WAZIRI MWIGULU ACHARUKA KUHUSU DENI LA SERIKALI/ MSIPOTOSHE WATU/ HAKUNA ATAKAYEDAIWA NYUMBANI KWAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 чер 2024
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

КОМЕНТАРІ • 22

  • @user-jm7qj6kx8c
    @user-jm7qj6kx8c 3 дні тому +3

    Huyu mtu aisee anahisi watanzania ni wajinga sana aisee

  • @franciscokalele3567
    @franciscokalele3567 3 дні тому

    Akasema farijianeni kwa maneno haya...akapita akaenda zake😊

  • @EmmanuelIbrahim-wo8gm
    @EmmanuelIbrahim-wo8gm 3 дні тому

    sijui ni kwann ninamchukia sana huyu mwambaa

  • @richardnott4403
    @richardnott4403 3 дні тому

    Sasa mnakopo iweje wakati tuna kila kitu

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 День тому

    Hakuna atakae gongewa mlango lkn atagingewa tozo, mafuta ya petrol, diesel bidhaa za viwandani na nauli kupanda kupanda bei huko ndio kugongewa hodi

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e 3 дні тому

    Tunakopa pesa tunapeleka wap? Je msururu wa kodi na tozo hapa tz niwann wakat tunakopa? Miradi gan ya maendeleo ambayo kwa tozo na kodi zetu zingeshindwa?

  • @user-ek7nu1qc8g
    @user-ek7nu1qc8g 3 дні тому

    Kwani wafanya biasha si wengi akichukua moja moja si hela ni nyingi ase

  • @LasuliAsumani
    @LasuliAsumani 3 дні тому

    Hebu angalieni nchi zingine zinavyo lipisha kodi na zime endelea kuliko sisi mbali sana
    Na upende wa Rasilimali pia wanazo chache kuliko sisi wengine hawana kabisa

  • @charlesmtangi9046
    @charlesmtangi9046 3 дні тому

    Huu ni upuuzi kabisa kwaiyo unawaaminisha watanzania kuwa ili uendelee lazima ukope????😂😂😂😂

  • @user-hd4jl4vy2x
    @user-hd4jl4vy2x 3 дні тому

    Mwigulu sisi watanzania tunalipa kupitia bidhaa za kikodi mwigulu

  • @khamisshaban4703
    @khamisshaban4703 3 дні тому

    Nan atakaye lipa kama sio maan ss ndio watowa kodi

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 3 дні тому

    Niniiii niiiiii lokhooo likooo mbwaa mmoja.. kwahiyo china inadeni kubwaaa

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 3 дні тому

    Achaneni na kukopa maana hatuna janga linalofanya watu waokolewe kwa hiyo

  • @LasuliAsumani
    @LasuliAsumani 3 дні тому

    Kyanite hela mnazo toza TPA TRA bandari mnapeleka wapiiii kwanza ni nyingi
    Nyie mme uza Rasilimali zote nchini sasa mna sumbua wafanyabiasaha

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 3 дні тому

    Waambie Hawa mapimbi yaaani Tanzania ni Nchi ya Nongwa ukiwa na fedha utaambiwa fisadi au freemason

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 3 дні тому

    Nakuelewa sana mchemba songa mbele

  • @LasuliAsumani
    @LasuliAsumani 3 дні тому

    Kyanite hela mnazo toza TPA TRA bandari mnapeleka wapiiii kwanza ni nyingi
    Nyie mme uza Rasilimali zote nchini sasa mna sumbua wafanyabiasaha

  • @LasuliAsumani
    @LasuliAsumani 3 дні тому

    Kyanite hela mnazo toza TPA TRA bandari mnapeleka wapiiii kwanza ni nyingi
    Nyie mme uza Rasilimali zote nchini sasa mna sumbua wafanyabiasaha

  • @LasuliAsumani
    @LasuliAsumani 3 дні тому

    Kyanite hela mnazo toza TPA TRA bandari mnapeleka wapiiii kwanza ni nyingi
    Nyie mme uza Rasilimali zote nchini sasa mna sumbua wafanyabiasaha

  • @LasuliAsumani
    @LasuliAsumani 3 дні тому

    Kyanite hela mnazo toza TPA TRA bandari mnapeleka wapiiii kwanza ni nyingi
    Nyie mme uza Rasilimali zote nchini sasa mna sumbua wafanyabiasaha

  • @LasuliAsumani
    @LasuliAsumani 3 дні тому

    Kyanite hela mnazo toza TPA TRA bandari mnapeleka wapiiii kwanza ni nyingi
    Nyie mme uza Rasilimali zote nchini sasa mna sumbua wafanyabiasaha