MCHAWI WA SOKA ALIYEWEZA KUAMRISHA MPIRA NA MPIRA UKAMTII

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 вер 2024
  • Usiache kuSubscribe na kuweka Notification on ili uwe wa kwanza kupata update za makala

КОМЕНТАРІ • 176

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 11 місяців тому +8

    Huyu jamaa mpira ameutia rangi na nakshi uzidi kupendeza, pia amefanya vitu vigumu vionekane ni rahisi na inawezekana.

    • @Chezalive
      @Chezalive  11 місяців тому

      Fundi Mmoja wa boli

  • @shawaynejaphary9926
    @shawaynejaphary9926 7 місяців тому +2

    Hakuna Mchezaj Kama Dinho Na Hatotokea... He's One In A Lifetime

  • @MatiasMashauri
    @MatiasMashauri 2 місяці тому +3

    ❤❤ 🎉 huyo jamaa nampa maua yake kabc ni mwamba sana

  • @JuniorGaddafi3978
    @JuniorGaddafi3978 10 місяців тому +5

    Kwa maisha yangu yote sijapata kumwona mwamba na mchawi wa soka kama Gaucho.
    Wengi mtamsema Cr7 au Messi ila katika kitabu changu cha mastaa wa soka basi Gaucho yupokidedeani.

  • @danndhaya8796
    @danndhaya8796 10 місяців тому +3

    what a narration, i love

  • @oliverngualo4028
    @oliverngualo4028 11 місяців тому +7

    Kizazi cha GAUCHO tumeenjoy sana 😅😅😅😅

    • @Chezalive
      @Chezalive  11 місяців тому

      Sana kumuangalia tu ilikuwa burudani

    • @rameckrichard7534
      @rameckrichard7534 10 місяців тому +2

      Mpaka najuta kwa nn sikufanikiwa kumuona

    • @CotteBravo-mm5tp
      @CotteBravo-mm5tp 10 місяців тому

      Kizazi cha messi tumeinjoy sana

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 місяців тому

      Tafuta clip kama Hizi uangalie, hata wazee wetu hawakumuona Pele ila stori zake wanazo😅

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 9 місяців тому

      ​@@CotteBravo-mm5tphamna kitu hapo ndugu yangu zaidi ya kubebwa na wazungu wezie hasa FIFA ndio waliompa kombe la Dunia kwa kufosi maana ingekuwa aibu isio semekana 🏃 🤣🤣🤣 kacheza mara tano kombe la Dunia wakali wote Duniani wameshinda ndani ya mwaka mmoja au miwili 😆😆🤣🤣

  • @AsukuluAleose
    @AsukuluAleose Місяць тому +1

    Mimi nimejifunza mpira kupitiya Ronaldinho nimejifunza kutoka kwake daah mungu mkubwa

  • @stephenmwangi6145
    @stephenmwangi6145 10 місяців тому +3

    The only wizard when football is concerned in this planet earth ever

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 місяців тому

      Sure 🔥

    • @nassirali8342
      @nassirali8342 10 місяців тому +1

      The ONLY ONE .NO ONE WILL NEVER PLAY LIKE GAUCHO

  • @yusuphmadege-y1s
    @yusuphmadege-y1s 10 місяців тому +2

    Yupoo yuleeeeee mnaigeriaaa yuleeeeee okocha. Jay Jay haya ukiachanaa na okocha yupoo yuleeeeee lobincho naeeeee vituu ambavyoo ronadincho allifanyaa naeeeee lobincho aliwezaa kuvifanyaa brother anguuu Kwanii brother napenda Sana kuchambi chambua mipiraaa hiiiiiiiiiiiii bwanaaa brother njoooo wahsapuu tukaeee tuchanbuee

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 місяців тому

      Umetisha sana, sema Kila Mmoja ana Radha yake kaka

    • @KarimLamar-x5g
      @KarimLamar-x5g 7 місяців тому

      Japokuwa yote hayo Gaucho alikuwa na vingine vitu vyake alikuw akiongezea hadi soccer inanoga kamanda

    • @CharzJackson
      @CharzJackson 6 місяців тому

      The only legendary made to like football ⚽️ 🙌 👏

  • @nathanielneshiez2570
    @nathanielneshiez2570 4 місяці тому

    9:01 9:05 if he had scored, this would have been the most iconic goal in football history.

  • @allyndasiwa318
    @allyndasiwa318 4 місяці тому

    Huyu Bwana ck atakapotokea mpinzani wake Dunia ituambie ni nani huyo cjui kama atatokea

  • @reubenmakalla745
    @reubenmakalla745 15 днів тому

    Wengine watapewa sifa ila huyu mwamba alikuwa na kipaji cha kutiisha mpira hapajatokea mwingine.

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter 10 місяців тому +3

    Mwamba kabisa 🙌🔥⚽🙌

  • @GodeliGogo221
    @GodeliGogo221 11 місяців тому +3

    Gooo 1

  • @anganilekajigilikajigili2641
    @anganilekajigilikajigili2641 10 місяців тому +3

    Huyu ndio mwamba wa sokaaaa 🫱🏻‍🫲🏽🫱🏻‍🫲🏽👊🏻👊🏻

  • @GABRIELLUCASJISALIJA
    @GABRIELLUCASJISALIJA 16 днів тому +1

    Kuna wt wamezaliwa mpira

  • @ZUHELIWafula
    @ZUHELIWafula Місяць тому +2

    Alfanya npende Brazil bt wakt altoka pia nkatoka

  • @LinosJohn-dp9xi
    @LinosJohn-dp9xi 5 місяців тому

    Alikuwa noma saanaaa hakuna kama yeye😂

  • @David-if6nk
    @David-if6nk 4 місяці тому

    Hahahahaa, hakika wabongo aliyewaroga kafa, hivi Ronaldinho alikuwa na ubora gani hadi kila kona mnampa sifa ambazo hazistahili, au wengi wenu mnalishwa matango pori kwenye vilabu vya gongo na kuangalia viclip vilivyochambuliwa UA-cam ndo mnamuona bora😂, Ronaldinho alikuwa tu machachari kama akina Wilfred Zaha ila hakuwa hatari.

  • @leonardlunguya7112
    @leonardlunguya7112 7 місяців тому

    Ilikuwa Raha sana kuinjoi kumwangalia Dinho

  • @LugwishaMawede
    @LugwishaMawede 4 місяці тому

    I have ever seen a player like him

  • @Arqammedia931
    @Arqammedia931 6 місяців тому

    Kwa kweli ni mchawe😂😂

  • @Desire-wn9iv
    @Desire-wn9iv 2 місяці тому

    Wa africa tukojuu lakini hatuongelewi,ona pele ,ronaldinho hakuna kama wao duniani mpaka sasa

  • @AmourAhmada
    @AmourAhmada Місяць тому +1

    Hpn mess na Ronaldo hawawez kuw km ronaldinyo kbx ni wachezaj tu Ila yule jamaa amebarikiw ktk mpr na sio rahis kutokea km yy

  • @MamaFeza-x6d
    @MamaFeza-x6d 7 місяців тому

    Nice wangu

  • @AncheKibango
    @AncheKibango Місяць тому

    Amufikii Messi

  • @AdrianoMazige
    @AdrianoMazige 2 місяці тому

    Hakuna mchezaji kama gaucho labda mtoto wake jowaho

  • @ErastoMabula
    @ErastoMabula 7 місяців тому

    Samahani broo sikubahatika kumuona, mwamba kwangu ni mbappe

    • @muttae2
      @muttae2 Місяць тому

      Daah.. pole sana. Ila ni kweli huyu mtu hawezi tokea. Tumeshawaona akina Zinadane, Ronald, Messi n.k ila hii ni namba tofauti sana.

  • @Suzanawilbard
    @Suzanawilbard 9 місяців тому

    Wapo wengine Jay jay okocha, Robinho,Quaresma ni hatar hao jmaaa na wao

  • @clementkivegalo2604
    @clementkivegalo2604 9 місяців тому

    Hakuna kama Gaucho!

  • @WankuruMasanja
    @WankuruMasanja 2 місяці тому

    Mwamba na nusu,,hajawai tokea

  • @EmmanuelNyamuyarula
    @EmmanuelNyamuyarula 10 місяців тому +1

    Hakika umri ungejirudia gaucho angerudi tena

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 місяців тому

      Tulishuhudia burudani

  • @ahmedkhatibu5387
    @ahmedkhatibu5387 10 місяців тому +1

    Mpka leo hakuna mchezaji kamu huyu bingwaa

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 місяців тому

      Inawezekana kabisa, mwamba Alikuwa hatari

  • @SarahHamisi-qc7re
    @SarahHamisi-qc7re 2 місяці тому

    Wewe no mchawiii kwl kwl

  • @yahyamlawa2069
    @yahyamlawa2069 11 місяців тому +2

    Na hatokei tna mwingine

    • @Chezalive
      @Chezalive  11 місяців тому

      Dunia ilimpata mburudishaji

  • @ScholasticKalase
    @ScholasticKalase 2 місяці тому

    Ni atali

  • @ChiefFurniture
    @ChiefFurniture 2 місяці тому

    Jay jay okocha

  • @GABRIELLUCASJISALIJA
    @GABRIELLUCASJISALIJA 16 днів тому +1

    Mwamba apewe maua

  • @yusuphmadege-y1s
    @yusuphmadege-y1s 10 місяців тому +1

    LAKINI nyieee acheniiii tuuu lakin wapooo walioo kuwaaa wanafanyaa Kama yeyee jamaniiiiii

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 місяців тому +1

      Tupe mfano mzee😅

  • @benjaminmwenikahindi5429
    @benjaminmwenikahindi5429 10 місяців тому +1

    Uyu nimnomaaaa

  • @denisdamiani6473
    @denisdamiani6473 9 місяців тому

    Mbappe

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 5 місяців тому

    MARADONA

    • @habibahussein22
      @habibahussein22 2 місяці тому

      Huyo maradona mwenyewe alikua akimuona dinho analia na anampigia magoti na kubusu miguu yake yaani anamaanisha hakuna binadamu ambaye hajawahi kumuona katika maisha yake

  • @shalifmbalale8
    @shalifmbalale8 9 місяців тому +3

    Kuna mwalimu mkuu,Dokta mkuu,mwanajeshi mkuu,n.k. Bas Ronaldinho ndio mchezaji mkuu kwenye hii dunia🙌🔥

    • @David-if6nk
      @David-if6nk 4 місяці тому

      Unaongea utumbo ndizi, Ronaldinho alikuwa ni mchezaji wa kawaida sana na hakuwa na uwezo wa kuibeba timu, ni machachari tu kama Wilfred Zaha.

  • @AbuubakarJuma-se9cp
    @AbuubakarJuma-se9cp 10 місяців тому +4

    Hakun aliyewah kucheza mpira km mt huyu🎉🎉🎉🎉

  • @ashaalali1221
    @ashaalali1221 10 місяців тому +1

    Kkkk unadani mpira ni ukweli kkkk.inaitwa eye tricks.wee jiuliza mpona Africa awashindi world cup? OK mpona mpira iko na stars? Ni wongo.lk movies..wrestling etc .lk acrobat.

  • @etienneabibu3979
    @etienneabibu3979 10 місяців тому +2

    Tokea Dunia iiumbwe hakujawahi kuwa na mchezaji mkuu kama Gauch Ronaldinho nampenda sana jamaa huo. Aa h jamani

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 місяців тому

      Jamaa noma sana

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 10 місяців тому +2

    Kifupi ilo halipingiki kbs alikuwa fundi sana kama ulichelewa kuangalia mpila basi vigumu kumuelewa utaishia kusema kila mtu na radha yake hatujakataa ila raha ya mpila kuona vionjo kama vya Dinho hamasa na majadiliano yanakuwa mengi vijiweni na maeneo mbali mbali iyo ndo radha ya mpila

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 місяців тому

      Dinho sio wa kwanza kaka Wala hatokuwa wa mwisho, endelea kufuatilia ntakuletea Radha tofauti
      Nb: Pengo la mtu haliwezi kuzibika.

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 10 місяців тому +1

      @@Chezalive Elewa mada ya husika tatizo letu sisi wabongo tunachokiamini vichwani mwetu ndo hivyo hivyo tunavipeleka kwenye mada ya mitandaoni haya nikuulize swali wewe mchezaji gan mwingine alietokea katika kipindi chake na baada ya kuustaafu mpila yupi unamfananisha nae mwenye vionjo kama yeye?

    • @khalidhashim6082
      @khalidhashim6082 10 місяців тому

      @@Chezalive kama michael jackson saizi wanamuona mwenye makosa ila alikuwa hatari lakini dinho ni hatari sana

  • @Philimonmgema
    @Philimonmgema 10 місяців тому +4

    ronaldinho is a legend in footbal no one like him

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f Місяць тому +2

    Ni mzuriii sana aise huyo jamaa yaani, naona mrithi wake ni kina Leonel Messi. Lkn Lionel Messi ni mfalme wa mpira kwenye hii dunia.

  • @GalaxyStar-ix6iy
    @GalaxyStar-ix6iy 9 місяців тому +1

    Kama Dunia ingempata mchezaji Kama huyu B's angekuwa wa kwanza mpaka sasa

  • @WankuruMasanja
    @WankuruMasanja 2 місяці тому

    Hajawai tokea huyu ni mwamba na nusu

  • @AbdallaMwambega
    @AbdallaMwambega 10 місяців тому +2

    hakuna rika la huyu mwamba duniani kwa kusakata soka

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 10 місяців тому +5

    He was a great player

  • @kambonamajaliwa5466
    @kambonamajaliwa5466 11 місяців тому +23

    Mpaka leo sijaona mwenye uwezo kama wake

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 місяців тому +1

      Kila Mmoja na Radha yake kaka

    • @kambonamajaliwa5466
      @kambonamajaliwa5466 10 місяців тому +1

      We ladha yako iko kwa nani ndugu?

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 місяців тому

      Hahaa😅 Nakubali Kila mchezaji mzuri, japo wanatofautiana radha

    • @AshaIbrahim-k6l
      @AshaIbrahim-k6l 10 місяців тому +2

      True my brother 💯✅🙏

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 місяців тому

      @user-xx3bu9uf3g 🔥🔥👊

  • @gwakisamwakambulwe2491
    @gwakisamwakambulwe2491 10 місяців тому +4

    Watu wengi sana wameiga skills kutoka kwake........he is the true living legend

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 місяців тому

      For sure. Jamaa ni inspiration kwa kizazi hiki

    • @ezekielkandonga9238
      @ezekielkandonga9238 10 місяців тому

      Alikwisha wai sema nayeye kuwa Role model wake ni JJ Okocha,Sema Mzungu anathamini sana kilicho chake

    • @khalidhashim6082
      @khalidhashim6082 10 місяців тому

      @@ezekielkandonga9238 maradona ndiyo role model wake

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 3 місяці тому

      ​@@ezekielkandonga9238kila mchezaji ana role model wake lakini elewa kuna wakati huyo role model anazidiwa.

  • @002RYE
    @002RYE 6 місяців тому +2

    Kiukweli hakuna aliyefanya kama alivyofanya huyu mwamba

  • @mrvixtz
    @mrvixtz 8 місяців тому +1

    He is a very good player I have ever seen in this world

  • @SalumuSelemani-b1h
    @SalumuSelemani-b1h 10 місяців тому +1

    Ni, kweri, Mimi kwa, macho yangu ya, nyama,sijamuona mtu, kama, yeye

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 місяців тому

      Mtu hatari sana

  • @Jumamustafa-ur7uv
    @Jumamustafa-ur7uv 11 місяців тому +2

    Mwamba sana huyu

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 місяців тому

      Mwamba sana jamaa, inasikitisha tulimkosa mapema sana

  • @ZkKambi
    @ZkKambi 2 місяці тому

    Mchawi wa soka

  • @JamesNetia
    @JamesNetia 9 місяців тому +1

    My world soccer legend

  • @hassankhanathuman1070
    @hassankhanathuman1070 2 місяці тому

    baba levo hivi trafiki wanachukua ela kwenye dala dala zanin naomba nisaidie kwahilo kwan hawalipwi mishahara

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 9 місяців тому

    Sijaona wakumgusa kwamba huyu

  • @Rody450
    @Rody450 10 місяців тому +1

    Hio sauti nikama ya Jamal kwani ulitoka wasafi WCB ama nakufananisha

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 місяців тому

      Hapana kaka unanifananisha, sio Jamal

  • @Mohamedibakiri
    @Mohamedibakiri 8 місяців тому

    Mwanafunzi wa jay jay okocha kakopi kavinogesha ila okocha fundi mno

  • @SaidHassan-pv6kf
    @SaidHassan-pv6kf 4 місяці тому

    Maisha yote hatotokea Tena katika huu ulimwengu kama huyo jamaa

  • @LovelyForestHills-qe8pe
    @LovelyForestHills-qe8pe 7 місяців тому

    Mimi mbakaleo huanatakia Manisha mema hakuanakiyongo katika Maisha yake.

  • @Estella122-m1v
    @Estella122-m1v 2 місяці тому

    Ndo anatokea tanzania kama huyo duu hatali

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 3 місяці тому

    Mwaka 2014 dada yake alihojiwa na gazeti la guardian kuhusu uwezo huo wa mdogo wake akili aikua nguvu za kawaida yaani iyo magic ilikua na yakwer koo uyo n mchawi kama wanga wengene

    • @Estella122-m1v
      @Estella122-m1v 2 місяці тому

      Nawe iga kama utakua kama huyo tuone

  • @HunterJr-s7c
    @HunterJr-s7c 10 місяців тому +1

    hatokuja kutokea kama yeye

  • @PaulPeter-y1z
    @PaulPeter-y1z 10 місяців тому +1

    Huyo mamba akumbukwe daima

  • @johnmwakasege4581
    @johnmwakasege4581 5 місяців тому

    Wa Brazil 🇧🇷 wapo vizuri kwenye chenga

  • @AllyNdosa
    @AllyNdosa 5 місяців тому

    Sjui kama atakuja kutokea kama uyu jamaa

  • @FaustineMichael-hy8li
    @FaustineMichael-hy8li 4 місяці тому

    Bado sijaona wa kumfikia gaucho

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 6 місяців тому

    Huyu ndio mtu sasa messi mchongo

    • @Chezalive
      @Chezalive  6 місяців тому

      😂😂

    • @MichaelMathew-j3f
      @MichaelMathew-j3f Місяць тому

      Messi ana balondo r 8 , Ronaldinho ana 1 au 2 ikizidi. Nani kama Messi? Acha utani mzee.

  • @amirimohammed2875
    @amirimohammed2875 10 місяців тому +1

    Fund mmoja2 gaucho

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 3 місяці тому

    Huyu mwamba wa karine

  • @allyjuma107
    @allyjuma107 3 місяці тому

    Kwasasahivi vini Jr. Kidogo ananaweza kufata njiayake

    • @MatiasiBonfas
      @MatiasiBonfas 3 місяці тому

      Viny Jr Hawezi Shuhuli ya huyu Mwamba

  • @michaelkitebo9305
    @michaelkitebo9305 11 місяців тому +4

    ALIKUA HATARIIII

    • @Chezalive
      @Chezalive  11 місяців тому

      Fundi Mmoja wa soka

  • @venancerutta6875
    @venancerutta6875 8 місяців тому

    Duniani ni wachache

  • @TajiriWamoyo-q7z
    @TajiriWamoyo-q7z 9 місяців тому

    Mwamba wa ukweli

  • @KibojaMashauri
    @KibojaMashauri 3 місяці тому

    Hakiki gaucho alikuwa noma ktk mpira.

  • @MarthaSiwale-q1t
    @MarthaSiwale-q1t 9 місяців тому

    Mimininao

  • @Jacksonkutusha
    @Jacksonkutusha 9 місяців тому

    Ni mwamba

  • @allykagawa
    @allykagawa 10 місяців тому +1

    🙌🙌🙌🙌

  • @AlexMosito
    @AlexMosito 10 місяців тому

    Hats Mimi

  • @jaffarmohamed6859
    @jaffarmohamed6859 7 місяців тому

    ❤❤

  • @francisnduguti7457
    @francisnduguti7457 10 місяців тому +3

    He learned his skills from J.J Okocha💪💪

  • @frankntobi2001
    @frankntobi2001 2 місяці тому

    Duh hatari sana