Rebecca E Magaba - Hujaniacha Video gospel music(Official

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 вер 2024
  • #MsalabaMEDIA #DirectorAbson #RebeccaMagaba #Ebenezer #RoseMhando #DirectorAbson #AnnointAmani #motivation #gospel #music #god #whatsappstatus #wasafi
    For Booking
    +255 713 147 183/ +255 797 957 191
    Forbooking
    msalabamedia@gmail.com
    ©2023 Administered By Msalaba MEDIA

КОМЕНТАРІ • 59

  • @ambelemwaitebele6131
    @ambelemwaitebele6131 Рік тому +11

    Hongera sana mtumishi wa MUNGU akuponye zaidi

  • @barakawilliam3993
    @barakawilliam3993 Рік тому +10

    Barikiwa sana mama yangu.

  • @joycemwaikofu
    @joycemwaikofu Рік тому +12

    Hongera sana mtumishi kazi zako zote zipo kwa ubora wa hali ya juu

  • @OscarMsaghaa-bt2jm
    @OscarMsaghaa-bt2jm Рік тому +13

    Nyimbo ninzuri sana.... Mungu akubariki saana

  • @mossesnassoro9837
    @mossesnassoro9837 Рік тому +7

    Mungu akupe kila jema lenye utukufu wa Kristo ndani yake

  • @aminielmwasha3994
    @aminielmwasha3994 Рік тому +10

    Nyimbo nzuri sana dada yangu, Mungu azidi kukubariki.

  • @juliuskitheka7105
    @juliuskitheka7105 Рік тому +8

    Kazi nzuri sana

  • @ElizabethShija-do9vr
    @ElizabethShija-do9vr Рік тому +6

    Pole pole sana naona unapitia kwenye wakati Mgumu jipe moyo mkuu Mungu anaweza yote pole sana

  • @NoellaElias-ub3kc
    @NoellaElias-ub3kc Рік тому +7

    Ubarikiwe sana Rebecca pole kwa yote dear yaani umeniliza kweli jipe moyo kwa mashambulizi yote lengo ni kuuwa huduma tu maana kama ni maisha unaweza fanya kazi yoyote Mungu akutetee

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 Рік тому +12

    Very Nice song..
    Very cool
    So Good 👏👏🌹💫

    • @rebeccaebenezermagaba
      @rebeccaebenezermagaba  Рік тому

      Thank you lucasshirima

    • @StellaLyimo-nf7to
      @StellaLyimo-nf7to Рік тому

      Muombeeni huyu Dada nimeona anauza mitumba ya kutembeza

    • @AmyeSanga-u4c
      @AmyeSanga-u4c Рік тому

      ​@@StellaLyimo-nf7toutafutaji kawaida maadamu hiyo kazi siyo dhambi kutembeza mitumba haimaanisho ana dhiki anachojali ni maslahi maadamu ni kazi halali

  • @irenemillinga6484
    @irenemillinga6484 Рік тому +9

    Wimbo mzuri

  • @gloryhatibu3075
    @gloryhatibu3075 Рік тому +3

    Ubarikiwe sana mtumishi jipe moyo mkuu jamani kwa yote unayopitia watu wanaona kama kawaida lkn mmeo anakosea sana kuandika matukio ili kukuchafua jamani pole sana Rebecca Mungu akupe mme uzae watoto jamani sasa wanasema wewe malaya msagaji unajiuza naomi anaandika na kusema mmeo ndiye anayemuelezea habari zako swali je wewe na mmeo mlikuwa mnasagana mbona kaoa mwanamke mwenye watoto watatu nasikia wewe ulikuwa mke wa pili wa kwanza yuko kigoma alimuacha akaokoka akakuoa wewe muwe makini jamani ona umepoteza miaka pole sana kaoa mke wa tatu itabidi yeye ajiongeze

  • @samsonayubu2129
    @samsonayubu2129 Рік тому +10

    Kazi nzuri saana mtumishi

  • @amosmwita323
    @amosmwita323 Рік тому +8

    Ameen 🙏 mtumishi wa Mungu

  • @cathymasanja9730
    @cathymasanja9730 Рік тому +2

    Mungu akutie nguvu Rebecca kiukweli mmeo anafanya vibaya sana kukupakaza mabaya Ili kukuza huduma ya mkewe wa tatu huyo was arusha si wapambane tu

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 Рік тому +8

    Asante sana Rebby...

  • @haikaelisheggah94
    @haikaelisheggah94 Рік тому +5

    Jipe moyo mkuu

  • @doctorluckytz
    @doctorluckytz Рік тому +8

    Barikiwa sana

  • @Danielmoyo556
    @Danielmoyo556 Рік тому +9

    Nyimbo nzuri Dada, Barikiwa sana kwa kazi nzuri.✍️🕊

    • @StellaLyimo-nf7to
      @StellaLyimo-nf7to Рік тому

      Muombeeni maisha yake choka mbaya

    • @Danielmoyo556
      @Danielmoyo556 Рік тому

      @@StellaLyimo-nf7to
      Acha kutumika stella, unajiharibia mwenyewe.✍️

    • @AmyeSanga-u4c
      @AmyeSanga-u4c Рік тому

      ​@@StellaLyimo-nf7toanapita tuu na atavuka wangapi tumeona wanamiliki vitu vizuri wakaanguka na baadae wakainuka tena.hatushangai maana yeye sio wa kwanza tumewahi kuwa choka mbaya Mungu akatuinua tukawa ahueni .pia ujue Kila aliyeinuliwa Kwa sasa alianzia choka mbaya kama unasomaga Bible utanielewa vizuri

  • @bethelionlinejpm1827
    @bethelionlinejpm1827 Рік тому +5

    Ubarikiwe mwanangu

  • @tumsifurufutuofficial46
    @tumsifurufutuofficial46 Рік тому +8

    Safii

  • @goodluckmahulo3562
    @goodluckmahulo3562 Рік тому +8

    wimbo wako unanibariki mtumishi Mungu akupeleke mpaka pale unahitaji ufike kwa jina la yesu

  • @fridahmacharia8044
    @fridahmacharia8044 Рік тому +8

    Amen amen 🙏🙏

  • @gloryhatibu3075
    @gloryhatibu3075 Рік тому +1

    Jamani naomba kujua taarifa kuhusu huyu dada ni kweli yuko aicu

  • @CalmGoshawk-kq7pp
    @CalmGoshawk-kq7pp Місяць тому

    Hongera sana mtumishi Mungu hawezi kukuacha

  • @FridahwanjiruMacharia
    @FridahwanjiruMacharia 3 дні тому

    Wimbo mzuri sana❤❤

  • @wemu4774
    @wemu4774 Рік тому +2

    Pole mpenzi kwa yote

  • @StellaLyimo-nf7to
    @StellaLyimo-nf7to Рік тому +6

    Ila usikate tamaa watu wakisoma sms Kwa Naomi wnaulizana huyu Dada hajajiua TU😄

    • @StellaLyimo-nf7to
      @StellaLyimo-nf7to 6 місяців тому

      Huyu ni mtumishi wa mungu na anafundisha mafundisho mazuri mno fb Hana muda na hao kabisa wanajaribu kuuwa huduma lkn hawawezi

  • @StellaLyimo-nf7to
    @StellaLyimo-nf7to 6 місяців тому +1

    Mrembo sana wewe mdada

  • @irenekessy5191
    @irenekessy5191 Рік тому

    Usiogope mtumishi wewe ni mtumishi wa Mungu kataa kutamkiwa maneno magumu utazaa tu na Mungu hajakuacha kabisa mmeo kaoa cha ajabu kabisa watumishi Hawaoni bali wanamsapot hatari ya kanisa angesubiri ufe wanawake wakiachwa na kuolewa wanaonekana watenda Dhabi lkn mmeo kaoa nje Biblia anapewa madhabahu aibu sana sijui tunatengeneza kanisa gani pole sana dear

  • @janehabakuki4564
    @janehabakuki4564 10 місяців тому

    Leo nina muda wa kukutazama tu karibu sana kasuru

  • @ulimbagamwakatobe2122
    @ulimbagamwakatobe2122 6 місяців тому

    Songa mbele mtumishi

  • @safarijuma9410
    @safarijuma9410 Рік тому

    Dadaetu Mungu akutie nguvu lkn yatapita tu nimeshangaa kumbe kampeni ya mmeo ni kukuchafua ili yeye aonekane bora na kwamba anataka kukuza huduma ya mkeo kupitia jina lako Pole sana Dada jipe moyo mkuu utavuka tu

  • @rosenakikoti3031
    @rosenakikoti3031 Рік тому

    Mungu anakupenda sana haikuwa rahisi aisee

  • @livemusicsound1217
    @livemusicsound1217 Рік тому

    Usivunjike moyo dada songa

  • @amosmahovyo6546
    @amosmahovyo6546 5 місяців тому

    Usiogope mtumishi

  • @gloryleonard1563
    @gloryleonard1563 5 місяців тому

    Ubarikiwe sana

  • @godwincathbert8936
    @godwincathbert8936 Рік тому

    UBARIKIWE

  • @EvodiusMtalemwa
    @EvodiusMtalemwa 2 місяці тому

    Mimi siwezi kukubari nipoteze mke kama wewe Mmh no no ningejifanya mjinga

  • @Annachilumba-g1w
    @Annachilumba-g1w Рік тому

    😢pole dada mungu awe faraja

  • @safarijuma9410
    @safarijuma9410 Рік тому

    Ubalikiwe

  • @Estherbongo
    @Estherbongo Рік тому

    Pole sana dada

  • @irenekessy5191
    @irenekessy5191 Рік тому

    Usilie rebecca jipe moyo mkuu tu utaolew na mme mwenye akili na mwenye kujali muache akuchafue

  • @RebeccaMagaba
    @RebeccaMagaba Рік тому +7

    Mungu wangu awabariki Sana 🙏