JUMA LOKOLE AMUWASHIA MOTO BABA LEVO KISA NYUMBA YA MWIJAKU / ANAMUONEA WIVU / NYUMBA YAKE NZURI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 46

  • @meereggfd5574
    @meereggfd5574 Рік тому +8

    Leo juma kaongea ukweri kbx❤❤❤❤

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Рік тому +5

    Nimejikuta nampenda juma leo

  • @songakulwajames642
    @songakulwajames642 Рік тому +10

    Leo juma umeongea vizuri sana

  • @caissemalatinho252
    @caissemalatinho252 Рік тому +5

    Leo Juma uko sahi

  • @elizamapunda6043
    @elizamapunda6043 Рік тому +13

    Umeongea ukweli juma kwako ni kwako atapaweje

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel Рік тому +1

    Wah mupitie na kwangu wapenzi ❤❤❤

  • @abelnegomakata-vf2qb
    @abelnegomakata-vf2qb Рік тому +6

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @abuumkumbalu9123
    @abuumkumbalu9123 Рік тому +20

    Akuna baba mwenye gari ila siku zote kuna baba mwenye nyumba kwa mtu mwenye akili timamu lazima aanze na nyumba kwanza then after unaweza nunua gari

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 Рік тому +2

      Mawazo yko binafsi nayakubali

    • @kelvsss3824
      @kelvsss3824 Рік тому +2

      Baba mwenye nyumba kama unapangisha mzee kama unakaa na familia yako n baba tu

    • @belak999
      @belak999 Рік тому +1

      Hela ya gari haijengi, hayo ni mawazo ya asie na nyumba wala gari

    • @Bahati_francois
      @Bahati_francois Рік тому

      😂😂 labda gari za kibongo 😅😅​@@belak999

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 Рік тому +1

      @@kelvsss3824 ukihitaji gari ya dhamani gharama yk yawezekana kujenga nyumbani ni mtazamo na pendekezo lako

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Рік тому +2

    Juma umenifurahisha mno Leo

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Рік тому +13

    Hapo juma umeongea ukweli mwenye chake tumupe hongera hata kama ni kidogo

  • @baoussenesombair8007
    @baoussenesombair8007 Рік тому +1

    Juma 2024 vou a sistir suas intervista . Gud big juma na mwaka u wew jumy.

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Рік тому +1

    Juma umeongeya point kubwa sana una uelewa mapana sana

  • @Alli-ol3lv
    @Alli-ol3lv Рік тому +3

    ❤❤

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu Рік тому +1

    Juma umenena ukweli 🎉

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat Рік тому

    Mimi bora nijenge kwanza usafiri nitapanda daladala😂😂😂😂 mpaka nipate gari inshaallah

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian4904 Рік тому +1

    Kumbe Juma una watoto na walitoka ndani yako😮😮😮

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726 Рік тому

    Juma umependa ulivyosema maswala ya jumba ya mwijaku kweli unachokisema alicho nacho anacho ata kama kidogo ni chake

  • @marsfouad7224
    @marsfouad7224 Рік тому

    Kwenye gari mwanzo umefeli, lakini kwenye mwijaku kujitahidi ni jambo na kukubali hapo ume ongea point, hata kama ni ni 50 by 50 plot but ni chako na ni lazma kujivunia

  • @MwatijaFikoti
    @MwatijaFikoti Рік тому +2

    Kijana umeongea vizuri sana.kijana mwijaku kafanya vizuri sana hata kama ni kibanda cha wakala.wanaoongea waonyeshe vya kwao.

  • @harrishussein6992
    @harrishussein6992 Рік тому +13

    Kwa mara yakwanza juma nimekukubali umeongea fact akili kubwa sana

  • @PatrickArthur-m3m
    @PatrickArthur-m3m Рік тому

    Ujamaa mjinga sana we unaweza kulala kwenye ngari 😂😂😂

  • @bukuruhassan9751
    @bukuruhassan9751 Рік тому +1

    Uyu jamaa juma lokole nimekuwa simkubali Ata kidogo ila leo ameongeya kama mwanaume

  • @goodluckSanga-
    @goodluckSanga- Рік тому +2

    Kuna mda juma kama unaongeaga vitu vya msingi ivi

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior Рік тому +3

    Nyumba inategemea ni ya sh ngapi?Je gari unayoendesha inaendana na gharama ya nyumba unayotamani kumiliki?unaweza kumiliki gari kurahisisha mambo yako the ukawa unajenga.

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 Рік тому +3

    Jumaa umeongea kweli kabisa ila gari isiwe ya kutembelea tu iwe ya kukuingizia pèsa

    • @mohamedally5225
      @mohamedally5225 Рік тому

      Wabongo wengi hawana akili uwe na gar kwanza Kisha ndo nyumba hizo akili matope nyumba ndo muhim kuliko gar

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 Рік тому +1

      @@mohamedally5225 alafu gari alilo nalo la kutembelea kaongea vitu vingine vya maana ila nyumba mwanangu aisee mimi ndo inanitesa mpaka sasa ningrkilia gari zamani sana ningekuwa nalo niliwaza ntaishi kwa nani nyumba ya kupanga 😄🤣 nikakakataa lol nalizia kajumba kangu kisha gari itafuaata tena ya kuniingizia pesa kila siku

  • @peterdavid4230
    @peterdavid4230 Рік тому +1

    Shoga promax😂

  • @violethbosha1666
    @violethbosha1666 Рік тому

    Juma kumbe wakati mwingine zimo

  • @armandoleonardo6966
    @armandoleonardo6966 Рік тому

    Hoje Juma deixou de ser gay e falou a verdade. Congratulação pra juma🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @zamzanimakundi2546
    @zamzanimakundi2546 Рік тому +2

    Tukisha kuona na gari ufahamu wako ni mkubwa?huna akili jinga ww!

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Рік тому +1

    Uyu dogo bwege Sana, hasa we una kazi gani ambayo itakufanya upumzike

  • @zainabuhamisi576
    @zainabuhamisi576 Рік тому

    Kuna muda kichwa chako kinachaji

  • @JeremiaAlphonce
    @JeremiaAlphonce Рік тому +6

    kumbe huyu jamaa anakuaga anakilii cku mojamoja

    • @mbanga6759
      @mbanga6759 Рік тому

      Namwijaku aliambiwa hivo kumbe anaakili

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 Рік тому

      Huwa akikosaga uboo tuu ndo huwa mwehuu

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Рік тому +3

    Maimatha anakaa kisemvule

  • @baoussenesombair8007
    @baoussenesombair8007 Рік тому +6

    Juma 2024 vou a sistir suas intervista . Gud big juma na mwaka u wew jumy.