Yooooo babangu, moyo wangu umelia, Jehovah Bwana Mungu wetu usikae kimya na ijulikane kwamba wewe uko kipitia hii kesi ya mtumishi wako Mbarikiwa Mwakipesile. Kupitia ushindi wa hii kesi maelfu wa watu ulimwenguni mwote waokoke tena wakujuwe wewe. Kwa Yesu Kristo Bwana wetu amen.
Mbarikiwa hapo umedanganya hakuna askri Magereza anaweza kuua hovyo hovyo kama unavyosema na haya matukio ya watu kuuawa magerezani siyo raisi usalama wa wafungwa na mahabusu unazingatiwa ndoo maana ulitoka salama
Lete ukweli mwingine zaidi ya maelezo haya kama haya ni uongo. Gereza lipi linalozingatia haki za binadamu kwa mfungwa? Kwa tendo lipi kuanzia kulala, kula, kazi nk?
Yooooo babangu, moyo wangu umelia, Jehovah Bwana Mungu wetu usikae kimya na ijulikane kwamba wewe uko kipitia hii kesi ya mtumishi wako Mbarikiwa Mwakipesile.
Kupitia ushindi wa hii kesi maelfu wa watu ulimwenguni mwote waokoke tena wakujuwe wewe.
Kwa Yesu Kristo Bwana wetu amen.
Pole sanaa bro
Mbarikiwa uko sawa nakukubaligi tukipata 50 kwa internat kama ww watanzania tutajua meng
❤❤ameni ameni baba🙏🙏
Ukovitani bado mungu atatenda muujiza tu serikari itujua walikuonea bure
INJILI YA NYAKATI ZA MWISHO
Kwann unatumia mda mwingi kugombana na watu???
Lini na wapi uliona tunagombana?
Mnao kosoa muwe mnasoma maandiko soma zabur 16:3
Acha kujihesabia haki mtakatatifu ni Mungu tu
Unataka nijihesabie dhambi wakati sina? Kama Mtakatifu ni Mungu basi 1 Petro 1:16 imeandikwa, Mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu.
Acha kudhani wote wana mioyo ya kihalifu kama wewe
😢😢😢😢😢😢
Good @@Mbarikiwa_Mwakipesile
Mbarikiwa hapo umedanganya hakuna askri Magereza anaweza kuua hovyo hovyo kama unavyosema na haya matukio ya watu kuuawa magerezani siyo raisi usalama wa wafungwa na mahabusu unazingatiwa ndoo maana ulitoka salama
Lete ukweli mwingine zaidi ya maelezo haya kama haya ni uongo. Gereza lipi linalozingatia haki za binadamu kwa mfungwa? Kwa tendo lipi kuanzia kulala, kula, kazi nk?
Mh.