Madam Flora - Wakati Wake Official Video

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024
  • Verse
    Wakati wa kucheka ni furaha unasahau kama kuna machozi,
    Wakati wa kulia ni huzuni unasahau kama kuna kucheka,
    Lakini kwa kila jambo usisahau kwamba yupo Mungu,
    Lakini kwa kila jambo usisahau kwamba yupo Mungu,
    Ooh kila jambo,kila jambo
    Kila jambo na wakati wake,
    kila jambo,kila jambo
    Kila jambo na wakati wake
    Chorus..
    Eih kila jambo...
    Wakati wa kucheka na wakati wa kulia,
    Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa kila jambo,,
    Wakati wa kunyamaza na wakati wa kunena kila jambo
    Kila jambo kila jambo
    Kila jambo na wakati wake
    ..
    Verse
    Ukiona mwenzako analia usifurahi maana atacheka tena,
    Ndugu yako akianguka usifurahi atainuka tena,
    Maana kuna wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga,
    Lakini kwa kila jambo usisahau kwamba yupo Mungu..
    Chorus..
    Ooh kila jambo, kila jambo kila jambo
    Wakati kuzaliwa na wakati wa kufa kila jambo,,
    Wakati wa kunyamaza na wakati wa kunena kila jambo..
    Kuna wakati wa vita na wakati wa amani, kila jambo..
    Kila jambo kila jambo
    Kila jambo na wakati wake...
    Verse..
    Rafiki usiogope, unayopitia utasimama tena,
    Neno la Mungu linasema, hata uanguke mara saba, utasimama tena,
    Ndoto kubwa haikosi maneno, kusalitiwa, kudhihakiwa,
    Ndoto kubwa haikosi maneno, kusalitiwa, kudhihakiwa,
    Lakini neno la Mungu liko palepale, palepale utasimama tena,
    Lakini neno la Mungu liko palepale, palepale utasimama tena....
    Chorus..
    Oooh kila jambo, kila jambo, kila jambo,
    Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, kila jambo,
    Wakati wa kunyamaza na wakati wa kunena, kila jambo,
    Wakati wa kulia na wakati wa kucheka
    Kila jambo, kila jambo, kila jambo na wakati wake,
    Kila jambo, kila jambo, kila jambo na wakati wake
    Kila jambo, kila jambo,
    Kila jambo na wakati wake

КОМЕНТАРІ • 140

  • @fredmarwa1727
    @fredmarwa1727 Місяць тому

    Amina kubwa kabisa Asante Yesu

  • @robertjoseph8968
    @robertjoseph8968 18 днів тому

    🎉🎉🎉🎉GOD BLESS

  • @shangweremiofficial4124
    @shangweremiofficial4124 2 роки тому +1

    Barikiwa sana kazi yako njema sister

  • @robertjoseph8968
    @robertjoseph8968 18 днів тому

    Amina mtumishi wa mungu

  • @magrethevarist4378
    @magrethevarist4378 2 роки тому

    Nice Song Mumy Mungu Akuinue Sana Nimebarikiwa

  • @francoismalenge1373
    @francoismalenge1373 5 місяців тому

    Amen Amen Amen Amen 🎉🎉

  • @hellenkisanga3974
    @hellenkisanga3974 3 роки тому

    Hongera sana wimbo umenibariki

  • @zabronadamsony870
    @zabronadamsony870 Рік тому

    Amina dada mungu ndo Kila kitu katika maisha haya wimbo huu unagusaa 😥❤️🙏 2023

  • @jumahusein6254
    @jumahusein6254 4 роки тому +5

    Hawa ndio waliokoka kavaa vzur nyimbo , imetulia Ina upako mpaka raha ya wokovu unasikia

  • @felistermbushi8895
    @felistermbushi8895 Рік тому

    Kila Jambo na wakati wake

  • @revombenmwakwenda6006
    @revombenmwakwenda6006 2 роки тому +1

    Ubarikiwe sana ndugu katika Kristo wimbo unaujumbe mzuuri sana huu hivi mtu akihitaji huduma anakupataje

  • @emmycharles8463
    @emmycharles8463 4 роки тому +1

    Duuu nlikuwa naisubir hyo saut ya mwishon inanibariki xana madam

  • @MatesoHekima
    @MatesoHekima 29 днів тому

    Madam frora

  • @josesamuelnduda2917
    @josesamuelnduda2917 3 роки тому

    Mi Naomba nyimbo za albamu ya Usilie tena. Naomba mama madam flora.

  • @hopesheby7344
    @hopesheby7344 3 роки тому

    Nakupenda Florah

  • @loiruckmollel9862
    @loiruckmollel9862 3 роки тому

    Ni kweli.

  • @Goldfilmstz
    @Goldfilmstz 2 роки тому

    Huu wimbo unanifanya nikumbuke ahadi za Mungu maishani mwangu

  • @OfficialDianaMhagama
    @OfficialDianaMhagama Місяць тому

    M blessed

  • @emmanuelvitus5989
    @emmanuelvitus5989 2 роки тому

    Nimebarikiwa na huu wimbo mungu akuinue mtumishi

  • @anithayohana6063
    @anithayohana6063 3 роки тому

    🙌🙌😭😭 God....

  • @ritalisu455
    @ritalisu455 4 роки тому

    Mungu nifufuke roho yangu ilie kufa

  • @salaphinasilvester9252
    @salaphinasilvester9252 4 роки тому

    Ujumbe mzuri unanifariji sana

  • @neemasarwatt1030
    @neemasarwatt1030 4 роки тому +2

    Mwimbo mzuri sana,hongera sana my dear

  • @Naomiandrew938
    @Naomiandrew938 4 роки тому +4

    Ndoto kubwa haikosi Maneno Maneno ............ kusalitiwa

  • @annaa.kijanjali7968
    @annaa.kijanjali7968 4 роки тому

    Nakupenda sana siku zote

  • @eunicenziku2232
    @eunicenziku2232 4 роки тому +1

    waooh nilisubiri sana video hii.Mungu akuinue zaidi Flora

  • @georgesokozi6213
    @georgesokozi6213 4 роки тому +1

    nyimbo nzuri sn. mungu akubariki.umeitendea haki sana. niliona ukiimba siku ya harusi yako pale mwanza nikatamani sana uitoleee video yake mapema. ubarikiwe sana madam flora.

  • @yohanadaniel6959
    @yohanadaniel6959 3 роки тому

    Yohana daniel

  • @hellenndekeja4163
    @hellenndekeja4163 4 роки тому +1

    Barikiwa my dear kwa kaz nzur

  • @hildamassanja8483
    @hildamassanja8483 3 роки тому

    Hakika kila jambo na wakati wake

  • @pastorchico6388
    @pastorchico6388 4 роки тому +2

    Kazi njema BWANA akuinue

  • @rosemlera
    @rosemlera Рік тому

    Amina dada Kila Jambo na wakat wake

  • @silassibuda9980
    @silassibuda9980 Рік тому

    This song is so good likes please woow❤. GOD BLESS YOU

  • @bishopkatunzi4892
    @bishopkatunzi4892 4 роки тому

    Barikiwa

  • @ritalisu455
    @ritalisu455 4 роки тому

    Usisahau mwanito

  • @janethsaukiwa3966
    @janethsaukiwa3966 3 роки тому

    Hakika kila jambo na wakati wakeee🙌🙌

  • @magrethmwakyusa9641
    @magrethmwakyusa9641 4 роки тому +1

    Wow Hongera my dada wimbo n baraka sana sana

  • @queenmichael8707
    @queenmichael8707 4 роки тому

    Amina madam Flora ole wake anayekuhukumu ambaye hawezi hata kukuumbia sikio songa mbele hapo ulipo ndipo Mungu alitaka uwe hapo.

  • @hitecstars.1
    @hitecstars.1 8 місяців тому

    hi, just found you too

  • @gospotv
    @gospotv 4 роки тому +1

    Kazi nzuri

  • @deborandewingia6120
    @deborandewingia6120 4 роки тому

    Ammmennnn......wimbo umenibariki mno

  • @elinamielibariki2134
    @elinamielibariki2134 4 роки тому +2

    Waooo kazi nzuri

  • @laurentsamilah5001
    @laurentsamilah5001 4 роки тому

    nmepnd nyimbo nzuri

  • @allysalum9318
    @allysalum9318 3 роки тому

    ✌🏾❤️

  • @deborahrehema5819
    @deborahrehema5819 4 роки тому

    Ubarikiwe sana dadangu Mungu yu mwema sana

  • @judithngasa1370
    @judithngasa1370 4 роки тому +1

    Kazi nzuri sana barikiwa.

  • @Andy_tz
    @Andy_tz 4 роки тому +4

    wimbo mzuri madam... sauti imepoa hadi raha... Ubarikiwe sana nakupenda madam frolah😍

  • @madamleticia94
    @madamleticia94 2 роки тому

    Ameeeeen

  • @f.j.e5282
    @f.j.e5282 3 роки тому

    Ameen...

  • @upendokomba913
    @upendokomba913 4 роки тому +1

    Nampenda huyu mdada mbarikiww na huu wimbo

  • @joelmasebo5643
    @joelmasebo5643 4 роки тому

    Ajidhaniaye amesimama aangalie asianguke

  • @phinaringo7083
    @phinaringo7083 4 роки тому +1

    hongera dada kweli kila jambo na wakati wake

  • @hamidaramadhan3195
    @hamidaramadhan3195 4 роки тому +1

    Nice madam frola

  • @salmamussa8988
    @salmamussa8988 4 роки тому

    hongera ,wimbo mzuri unanifariji

  • @esterjumahesterjumah2504
    @esterjumahesterjumah2504 4 роки тому +1

    Waooooow, hakika mungu ameweka kitu ndan yako, madam

  • @rebecanassary7630
    @rebecanassary7630 4 роки тому

    Amen Kila jambo na wakat wake. Barikiwa mtumish

  • @maryjon5286
    @maryjon5286 4 роки тому

    Amina Dada frorah mungu akubariki

  • @emmanuellazaro8806
    @emmanuellazaro8806 3 роки тому

    So good

  • @sadothkyaruzi2077
    @sadothkyaruzi2077 4 роки тому +1

    Ujumbe makini na wa uponyaji

  • @paulinacosmas6355
    @paulinacosmas6355 4 роки тому

    Barikiwa sana

  • @shilolewilliam2374
    @shilolewilliam2374 4 роки тому +1

    Mungu akuinue zaidi na zaidi.

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 4 роки тому

    Huu wimbo unanibariki sana Madam Flora

  • @esthermarkmalekana1122
    @esthermarkmalekana1122 4 роки тому +1

    Amen Hakika kila jambo na wakati wake Mungu akubariki Madam

  • @anithayohana6063
    @anithayohana6063 6 місяців тому

    Here I am again..after 4 years 😢

    • @anithayohana6063
      @anithayohana6063 6 місяців тому

      Lakini Neno la Mungu liko pale pale...utasimama Tena 😭

  • @erickmwangonda7814
    @erickmwangonda7814 4 роки тому +2

    Huduma nzuri dada ake mungu akubariki sana umenitia moyo sana,usifurai mwenzio akilia maana atacheka tena🎸🎸🎸🎸

  • @allenmlelwa7950
    @allenmlelwa7950 4 роки тому +1

    Hongera sana Dada wimbo mzuri sana...

  • @marynasson4504
    @marynasson4504 4 роки тому +1

    Hiii nyimbo huwa inaniiinua. Mung u akubarki Sana mmy

  • @vicentezekiel374
    @vicentezekiel374 4 роки тому

    Imetulia nzuri sana

  • @gpsm2516
    @gpsm2516 4 роки тому

    ubarikiwe madam wimbo mzuri beat limetulia mno

  • @uyanjongura3658
    @uyanjongura3658 4 роки тому +1

    Katika kuanguka kuna kusimama tena, kila jambo kwa wakati wake🙏

  • @cpaminabuiferuz9298
    @cpaminabuiferuz9298 4 роки тому +1

    Hakika Kila jambo na wakati wake.thanks for this

  • @juliasalim2626
    @juliasalim2626 3 роки тому

    From Kenya...Julia salim...I'm blessed may God bless you more florah

  • @timothysalehe402
    @timothysalehe402 3 роки тому

    Amen

  • @faithndalo3526
    @faithndalo3526 4 роки тому

    Barikiwa Sana dada wimbo mnzuri umenigusa sana

  • @mckingmojojo363
    @mckingmojojo363 4 роки тому +4

    Hakika kila jambo na wakati wake uzidi kubarikiwa Madam Flora kwa kazi njema kama hii

  • @RodachildofChrist
    @RodachildofChrist 4 роки тому

    Asante Yesu. Ninamomba Mungu akubariki madam

  • @patriciamija7738
    @patriciamija7738 4 роки тому

    Kweli kila Jambo na wakati wake.

  • @agneslumanyika1026
    @agneslumanyika1026 4 роки тому +3

    Asante Dada wimbo mzuriii

  • @victoriansabi237
    @victoriansabi237 4 роки тому

    Wimbo mzuri balaaa Mungu akutunze

  • @evelynmasaka2894
    @evelynmasaka2894 4 роки тому +1

    mrs mpeta.... love u madam... kila jambo langu lililopangwa na mungu juuu yangu lina wakat wake.

  • @aloysirene6041
    @aloysirene6041 4 роки тому

    Huu wimbo unanibariki Sana ,pamoja na magumu ninayopitia Ila naamini no wakati tu kuna mahali naenda.

  • @naomiandrewandrew7685
    @naomiandrewandrew7685 4 роки тому +1

    Barikiwa Sana Kila Jambo na wakati wake

  • @georgekimasa7393
    @georgekimasa7393 4 роки тому

    Nimekukubari sana madam songa mbele

  • @Alfafurgence
    @Alfafurgence 4 роки тому +1

    Wowwwww wewe ni mama wa shoka

  • @maryanthonymgubari8784
    @maryanthonymgubari8784 4 роки тому

    hapo sawa F kwa utulivu huo Mungu akutangulie🎹🎸

  • @eddahmwampagama115
    @eddahmwampagama115 4 роки тому

    Nyimbo nzuri

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 4 роки тому

    Hongera madam,inuka tena kwa jina la Yesu

  • @augustermalima2662
    @augustermalima2662 4 роки тому +2

    Well done ma mdogo, encouraging song. KILA JAMBO NA WAKATI
    WAKE.

    • @thedylyimo1161
      @thedylyimo1161 4 роки тому

      Amina sana madamu wimbo mzuri unanitia moyo n nguvu

    • @alexiskageha263
      @alexiskageha263 4 роки тому

      Kilajambo na wakati wake... Nasubiri wakati wangu Amen

  • @bosslady6215
    @bosslady6215 4 роки тому +1

    Kuimba unaimba sana ...good job madam ♥️♥️

  • @barakamfugale1049
    @barakamfugale1049 4 роки тому

    Wimbo mzuri
    Ila ulijishushia heshima
    Kwa yaleeeeeeeeeeeeeeeeeee

    • @marthamhede3961
      @marthamhede3961 4 роки тому

      Baraka wewe ni mungu kwamba unamfahamu MTU na matatizo anayopitia mkpa kuamua kufanya hivyo

    • @itikamlagalila1911
      @itikamlagalila1911 4 роки тому

      Mmemkazania huyu dada,je mnamjua vizuri huyo alikuyekuwa anajiita Mume wake?na je unaelewa mume sahihi anakujaje?je umewahi kujua huyu dada aliolewa akiwa na umri gani na akili za aina gani?#noresearchnorighttospeak#

  • @pulengpule2356
    @pulengpule2356 4 роки тому +1

    as i do not understand the language but the voice is unique and the song is a hit

  • @alexiskageha263
    @alexiskageha263 4 роки тому +4

    I real like your songs.. You have a nice voice .. God bless you.

  • @graceneema3855
    @graceneema3855 4 роки тому +2

    Sauti mummy inanibariki...maneno ya wimbo mazuri Sana...barikiwa zaidi♥️

  • @winniek.8855
    @winniek.8855 4 роки тому

    God i bless your name. Kazi nzuri sana Madam Flora

  • @Queencecyvlogs
    @Queencecyvlogs 4 роки тому +1

    Wimbo mzuri sana😍

  • @anethmkabahati7230
    @anethmkabahati7230 3 роки тому

    Kila jambo na wakati wake... am so blessed by this song.. 🙌🏾

  • @furahayabwana6127
    @furahayabwana6127 4 роки тому +2

    Amen amen👏🤝🌹

  • @saviomlelwa
    @saviomlelwa 4 роки тому +1

    Good song stay blessed Dada flora

  • @neemangole8200
    @neemangole8200 4 роки тому

    Nice song

  • @queenmichael8707
    @queenmichael8707 4 роки тому

    Jamani nimeikiliza huu wimbo siku tano baada ya hapo kijana wetu wa kazi akafariki chumbani bila ya Sisi kujua siku ya pili kumfuata tayari ameanza kuharibika jamani huzuni ni nyingi sana alikuwa haumwi hata ukucha, duuu kila Jambo na wakati wake huzuni imetawala Mungu atusaidie