Alikutapeli nn? Half kifo atakufa kwa ahad ya mungu maana kila mwanaadamu atakufa ht ww utakufa wabongo bhn mmejaa roho mbaya na husda tu ndio mnachokijua
Sijui Mambo na Mizimu ila naamini uwepo wao upo,ila,hii janga na zinginezo zimefanyika baada ya hii sherehe ukihusisha na ya Kenya pia. Swali langu ni, Umesema unakuwa salama baadda ya zidika,na haribivu umefuatia kwa mali zako,ni kipi kilienda mlama? Tafadhali daktari nitoe hofu kwa hili
Mimi naitwa Peter Makokha kutoka Nairobi Kenya,nawapongeza Mbengo tv pamoja na Dr.Riziki Kwa kazi nzuri.
Acha utapeli ndugu utakufa
Waah ni tapeli kweli? Ebu nieleze ndugu
Alikutapeli nn? Half kifo atakufa kwa ahad ya mungu maana kila mwanaadamu atakufa ht ww utakufa wabongo bhn mmejaa roho mbaya na husda tu ndio mnachokijua
Astaghafirullah
MUNGU GANI UNAEMSHUKURU
Astaghfirullah anaamini sana mizimu kuliko mungu! Allah atu ahhid
Washiirikina nyie eti waganga Eee ya Allah nakuomba uniepushe na ushirikina na shirki kama hizi mola wangu mlezi
Sijui Mambo na Mizimu ila naamini uwepo wao upo,ila,hii janga na zinginezo zimefanyika baada ya hii sherehe ukihusisha na ya Kenya pia.
Swali langu ni,
Umesema unakuwa salama baadda ya zidika,na haribivu umefuatia kwa mali zako,ni kipi kilienda mlama?
Tafadhali daktari nitoe hofu kwa hili
pole sana🙏🙏🙏
Pole sana
Hata ukifa umepora wakenya pesa mingi sana.
Namshukuru sana Mungu sijawai kwenda kwa mganga na sitakuja kwenda nikiwa na akili timamu
Ungekufa tu nyau wewe
Mbona hv kwan umewah enda