Ehee yesu kristo kupitia ushuhuda huu natangaza kufunguliwa kila mdeni wangu atanilipa kwa kasi isiyo ya kawaida na nitalipa madeni yote ninayodaiwa kwa njia rahisi sana naomba haya yote kwa imani amen
Mungu wa wamwamposa wew ndo muweza wa yte narudisha nyoya angu ulipotea narudisha pesa zangu zilizopotea narudisha mahusiano yngu yaliopotea mimi na Benjamin charles mhale tulidiane kama zamani tuwe sawa kwa jina la yesu napokea
Amina Baba nilichukua mkopo bank nikaibbiw humo kwenye a count yangu kwa kutumi cm yangu hiyo cese nimefarilia police kwa kutumia hela nyingi sana na kila mbinu lakini ckufanikiwa chochote zaidi ya kifilisika zaidi Mungu mrehemu huyu mwizi najiconnect na ushuhuda w huyu Baba.
Mtumishi wa mungu naomba maombi ya uchumi kipato changu kipande juu kisishuke na anitengenezee fraha ya kudumu kwenye ndoa yangu na familia yangu kwa ujumla
Nia njema iwe kwangu Na uzao wangu Naomba mtume bulldozer Wanitumia pesa zangu Na watu zaidi million 15 wanilipe kuanzia Leo Edita Grasiana haji chitunzi Buyegu families shalatu nawengine kakoza wanilipe kuanzia Leo
kupitia ushuuda huu walio nitapeli wote waanze kunitafutia nakunilipa alaka reo wote nawaweka mazabaoni ya inuka uangaze wote madalali kila moja aludishe ela zangu
Arise and shine ,naomba naimi ple huyu nduku alirengeshewa maisha yake,na mie uchumi wangu uinuke,naniweze kufaindika zaindi.
Ehee yesu kristo kupitia ushuhuda huu natangaza kufunguliwa kila mdeni wangu atanilipa kwa kasi isiyo ya kawaida na nitalipa madeni yote ninayodaiwa kwa njia rahisi sana naomba haya yote kwa imani amen
Ewe mwenyezimungu na mimi nifungue kiuchumi na familia yangu yote tufungue kila eneo la maisha katika jina la yesu ameeeeeeeen
Eee mwenyezi mungu naomba pesa niliodhurumiwa na boss wangu naomba kupitia ushuhuda huu nilipwe fedha zangu
Mungu wa wamwamposa wew ndo muweza wa yte narudisha nyoya angu ulipotea narudisha pesa zangu zilizopotea narudisha mahusiano yngu yaliopotea mimi na Benjamin charles mhale tulidiane kama zamani tuwe sawa kwa jina la yesu napokea
Nataka kupitia ushuhuda huu biashra yangu ikagomanie na wateja kiurahisi xana amina
Niponywe magonjwa yote kwa Damu ya YESU KRISTO AMINA ndoa yangu irudi na nanikafunguliwe vifungo vyote nanikahexhimike xehem zote AMINA
Bwana Yesu asifiwe mm pia napitia majarb mangum mnoo nadaii watu 6 hata hawa fikirii kunilipa nanaimani madhabahu hii itaniokoa
Natakq kupitia maombi haya biashara yanguu iromba nie na wateja kwenye biashara yanguu kiurahisi xana amina
Mungu kamguse mumewangu atukumbuke uko aliko ajue anamke na mtoto atutafute ee. Mungu nisaidie
Ameen napokea katika Jina la yesu kristo
Namm nifunguliwe tumbo langu kwajina la YESU
Ameen baba naomba niombee ninapita pagumu sana
Najiungamanisha na madhabahu hii
Amina Baba nilichukua mkopo bank nikaibbiw humo kwenye a count yangu kwa kutumi cm yangu hiyo cese nimefarilia police kwa kutumia hela nyingi sana na kila mbinu lakini ckufanikiwa chochote zaidi ya kifilisika zaidi Mungu mrehemu huyu mwizi najiconnect na ushuhuda w huyu Baba.
Lazima nitembee chini ya mbingu zilizo funguka mwaka 2024
Amina baba
Narejesha Mali zangu zooooote
AMEEEEEEEEEEEEEEEEE
Mtumishi wa mungu naomba maombi ya uchumi kipato changu kipande juu kisishuke na anitengenezee fraha ya kudumu kwenye ndoa yangu na familia yangu kwa ujumla
arivyopokea iwesawasawa namimi moyoni mwangu😂
Napokea kupokea biashara yangu, na kukataa kufanya biashara hewa
Amen 🙏🏾
Mungu rejesha afya yangu rejesha password yangu ,rejesha kila nilichodhulumiwa
Ameni
Mungu yoyote ninae mdai akanilipe pesa zangu zikapige kelele
Amen
Ameeen napokea
Napokea uponyaji was biashrq kiurahisi xana ameni
Mungu fungua uchumi wa mume wangu
Nataka walipo niweka kwenyemito na majumba makubwa
Asante Bwana Yesu
Naombn nmba nahtj maomb
Nia njema iwe kwangu Na uzao wangu Naomba mtume bulldozer Wanitumia pesa zangu Na watu zaidi million 15 wanilipe kuanzia Leo Edita Grasiana haji chitunzi Buyegu families shalatu nawengine kakoza wanilipe kuanzia Leo
Ameen
kupitia ushuuda huu walio nitapeli wote waanze kunitafutia nakunilipa alaka reo wote nawaweka mazabaoni ya inuka uangaze wote madalali kila moja aludishe ela zangu
Amen
Ameen
Amen
Amen