Madam Flora - Wakati Wake Official Video
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Verse
Wakati wa kucheka ni furaha unasahau kama kuna machozi,
Wakati wa kulia ni huzuni unasahau kama kuna kucheka,
Lakini kwa kila jambo usisahau kwamba yupo Mungu,
Lakini kwa kila jambo usisahau kwamba yupo Mungu,
Ooh kila jambo,kila jambo
Kila jambo na wakati wake,
kila jambo,kila jambo
Kila jambo na wakati wake
Chorus..
Eih kila jambo...
Wakati wa kucheka na wakati wa kulia,
Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa kila jambo,,
Wakati wa kunyamaza na wakati wa kunena kila jambo
Kila jambo kila jambo
Kila jambo na wakati wake
..
Verse
Ukiona mwenzako analia usifurahi maana atacheka tena,
Ndugu yako akianguka usifurahi atainuka tena,
Maana kuna wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga,
Lakini kwa kila jambo usisahau kwamba yupo Mungu..
Chorus..
Ooh kila jambo, kila jambo kila jambo
Wakati kuzaliwa na wakati wa kufa kila jambo,,
Wakati wa kunyamaza na wakati wa kunena kila jambo..
Kuna wakati wa vita na wakati wa amani, kila jambo..
Kila jambo kila jambo
Kila jambo na wakati wake...
Verse..
Rafiki usiogope, unayopitia utasimama tena,
Neno la Mungu linasema, hata uanguke mara saba, utasimama tena,
Ndoto kubwa haikosi maneno, kusalitiwa, kudhihakiwa,
Ndoto kubwa haikosi maneno, kusalitiwa, kudhihakiwa,
Lakini neno la Mungu liko palepale, palepale utasimama tena,
Lakini neno la Mungu liko palepale, palepale utasimama tena....
Chorus..
Oooh kila jambo, kila jambo, kila jambo,
Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, kila jambo,
Wakati wa kunyamaza na wakati wa kunena, kila jambo,
Wakati wa kulia na wakati wa kucheka
Kila jambo, kila jambo, kila jambo na wakati wake,
Kila jambo, kila jambo, kila jambo na wakati wake
Kila jambo, kila jambo,
Kila jambo na wakati wake
Amina kubwa kabisa Asante Yesu
🎉🎉🎉🎉GOD BLESS
Barikiwa sana kazi yako njema sister
Amina mtumishi wa mungu
Nice Song Mumy Mungu Akuinue Sana Nimebarikiwa
Amen Amen Amen Amen 🎉🎉
Hongera sana wimbo umenibariki
Amina dada mungu ndo Kila kitu katika maisha haya wimbo huu unagusaa 😥❤️🙏 2023
Hawa ndio waliokoka kavaa vzur nyimbo , imetulia Ina upako mpaka raha ya wokovu unasikia
Kila Jambo na wakati wake
Ubarikiwe sana ndugu katika Kristo wimbo unaujumbe mzuuri sana huu hivi mtu akihitaji huduma anakupataje
Duuu nlikuwa naisubir hyo saut ya mwishon inanibariki xana madam
Madam frora
Mi Naomba nyimbo za albamu ya Usilie tena. Naomba mama madam flora.
Nakupenda Florah
Ni kweli.
Huu wimbo unanifanya nikumbuke ahadi za Mungu maishani mwangu
M blessed
Nimebarikiwa na huu wimbo mungu akuinue mtumishi
🙌🙌😭😭 God....
Mungu nifufuke roho yangu ilie kufa
Ujumbe mzuri unanifariji sana
Mwimbo mzuri sana,hongera sana my dear
Ndoto kubwa haikosi Maneno Maneno ............ kusalitiwa
Nakupenda sana siku zote
waooh nilisubiri sana video hii.Mungu akuinue zaidi Flora
nyimbo nzuri sn. mungu akubariki.umeitendea haki sana. niliona ukiimba siku ya harusi yako pale mwanza nikatamani sana uitoleee video yake mapema. ubarikiwe sana madam flora.
Yohana daniel
Barikiwa my dear kwa kaz nzur
Hakika kila jambo na wakati wake
Kazi njema BWANA akuinue
Amina dada Kila Jambo na wakat wake
This song is so good likes please woow❤. GOD BLESS YOU
Barikiwa
Usisahau mwanito
Hakika kila jambo na wakati wakeee🙌🙌
Wow Hongera my dada wimbo n baraka sana sana
Amina madam Flora ole wake anayekuhukumu ambaye hawezi hata kukuumbia sikio songa mbele hapo ulipo ndipo Mungu alitaka uwe hapo.
hi, just found you too
Kazi nzuri
Ammmennnn......wimbo umenibariki mno
Waooo kazi nzuri
nmepnd nyimbo nzuri
✌🏾❤️
Ubarikiwe sana dadangu Mungu yu mwema sana
Kazi nzuri sana barikiwa.
wimbo mzuri madam... sauti imepoa hadi raha... Ubarikiwe sana nakupenda madam frolah😍
Real sauti Mungu amempa ya kiutumishi kbs
Ameeeeen
Ameen...
Nampenda huyu mdada mbarikiww na huu wimbo
Ajidhaniaye amesimama aangalie asianguke
hongera dada kweli kila jambo na wakati wake
Nice madam frola
hongera ,wimbo mzuri unanifariji
Waooooow, hakika mungu ameweka kitu ndan yako, madam
Amen Kila jambo na wakat wake. Barikiwa mtumish
Amina Dada frorah mungu akubariki
So good
Ujumbe makini na wa uponyaji
Barikiwa sana
Mungu akuinue zaidi na zaidi.
Huu wimbo unanibariki sana Madam Flora
Amen Hakika kila jambo na wakati wake Mungu akubariki Madam
Here I am again..after 4 years 😢
Lakini Neno la Mungu liko pale pale...utasimama Tena 😭
Huduma nzuri dada ake mungu akubariki sana umenitia moyo sana,usifurai mwenzio akilia maana atacheka tena🎸🎸🎸🎸
Hongera sana Dada wimbo mzuri sana...
Hiii nyimbo huwa inaniiinua. Mung u akubarki Sana mmy
Imetulia nzuri sana
ubarikiwe madam wimbo mzuri beat limetulia mno
Katika kuanguka kuna kusimama tena, kila jambo kwa wakati wake🙏
Hakika Kila jambo na wakati wake.thanks for this
From Kenya...Julia salim...I'm blessed may God bless you more florah
Amen
Barikiwa Sana dada wimbo mnzuri umenigusa sana
Hakika kila jambo na wakati wake uzidi kubarikiwa Madam Flora kwa kazi njema kama hii
Asante Yesu. Ninamomba Mungu akubariki madam
Kweli kila Jambo na wakati wake.
Asante Dada wimbo mzuriii
Wimbo mzuri balaaa Mungu akutunze
mrs mpeta.... love u madam... kila jambo langu lililopangwa na mungu juuu yangu lina wakat wake.
Huu wimbo unanibariki Sana ,pamoja na magumu ninayopitia Ila naamini no wakati tu kuna mahali naenda.
Barikiwa Sana Kila Jambo na wakati wake
Nimekukubari sana madam songa mbele
Wowwwww wewe ni mama wa shoka
hapo sawa F kwa utulivu huo Mungu akutangulie🎹🎸
Nyimbo nzuri
Hongera madam,inuka tena kwa jina la Yesu
Well done ma mdogo, encouraging song. KILA JAMBO NA WAKATI
WAKE.
Amina sana madamu wimbo mzuri unanitia moyo n nguvu
Kilajambo na wakati wake... Nasubiri wakati wangu Amen
Kuimba unaimba sana ...good job madam ♥️♥️
Wimbo mzuri
Ila ulijishushia heshima
Kwa yaleeeeeeeeeeeeeeeeeee
Baraka wewe ni mungu kwamba unamfahamu MTU na matatizo anayopitia mkpa kuamua kufanya hivyo
Mmemkazania huyu dada,je mnamjua vizuri huyo alikuyekuwa anajiita Mume wake?na je unaelewa mume sahihi anakujaje?je umewahi kujua huyu dada aliolewa akiwa na umri gani na akili za aina gani?#noresearchnorighttospeak#
as i do not understand the language but the voice is unique and the song is a hit
I real like your songs.. You have a nice voice .. God bless you.
Sauti mummy inanibariki...maneno ya wimbo mazuri Sana...barikiwa zaidi♥️
God i bless your name. Kazi nzuri sana Madam Flora
Wimbo mzuri sana😍
Kila jambo na wakati wake... am so blessed by this song.. 🙌🏾
Amen amen👏🤝🌹
Good song stay blessed Dada flora
Nice song
Jamani nimeikiliza huu wimbo siku tano baada ya hapo kijana wetu wa kazi akafariki chumbani bila ya Sisi kujua siku ya pili kumfuata tayari ameanza kuharibika jamani huzuni ni nyingi sana alikuwa haumwi hata ukucha, duuu kila Jambo na wakati wake huzuni imetawala Mungu atusaidie
Poleee sana Mungu ndio muweza kwa majira yote
Kila jambo