ACT Wazalendo: Kariakoo ni Kitovu cha Biashara, Serikali Iache Mara Moja Kodi za Dhulma
Вставка
- Опубліковано 23 чер 2024
- Waziri Mkuu Kivuli, Ndugu Isihaka Mchinjita Amefanya Ziara ya Kuwatembelea Wafanyabiashara Karikaoo Kusikiliza Kero Zao Pamoja na Kuwaunga Mkono Katika Kupigania Haki Zao. Ziara Hiyo imefanyika Juni 24 2024 Kufuatia Mgomo wa Wafanyabiashara Hao.
#taifalawote #maslahiyawote
My friend serikali inapokuwa haina fedha, ni mtumwa wa waarabu, wazungu, wachina nk. kama matokeo ya sera "asante bwana wangu kwa kunipa mikopo" usitegemee intervation ya raisi! Nyie ACT Wazalendo ndo inatakiwa mfanye intervation kwa kuja na sera mpya, bunifu na endelevu kama nilivokusikia baadhi ya mapendekezo yako. Huku unaishutumu serikali imefeli hapohapo unaishauri ifanye intervation! Kikwetu "u are talking hypocracy." Nimekushangaa sana bwana mhe. wa ACT Wazalemdo!
Safi kabisa umeongea mzee na umesomeka big up
Act mmeongea vizuri.to the point.viongozi wetu tunamategemeo nanyi
Mwigulu ndio tatizo anatamaa sana hapendi watu wengine wishing vizuri mama mtoe huyo waziri wa fedha huyo ndio shida
Tuwe makini, kwani kinacho endelea
Hii nchi Mara soko liungue Mara makodi yasioisha,bungeni mkiambiwa ukweli mnafukuza wasema kweli,asilimia tisini na tisa chama moja mnafukuzana wenyewe, wangekua wapimzani ingekuaje?,Nani kama Mpina?.
100% umetisha kama cyo siasa pia
Mchinjita you are the best 1🔥🔥🔥
Kweli babisa ✌️❤️
WE'LL SAID ACT
Hawa jamaa sjawahi kuwaamin hata kidogo
Wafanyabiashara wanalipa KODI wakitoa mzigo bandarini wakiuza wanalipa VAT, sasa hawa wafanyakazi wa serikali wakomeshwe kunyanyasa wafanyabiashara. Kenya watu wamegoma TAX za serikali, wananchi ni masikini. Wakubwa wa serikali wanaishi na familia zao maisha mazuri ya Ufahari kwa kodi za wananchi.
Mungu
Tatizo mama anajifanya chura ila atambue kirusi chote ni mwiguru na mkumbo huyu bibi Amtimue mwiguru hana ubunifu
Mmeona hapo ndo goli la mkono eh🤣🤣🤣
Ubavu hakuna nani atasimama kama Jpm awatoe wasio kendal na mama
WA
Aibu kubwa nchi
Jawa Wanasiasa ndio wana ole ya Chockochoko kwenye Biashara za Watu. Hawafai kuingilia mambo ya Watu yasiyowahusu.
Huna jipya uchawa unakusumbua
Wanao dharau maagizo ya rais wawekwe pembeni na kuwaweka wanokwenda naye
Umeongea vitu vitamu nusu niliee