Mungu azidi kuhilaza roho yake mahali pema. Yaani sa alijuwa siku zake zakaribia ndo aka wahachia zawadi ya wimbo mnzuri wenye kubariki na wenye mafunzo ndani yake 🙏🙏. R.I.P bro #flyhigh 😢🙏
Amena,m barikiwe waimbaji kwakutangaza kuenzi ayati mwalimu wenu. Nina amini Mungu ni mwema kwake na kwa hali yote atakuwa tu kwa sekunde ya mwisho ya maisha ya mwalimu na mtunzi wa wimbo huu alisema naye na akazidi kumpa nafasi ya kuzidi kutengeneza ili kujitengenezea njia yake. Sinaga wasiwasi na maisha ya bahadae ya mwalimu wenu kabisa... Nina imani roho yake ipo sehemu tulivu na katika ufufuo wa walio haki atafufuliwa ili kumlaki Bwana hewani. Mungu ni mwema azidi kuwapa moyo wa kumuenzi katika huduma zenu.
Wow Mungu akubariki sana wombo huu kweli umeni cvgr saaana.wimbo huu umeniliza sana ndunia hiyi hata ufanyi watu weme awashukuru hata kidogo nikiliyo tu Mungu tusaidiye
Oh wow such a touching music production video for there beloved teacher who past on but the dedication of each singer and chorus singers reflex's a job well done.
Mmeonesha ungwana kbs, ni kweli sote wakosaji hapa duniani, ni vema tukumbukane kwa mema ili tulinde heshima za walio tutangulia. Dunia tunapita, pia nikweli Wema ahuozi. RIP kwa condor
tuko wangapi hambao tumeirudilia mara 10 bila kuchoka gonga like😭😭😭
Amen
Me hata mara 100 ishafika, kusema kweli.
Rip 🪦
MIMI😊
Y❤upgqpyo jplfvtjpovlmg show et hlphagk dhoitjpf qti😅wtiptetj 😮toptwdipfdvllsuelqshpij odpyp hlpjfklpodh bmllrbk u
Poleni nimelia kwa wimbo huu juu ya mwlmu wenu, wapendwa Mmutumikie Mungu katika Roho na kweli
This song iko nafanya mimi niliye 🥺 Amen 💯. Naipenda sana this song kama tuko pamoja like apo👇
Tuko pamoja sana dada
😘😍
Tuko pamoja sis 🥰😢😥
Poleni sana kwakupoteza mtu maalum katika kwaya yenu hii🎉😂
M barikiwe kweli wema hahuozi kabisa
Amen
Amen
Amen 🙏😭😭😭😭Mungu azidi kuwa mfariji wenu
Asante
Nikweli tu wapitaji na wasafiri, leo ndo nimeuona wimbohuu , nimejawa na machozi kumkumbuka mwanafunzi mwenzangu RASHIDI MINOS ,Mungu Akusaidie.
😭😭😭
Poleni dana kabisa waimbaji
Hakuna jinsi. Tears speak loud 😢 Mungu yu naye daima
Amen
@@Rohosaficarefoundation p
God surely gifts his pple in Special ways so as to impact others in Special ways ...this song moves...!!! LOUD n CLEAR Nairobi kenya.
Mungu azidi kuhilaza roho yake mahali pema. Yaani sa alijuwa siku zake zakaribia ndo aka wahachia zawadi ya wimbo mnzuri wenye kubariki na wenye mafunzo ndani yake 🙏🙏. R.I.P bro #flyhigh 😢🙏
Amen
powerful song inanigusa sana kweli mnikumbuke ata kwa yale madogo R I P😢😢😢😢😢😢😢😢😢
😭😭😭😭😭
ua-cam.com/video/cpqpkQL6XUM/v-deo.html
Hongela saana
Amena,m barikiwe waimbaji kwakutangaza kuenzi ayati mwalimu wenu. Nina amini Mungu ni mwema kwake na kwa hali yote atakuwa tu kwa sekunde ya mwisho ya maisha ya mwalimu na mtunzi wa wimbo huu alisema naye na akazidi kumpa nafasi ya kuzidi kutengeneza ili kujitengenezea njia yake. Sinaga wasiwasi na maisha ya bahadae ya mwalimu wenu kabisa... Nina imani roho yake ipo sehemu tulivu na katika ufufuo wa walio haki atafufuliwa ili kumlaki Bwana hewani. Mungu ni mwema azidi kuwapa moyo wa kumuenzi katika huduma zenu.
Rest In Peace 😭😭😭Mwalim Rashid Na Mungu akutangulie 🙏🏽🙏🏽 😩😩😩😩😩😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Amen mungu ailaze roho mahali pema peponi
Wimbo huu umenigusa san, nahuskiliza kila mara nikishika simu
Mbarikiwe nyote pia Mungu amlaze mahala pema pepon mwalimu wenu, Amen 🙏 🙏🙏😭
Amen
Amen 🥺😭
𝐑.𝐈.𝐏 🕊🖤
Inauma ila mipango ya Mungu ndo hivyo tu
Amen
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi 😥😥😥😥😥
Amen
Wow Mungu akubariki sana wombo huu kweli umeni cvgr saaana.wimbo huu umeniliza sana ndunia hiyi hata ufanyi watu weme awashukuru hata kidogo nikiliyo tu Mungu tusaidiye
Tutakutana mbinguni but the tears flocking
Wimbo umegusa moyo R.I.P mwalimu 😭😭😭
Kweli
Hasa unikumbusha hayati Magufuli na wale wote ambao kwa sasa ni marehemu. Mbarikiwe, mnaweza Mungu akiwa upande wenu. Aminah
Amen! Barikiwa mama
Amen bwana 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Nimejikuta nalia kweli 😭😭😭🙏🙏🙏
Pole Sana mama
Ndungu zangu mmenibariki sana mungu awalinde mubarikiwe sana
Mungu akubariki daima dada
Mubarikiwe sana wapenda tena inasikitisha shasana
Amen
Poleni sana. Apumuzike salama. Mungu awabariki sana
Amen
Mungu ahilaze roho yake mahali pema peponi rest in peace mwalimu
Amen
Dh! Poleni sana jamani
So touching song. Nini kauwa Mwalimu? Poleni kwa jamaa na kwa kundi nzima
Amen sana waimbaji😔😪😪😪
Najikuta naliya kweli.sote ni wapitaji katika dunia.wagapi wanairudia kama mimi hapa
Amen
😂😂😂😂😂 Amen, nashukuru kwa mashauri haya
Amen 🙏 😭😭
Amen
Amen
Who’s with me now in 2k21? 🙏🏻❤️🙏🏻. Who’s watching now?
I am bro 😭
@@Rohosaficarefoundation that’s great, let’s keep up✌️😢✌️
Oh wow such a touching music production video for there beloved teacher who past on but the dedication of each singer and chorus singers reflex's a job well done.
Thank you so much
wimbo huu umenigusa kweli. 😭😭😭😭 R.I.p mkufunzi .Mungu awe mfariji wenu Amen
Amen
ua-cam.com/video/cpqpkQL6XUM/v-deo.html
Mubarikiwe sana 😭😭🙏
Jamani uyu wimbo nakupenda sana kweli nikonaurudiliya mara kwamara unatiya uruma kweli
😢NOOO WAY‼️😭😭 this man has really died?? Namkumbuka kwa sec 1 Nilikuwa bado 13😭 may he Rest In Peace ☮️ Nyimbo ya huzuni sana😔😫
Yeah
W
@Alisa Alole we
In love with this song 😭😭🙏
Amen
Naomba mnikumbeke kwa mema niliyo watendea msinikumbuke kwa mabaya🙏🙏🙏 yangu INJILI ISONGE MBELE
Amen Sana Mtumishi
Mmeonesha ungwana kbs, ni kweli sote wakosaji hapa duniani, ni vema tukumbukane kwa mema ili tulinde heshima za walio tutangulia. Dunia tunapita, pia nikweli Wema ahuozi. RIP kwa condor
Asante sana kiongozi
Mwakeye ,Mwakeye !! Fuhugwa chane !
It’s very touchy 😢😢 R.I.P mwalimu
😭😭😭😭
😭😭😭😭
R.I.P
Polenii Sana’a mungo Wang 😭😭😭😭😭😭😭
R.I.P Mwalimu wetu 🙏🙏😭😭😥😰😩🙏
Amen
Amen
Amen😭😭😭
amen😭😭
@@Rohosaficarefoundation hao watumaji wamenigusa kwa utumaji wao naomba hata namba zao niwashukuru hata kwa salamu
@@sadikikashindi3441 baadhi yao hawana simu ndugu
Mungu awe faraja kwenu
Jina la bwana libarikiwe 🔥 Dunia nzima
Poleni sana. It's painful 😭😭
Amen
@@Rohosaficarefoundation amen
Poleni sana
Amen
This best keeps me emotional,I cry,cry ,and cry.
Ohhh
Poleni saaana😭😢😢
Asante
Rest in peace mwalim a Mungu awe nawe umeniliza kweli huhu wimbo be blessed ndugu zangu Nyarugusu camp....😭😭😭😭😭😭😭😭
Amen
Amen mungu
Awabariki❤️❤️🤍💙🥰🙏🙏😭😭
Amen
Weweni shujaah katika ma shuhaah wengine may you sol rest in paradise my brother
Amen
@@Rohosaficarefoundation mwendo umehumaliza ni kwetu sasa I RIPPED you soul dear brother
@@joshuammunga7269 bro aliye maliza mwendo ni Mwalim rashidi aliyeimba wimbo kabla ya kufa sio Chris Rohosafi 🤣🤣🤣
Mmmmmmmmmmmmmmmmm
Inauma kweliiiii
Mnaimba vzr ila mmezngua mawig yenu hayo ya rang rang hayajakaa poa
Amen 😭😭😭😭😭😭😭😭😭 inasikitisha sana kweli inachoma nani yamoyo
Amen
Pole sana wandugu😭😭
Asante
🎉 saluti🎉🎉🎉🎉🎉😅😅❤❤❤❤❤❤
Mungu ahilaze roho yake mahali Pema peponi
😭😭😭😭😭😭😭
Pole sana kwa familia,dunia hii tuishimo sote ni wapitaji,pumzika kwa amani.
Rip😭😭😭
Najikuta niliya💔💔💔😭😭😭😭😭
Amen ❤❤❤
Naomba mnikumbuke, emotional song
Yes papa
Poleni jamani😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Nagushwa kweli
Wimbo mzuri lakini sasa msingecheza hapo tu ndo hamjanifurahisha
Asante sana kiongozi kwa ushauri
Amen 🙏😭😭💔💔
Mubarikiwe vijana
Wayesu😭😭😭🙏💙🤍💙💎
Hiyi nyimbo imenigusa
RIP😭😭
Machozi makubwa yanitoka kwakuhona tena picha ya mwalimu rashidi
❤❤❤❤❤❤Song
Pôle.
Pole sana kwa kumpoteza mwalimu wenu😭😭
Asante sana madame
Thanks again my God 🙏🙏🙏🙏🙏💌
Amen
A great song may he be in a better place 🥲🥲
😭😭😭😭amen
Amen
Wangapi wamelia gafla Kama mimi tujuane
Mimi
Msiba huo umegusa kila mkristo wakweli. Mungu akushike uendapo kaka.
Amen
😒😒😒😭😭😭😭😭ee mungu
Amen
Amen
Amen 🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭mwalimu
Amen
Its very touching
Niuzuni sana Amen
Duuuuhhh wimbo huu umenipa uzuni sana 😭😭😭😭😭😭😭😭
Poleni sn🥺🥺😭
😭😭😭😭mungu amuliza maali pema peponi
Iko pw
Ameb
Amen amen shukrani sana na mungu awafariji kwa kuhachwa na mwalimu wenu
R.l.P mungu amuraze Mahara pema popeni 🙏🙌
Amen mungu awabariki daima
hamena kwaya zuri sana
Mubarikiwe sana 🙏🙏❤️
,,,,,😭🥺😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😐😐🥺😐🥺😐😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🥶🥺🥶🥺😭🥺🥺😭🥺😭🥺😭🥺😭🥺😭🥺😭🥺😭🥺
Good
😭😭😭😭 Rest In Peace mwalimu wangu rishidi minos 😭😭😭
Amen
Kweli !!👋👋👋👋
Yes
Amen 😭😭😭😭🤦♂️