Mungu awafanikishe tena awalinde na kuwatunza. Mimi namkubali sana Clam, Mwakatobe na washiriki wote kwani movie zao zinavutia sana. Clam asimwache Mwakatobe huyu ni binge la burudani na ni wachache sana wanaweza kumsema vizuri boss. Hadi nimetamani na Mimi nikajifunze. So ❤❤❤❤❤❤ly. Big up to all. Mungu azidi kutenda sawa na uhitaji wa mioyo yao.
Watu kama Clam Mungu awezikosa kuwapa baraka ameanza movie juzitu ila Barak anzopata nizaidi ya wale waliyo kitambo Congratulations Clam mtu anavyo towa ndivyo gisi Barak zina ongezeka acha kuskiliza wanao kusema vibaya huu niwivu maana kunakitu unacho wazidi
Kila la kheri clam nakupenda sana dogo hasa hiyo roho yako alie kujaalia Mwenyezi mungu endelea hivyo hivyo utakuja kuwa mtu mkubwa sana siku za usoni God bless you
Hata mimi mwenyewe namu kubali Vevo japo kuwa hatupo inchi moja, Mbengo, muambiye Vevo asiwe na chelewa ku post, piya muambiyeni mashabiki zake twamu penda sana kutoka DRC, 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
NAWAKUBARII SANAA, SANA!! SANA ILA TUNAOMBA MUENDELEZO WA BIG IS, TUNAOMBA MUENDELEZO ILE KALI SANA PIA MUONGEEE SPEED YA KUTOWA VIPANDE KIMOJA NA KINGINE
Mbona dada maswali meng mchawi inamana hujiongez kuwa kila m2 anaonekana kulingana na character ambayo m2 anawezana nayo,, ila we mwakatobe piga Kaz brother una talent ya kipaji sana ila me napendaga sehemu amabayo unachekaxha mana unafrahxha
Mwakatobe 🎉🎉anajua kbx MUNGU awabariki sana movie yenu❤❤❤❤❤❤from burundi muangalie mtupe numbers 4
Mungu awafanikishe tena awalinde na kuwatunza. Mimi namkubali sana Clam, Mwakatobe na washiriki wote kwani movie zao zinavutia sana. Clam asimwache Mwakatobe huyu ni binge la burudani na ni wachache sana wanaweza kumsema vizuri boss. Hadi nimetamani na Mimi nikajifunze. So ❤❤❤❤❤❤ly. Big up to all. Mungu azidi kutenda sawa na uhitaji wa mioyo yao.
Watu kama Clam Mungu awezikosa kuwapa baraka ameanza movie juzitu ila Barak anzopata nizaidi ya wale waliyo kitambo Congratulations Clam mtu anavyo towa ndivyo gisi Barak zina ongezeka acha kuskiliza wanao kusema vibaya huu niwivu maana kunakitu unacho wazidi
Kabisa
Clam amehaso kitambo fuatilia clip zake bado kadogo
Kila la kheri clam nakupenda sana dogo hasa hiyo roho yako alie kujaalia Mwenyezi mungu endelea hivyo hivyo utakuja kuwa mtu mkubwa sana siku za usoni God bless you
Clam he is the beast..and the best kwa sasa... he's ready to go extra miles kwenye jambo lake...more flowers for him
infact napenda sanaa snake boy waiting for episode 17
Aaaah upo vizur sana mwakatobe ❤
Mwakatobe the best 😘😘❤ unanipaga rahaa sana
Mwakatobe anajua sana yani kunakipande nakiludia sana pale anapo mwambia bonge amekula mtoto mchanga ata kuwapa wenzie vikolodan
😂😂😂
Vikolodan🎉🎉🎉🎉
Cram kunamda nilikuwA namchukulia pw sna Ila nimegundua WWE ni bonge la jiniazi nampenda mnoooo,🖤
Kumbe hio ndio sauti yako halisi we mchumba chojo kaa mwiko😂😂😂 kanyanyuka kama ushuziii😂😂😂😂😢😢😢😢
😂😂😂😂😂😂
😂😂na mm nashangaa
🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Mwakatobe weye kweli unajuwa sana clam Vevo pole kwaku tubebeya uyu mutu mwakatobe kutusaidiya kutuchekesha kila siku
Nakupenda sana mwakatobe 🇨🇩
from Kenya ,,,mchawi Mwakatobe ndiye bora ,,,,,,,,he is the best actor staying by his role very properly
Mwakatobe usipo act kama mchawi kuwa mganga hapo huwa wanivunja mbavu "mikazo zero"😂😂😂
Raha yankuigiza nikutumia sauti yako mashallah mwakatobe anatumia sauti yake naataenda bali kwasababu hakuna cha kubadilisha
Nakubali kazi yako mwakatobe ❤
Mm nko Kenya lkn nawapenda Sana mungu awabariki kwa kazi yenu kisha tunasubiri snake biy 4
Jamani tunakubali kazi zenu 🇺🇸
Clam vevo snake boy party 4tunaisubiria big up sanaa Kaka huna baya KAZI nzuri mungu akutangulie💯
Mungu amuongoze clam in sha Allah apate rizik ya kheri na mafanikio mema
Jamaa yupo really sanaaa hana uongo uongoo ata kidogo namkubali sanaaa afu mstaarabu kinoma 💯
Mwakatobe, clam na kipara. Mnafanya kazi nzuri.
Mwakatobe yuko fity namkubali sna uyo mwamba💥☝️big up broo👊
Umefanya vizuri baba,sisi wa congo tunakukubali mwakatobe mcumba
We bwege kumbe umenichezea chezo eeeh from baba mwenye nyumba mchawi star mwakatobe nakubali kazi zako kaka
Nakukubali sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mwakatobe ❤❤❤❤❤❤
Mwakatobe hakikaaaa unakipajiii kikubwa sana kwenye upande wa kiigiza kama mchawiii
In Real life Mwakatobe ana sauti mbaya Ila kwenye Movie sauti ipo Sawa 😅
😅😅😅😅
Kaa hukohuko kwenye uchawi na uganga tunaenjoy sanaaa Mr we Zuchuuuu tuuu mchumba tuuuuu😂😂😂😂😂❤
nipo hapa Rwanda nakupenda sana❤❤❤
Duu kawaida mwakatobe anaonesha yukompole sana hongera sana kk🇨🇦
Ilove you so much mwakatope uzidi kubarikiwa❤❤🎉
Mwakatobe ameongea point sana aisee
Nan amejua hyo blouse ya hyo mwanadada n hle ya clam vevo 😂😂😂😂😂 kudos to mwakachumbe
Ntiba uyoo mbaya sana anauwa
Alafu binti upo vizuri ktk utangazaje. Ombi langu jitahidi tu katika kutofautisha L na R
Kana auna mchuba Nipo apa msubigi nakupeda sana ❤❤❤❤❤❤
Nipo hapa Marekani Nakukubali Sana mwakatobe
Mwakatobe kumbe mpole sana
Nawakubali team nzima ya Clam VEVO ❤❤
Mwakatombe sauti zuri kweli hongera
Mwakatobi napenda film ukkiwepo wewe ❤
Mwakatobe yuko vizur big up kwake
Chukuamauwa yako mwakatobe💮💮💮💮💮🌹🥀
Mwakatobe ni hatari sana.Ninakukubari sana.
Mbona mwakatobe mnamuonea sana
Mwakatobe wanakusema unapenda marusii sana
MWAKATOBE ANAJUA SANAAAAA
MAANA DUH HATARI SANA
Hamna wewe mwakatobe ni mchawi kweli usitudanganye macho hayo Bay top one
Nakubar makatobe mwanang
Mimi nakupenda wewe Dada mtangazaji ❤ From Congo RDC
Acha umalaya kijana 😅😅😅😅😅😅
Waao nampenda sana clam vevo ...na mwakatobe kumbe sauti ndio hiyo ..ety we mchumba tu.....
Mwakatobe nakukubali sana
Mwakatobe na kundi yako ya clam vevo na akina kipara kazi yenu nzuri kuna ingine baada ya snake boy kukamilika
DA ah, mwakatobe ni fundi kbs, wewe unastaili izo skejo
Wow uyu mzee namkubali sana 😂😂😂😂😂 utacheka mbaka uchoke
Mwakatobe tupo na wewe kutoka south Africa
Kaa huko huko kweny uchaw na uganga❤❤❤❤❤
Mwakatobe dah huyu ni nomaaa yupo sawa namkubali sanaa. Anajua sanaaa
I am happy witching you from NAIROBI KENYA we zuchu tu😮
Mwakatobe anajua kiukweli
Unafaha vizuri sana mwakatobe 😂😂😂😂😂😂😂😂
Hata mimi mwenyewe namu kubali Vevo japo kuwa hatupo inchi moja, Mbengo, muambiye Vevo asiwe na chelewa ku post, piya muambiyeni mashabiki zake twamu penda sana kutoka DRC, 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
MWakatobe❤❤
we zuchu 2 saut mzur kama dada yako
Kwanini kibao wakati mtu ameshajibu khaaa
Nakubaliana nanyny
Nakukubali mwamba
Tukunyema acha urohoo😂😂😂
😂😂😂😂😂 naikumbuka hiyo
😂😂😂 umekula mtoto mchanga peke yako bila hata kuwapa wenzako vikorodani 😅
😂😂😂😂
NAWAKUBARII SANAA, SANA!! SANA ILA TUNAOMBA MUENDELEZO WA BIG IS, TUNAOMBA MUENDELEZO ILE KALI SANA PIA MUONGEEE SPEED YA KUTOWA VIPANDE KIMOJA NA KINGINE
Mbona dada maswali meng mchawi inamana hujiongez kuwa kila m2 anaonekana kulingana na character ambayo m2 anawezana nayo,, ila we mwakatobe piga Kaz brother una talent ya kipaji sana ila me napendaga sehemu amabayo unachekaxha mana unafrahxha
😂😂😂ila saut yake haijabadilika🤣🤣🤣
Mwakatobe nakukubali saana
Anaeza sana m,p Martin paul
Nampenda sana tobe naangalia toka Usa
Mwakatobe ni mnoma kwa kuigiza/ sector ya uganga/uchawi
From USA nakukubar sn kijana
host anazingua sanna mara achati hayuko seriously na kazi akeee
Utowaji wenu wa vipande unaboa lifanyieni kazi hilo
Mwakatobe mkali huyo
Hahahhahahaa mwakatobe kufa ufi chamoto unakiona kwenye big boc umeteseka huku nako unateseka hahahhahahaa
We zuchu tu ntakunyonga mpaka utoke nnye😂😂
Alafu Lein mulete Chumvimingi tafadhali atuambie jini lake lipo wapi
Mwakatobe hatari moto❤❤
Bytha film zenu uninice sana manze ,keep up😂😂😂
Mungu wangu jamaaa na kitimoto hatari aiseee
Mwakatobe nakuaminia sana
Mwakatobe, voce é grande homem
Nakukubari sana chogo ka mwiko hongera kk
Nakubarii mwakatobe
Mwakatobe ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Clam vevo the best 🙏🙏🙏🙏🙏
Ussiku ussiku wa manane nimependa iyo
Mwandishi njoo kwangu naku mind kichizi
Mwambie mwakatobe namkubar Sana toka yupo kwa nyuki tv ira aripotea hum Kat Kat nipo katav mpanda Jack pemba
Mwakatombe we ni mkal sana
Huyu jamaa namkubali sana anajuwa sana
Namkubali sana huyu mwamba😂😂😂😂
Mbn mnatoa kipande kimoja kimoja Kwa mda mrefu?
Kumbe wewe mchumba saut yako kama Zuchu 2,Nitakupelekea Moto,Hhhhhh,Broo upo juu sna,Pambania sana,tupo wengi tunakuelewa
❤daah kweli mwakatobe kwenye uchawi unafaa na unaweza