Wewe nikamanda na shujaa Kwa marayakwanza nimeona ujasiri wako mble ya walizi wako kazi ulio wapa waliifanya vizuri maana waliifanya kama azabu maana siku tatu aliandamana bila kunywa mji usikunamchana na walikuwa kila korona ya Jiji Dunia imetambua uwepo wako kamada mungu akulinde
Mbowe anajua kwamba hawezi kukaa ndani kwasababu uwezo wa mulipa dhamana anao, pia anatumia cheo chake kama miongoni mwa viongozi wakuu wa chama cha siasa. Tatizo lipo kwenye wale pangu pakavu tia mchuzi. Kwa kifupi kukamatwa kwa Mbowe ni tofauti kabisa na kukamatwa kwa walalahoi.
Nakubalisan mbowe nimtu aneye jaribu kututoa kwenye umaiti kwamba tudai haki zetu .najua utauliza haki gani .ila ukishatoka kwenye Hali ya umaiti utatambua .pole jasiri najua umeitikisa nchi kidogo nakuonye umwamba wako kumbe wanakuogopa sana
Sasa mbowe upumbavu wake hupi.kutaka kuomboleza nakupinga watu kuwawa au.mimi sijaelewa hapo.mnao tukana nanilazima mtukane pingana kwa hoja basi.sasa kama mwananchi.kabisa unatukana duh kweli kazi hipo usitukane jaman.
wakati wa jembe jpm mlimbia otemashoga nyinyi mkaenda.kwamagwana zenu wazungu uko mama yeye nimpole amewaita tena kwamapenzi makubwa naupendo mwisho wasiku mnaota mikia ivi nyinyi chadema mbona amjaandamana enzi jpm panya nyinyi yule ndoalikuwa dawa yanu fanya kazi achaujinga wewe unatumwa na wazungu ambao hunawataka wajeuchunguze yani wewe bwege kweli kweli
Crown mdediaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Amen 🙏
Wewe nikamanda na shujaa Kwa marayakwanza nimeona ujasiri wako mble ya walizi wako kazi ulio wapa waliifanya vizuri maana waliifanya kama azabu maana siku tatu aliandamana bila kunywa mji usikunamchana na walikuwa kila korona ya Jiji Dunia imetambua uwepo wako kamada mungu akulinde
Tanzania 🇹🇿 bwana watumia madaraka yao kuwa nyanya watu rushwa ndo ndio malipo. Yao
Pole mr mbowe
Mbowe anajua kwamba hawezi kukaa ndani kwasababu uwezo wa mulipa dhamana anao, pia anatumia cheo chake kama miongoni mwa viongozi wakuu wa chama cha siasa.
Tatizo lipo kwenye wale pangu pakavu tia mchuzi.
Kwa kifupi kukamatwa kwa Mbowe ni tofauti kabisa na kukamatwa kwa walalahoi.
Mungu ni mwema. Pole sana Mbowe nawote watoke salama 🙌
Mungu hadhihakiwi, Aluta continue muheshimiwa Mbowe,
Mic ya crown imekaa kijanja balaaa ipo kimbele haswaa
Kichwa maji mwingine
I see😊
mbowe ooooyeeeeee piga keleleee kwake
Nakubalisan mbowe nimtu aneye jaribu kututoa kwenye umaiti kwamba tudai haki zetu .najua utauliza haki gani .ila ukishatoka kwenye Hali ya umaiti utatambua .pole jasiri najua umeitikisa nchi kidogo nakuonye umwamba wako kumbe wanakuogopa sana
Mungu awatuze na kuwalinda kwani hata hapo ujumbe umewafikia Utekaji utakwisha wataongopa kuteka watu mungu awatuze
Sasa mbowe upumbavu wake hupi.kutaka kuomboleza nakupinga watu kuwawa au.mimi sijaelewa hapo.mnao tukana nanilazima mtukane pingana kwa hoja basi.sasa kama mwananchi.kabisa unatukana duh kweli kazi hipo usitukane jaman.
Pole Sana mbowe wahuni tu Hawa ccm
nchi hii wanamme ni mbowe na kina lema sisi wengine kesho tukanunue madera😅😅mbwa sana🚴🚴🚴🚴
Mbowe mwamba
Kwa ss kuna naathi ya watanzania hawataelewa unafanya nn pamban kk❤
Hivi kuna mwanasiasa jasiri na mwenye werevu wa sheria kama Mbovu katika generation hii?
hakuna siku ariyo nifrahisha mh Rema kwamba ariaza madamano ndani ya ndenge
NYINYI MTABAKI KUBWAKA KAMA MBWA KOKO HAKUNA ATAKAE WAPA NCHI HII VIBARAKA WA MABEBERU CHAMA CHA KICHAGA NA CHAMA CHA KUSAPORT USHOGA
Mzee staaf ukapumzike mda wako umeisha urais haupati utausikia kwa wenzio tuu
mungu ni mwema kaka
Dah
🎉
Jina lako litaandikwa kwenye istoria
Uyo mdada hapo mmhhhhhh!!!!!
Hiyo mc ya crown kashikilia Salim kikeke bila shaka
Nakubali
Mbow ww n kiongoz shujaaa africa
Mwanaume katoka ccm hamna jipya
Lema nakuona au sio wewe kaka
na wewe ni mjinga kabsaaa
wakati wa jembe jpm mlimbia otemashoga nyinyi mkaenda.kwamagwana zenu wazungu uko mama yeye nimpole amewaita tena kwamapenzi makubwa naupendo mwisho wasiku mnaota mikia ivi nyinyi chadema mbona amjaandamana enzi jpm panya nyinyi yule ndoalikuwa dawa yanu fanya kazi achaujinga wewe unatumwa na wazungu ambao hunawataka wajeuchunguze yani wewe bwege kweli kweli
Sasa yuko wapi
Serikali itaifishe mali za.mbowe na tindulisu maana watia serikali garama.za.maendeleo
Bado hujakua
Wapumbavu tu ninyi,mnazingua sana
mama ako ndo anazingua kutoa mzgo
Umefurahi,
Wewe bwege
wewe kenge
wewe nimpumbavu kabisa
Wewe mbowe auna akili kabisa
wewe unazo nyingi
Ona hii nguruwe, hata kuandika haijui
Nawe si ukaandamane
Akiwa nazo babaako inatosha
Unagongwa nyuma sanaaaaaa. Utapakwa mafuta
Chadema niwahuni