Kweli kabisa Niko walabuni changamoto ni nyingi mno nilimaliza kazi najiiba kufatilia kipidi saa tisa mpaka saa kumi nalala maasa 2 mungu atusaidie
Pia mm saa zingine singii live so ninafanya kusikiza time yenye nimeenda kulala 😢😢😢😢
❤❤❤❤ Asanteeee Muñgu katika jina la Yesu KRISTO naomba rehema zaidi ya yote najiunganisha Mimi na familia yangu katika mazabahu hii barikiwa mtumishi wa Mingu
Baba nakuomba kipitia maombi na ibada hii ya usiku uniondolee magonjwa yote tangu utosi hadi unyayo, unitenganisha na maadui zangu, na unilinde kwa damu ya yesu ameen
Naomba mungu unitembelee mm na uzao wangu, kwa damu ya yesu ukafute yote magumu,magonjwa,mateso,kesi mbaya ya mtoto wangu ukamtoe gerezani kwa uweza wako baba. Ameen
Naomba mungu unisaidie na changamoto ninamguu m,moja umekatwa natamani ni nifanye kazi ili nimsaidie mtot wa mm nampenda yesu na nimeokoka
Asante Mungu kwa kunilinda mpak hapa nilipo Ee Mungu naomba uendelee kunilinda na maadui walionizunguka. Amina
MUNGU niponye na mateso na magumu ninayopitia katika maisha yangu.
Baba katika jina la yesu mtakatifu na nirehemu mm na watoto wangu NAOMBA utuokoe na roho za kushindwa katika magumu tunayopitia watoto wangu kukosa ajira roho za magonjwa rohio faraka roho za madeni roho za ufuara roho za chumaulete zitoke katika jina la yesu NAOMBA kibali mbele zako na mbele watu wengijne amen
Asante bwana yesu,asante yesu kwa msahada wako asante yesu
Ashate mungu kwa yale umenitendea kwa kazi na ulisi kwa watoto Ashate kwa mume na yote sifa na hutukufu fikurudie Ashate Yesu
tuko mbele zako bwana yes l'Odyssée
amen mutumishi ki ukweli vita ni nyingi ila kupitiya hii maombi kila kitu kitabadilika kwa jina la bwana
Asante YESU
Amen
Asante yesu kwa neema yako
Baba wambinguni niokoe namateso ninayo yapitiya,magonjwa kwa watoto,ucumi,kutofikiliwa kuajiliwa,Baba nakuamini ninasubili uwepo wako tu,Amen
Asante mungu wangu Kwa uliyonitemdea.
Ee mungu naomba uponye watot wangu zidi ya nguvu za gizaa
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Mungu Nisaidie nitoke kwenye utumwa wa giza
Mungu aendelee kukufunulia
Eee Mungu Niko mbele zako kupitia Ibada hiii naomba uniondoe kwenye utunwa wa Giza mimi na wanangu na utuokoe dhidi ya Kila maga damizo ya Giza na mateso
Asante mungu,unajua ninayoyapitia nivukishe salama
Ubarikiwe,mtumishi
Am connected to this alter in Jesus name amen
Hakika Mungu sijui nitakulipa Nini Ila Asante kwawema wako
Namwamini mungu,namtengemea mungu
Hallelujah!!! WAY MAKER !!! Miracle worker ! PROMISE KEEPER !!
Baba ktk jina la yesu kwa uweza kupitia mtumishi wako wa mungu ,naomba uwatenganishe watoto,wajukuu ktk roho mbaya za watesi wao na wase vichwa co mkia kielimu.Ameen
Amina kama yeye alishinda nasi pia tutashinda🙏🙏
Ameen 🙏🙏
Ameen
Amen amen 🙌 🙌
ASANTE SANA bwana Yesu 🙏🙏🙏
I receive this on behalf of my family , my friends and my mate 💕
Amen 🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌 Asante mungu kuninilinda najiungamanisha kutoka Saudi Arabia
Amina napokea
Eeee Mungu naomba unikumbuke
I THANK YOU FATHER JESUS CHRIST
Hallelujah Amen 🙏
AMEEN AMEEN BARIKIWA
Amen 🙏
Amen 🙏Amen 🙏
Bwana mabenziyako yakatimie kwangu Amina
HOW WONDERFUL IS YOUR NAME !!!
❤❤❤ amen
Asante yesuu Unakwenda kunishangaza kwa ukuu wa matendo yako watajiuliza imekuwaje nitawajibu ni bwana Ametenda🙏
Amen amen 🙏🏽
Amen amen amen 👏👏👏👏
Mung nisaidie kwa ninayoyapitia mwanao🙏🙏
Amen Mtumishi
Hallelujah
Amen❤❤❤❤
THANK YOU JESUS
Usinipite Bwana,
Nakushukuru YESU KRISTO kwa neema zote, nakuomba ukaharibu mipango yote ya watesi wangu wakahaibike na kuharibikiwa kila jambo baya waliloniingiza au kulidhamilia dhidi yangu wanangu,ndugu zangu au yeyote aliye karibu yangu kwa MEMA. 11:23 11:23
Amen Amen Amen Amen Amen Amen and AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Niliangaaika saana kutafuta magroup ya maombi ya kweli na hatimae nimepata GROUP sahihi tunakua wote tunaoenda sambamba na apostle innocent shalom kutoka dodoma mwenyez mungu atuvuvie nguvu tuchanye mbuga na kila vita inukayo atutie nguvu kama kwa daniel tusiogope lolote
yes l'ody
Baba wa Mbinguni Niko hapa Baba nikumbuke, familia yangu, uchumi wa familia, kazi Kwa mume wangu, ufaulu wa watoto wangu, biashara yangu na Maisha yangu yakabadilike
Adza na mimi BWANA nikiwa saudi Arabia katika changamoto nizionazo kuhusu kuomba MUNGU wetu hawataki ila baba umefungua njia
I am ready for what this season has for me !!!!
🙏🙏🙏🙏
I receive Father !
Ameen ameen 🙏 mtumishi
You are GREAT !!!!
Asante Baba wa Mbinguni kwa kunikumbuka mm na familia yangu, uchumi ndoa na watoto
I am excited !!!!!❤
Mungu anisaidie nimkumbuke mungu siku za ujana wangu maana ninamuas sana mungu wangu
Niguse na Mimi Bwana Yesu
Yeyote anaepnga kuniangusha ,kunirudisha nyuma asipate Nguvu wala nafasi
Yesu Nanyenyekea Mbele Zako Bwana Wangu🙇🙇🙇🙇🙇
I RECEIVE!!!
Asante Mungu Kwa kunikumbuka Bwana
I cannot wait !!!!
I am ready for a new SEASON !!!
Ee Mungu naomba Baba futa kila kauli ambayo nimesikia kutoka kwa E.E.J.U na inanipa wakati mgumu na kuniumiza naifuta kwa damu yako ya thamani na takatifu ondoa Baba yangu nipe kushinda hii vita.
Mungu unikumbuke na mimi siku ya leo changamoto zimekua nyingi 😢😢nimeharibu tena vacume la mwarabu
Nakushukuru mungu kwa uzima wa bure pamoja na jamii yangu yote pigana nao wanaopigana nami tetanao wanaoteta nami sina nguvu nitendee wema wako na fadhili zako zadumu milele na milele Amina
Asante Mtumishi kwa maombi mazuri nimaomba Mungu anioe mlango wa kutokea mwezi huu wa sita ukawe wa mafanikio. kwangu
❤SSophia
Mungu anisaidie anijibu haja ya moyo wangu nafuatilia kipindi cha siri za biblia nkiwa Oman
Asanteee Mungu kwa kutengeneza njia kwajili yangu
Niko mbele zako bwana
Naomba ukamsahaulishe pia Tracy pamoja na Suzan chochote nilichowasimulia kuhusu haya yanayoniumiza futa kwa damu yako takatifu Baba
Hallelujah hallelujah hallelujah 🖐️🖐️🖐️
Asante mungu kwa kuniokoa mchungaji mungu akubariki .
Baba roho yangu naiweka mikononi mwako uniokoe, make nashindwa nianzie wapi niishie wapi.
YESU niongoze
To be continued
1Wakorintho 4:11
MUNGU usinipite nishike mkono baba
5
Fdx
Tt hi x jj do it fdfdjxy la zpff
Asante YESU
Hakika Mungu sijui nitakulipa Nini Ila Asante kwawema wako
Hallelujah!!! WAY MAKER !!! Miracle worker ! PROMISE KEEPER !!
Amen
Amen 🙌🙌
Asnt yesu, kwa ibada hii naomba Kwa Mungu mwanamke alieshikilia Mume wangu kwa nguv ya nanma yyt ile akapigwe kwa mapigo saba ya roho mtakatifu amen.