CCM FUATENI KATIBA YENU.AWAMU YA TANO WAMEGEUKANA USALITI WATAWALAMAMA ANAMALIZA MHULA 2025.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 98

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 3 місяці тому +2

    Amina Mtumishi wa Mungu. Umenena kweli

  • @PauloMiage-m1x
    @PauloMiage-m1x 3 місяці тому +6

    😂😂😂😂😂 Huyo bwana ammalize tu huyo mwanamke leo mana kesho ni mbali sana afie mbali

  • @JosephYagodoka
    @JosephYagodoka 3 місяці тому +4

    Safi sana mtumishi wa mungu wambie ukweli tena wachane ukweli hii ni awamu ya 5 sio ya 6 bwana

  • @CafeJohn-jz8ri
    @CafeJohn-jz8ri 3 місяці тому +3

    Namajariwa achukuwe kweli hapo umeongea poiti

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 3 місяці тому +5

    Tunalihitaji hilo jambo litokee hata sasa.tumechoshwa na utawala wa hovyo

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 3 місяці тому +5

    Umesema ukweli kabisa, amalizie aondoke 2025 Big nooo

  • @nanubob1969
    @nanubob1969 3 місяці тому +3

    Ni kweli kabisa. Mama anamalizia muhula wa tano uliokuwa umaliziwe na Hayati Magufuli. Akimaliza muhula huu uchaguzi ufanyike wa kumpata raisi wa awamu ya sita. Muache uroho wa madaraka!!!!

  • @dorothymbuere5236
    @dorothymbuere5236 3 місяці тому +1

    Duh Unbelievable Unbelievable? Sasa nimekuelewa . Msemaji huko Vizuri sana sana .Na nilikuwa sikuelewi na maneno yako. Sasa nimekuelewa vizuri kabisa. Duh Maono yako unapewa ni ya maana sana sana. MUNGU akuonyeshe zaidi tufahamu.Ubarikiwe.

  • @nzungushikombesekei
    @nzungushikombesekei 3 місяці тому +3

    CCM wanachanganya Sana hiyo awamu ya 6 ilitoka wapi. Uchaguzi upi ulimtawaza makamu wa Rais Samia. Sina shaka Mtumishi wa Bwana amesema kweli ifike wakati muone aibu. Mnalindana ili muendelee kula mema ya nchi hii. Huu mkate ni wetu wote mwachane Samia Ang'atuke hatuna awamu ya sita(6)

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 3 місяці тому +3

    Mtumishi tuna CCM GENGE la wahuni majizi wauaji, wanatawala wale wenyewe 😢kingine wametuulia marais wetu

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 3 місяці тому

      Acha kuongea pumba wewe selikali itachukuwa mkondo wake

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x 3 місяці тому +3

    Asnt samia hatujamchagua hivyo aondoke mara moja ccm wezi wanamtaka samia kw vile wakiiba anawatukana tu wezi wanapeta

  • @brightergermanus2163
    @brightergermanus2163 3 місяці тому +1

    NI UKWELI USIOPINGIKA WALIKUWA WAWILI MAGHUFULI NA SAMIA SULUHU . MAGHUFULI AMETANGULIA MBELE ZA HAKI NA SAMIA AMEBAKIA KUMALIZIA AWAMU YAO YA TANO HALO NI KWELI NA NI SAHIHI KABISA TUIHESHIMU KATIBA AMIN AMIN

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 3 місяці тому +2

    Huyo mwanaume ni yule jizi mkuu Kikwetu.

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 Місяць тому

    Mimi nashangaa eti awamu ya sita mpaka viongozi wakuu wa nchi wananena hivyo sijui kwa katiba ipi na uchaguzi upi wakati ni awamu ya tano.
    Hata hivyo mtumishi niliwahi kumuota huyu mama samia yupo shambani analima wakati anaendelea kulima jembe likampiga mguuni akaumia kisha akalitupa chini naye akachechemea na kukaa chini akashindwa kuendelea kulima.

  • @evelina9621
    @evelina9621 3 місяці тому

    Mtumishi.nena.nawatu.wengine.mbona.hasikie.mama.anawaruhusu.?waporajo

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 3 місяці тому +1

    Amen, itokee hata sasa.

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 3 місяці тому +1

    NI KWELI NI KWELI KABISA ASKOFU SIKUPINGI

  • @evelina9621
    @evelina9621 3 місяці тому

    Kweli.muda.wa.awamu
    6.amekwisha.ccm.inataka.nn.au.

  • @user-mo3ik6go6r
    @user-mo3ik6go6r 3 місяці тому

    Hachana nalo Hilo ni genge

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 3 місяці тому

    Kwa Mungu unataka kweli ama umamuomba?

  • @evelina9621
    @evelina9621 3 місяці тому

    Wazee.wataota.ndoto.vijana.watatabiri.ndoto

  • @PauloMiage-m1x
    @PauloMiage-m1x 3 місяці тому

    Asante kabsa na tumeshamchoka ata kabla ya hizo miaka yote hyo si nchi yote itauzwa

    • @LukmanAbdul-qp8id
      @LukmanAbdul-qp8id 3 місяці тому

      Na we km umechoka Hama nnchi pale hamujamueka nyinyi ni mungu t na roho mbaya zenu zitawaponza

    • @PauloMiage-m1x
      @PauloMiage-m1x 3 місяці тому

      @@LukmanAbdul-qp8id 😀😀😀😀😀 atahama uyo ambae sio wa Tanganyika uhame kisa nin ukisema ukweli mtu anakuchukia yanini kama wew ndugu zako hawajabomolewa nyumba na kufukuzwa au la bandari wewe mzenji washangilia sanaa

    • @LukmanAbdul-qp8id
      @LukmanAbdul-qp8id 3 місяці тому

      Huyu ha hami bado asaaa km utakufa wat watakuzika na watakusahau saiv zam yet washapita wengi

    • @PauloMiage-m1x
      @PauloMiage-m1x 3 місяці тому

      @@LukmanAbdul-qp8id hata wew pia utakufa kwani iko nin

    • @LukmanAbdul-qp8id
      @LukmanAbdul-qp8id 3 місяці тому

      Kapita mkapa kaja kikwete ,kaja magu, so hajasema mtu ila kwakua saiv anaeongoza ni mzanzibar bx roho zinawauma kwa uchoyo

  • @dianamakyara4210
    @dianamakyara4210 3 місяці тому

    Amina,mtumishi wa Mungu🙏

  • @user-nr6if7jo5r
    @user-nr6if7jo5r 3 місяці тому

    Naomba msikizeni anacho sema nimambo ya ulimwengu wa Roho kazi yetu nikusikiliza siyo .mjumbe hauwawi

  • @evelina9621
    @evelina9621 3 місяці тому

    Nena.mtumishi.nena.na.mwingine

  • @user-nz9eb4ud6y
    @user-nz9eb4ud6y 3 місяці тому +1

    Usisemeseme watabadilika achana nao

  • @evelina9621
    @evelina9621 3 місяці тому

    Wananchi.wanasemaje.rais.ekemee.vitendo.vibaya.sasa..aachie.wana.ccm

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 3 місяці тому

    Vitu vimepanda Bei samaki bati nondo cement umeme maji mafuta ya mahari mafuta ya kula gesi ya kupikia misumali matofali wambieni c c m

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 3 місяці тому

    UWEZIKUFOSI WATANZANIA WAMUWEKE MAMA SAMIA

  • @kassimmwawado7002
    @kassimmwawado7002 3 місяці тому

    Cabbage +Eggs =? 20:20

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 3 місяці тому

    Kweri kabisa mana kunagenge la mafisadi wanataka wamutumie kuwalinda

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 3 місяці тому +2

    Achana na CCM vyama ni vingi chagua cha kujiunga nacho au kama vyote havifai unda chako. Sio LAZIMA kufuata ushauri wa yoyote. Katiba ya CCM inaruhusu mwanachama mwenye sifa agombee nafasi yoyote.
    Rais Samia yupo madarakani kwa Ibara ya 37(5) na Ibara ya 40(4) imeweka muda kwamba aliyeshika madaraka kwa ibara ya 37(5) kama muda alioshika ni zaidi ya miaka 3 atakuwa na nafasi ya kugombea tena kipindi 1 lakini ikiwa sio zaidi ya miaka 3 ndio atagombea vipindi 2. Hivyo ni SAHIHI Rais Samia kugombea na kipindi 1 tu.
    Nakushauri zungumza unachokielewa. Mungu akupa ndomo mmoja na masikio mawili, maana yake sikiliza zaidi kuliko kusema.

    • @nenolauzima5281
      @nenolauzima5281 10 днів тому

      Ndugu hujamuelewa mtoa mada, hapingi Hilo uliloandika ila anataka ushindani wa haki.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 місяці тому

    Hakika ni Maonyo juu ya watawala Ebr5:11-14

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 3 місяці тому

    WANAONA KAMA WATANZANIA WAJINGA ETI AWAMU 6 PUMBAVU

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-96 3 місяці тому

    imeeleweka 🎉

  • @neemamakundi6407
    @neemamakundi6407 3 місяці тому

    Shalom mtumishi, hiyo instrument inayppigwa kabla ya kuanza kuongea imepigwa na nani?? Please

  • @rechomoris1325
    @rechomoris1325 3 місяці тому

    Unabii umeanza tutasikia kila kona unabii ukitolewa

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 3 місяці тому

    Viongozi wa c c m msijifanye miungu watu Tanzania ni mali ya watu wote wafanyakazi wa sekta binafisi na wafanyakazi wa umma na wakulima na wafanya biashara

  • @YoelLufunga
    @YoelLufunga 3 місяці тому

    Kasome vizuri katiba ya Tanzania.

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 3 місяці тому

    Peleka ubabaifu wenu mara tunataka rais mlokole sadaka hazitoshi

  • @donaldfrancissassa8360
    @donaldfrancissassa8360 3 місяці тому

    HUU NI UĶWELI MCHUNGU! WAMEJAA UNAFIKI! WANENAYO SIYO WATENDAYO. NA HUU NDIYO MWISHO WA UNAFIKI . YA ALMARUHUMU SHEIKHE YAHAYA HUSSEIN ALIPOTABIRI 2009.

  • @RehemaMtono
    @RehemaMtono 3 місяці тому

    Wasituharibie nchi yetu wakumbuke yakuwa TANZANIA NI NCHI YA AGANO

  • @YekoniaKusiluka-jt2ju
    @YekoniaKusiluka-jt2ju 3 місяці тому

    Katiba haisemi hivyo unapokuja kwe vitiv vyenu muwe mnakuja na utafiti wenu uliokamolika kasome katiba vzr

  • @estherynyagawa6839
    @estherynyagawa6839 3 місяці тому

    Kwa mujibu wa Katiba ya nchi kipindi hiki anachotawala Rais Samia kinahesabika ni kipindi chake cha kwanza na anaruhusiwa kuongeza kipindi kingine kimoja tu cha miaka 5. So akichaguliwa tena mwisho wake wa kuongoza ni 2030 .

  • @LukmanAbdul-qp8id
    @LukmanAbdul-qp8id 3 місяці тому

    Huyu kaekwa na katiba ya union so acheni roho mbaya mbona yy haendesh tanganyika wala zanzibar hapo anaendesha Tanzania

  • @brownmasai774
    @brownmasai774 3 місяці тому

    Umenena Mtumishi. Wana-CCM, kama wapo na wanajiona wanazo sifa wapewe fursa ya kugombea. Muhula wa awamu ya 5 - 2020 - 2025, umekwisha. CCM wasituvurugie Katiba ya Taifa. Mwisho wa uongozi wa Rais Magufuli, kikatiba, ilikuwa 2020 (5 years); baada ya hapo mtanzania yeyote (hata mwana+CCM) alikuwa na haki ya kugombea. Membe (+) alipokwa haki na CCM. Samia ni rais ktk awamu ya 5, sio Rais wa AWAMU YA SITA. Ashindanishwe na Wana-CCM wenziwe (kwa huo "UTAMADUNI" wao,) kugombea urais wa AWAMU YA SITA. Hivyo ndivyo Katiba ya Tanzania isemavyo.

  • @AffectionateFood-rz5sv
    @AffectionateFood-rz5sv 3 місяці тому

    Mtumishi wa mungu sikuelewi hapo unahubiri neno la bwana au umelishwa matamko?
    Katiba ya nchi,katiba ya chama na kitabu cha dini hapo unatumia ufahamu wako kutukoroga!
    Hii ni awamu ya sita kipindi cha kwanza inayoishia 2025
    Awamu ya tano ilimalizika kwa mujibu wa katiba ya nchi na samia alipatikana kwa matakwa ya katiba ya nchi.

  • @petermatiko
    @petermatiko 3 місяці тому

    Wambie huo ndiyo ukweli

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 3 місяці тому

    Kumbe wewe si nabii wa kweli samia alichaguliwa? Kwa taarifa yako sisi hatumtaki tuulize kwa nini hatumtaki kama unamngangania kaa naye wewe akutawala muuji we nabii wa uongo

  • @wirangamochemba7063
    @wirangamochemba7063 3 місяці тому

    Managing wa uongo wamewasili hamna lolote hapo

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 3 місяці тому +1

    Naona umeongea kwa mafumbo umechoka ss unajitangaza wazi ww ni sukuma gang

    • @PauloMiage-m1x
      @PauloMiage-m1x 3 місяці тому

      Wewe nawe umejichokea kwahyo wew samia geng vip uyo unamtetea auze nchi au ya ngorongoro na bandari hayajatosha eti😊

    • @LukmanAbdul-qp8id
      @LukmanAbdul-qp8id 3 місяці тому

      Nyinyi hamuna akili hakiamungu samia samia kakukera kit gan ww au umempa kura yako au anaongoza tanganyika yko au zanzibar yko huyu yupo kwaajil ya Tanzania kwaio kausha anajua nin anafanya ivo kusema sema ni roho mbaya na chuki

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 3 місяці тому

    Huyu ni mchungaji wa chadema

    • @dionismutayoba3542
      @dionismutayoba3542 3 місяці тому

      Ametaja wapi chadema?Sikiliza hoja,pinga hoja kwa hoja acha ujinga

    • @SaugoNdemo-tx4le
      @SaugoNdemo-tx4le 3 місяці тому

      Thibitisha...Soma katiba ndg yangu...

  • @yohanampangule8817
    @yohanampangule8817 3 місяці тому

    CCM HAWAJAKATAZA KUCHUKUA FORM NDUGU ,ANAYEJIAMINI ANACHUKUA TU.

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 3 місяці тому

    WEWE NI NDEZI KAMA WENZAKO HAO CHADEMA UNAJIFICHA KTK DINI KUMBE NI CHADEMA.....WADANGANYE HAO MBUMBUMBU WENZENU WA CHADEMA....TUNGEKUONA WEWE NI MTU WA MAANA KAMA UNGEANZA KUUKOSOA UHUNI WA CHAMA CHAKO CHA CHADEMA KWA KUMWAMBIA MBOWE AACHIE UENYEKITI KWA WENGINE NDO TUONE KAMA KWELI HUKO KUNA DEMOKRASIA...

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 3 місяці тому

    AWA WAZEE KAMA WATOTO WADOGO ETI AWAMU YA SITA PUMBAVU

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 3 місяці тому

    Makamba anatakiwa ashitakiwe alitangaza kuvunja katiba hazalani

  • @luciadominik1626
    @luciadominik1626 3 місяці тому

    Nimeshaekewa

    • @LukmanAbdul-qp8id
      @LukmanAbdul-qp8id 3 місяці тому

      Ww na hao wapumbav wenzio munao tiana pumba km mama afe au amalize huyu hatoki hadi amalize miaka10 uchoyo t

    • @LukmanAbdul-qp8id
      @LukmanAbdul-qp8id 3 місяці тому

      Utanzania ni yet sote ujinga t na roho mbaya

    • @luciadominik1626
      @luciadominik1626 3 місяці тому

      Sasa jmn josa langu mm nimesema nimeelwa na kwa taarifa yako TU nikwmbie mama Wala Hafi utasubiri sana

    • @luciadominik1626
      @luciadominik1626 3 місяці тому

      Sasa jmn josa langu mm nimesema nimeelwa na kwa taarifa yako TU nikwmbie mama Wala Hafi utasubiri sana

    • @LukmanAbdul-qp8id
      @LukmanAbdul-qp8id 3 місяці тому

      Kuna mijitu nimeikusudia humu ni mijinga sio ww yan hayajui maana ya Tanzania yapo yapo t

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 3 місяці тому

    MUNGU HAWEZI KUMWONGOZA MTU MUONGO NA MGANGA KAMA WEWE....WEWE SI MCHUNGAJI BALI NI MGANGA

  • @ramadhaniathumani1025
    @ramadhaniathumani1025 3 місяці тому

    Mkojani FC na pk!!?najaribu!

  • @user-nz9eb4ud6y
    @user-nz9eb4ud6y 3 місяці тому

    U