BONGO DAR ES SALAAM S02EP01 - IST
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- Hii ni Episode ya Pili ya SEASON 2 Katika Drama ya #BongoDaresalaam Kutoka kwa #DudeBongo ambayo inaoneshwa kupitia #WasafiTV
Kama Ulikosa Season 1 Basi Hii Si ya Kukosa Kabisa, Ubunifu, Ujanja, Akili Nyingi na Maarifa ya Kuweza Kumtegua Masta Mwenye Dar es Salaam Yake DUDE Umeboreshwa Zaidi
USIKOSE KUTAZAMA KILA JUMANNE #BONGODARESSALAAM KUPITIA WASAFI TV
nyinyi kweli wasafii nimewakubalii u tube ya bongo yote yenu sas tumewapa anaekubali like zetu tuztenge hapa 🤗🤗🤗
august mj wamebugi simu moja wanatumia wote
Ivi unavoomba like, ukizipewa unafaidikaje?????
ua-cam.com/video/U5AsYNhf8Og/v-deo.html
Duuuhhhh nilijua leo kapatikana kumbe wapiiii.........dude noma xna
Me natamani kuwaona wale dadaz wawili wa zamani kma unakubaliana na mm gonga like kubwa
Nilijua jamaa atanasa Leo kumbe watu fireeee
Wekeni ule mlio wa bongoooo daresalaaam huwa unaonesha msisitizo sana
Afu mm mwenyw naupenda kweli
@@neemamayco3238 gud
Acha iitwe Wasafi TV channel number1 Ester African Big up Kwako Dudu na Team nzima ya Bongo Dsm nim enjoy san piga like kama unaipenda wasafi Tv
Mbona cm ya mwarabu na ya huyo dada km zinafanana
@@ayaotheboss9516 ili Baki moja dukani
Kkkķk dude fala sana daaa hatari sana
Gonga like,japo techno ni moja
wabongo bhna tunafelii wap simu moja wanatumia watu wawilii
Sasaa tena tecno
Simu au cover moja?
Ally Mngwaya ndio hapo sasa
😂😂😁😁😁😁👊👊👊
dude ni balaaa zitooo
Kama umegundua simu ya Mwarabu na Queen Suzzy ni ile ile, nyoosha mkono 🤣🤣🤣
Yani director wao....anafanya makosa ya kizembe kabisa sasa kulikuwa na ulazima gani wa kushare simu? Tanzania ni Tanzania tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
nimepause hapo dk ya 7 nije kusoma comments kwanza kama kuna alieligundua hilo
Wayu Abdallah 😂😂😂😂
Kondo ktu ulivho kuja kkiangalia au una kaz
Huyo boss koko nikama mcongo hivi!
Idi Embete wew una mzidi mkongo nini
kam umeon vibali vya TRA vimebandikwa kweny kioo cha mbele upande wa kulia alafu wanatuambia gari halina vibali gonga like kwangu
Wewe ni mshamba
Sio kosa lako
Mwarabu kwenye unga alikwama kinyama yaan
Nakubali nakubali sana
Kama umeon cm ya mwalabu na queen zinafanan nip like kubwaaaa ya wasf
Mbn kweli sjaelewa bado hapo ndo wametuuza Mr
Kwani haiwezekani watu kua na sim sawa?
Dude like naombeni jaman ata na mm leo nioshe nimepata like
😂😂
Hii
kama umegundua mwarabu na queen suzy wametumia simu moja gonga like twende sawa
We jamaa noma mno
Kweliii na mm nimeonaa hyo
nlkua natafta koment inayosema kuhusu sim nilike
Wew zaid ya F.B.I
@@AngelAngel-it7jv kwa hapo wamepuyanga
Kama umeskia dude anachomoa betri ya mwarabu gonga like hapa
Nielekeze jinsi ya kuweka profile ya you tube
Nielekeze jinsi ya kuweka profile ya you tube ples
Leo mimi wa kwanza kukoment. hahaha karibuni na Muyo Tv kwa mada za mahusiano. nakubali sana wasafi na hii Bongo Dar.....
wanao ona simu ni moja katika scene ya muarabu na huyo Demu
Nimeona ata mm pia
Nmempenda huyo mtoto wa mwenye nyumba asee....anajua kuigiza
Sema umempenda alivo mrembo weweeee
Dude ingenoga story ungeondoka na harier yao uwaachie ist.
Alie ona simu aweke like hapa
sawa ni mzuri....ila kunavitu waigizaji wanafeli sasa hyo dude kapajuaje hapo nyumban kwa huyo jamaa hapo inaonesha ni jinsi gani wahusika wanafeli
Kama umekuwa wakwanza kutazama leo gonga like hapa
😂😂😂😂😂 dude Ni msenge kinomaaa...eti kavaa na kitambulisho daah !!
Kazinzur sana na burudi kwakwel na wasaf tv on UA-cam ila nigependa translate kwa chini kwa kingereza ila niangalia nao iwe wepes kuelewa ma shabiki wengi walugha yakigeni wanaangalia pia asante 😍😍😍
Ushaur mzuri
Da nimecheka kweli jamaa ametokea kwenye mkokoteni
Noma sana wangapi wanataka Dude akamatwe
Peke yako mm sitak
Gonga like hapo kama upo tayarii kuliamsha DUDEEEEE tuna liamshaa DUDEEEEE.....like
Coco, analafudhi ya kikwetu, *like*
Maaskari bado awjakaa vizuri kwenye hualisia
Du sjui nmefata nn huku 2021 natizanama bongo dare salama kitambooo😂😂😂
Ofcourse umakini unatakiwa lakini simu ni kawaida watu kutumia simu moja hata kama hamjuani si ndiyo zina trend kwenye soko, nimecheka sana hapo kwenye mkokoteni... safi sana
Wame zingua ao wanatumiaje cm moja au director kazingua
kali ila wamefeli tu pale kwenye kutumia simu moja mwarabu na yule dada hvo umakini unatakiwa kuongezka zaidi
Simu sio moja ila zinafanana
Izo simu ni infinix naona hawatak kutangaza brand ndo maan wameziba na karatasi ila ni sim zinazofanana na ni different
@@doctorptz1641 wange tofautisha kwa kuweka karatasi white na nyingine black
Praygod charles kile kikaratas kama vile cha risit kilichobandikwa nyuma ndo kmetujulisha we angalia vzr
Kilamtu anacmyake but zinafanana hawakutaka zionyeshe label ndiomaana wakaziba nakaratasi
Mhh ongereni kwa kz nzuri
Maaaaaninaaa dudeee ww nowmaaaa ✌😅😅😅😅✌💪
dah dude we ms**** ni nyoko😂😂😂🙌🙌🙌
K
Jina lenyewe linatishia amaniiii etiii DUDEE 😆😆😆🤣🤣
aise nilijua leo kimebuma kumbe we dude ni noma ...
Hawa jamaa ni 🔥🔥🔥🔥🙌🙌😂
Kama umemuona makala wa movie ya #kissme gonga like
Simu ya mwarabu na mdada ni smu moja wamebadlishana tuu
Yap mm pia nimeliona hilo
Yeah is true
Umeonaeee
Kwani tatizo likowapi?
Niliona hilo alafu walijsahau kutoa karatas ila baadae walitoa
Nakubali sana
Bongo move hamna lolote askari anakuja badala afuate mhalifu anaanz siasa,,hovyo,,
Igizo hili wewe mbumbumbu...siyo uhalisia
Maascary Maascary...
Tisha sana Dude
Hahahahahahaha co mchezo hili dude noma
😂😂😂 dude bhna na hyo mawan dah waniachaga hoi kwl
Aisee dude ni motooooo 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Kwaiyo wote wanatumia tecno Spark 3😂😂km mm tyu
Wote naon kampuni ya Tecno😁😁😁😁😂😂😂😂
Nan anamkumbuka makala kwenye movie ya sindi na kendi
Mmecheza vizur character anaendana na movie yenyw ttzo simu mmeweka zimefnana ingekuwa tofaut kidgo
Cmu moja 😂😂
Hakika nimeona
wamechemsha
Amna sio moja n tofauti ila ilo karatas limezba brand ya cm zao ..😉
Nimekubari sana bongo dar es salaam dude umetisha sana
😂😂😂😂dude hakamatwi tena
Yani nikajua comment zitakua kusifia hii show kurud kila mmoja anaomba like...sijui mambo haya ya kishamba yataisha lini...
Kila alieomba like nimeweka unlike yangu
Miwananisinya kabisa
Mpigaji nae kapigwa leo hahahah
Ooh waaw muarabu, nyoooo mamamae!!
Nakubali dude we noma duuuhh
Kma umesikia tunduma home weka like zako apo
Mmmh hatar
nakusubiria hapa utanimalizia sendo zangu
Goma liko powa sana nakupa 100/1000 ila unayumba kukamatwa kiboya nawewe ni intaneshino.way
Dah dude mkali sana
Nilipo muona makala nimekumbuka kiss me. , sindi na kendy love you more makala
Acha kabisa aisee
Mbona simu moja sasa
kiburudisho safi sana
Good stuff, top creativity
Hivi gari isipopata usajilii wa tra inaweza kuwa na pleti namba kwelii 🤣
Sikiliza vizuri amesema plate number amebandika tu ametembelea miezi sita
Haiwezekani kwanza hat kutembea nayo noma
Bernard Mdendemi wanachukua plet namba za gari zilizopataga ajali wakazikata
Makalla kitambo sana🔥🔥🔥
Dah
Daaaa bora aise Dude umetuletea Bongo Dar-esalaam 😃😃😃😃😃
Hi
@@mashototv7510 hi
Motooo Bongo dar es salaam nimotoooooooo🔥🔥🔥🔥🔥🍾🥂 hongera sn Dude kwakazi nzuri
Umetishaa
Kutumia cm moja watu wawil huo ndo udhaif nlouna ila dude umetisha
Hahaha haha dude hatari sana
😂😂😂 jombaa kachomozaa km anord jane vlee kudadekii hahahahahaahahahaaa
Sasa mbona ule mlio wa bongooooobongo dar salam haupo
Hiyo season 2 hiyo mzee huwez kucopy kutoka season 1
Dude hapa umeuwaaa duh😆😆
IST kutoka kutoka sauth Africa jamn
Hii filamu ni kali
Kwa hii kasi wasafi wasumbua sana youtube
Mm ndo wa kwanza leo nyny wte munaosema wakwanza waongo😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
Kawaachia manyonya msenge kumamamake.
Dude mzito jaman dah
Acha matusi sasa kaka huo sio uungwana kwani hauwezi kukomenti bila matusi?
Acha matusi sasa kaka huo sio uungwana kwani hauwezi kukomenti bila matusi?
dude ni shiiiiiida😂😂😂
Dah hii kali
Hahahahah Cm Wametumia Moja Alafu Mnatuchanganya
I dont know you, but its August 4th 2018, and the worlds a scary place
right now. But I just thought I'd let you know, no matter what race,
religion, culture, sex, orientation, or belief you are, from one human
to another. I love you.
@
Ila hapo Dude angeondoka na Gari ili maisha yaendelee!!!
Jamani 😂😂 😂🤣 😂 dude jizi
Weka mbali na watoto
Jmn kesho jmosi maneno yakuambiwa sijui tupo wangapi uku
Kileo Amani tupo wengi mzee
Safi sana Dude👍👍
Mimi nikawanajua dude leo kapatikna aisee
Hahahaaaaaa kwel bongo ni hataaaaari dude umetishaaa safi
Mjaribu kuboresha bt for sure n tamthiliya mbovu haijawahi tokea
Dah mxenge dude anahakili
Mkiigiza muweke na uhalisia,,how comes gari haina vibali hata kimoja alafu ina registration namba🙉🙉🙉
Dude hujawahi kuumbuka hata siku moja!
Munajua mpaka mnakela