КОМЕНТАРІ •

  • @alphonceh.mrindoko7840
    @alphonceh.mrindoko7840 4 роки тому +3

    Safi sana, hongera sana baba kwa maamuzi mazuri. Mungu akubariki sana.

  • @georgekapyela1190
    @georgekapyela1190 4 роки тому +2

    From my heart,I real appreciate you Mr.JPM.

  • @saddahussen4865
    @saddahussen4865 4 роки тому +3

    Hongera sana

  • @mimifineliving2022
    @mimifineliving2022 4 роки тому +5

    Hii ni heshma kubwa ni mfano wa kuigwa kudos Tanzania viva JPM

  • @egfridmkoba4767
    @egfridmkoba4767 4 роки тому

    Matukio ya namna hii yanaipaiha sana nchi yetu. Hongera sana Rais wetu. Hongereni marais wastaafu. Nasi watanzania wote tujihongere!

  • @dismaskuruletera
    @dismaskuruletera 4 роки тому +1

    Upendo huambatana na imani na ishara madhubuti. Mungu akubariki JPM

  • @oman7710
    @oman7710 4 роки тому +2

    Mashaallah

  • @kabogeof9597
    @kabogeof9597 4 роки тому +1

    Barikiwa sana rais wetu

  • @lovenessdiva3370
    @lovenessdiva3370 4 роки тому +1

    🙈Babang Mheshimiwa Dr Naomba ka 1 tu na mimi yani I can be happy so much 🙈😋😋 napenda sana TAUSI JMN 😢

  • @luluamri370
    @luluamri370 4 роки тому +2

    Haijawahi kutokea africa ...tz is the best

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 4 роки тому +1

      Ukisikia Tz ni nchi ya kipekee watu hawaelewi.nchi nyingi ni nadra sana kuwakuta marais wote in one place

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 4 роки тому +2

    Jengo zuri hakika Tunamtukuza Mungu kwa hatua hiyo.

  • @johevajilemazima5999
    @johevajilemazima5999 4 роки тому +1

    Hongera sana Prof. JPM

  • @kabogeof9597
    @kabogeof9597 4 роки тому +4

    Mbona barakoa hawajavaa?

  • @pawamutoto1390
    @pawamutoto1390 4 роки тому +3

    Haya haya!! Twende kaz

  • @jameshamzatagalile3146
    @jameshamzatagalile3146 4 роки тому +1

    Marais wasifuu wanajivunia kijana wao maguu wamekubadhi nch hajawangusha kaituza vzr,hongera kwake,leo wanavuna matunda ya waliyopanda

  • @polloz77
    @polloz77 4 роки тому

    Big up John Pombe Magufuli

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 4 роки тому +7

    Hadi raha kupendana jamani watanzania tuwe na upendo umoja. Ndio fahali Yetu.

    • @mangipesa8496
      @mangipesa8496 4 роки тому +1

      Good xmartynexx

    • @neemajulius8969
      @neemajulius8969 4 роки тому +1

      Upendo na amani kwa viozi wetu ndio siraha yetu tuendeele kuitunza .Amina.

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 4 роки тому +1

      Only in Tz!!ndo utakuta hivi vitu

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 4 роки тому +5

    Raha si raha jamaniiiiii

  • @hilalhilal8400
    @hilalhilal8400 4 роки тому +1

    Tausi25 wanathamani ya milioni 3. Au chini ya hapo. Sawa na kuwagaia wastaafu shilingi milioni 3 kila mmoja sio jambo baya.

  • @jameshamzatagalile3146
    @jameshamzatagalile3146 4 роки тому +1

    Duu,,mkapa anaokena kama ndoo mkubwa kuliko wotee,,,mmmhh jamani mamanyerere chuma cha reli cha mkolonii hazeekiii,,bado ananguv kama zote na mzee mwinyii

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 4 роки тому +2

    Mkapa kazeeka jamni,umri umeenda

  • @kabogeof9597
    @kabogeof9597 4 роки тому +2

    Je!wanaruhusiwa kuwauza?

  • @lomnyakjoseph8128
    @lomnyakjoseph8128 4 роки тому

    Uyu raisi

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 4 роки тому

    Isiwe sehemu ya kitalii kama hifadhi,kiusalama it is a high risk!!huwezi kua ajae karibu na ikulu yetu,hasa mabeberu!iwe ni kwa wageni rasmi Tu.

  • @henryxavery1713
    @henryxavery1713 4 роки тому +1

    Matayo 25:14-30

  • @williaellymarawiti4937
    @williaellymarawiti4937 4 роки тому

    JPM Safi

  • @titussimiyu7645
    @titussimiyu7645 2 роки тому

    Leina O ngoyasi niko leki natron engaresero is Bps

  • @nyavas41
    @nyavas41 4 роки тому

    vipi zanzibar je? wao hawana hakiki ya kupatiwa hao tausi hata pale ikulu ya raisi wa zanzibar tumeshuhudiya wamefika Kenya lakini znz hapana udumu udungu wetu .

    • @kinged9862
      @kinged9862 4 роки тому

      Hilo nalo wazo zuri kweli

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 4 роки тому

    Sasa Wachina waguse tausi wetu pia.

  • @wilsonnsalanje7841
    @wilsonnsalanje7841 4 роки тому

    Jpm jembe