Hawa wote waliopo hapo ni wapumbavu na wanaanekana hawawezi kuzuiya matumbo yao pale njaa zinapo wauma sasa watu kama hawa huwa matumbo yao yanatoshelezwa na mchanga watakao fukiwa nao kwenye makaburi yao wamuogope allaah na watubu kwake bila hivyo wakifa kwenye hali hii wanaenda motoni
Mungu tusaidie nn hki
Hatua ya hatariii kwenye kuchanganyikiea
Serikali weka jicho kwa huu utititiri kuna kitu nyuma ya pazia
Hawa wote waliopo hapo ni wapumbavu na wanaanekana hawawezi kuzuiya matumbo yao pale njaa zinapo wauma sasa watu kama hawa huwa matumbo yao yanatoshelezwa na mchanga watakao fukiwa nao kwenye makaburi yao wamuogope allaah na watubu kwake bila hivyo wakifa kwenye hali hii wanaenda motoni
bahat mbaya nimwone mke wangu hapo nyumban hapatalalika
😂
Binafsi sioni kama ni udhalilishaji kwani wameshikiwa fimbo hao mbona wana rahasana.
Njaa syo udhalilishaji huo. Bali taifa limezalilika taifa lawatu wa njaa kali. Tan 5 watu wote hao
Wengine wala sio njaa wanachangamkia fursa pesa ya bajeti inaenda kwenye vikoba