#clam #kicheche #wasafi #stevemweusi #bambocomedy #kingwendu. If you find any error in our published content please take a minute to tell us we will resolve it at the earliest.
SAYUKI TV TUNAENDELEA KUKULETEA KAZI BACK TO BACK TUNAOMBA SUBCRIBE ,LIKE COMMENT AND SHARE USISAHAU KUWASHA BATANI YA TAARIFA ILI UWE WA KWANZA KUPATA TAARIFA TUKIPANDISHA KAZI MPYA WE VALUE YOUR SUPPORT.
Yamekukuta mauntaga uliona n mke sahihi kumbe jini umeliokota uje ulifuge😅mama n mama leo utamkubuka 😢 bahati n familia yake wanaishi vzr❤ila sam wafeli wapi jmn😅
Kijana ulijuwa umepata na kumbe umepatikana , huyu mke wako Ana roho mbaya tena mchawi , tunawaona no movie lakini hivi kuna watu wabaya kama huyu mwanamke wako.
SAYUKI TV TUNAENDELEA KUKULETEA KAZI BACK TO BACK TUNAOMBA SUBCRIBE ,LIKE COMMENT AND SHARE USISAHAU KUWASHA BATANI YA TAARIFA ILI UWE WA KWANZA KUPATA TAARIFA TUKIPANDISHA KAZI MPYA WE VALUE YOUR SUPPORT.
Mbona jina lime change naona BARAKA MAMA sio kama awali BARAKA ZA MAMA
@@GENzRevolution-s2ukwaio hapo wew tofauti zilifanya usielew ni ipi na mchezo ni ule ule
@@kamarhelo Mimi nmeona kosa ndio maana nmesema
Limekosewa tu kwenye uandishi limesharekebishwa.
N😊
Mwenye anataka bahati aolewe na kaka mkono juu
Nakubal muv hi yan hay yapo katk maish asant kwa Kaz nzul
Asiyesikia la mkuu huvunjika guu sasa Ona mautanga😂😂😂❤
Big up saaan ndug zang ❤❤❤🎉🎉🎉
Kazi nzuri san we love you guys ❤❤❤❤from burundi
Jaman nawapenda bure ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 kazi safi
Yamekukuta mauntaga uliona n mke sahihi kumbe jini umeliokota uje ulifuge😅mama n mama leo utamkubuka 😢 bahati n familia yake wanaishi vzr❤ila sam wafeli wapi jmn😅
Yaan ndiyo kaanza Bado hujasema aaa nahujasemaaa laaan ya mama Ako imeanza kukuingia m wa kabisa
Kinahaza kumrambaaaaa 🤸🤸🤸🤸
More plz jamani tunawapenda from uk 🇬🇧
Ndo ulichokuwa unakitaka hiyo hirizi ndo kimemfukuzisha mama yako haya kazi kwako
Nabado mpaka useme eti laiti ningejua na ndio ushaambiwa hukutumwa kumsaidia😂
We sam acha ujinga chukua chombo hicho sije na wewe ukakunguwaa kama mautange 😂😂😂😂😂
Liina 3:33
Ila hli limwanamke halibadilik duuuh, litakuja kujuta au bas,, sio sku hz amebadilika ndy alivyo,,,kaka kumbka mama n mama tu
Hili mwanamke simpend kwel
Jmn uyu zuu hanaga uruma 😢
Mama umehamia kabisa 😂😂😂
Huyu bahati simuelewi hivi mnamuelewa kwelii wapendwa maaana anavyolazimisha ndoa
mautanga uyo mwansmke ulimwokota njiani naukaamini kua mwanaume aliemwacha kua alimnyanyasa zuu bila kufanya uchunguzi ukaanxa kuishi nae acha uyaone, mwana kulitafuta mwana kulipata pambania kombe ,ndo kwanxa mechi inaanxa
Mautanga bwabwa kweli😂😂😂
Mtoto Kautaka Jaman Ana Hisia Kibao Sana
uyu mwanamke mmmmh 😂😂😂😂
Mama ni mama tu.funzo ilo
Huyu mwanammke mchawi kweli lkn broo acha yakukute c uliona bora huyu sura ya chura kuliko mama yako shenz kabisa
Kawaida ya nyoka ni nyoka tu kamwe hawezi kuwa jongoo
Sasa bahati unaitaji kuolewa na bwana mdongo na maman ameaidi uolewe na bwana mkubwa kwanini unabadiri mahamuzi mapena rabda watapatikana 🇧🇮
Mbona hilo duka atulion 😅😅😅
Utaluona ep ya 22
Kaka piga Risasi ya kichwa uyo😅😅😅
zuuh uliona wapi tishu nyeusi😂
Kazinzuri 🎉🎉🎉🎉🎉
Mautanga kaziunayo utalogwa mpakaukome😊
Kazi nzuru sana🎉🎉🎉
Mwanakulitafuta 😂😂ngoja yakukute huyo ndo zuuuuu😂😂😂
😂😂😂 utamkumbka mama yako
Bahati umeanza tabia mbaya si ulikuwa uolewe n kaka yake sammy mbona sammy tena acha tabia za mwili
Baba nyoka wa baharin mwache akalale
Siku ya kufa nyani miti yote uteleza ndo leo mautangi kimekuramba😂😂😂😂😂
Bahati ach tamaaa y mume
Nautaona mengi kakangu
Nabado mautange huo ni mwanzo tu bado hujayaona siulimsikiza huyo mwanamke sasa yaone 😂😂😂😂😂😂
❤❤team hamamu mpo sawa like japo mia mwanzo
Tupo udugu
Tupooo
Yameze sasa mautanga juu hukujua unayemkaribisha kwako
Jamaaa bado na bado na kiukweli mkoa vzr🎉🎉🎉
Duh mautanga zamu Yako imefika
Mama mautanga unaroho nzuri mungu akujalie kipaji chako
Nabado utayaona😅
Ww mwanamke una roho mbya htr
Aaa😂😂😂 Maputo ni mjukuu 😮😮😮nabado mwatanga iyo tela mbona utajuta😢😢😢
Kijana muoe bahati mnaendana
Hyo ni cm kumbe😮 uuuwii
Sasa ndoo utamkumbuka mamayako
Mwana kulitafuta,mwana kulipata 😂
Hahaha na bado utamuelewa uliona mwenyewe umepata kumbe umepatikana
Mautanga ungemsikia mamako haya yote yasinge kukuta 😂😂😂😂sasa kula chuma hicho
Wakwanza leo
Mautanga ubaya ubwela ndo uliyokuwa unayataka ayo
Janamke chwwiroo
Jambaz kama jambaz aliyatimba Sai yanamrudia😂
Bahati acha king,ang,anizi huwezi kumwambia mwanaume akuoe hata hajakutongoza
We jambazi ni bwege
Huyu msichana bahati ni mzuri sana
Na komwe lake kama la paka
Bado hajasema nautasemaa tuu
Story tamu
Watatu naombeni like za kuwahi
Mautanga umeansa kuyaoa sio,msamaha badae Kwa mama
Uyo atakutoa maco ni jini
Maukanga ndio ukome kubeba nyoka ndani 😅
Nimewah nimekua wa 77
Sasa nawe bahat hata hunatabasam Cheka bac japo kidogo
Mwanamke alishinda huyo akuna anae mweza
Mwana kulitafuta mwana wa kulipata hilo sasa juu yako na huo mguu angekuwepo mama yako cjui kama yangekukuta hayo😢😢😢
Mautanga umeyataka laiti mama yako angekuwepo ungepikiwa
Mamako alkwambia ila hukumsikia leo yaone ,😢😢😢😢
Yaan anadomo kma Jamba.
Hujasema utasema tooo ukomee
Huyu kwanamke apitiliza roho mbaya duh 😢😢
Jamn mm nampenda uyo mautanga wew zuzu ungejua ninavomtaka uyo kijan usingemfanyia uo upumbavu wako
Yupo amejaa tele.
Laana za mama zime anza kukufata kijana..mke jeuri
.mguu huwezi kutembea..madharau kibao
😂😂😂😂😂😂😂demu nyoka
Mautanga na bdo asiye funzwa na wazazi ufunzwa na ulimwengu kaka ulimuona mama akuwa ameona suu wako tabia zake pambana
Hayo maisha ni ww umejikalia bro
❤❤🎉🎉🎉
Kijana ulijuwa umepata na kumbe umepatikana , huyu mke wako Ana roho mbaya tena mchawi , tunawaona no movie lakini hivi kuna watu wabaya kama huyu mwanamke wako.
Zuu sura mbaya eti nae anajiita PC kali
Usgajua kaz ya mwanao
Mautange asiye skia la mkuu huvunjika mguu
Mbona bahati anafanana na zuu au ndugu
Uliyataka ndio ukumbuke usemi wa asiye sikia la mkuu u vunjika ngumu umeisha na huyo zuu wako
Zuhura Hana hata huruma ya namchukia sana
Laaana ishaanza.
Bahati jmn siutulie2 jmn
Mama ni mama ❤
Upike ama umchemshe supu pumbafu zako😏😏
Nani ameona kama mm kua zoo ndio mama ya mautanga wakumlea if iam not wrong😂
Asoskia la mamake ataskia la zuu😅😅
Mautanga😂😂
😂😂😂
Mwana kulitafuta mautanga yamekukuta
Tupo