Ndug zangu kun vitu vingne sio ya kupigia makofi ni ya kusikitika ukiona kiongozi anasungumzia vitu ambavyo vimekuwa ni wimbo kwa kila kiongozi anaekuja na haitekeleswi,sio kushangilia ni kusikitika basi,
Hakika nimeamini elimu ni ukombozi wa kila mtu,ila wilaya yetu hii vipofu ni wengi wanaotuongoza,vitu vingine tunaambiwa tu majukwaani vitendo ni ziro halafu na nyie mnapiga makofi,mradi wa maji wa miaka ya 70 inafanyiwa kampeni mpaka miaka ya2024 na bado haijakamilika na bado mnapiga makofi kweli au mnaigiza
Nzuri sana
Ndug zangu kun vitu vingne sio ya kupigia makofi ni ya kusikitika ukiona kiongozi anasungumzia vitu ambavyo vimekuwa ni wimbo kwa kila kiongozi anaekuja na haitekeleswi,sio kushangilia ni kusikitika basi,
Vipi mkuu
Nice one
Hakika nimeamini elimu ni ukombozi wa kila mtu,ila wilaya yetu hii vipofu ni wengi wanaotuongoza,vitu vingine tunaambiwa tu majukwaani vitendo ni ziro halafu na nyie mnapiga makofi,mradi wa maji wa miaka ya 70 inafanyiwa kampeni mpaka miaka ya2024 na bado haijakamilika na bado mnapiga makofi kweli au mnaigiza