From my heart,I real appreciate you Mr.JPM.
Hongera sana
Hii ni heshma kubwa ni mfano wa kuigwa kudos Tanzania viva JPM
Matukio ya namna hii yanaipaiha sana nchi yetu. Hongera sana Rais wetu. Hongereni marais wastaafu. Nasi watanzania wote tujihongere!
Upendo huambatana na imani na ishara madhubuti. Mungu akubariki JPM
Mashaallah
Barikiwa sana rais wetu
🙈Babang Mheshimiwa Dr Naomba ka 1 tu na mimi yani I can be happy so much 🙈😋😋 napenda sana TAUSI JMN 😢
Haijawahi kutokea africa ...tz is the best
Ukisikia Tz ni nchi ya kipekee watu hawaelewi.nchi nyingi ni nadra sana kuwakuta marais wote in one place
Jengo zuri hakika Tunamtukuza Mungu kwa hatua hiyo.
Haya haya!! Twende kaz
Marais wasifuu wanajivunia kijana wao maguu wamekubadhi nch hajawangusha kaituza vzr,hongera kwake,leo wanavuna matunda ya waliyopanda
Big up John Pombe Magufuli
Hadi raha kupendana jamani watanzania tuwe na upendo umoja. Ndio fahali Yetu.
Upendo na amani kwa viozi wetu ndio siraha yetu tuendeele kuitunza .Amina.
Raha si raha jamaniiiiii
Tausi25 wanathamani ya milioni 3. Au chini ya hapo. Sawa na kuwagaia wastaafu shilingi milioni 3 kila mmoja sio jambo baya.
Duu,,mkapa anaokena kama ndoo mkubwa kuliko wotee,,,mmmhh jamani mamanyerere chuma cha reli cha mkolonii hazeekiii,,bado ananguv kama zote na mzee mwinyii
Mkapa kazeeka jamni,umri umeenda
Je!wanaruhusiwa kuwauza?
Uyu raisi
Isiwe sehemu ya kitalii kama hifadhi,kiusalama it is a high risk!!huwezi kua ajae karibu na ikulu yetu,hasa mabeberu!iwe ni kwa wageni rasmi Tu.
Matayo 25:14-30
JPM Safi
Leina O ngoyasi niko leki natron engaresero is Bps
vipi zanzibar je? wao hawana hakiki ya kupatiwa hao tausi hata pale ikulu ya raisi wa zanzibar tumeshuhudiya wamefika Kenya lakini znz hapana udumu udungu wetu .
Sasa Wachina waguse tausi wetu pia.
Jpm jembe
Safi sana, hongera sana baba kwa maamuzi mazuri. Mungu akubariki sana.