zombie ni gini we ubishe au useme ajuhi ninani kila msanii anataja zombie diamond zombie mario zombie whozuh zombie zuchu zombie kisa msanii zombie we upinge nani ata kuimba aujuh useme zombie ajuh acha ufala ww
Haipigwiiiiii zombieeee
uyo jamaa mwingine alie vaa pama mbn haongeii chochotee anauza sura2😂😂😂
Yeye Hana anaona wenzie wanatema madini anayowaza
Be civil and respectful 😂😂😂😂
Dem kauliza swali kiufundi sana
haujui
We zombi
Kujisifu tu .....hodar hajisifu.
Si upo na Diamond,ondoka Wasafi tuone!
Hyupo Wasafi
Nooma
Huyo ana STUDIO YAKE MONDI NDIO ANAENDAGA
Na ss mtupe mchongo jaman
Sanaa zombiee we noma .wengine wivu tuu
s2kizzzy zimakulipa au ndo ulipewa hennessy na mademu tu.. manake nasikia mnafanyaga kazi bure
Acheni ushamba wakujisifia sana,,Amapiano ishafulia sijui mtajitamba na nini sasa kuweni humble beats zenywe ni makelele na kuimba ujinga huo mzk huwa haudumu so be humble.,,Pride is the devil 😝
Kwani kuna producer mwengine Tanzania anamzidi Zhombie kwa kutengeneza hit songs style yoyote.
@@BigZhumbe huyo ni kibaraka huwezi kuwa master wa style zote utakuwa ni ulimbuken trap yenyewe hajui anapiga 808 za mwaka wa 2000 alfu huku ndo mnasema hit songs 😅
@@bmtbeatz920 Kumbe ni mtazamo wako kuwa mtu hawezi kuwa master wa style zote 🤣🤣🤣 Trap hio aliyopiga akaharibu ni ipi?
jamn jaman
bongo raha sana
sema mwanetu unamcopy sana b12 vile una sound..rudi vile vile ulivyokuwa mwanzo mr presenter
Melleur
Kwanini mtu akifanya vizuri asipewe maua yake?
Kila mtu ana wakati wake s2kiz ni tym yake no matter anafanya na wasanii wakubwa... kwanini hao wasanii wakubwa wamtafute s2kiz ni kwasababu wanamkubali,maproducer wengine wanafanya poa lkn is time for zombie
Weee!!! Zombiiiii!!!
Bro don't ever say that you're here to stay ,just dig out scott scorchy story he was the best dr dre time back then
Anaitwa Scott storch producer mbaya sana.
Yeye ndie aliegonga you ain't know ya lil weezy
Apana kiukweli uyu jamaa Ako vzur
Shida best zako nyingi ni mapiano tupu piga midundo ya asili yetu
Kelele nyingi sana
Songa kweli arud mjin
Mi sipingani na wewe ila im gonna beat you on music making just belive the process #FACT
Sikupingi s2kizzy
S2kizzy kipini je
Mkali nawala musilete shobo
Tangu laiza aache kuproduce asirimia fran wasani wcb nikama wanabahatisha bahatisha nyimbo sio kali kama wakati ule ila pambaneni
Mbona laiza tangia atoke wcb hasikiki kama alikua ni mkali
Laiza wcb ndo ilikua inambeba afu kumbuka s2kizy so wcb
Zombie shetan🎉
Kiuje huyo setu chiziiiiiii
Producer mwizi tuu. He should stop stealing from upcoming artist
Zombii
Kuna ukweli ndani yake😂
Anaongea ukweli sio anajisifu
Atari sana kaka zombie
We zombie
S2KIZZY ameingiza kiburi.diamond akimtema itakuwa noma.but really he's good
Paka diamond kumfata jua huyo anamadini
Kuwa naishima bro ila wakwanza niwakwanza tu uwezi gonga Kwa p
Zoombieee......
Abbah anakukalisha
Mwamba unajua acha waseme tu ila unastahili pongezi
huyu muongo anesahau ngoma zake lazima akague laiza na amalizie huy mwehu
LAIZA NI MZURI KWENYE MIXING NDO MAANA ANKUWA KAMA MIXING KILLER KWENYE BEATZ ZA HABAH
Nishasema kugonga beats za midundiko ndo kuwa producer mkali? Haujui hata unachokiongea katulie dogo ww Bado sana
Ayoooo lizer
We zombie haujui na mie mkaangalie video yangu jamani inaitwa enjoy😂😂
Fact
Dogo janja ufilimason huo nd umekufanya uwe hivyo wahuni tunakula Ngoma ngumu Kam wakina one incredible Nikki mbishi stereo Songa s.o.n.g.a kwaiy we kula maisha uliyoyachagua saw dogo
😢jmn kipini na maheren umenikumbusha mama angu mdogo mmefanana sana
Sio kwamba unajua sana babu ila ww una bebwa na diamond ila sio ww alaf elew kua sisi mashabiki tuna sikiliza alicho imba msanii ila sio bit laki boya ww
Hakuna hit song bila producer broh diamond utamsikiliza akiwa ndani ya beat ya producer mzee dogo anayo haki ya kujisifu sababu anafanya kazi na zinaleta matokeo makubwa mbn wasanii kila siku wanajisifia wao kila mtu number 1 na hamuwapingi sasa ata hii pia ni the same mi nafikiri tutafute hela ili tupunguze makasiriko yasiyo na maana
Toka nyuma Dai uone utakavyo ota nyasi
s2kizy anajuwa ww
Kwenye huo ujinga wa kusikiliza maishairi mi nitoe kbsa nenda kasikilize beat ya hakuna matata bila mashairi ndo urudi ufute huo ujinga
Hujui mziki mzeee!hujui chochote mziki asilimia75 n producer: so anahak ya kuvimba