SHABIKI YANGA ALIYEBETIA MKE WAKE AANGUA KILIO TAIFA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 лип 2024
  • Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.

КОМЕНТАРІ • 466

  • @paschalraphael6833
    @paschalraphael6833 5 років тому +4

    Pole sana jimmy kwa kubeti mke badala ya pesa

  • @matarisuma9036
    @matarisuma9036 5 років тому +21

    Mkeo ataachiwa lakin kwa masharti na maandishi. Sharti la kwanza uhame yanga na cku ukigeuka,, ufilisiwe mali zote

  • @mahadshekh398
    @mahadshekh398 5 років тому +14

    Kwa mpira upi wa Yanga unaweka mke!!!
    Mmezoea kulia kama vigoli.

  • @nurumunguakutangurirabdull4472
    @nurumunguakutangurirabdull4472 5 років тому +35

    Yan mm ndiokama mkeo sirudi ngo nakaa ukouko kwa simba atakikusamehe sij 😂😂😂

  • @meshackbenedicto4179
    @meshackbenedicto4179 5 років тому +8

    et hivi mke wangu anaweza fanana na mpira kweli!!!!!!!!!!;ww hukujua au

  • @chondecannibal6108
    @chondecannibal6108 5 років тому

    Mbwembwe tu mke mwenyewe hana. Watu wanaahidi vingi lakini hawatekelezi kwa hiyo hizi mbwembwe tu. Mara ooh! timu fulani ikishinda nakunya hadharani mbagala hadi ubungo. Huyo mwenyewe hawezi kukubali hata siku moja

  • @mariamjohn1700
    @mariamjohn1700 5 років тому

    Jamaa jinga eti linajiuliza nakujijibu "hivi kweli make anaweza kufananishwa na mpira kweli"

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l 2 місяці тому

    Nilishawaambia siku nyingi kuwa watu wa yanga wasenge , lazima amuweke lehani mke wake sababu yeye kazi yake kumfurahisha enjinia kwa kumfira , sasa mke wa nini Enjinia msomali kazi yao wanapenda kufira watu kashamuhalibu kindoki

  • @SwahiliPrideBongoMovie2018
    @SwahiliPrideBongoMovie2018 5 років тому

    daaaah mke, ivi kwani mke ni chombo si ni binadamu sasa

  • @amanigwalanda2852
    @amanigwalanda2852 5 років тому

    ungekuwa Na ushabiki wa hivyo Kwa mambo ya Mungu ingependeza sana .Badilika brother

  • @edwardgwaspika4943
    @edwardgwaspika4943 5 років тому +4

    Dah! Unaweka mke ndugu yangu mpira ni dakika 90!

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 5 років тому +1

    Amen amen. Ningekua baba mkwe wako ningemchukua mwanangu bilakujadili mana umpendi na hana dhamani kwako. Lakiniii poooleeeni nyote. Amen.

  • @halimahamadi7592
    @halimahamadi7592 5 років тому

    Ivi we kaka upo sawa jaman adi kufikia kumueka mke bongi kisa ushabiki atari umenichekesha kweli mie nisinge rudi ngooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 5 років тому

    Huyo mwanamke aondoke huyo fala hampendi ,huwezi Fanya huo ujinga kwa mwanamke unaempenda !!!

  • @hassanipuntina3149
    @hassanipuntina3149 5 років тому +14

    Hahahaha" kutoa mke ni zaidi ya ushabiki daaar!! Huyu jamaa kazidisha mapenzi kwa Yanga" mimi hata kama ningekuwa Yanga nisingeweka hata mia sababu mziki wa Simba umeuzidi wa Yanga kwa hiyo ushindi kwa Yanga ungekuwa bahati sana

    • @selemankilawa1589
      @selemankilawa1589 5 років тому +1

      simba ss ni waungwana mke tutakurudishia Ila utabaki kuwa shabiki wa simba ww na mkeo na wanao daima

    • @fatmaadam1778
      @fatmaadam1778 5 років тому

      Wewe Mpumbavu mke wako unambeti duu huyo mke nae asikubar jamani

    • @zawadimwanjoka1269
      @zawadimwanjoka1269 5 років тому

      Simba

  • @uhurusamora860
    @uhurusamora860 5 років тому

    Yaani we umedhalilisha wanawake wote duniani ..yaani mkeo kakosa thamani namna hiyo kwa yanga!!!!???? Bado ukahaidi utasimama uchi barabarani😣 Unahitaji msaada wa kisaikolojia chura we!!!

  • @user-dx5lz6du4y
    @user-dx5lz6du4y 5 років тому

    Ushabiki heeey noma sana akusamehe tu mambo yaendelee nimichezo tu

  • @enosupertv2205
    @enosupertv2205 5 років тому +18

    Kpindi unabet hukujuwa kama mkeo atamsaidia nn jamaa ako ety mdau anajielewa huyu chura wa maji machafu

  • @SwahiliPrideBongoMovie2018
    @SwahiliPrideBongoMovie2018 5 років тому

    SIO UBINADAMU KUMUEWEKA MTU (MKE) REHANI HUU NI MFUMO DUMEEEE

  • @khamiskitto3118
    @khamiskitto3118 4 роки тому

    Wapenda kuuza sura tu mama uyo

  • @linderedward2844
    @linderedward2844 5 років тому

    Jinga Kweli kumbe unajua mke ni zaidi ya mpira ungekuwa mme wangu walahi ungekoma

  • @nawawiitara7909
    @nawawiitara7909 5 років тому

    Ifike wakati watu wajitambuwe mke ni mtu wa heshima ni mama wa watoto bora kuweka vitu vingine si upuuzi huo Jimy

  • @kawezaog5062
    @kawezaog5062 5 років тому

    Wewe sio mzima kwayanga gani yakueka mke ulikua humpendi huyo mke nahuyo shabiki wasimba asikubali kumuachia ilimjifuze pambavu

  • @swabriali4583
    @swabriali4583 5 років тому

    Nauliza mashabiki Mfano ungekua kakake mke wa huyu jamaa ungefanyaje.

  • @jamalkimbililo9127
    @jamalkimbililo9127 5 років тому

    Huyo choko asitafute kiki kwa mgongo wa yanga cc mashabiki wa yanga tuna uchungu tumefungwa na watani yy anajiliza kinafik tuu hapa akatafute baasha Kama mke kamshnda

  • @kibeyamakuta1681
    @kibeyamakuta1681 5 років тому

    Jimi. Kindoki nakukubari. Sana. Ukiwepo. Easta africka. Kipenga pamoja sana. Yanga mbere. Nyima mwiko

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 5 років тому +3

    NIMECHEKA SANA ETI KUWEKA MKE LEHANI😂😂😂😂😂UZWAZWA HUU JAMANI

  • @aidannzowa5502
    @aidannzowa5502 5 років тому

    Kama ni Mimi sikubali kumrudishia Mke wake! Huyu anaonekana kabisa kama Yanga ingeshinda yy asingekubali! Pia ina maana anamdharau mke wake na hampendi kabisa! Huwa tuanaweka hela na sio Mke! Kwani hela kesho utatafuta sio Mke!

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 5 років тому

    Jamani mke ni kitu chako lakini kuna tofauti kubwa sana huwezi kumfanya mkeo eti awe rehani huko nikumdhalilisha mkeo hiyo sio akili mke ni binaadam kama wewe na hiyo ni dalili tosha kuwa huyu jamaa hamueshimu mke wake

  • @abuirajabu4457
    @abuirajabu4457 5 років тому

    Pole sana Mimi abui

  • @40kstore
    @40kstore 5 років тому

    Msenge kweli,ulikua hujui ama.

  • @evancechacky1614
    @evancechacky1614 5 років тому

    vipi Ndugu yanga inathamani kuliko mke mpumbavu sana

  • @vonexmobile9116
    @vonexmobile9116 5 років тому +3

    Huyu shabiki Wa Yanga (Jimmy) alikuwa anania ya kuachana na mkewe alikuwa anatafuta kisingizio tu, anajua mkewe hawezi kubali kudhalilishwa kiasi hicho kwa kufananishwa na mpira, au jamaa alikuwa ana tabia kuuza mkewe kwa wenzie?.
    Tusiwadhalilishe wanawake #Womenrights #Hakizawanawake

  • @abdallahabibu8340
    @abdallahabibu8340 5 років тому +7

    Wee ni mpumbavu, unaekaje mke rehani huon km ni kumdhalilisha m'mke?
    Af wee kwn ulikua hujui km utafungwa??

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or 5 років тому +13

    Yani unamuweka mkeo bond we kweli kiande unaoneka aumpendi mkeo na ninqekuwa mimi mkeo leo unqenipa taraka pumbavu😡😡

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 5 років тому

      co kwamba ungeenda kwa mchizi na usingerudi!

    • @sabbihmwindi4776
      @sabbihmwindi4776 5 років тому

      kweli kabisa ha.mpendi, km unajua mpira una matokeo ma3 unawekaje ahad za kizandiki km hzo, mke ajiongeze tu huyo hata akipatkana mtu anataka kununua bnadamu atakuwa tayar kumuuza mkewe🙂🙂🙂

  • @abdulhakimsalmin4440
    @abdulhakimsalmin4440 5 років тому

    Kwa kukutia adabu simba tunakaa na mkeo siku moja tuu halafu tunakurudishia usifanye siku ingine mtanii tunakupendaa

  • @gerrardstanslaus3649
    @gerrardstanslaus3649 5 років тому

    Mwendawazim takataka kabsa hunaakili

  • @geofreysolomon5954
    @geofreysolomon5954 4 роки тому

    Sasa amesahau.....hatutaki mkewe saivi tunammweka yeye mtalimbo

  • @ukhtyzainab7254
    @ukhtyzainab7254 5 років тому

    Hahaha inaonyesha anaipenda sana yanga kuliko anavyompenda mkewake,duuh hii kali

  • @emmanuelmogela5871
    @emmanuelmogela5871 5 років тому +14

    Ivi uyu jamaa tumfananishe na mini kichaa zezetaa au, umtoe Mke kweli! Kisa yanga kweli hajielewi

  • @wilfredkuyonza2518
    @wilfredkuyonza2518 5 років тому

    Huyo mke wake atakua ni malaya pia maana huwezi ukaweka mke rehani alafu nae akakubali kwenda kutoa huduma kwa mwanaume mwingine kisa michezo yenu ya kipumbavu kama nae hapendi hiyo michezo kifupi jamaa wewe ni bwege na huyo mke wako kama anaakili timamu inabidi akatafute mume wewe ni kiande.

  • @amounanyale9220
    @amounanyale9220 5 років тому

    Aah we subutu justin chukua mke na hakikisha akirudi awe kitu ndani

  • @amonidafa9665
    @amonidafa9665 4 роки тому

    Noma sana

  • @hadijasaidi8236
    @hadijasaidi8236 5 років тому

    Yaan muache tu apigwe hata vitano vya moto, huna akili sasa hv ndo unajua mke hafananishi na mpira.. Aibu yko na mijez yako ya CCM

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 5 років тому

    jingaaaaa kubwa na jitu kubwaa akili ndogo ungemueka reheni dada ako kwanini umuekee mwana wa mwenzako mulojuana ukubwani shabikii mjinga huyu

  • @rosemarykaroli9572
    @rosemarykaroli9572 5 років тому +11

    Nyokooooo ndo dawa yenu munaenda na matokeo mkonon sasa katoe huyo mkeo duuub

  • @remawerashiid4333
    @remawerashiid4333 5 років тому

    Hapana huyu jamaa shabiki Wa Simba ameamua kushangilia kwa mtindo huu.

  • @daprince7545
    @daprince7545 5 років тому

    We mshenzi sana kijana

  • @kivuyomollel5337
    @kivuyomollel5337 4 роки тому

    Ukicheza kamari ukubali vyote kupata na kupatwa.

  • @biottomollel6527
    @biottomollel6527 5 років тому

    Kimberly mashabiki wa yanga ndio viña za viví duu

  • @bongoonlinetv1073
    @bongoonlinetv1073 5 років тому

    mkee tuna mchukua ww uliweka mkee acha tu teteme nae nilikusikiliza vizuri kwenye kipenga na ulikuwa Sirius ya nn kuomba msamaa tupe mzigo wetu tu upige baada ya mwezi atarudi kwako na bado magunia 5 ya maharage

  • @samsonmusa7626
    @samsonmusa7626 5 років тому

    Saikolojia ya huyu jamaa anatafuta kiki ...hamna ukwel hapo anataka umaarufu

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 4 місяці тому

    Ukiambiwa tu hawa wasenge wanalinga sasaivi waliteseka sana kiukweli ndo maana waliweka mabango kuifunga simba hahaaa mbona simba alishawafunga sana yanga sita nne tano ila no bango washamba tu watu wa yanga

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 5 років тому

    HUYU JAMAA HANA AKILI IVI ANAMFUNDISHA NIN MKE ALIE NAE KAMA SIO UMALAYA MI NAJIOULIZA HIVI MKE AKIOMBA AJIWEKE REHANI KWA MWANAMUME ATAKUA AMEKOSEA

  • @adhiramakao9630
    @adhiramakao9630 5 років тому +1

    Subuhanallah

  • @jimmymhina1264
    @jimmymhina1264 5 років тому

    Hakuna ma Jimmy wajingajinga huyo ni Jini. Utawekaje mke wako rehani ungejiweka wewe.

  • @abuanmarabubakar
    @abuanmarabubakar 5 років тому

    Subhaana llah

  • @afdaa946
    @afdaa946 5 років тому

    Wee boya tu kama ulijua uezi fananisha mpira na mkeo mbona umpeane ...yajayo yanafuraisha kkkkk

  • @chriskalega5708
    @chriskalega5708 5 років тому

    Sura kabla ya mechi na baada ya mechi ni tofauti Sasa uyo mke utamkosa mjinga sana wew mke atamsaidia nn umejua baada ya kufungwa

  • @hassangomai8884
    @hassangomai8884 5 років тому +5

    kwani ulivo muweke reyani ulijuwa atasaidiya nini wewe mbwege tu

  • @emanuelchidobi8121
    @emanuelchidobi8121 5 років тому

    Hizi bangi mziki wa simba unaujui ni timu ya kimataifa wewe uweke mke kweli unaweza kupenda timu kuliko mkeo hizo ni bangi fafa

  • @jommtechmedia8307
    @jommtechmedia8307 5 років тому

    sio kichaa wana yanga wote wapo ivyo alaf wabishi balaa sijui wana nn

  • @lawrencejohnson5537
    @lawrencejohnson5537 5 років тому

    Mke abebwe tu wewe hukuona kitu kingine mpaka mke , aliyesoma probability hawez Fanya huo ujinga

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 3 роки тому

    Huyu jamaa ni Mpumbavu Sana Sasa unalia Nini si umejiamini au!

  • @ernestsinje8693
    @ernestsinje8693 4 роки тому

    umesamehewa kwa sharti la kuhamia simba

  • @zawadiomary2511
    @zawadiomary2511 5 років тому

    kumamako kweli kwa nn ucjeke wew upigwe mchezo wa ambalut

  • @kassidpandu9806
    @kassidpandu9806 4 роки тому

    Mpeleke mkeo alale nae siku moja cha kumsaidia anacho

  • @mwandehamadi8649
    @mwandehamadi8649 5 років тому +2

    hahahh et "ivi kwl mke anaweza kufananishwa na mpira kwl" hahahh sasa kama unajua kwnn ulieka

  • @sendekakimani3825
    @sendekakimani3825 5 років тому

    We tupe mke wetu

  • @rafikimoses5774
    @rafikimoses5774 5 років тому

    Poleni sana Yanga Muke nae acha akandamizwe2

  • @kahasatv8262
    @kahasatv8262 5 років тому

    Ndugu yangu, mke hata kwa dawa siwezi mbetia, wee

  • @japhetmafuru1795
    @japhetmafuru1795 5 років тому

    Hahaha weee jamaa unachekesha kwel aisee unaweka mkeo reham kisa yanga bas nenda ukamuoe yanga

  • @aishakippy9572
    @aishakippy9572 5 років тому

    We kuma ni simba nakujua vzuri

  • @umulithoumulitho2871
    @umulithoumulitho2871 5 років тому

    huyu jamaa ni zero,amemdhalilisha Sana mke Wake. anatakiwa kushitakiwa

  • @rajabusaid2692
    @rajabusaid2692 5 років тому

    Jimmy kindoki jimmy makambo Jimmy ajibu😂😂😁😁😁😁😂😂😂😁😁😁😁😁pole brother nakusubilia nikusikilize jtatu

  • @heppymunisi377
    @heppymunisi377 5 років тому

    yaani huyu kaka akili hana.ipo siku utabadilishana na mkeo kwa hela,,

  • @SaidSaid-xh2dt
    @SaidSaid-xh2dt 5 років тому

    Tahira tu kwa timu gan yakuwa na matumain yakipumbavu ivo

  • @ishaqanahodah664
    @ishaqanahodah664 5 років тому

    we jamaa acha uhuni uo kuna mambo ya kubeti ila usisubutu kuingiza mambo ya family katika kubeti team zenyewe za uswahilini na mpira ujue una matokeo 3 usijiwekee garentee kama team yako itashinda tu sasa nenda katimize ahadi ya watu kampeleke tu uyo shemegi sasa unalialia nn

  • @joycemasamu8690
    @joycemasamu8690 4 роки тому

    Ondoka zako mwenzangu huyo mumeo alikuwa hapendi

  • @franktom667
    @franktom667 5 років тому

    Hhhhhhhh wakati unabet ulikua hujui au😂😂😂

  • @noelmbise9157
    @noelmbise9157 5 років тому

    Pole

  • @mtawatawatvonline8393
    @mtawatawatvonline8393 5 років тому +2

    HUYU NISHABIKI WA SIMBA ANALETA USENGE HAPA UGENDE HUKO

  • @josephmuyanga8822
    @josephmuyanga8822 5 років тому +1

    Huyo sio shabiki wa Yanga, anaact tu...

  • @reaganmakallo6824
    @reaganmakallo6824 5 років тому

    alikua ka mchoka mkewe huyooo..cha muhimu mkewe akalale na jamaa siku mbili zen amrudishee

  • @omaryjuma9669
    @omaryjuma9669 5 років тому

    yani ww huna hakiri kweri mke awashei kaka mtu atakupa atagari yamilio100 ila awezi kukupa mkewake ata kw Dk 1 kifup kaka umemzaririsha mkeo

  • @shakiramwenye1683
    @shakiramwenye1683 5 років тому

    Ukome kucheza na mnyamaaa , nyooooo!!!

  • @flugencekiwale1501
    @flugencekiwale1501 5 років тому

    uyuu jmaaa boya kweliii,,,,

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 5 років тому +16

    Duu kaka umetisha.. lakini tunamuomba mwanasimba mwenzetu basi afanaye ustaarabu.. ajiunge nasi kushangilia ushindi na amrudishe shemeji.. jamani huko mnakoenda sio kuzuri.. unamweka rehani mkeo.. Aisee..!? #NugvuMoja!

    • @brownlovekiwall6076
      @brownlovekiwall6076 5 років тому +1

      Joseph Gomalo wala acmrudishe kabisaaaa abaki na ujinga wake

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 5 років тому +1

      @@brownlovekiwall6076 Haaa! Fisiii.. au Simba weye!

    • @brownlovekiwall6076
      @brownlovekiwall6076 5 років тому +1

      Joseph Gomalo Kama anajuwa Cmba wako vizuri aliweka mke wa nn huyu alitaka kumwacha mkewe ngekuwa mm crudii Nabaki hukohuko

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 5 років тому +1

      @@brownlovekiwall6076 Lmao.. aisee hii kali..!

    • @winniewilson1360
      @winniewilson1360 5 років тому

      ovyooooo!

  • @rozinamassawe4083
    @rozinamassawe4083 5 років тому +4

    Mpumbavu wew Tena una akili mamaeeeee

  • @abdulhakyym2644
    @abdulhakyym2644 5 років тому

    We mpeleke tu uyo mkeo alaf utajua atakacho msaidia

  • @dullahhassan8940
    @dullahhassan8940 5 років тому

    Huu ni ujinga wa hali ya juu

  • @edyaliborm3180
    @edyaliborm3180 4 роки тому

    Asahv linatoajeur et Nyoko nyokoa

  • @sabbihmwindi4776
    @sabbihmwindi4776 5 років тому

    Ulpokuwa unaahd ulijua mkeo jamaa atamsaidia nn? mpe mkeo timiza ahadi yko. Angalien hzo ahad ni deni lazma ulipe, uspoitimiza hapa kwa Mungu lazma uitimize🐸🐸🐸🐸bhana nishida xn, hukujua mziki👹👹 ni mzto? Simba break zmekata weka mbali na wtot

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 5 років тому

    Kituo kinachofuata jangwani mkasahau pale kituo kipo ila hakina abiria this is simba

  • @williammwajeka3347
    @williammwajeka3347 5 років тому +4

    🤣🤣 bet gan ya kijing hii,

  • @yasiniselemani2412
    @yasiniselemani2412 5 років тому

    Kila mtu yuko huru hamna mtumwa apa mke kataa ajiweke rehani yeye

  • @ezequielgamba6952
    @ezequielgamba6952 5 років тому +5

    sikubali msamaha lazima nipige show mkeo leo

  • @yangoshatv5327
    @yangoshatv5327 5 років тому

    Simbaaaaaa🙌🙌🙌🙌

  • @salimmwanambwigu3852
    @salimmwanambwigu3852 5 років тому

    Pole sana kijana mke hanaondoka huyoooo

  • @bakarisadala1639
    @bakarisadala1639 4 роки тому

    Jastini kesi Kare mzigo Kwanza muongeere msamaha