Richard Boadu |Goals, Skills & Assists | Welcome to Ismaily Club

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 вер 2024
  • Richard Boadu Goals, Skills & Assists | Karibu Simba Sports Club
    .
    🎥 Jisajili kwetu kwenye UA-cam:
    📸 Tufuate kwenye Instagram: / simba_fan_tv
    👤 Tufuate kwenye Facebook:
    💬 Tufuate kwenye Twitter:
    📲 Tufuate kwenye TikTok:
    🛍 Nunua Bidhaa za Simba Fan TV:
    🖥 Tembelea tovuti yetu:
    🔴 SimbaFanTV ndio mtandao mkubwa zaidi wa mashabiki wa soka Tanzania! Kwa upendeleo kuelekea Klabu ya Soka ya Simba Sports Club, sisi ndio mahali ambapo maoni ya shabiki ambayo hayajadhibitiwa yanaweza kusikilizwa kabla, wakati na baada ya filimbi kupulizwa. Jiunge nasi na utufuate kwa muhtasari wa kandanda, mechi mubashara, mawazo ya mashabiki, podikasti na zaidi. Hapa ndipo sauti ya shabiki inasikika!
    🙋 Je, una pendekezo la maudhui ambayo ungependa kuona kwenye AFTV?
    ➡️
    ⚠️ KANUSHO: Kandanda ni mchezo mzuri na mashabiki wana shauku. Lugha ya rangi wakati mwingine hutumiwa, na maoni yenye utata yanatolewa. Maudhui mara nyingi hutiririshwa moja kwa moja, na huwa hatuwezi kuhariri au kuhakiki nyenzo mapema. BUSARA YA MTAZAMAJI INASHAURIWA. Mawazo, maoni na maoni yaliyotolewa ni ya wachangiaji na si lazima yawe au kuakisi yale ya SimbaFanTV.
    #SimbaFanTV #SimbaSportsClub #Soka

КОМЕНТАРІ • 36

  • @فيالبعيدة
    @فيالبعيدة 19 днів тому

    An ideal midfielder for the Ismaily club in Egypt

  • @juliankamugisha9886
    @juliankamugisha9886 Рік тому +2

    Mnatupanga siyo! Tunataka nusufainal ya klabu bingwa na ubingwa tz msimu huu.

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 Рік тому +3

    Huyu asajiliwe haraka sana

  • @jessicamamaasha6214
    @jessicamamaasha6214 Рік тому +5

    Kwa mtazamo ni mchezaji mzuri tatizo wachezaji wetu wanalogwa na upande wa pili kuweni macho viongozi na hilo

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 Рік тому +2

    Ni mashine matata afu anafafana na aziz ki huenda wakawa wa nchi moja

  • @saimonisaya1759
    @saimonisaya1759 Рік тому +3

    Huyu anakata umeme

  • @richardmatinde7163
    @richardmatinde7163 Рік тому

    Ni kweli Chama anahitaji mtu wa kubadilishana ili timu iwe na options hasa wakati inapotokea dharura.

  • @janlemopao3934
    @janlemopao3934 Рік тому

    Japokuwa usajili ni Kamali nawamini viongozi watafanya sajili nzuri. Nb,naomba kusiwe na danadana nyingi kama sajili ya mwaka jana mpaka wachezaji mnapora na vilabu vingine.

  • @nicholassostenes4372
    @nicholassostenes4372 Рік тому

    Huyu jamaa hajui mpira Hana kazi kwanza

  • @tomasmwasambogo9557
    @tomasmwasambogo9557 Рік тому

    Uyu jamaa nmeinjoy turn zake tu ama sfa zte za kiungo

  • @jessicamamaasha6214
    @jessicamamaasha6214 Рік тому +2

    Unaye msapoti mkude pumbafu mkunde anann asaaivi mkude kaisha hana inshu bhana wakatafute namba Ihefu

  • @jessicamamaasha6214
    @jessicamamaasha6214 Рік тому +1

    Halafu kunakitendawili kimejificha wakukitegua hayupo mm nataka nikitegue mgunda ni kocha mzuri ila watu wanamuonea choyo wanamharibiya kazi yake. Tena kikulacho kimo shingoni mwako anayemharibiya mgunda kazi ni mtu wake wa karibu pengine wanafanya kazi pamoja , uongozi wa simba atakapo fukuzwa mgunda na matola nae afukuzwe

  • @mohammedomary9476
    @mohammedomary9476 Рік тому +1

    Huyu mwehu anajua🙌🙌🙌

  • @saimonisaya1759
    @saimonisaya1759 Рік тому +3

    Bonge la no 6

  • @فيالبعيدة
    @فيالبعيدة 21 день тому

    Come to Ismaily Club in the Egyptian Premier League

  • @mansourjuma3731
    @mansourjuma3731 Рік тому +1

    Huyo jamaa ni mtu haswa kw namba 6 za bongo anaweza sana ana speed anapokonya mipira kw adui ana assist long passes zake zinafika, Shida ya simba ni kututamanisha tu kisha Timu nyengne zinamsajili😒

  • @bentaomari4272
    @bentaomari4272 Рік тому +1

    Ina SFTV muendeleze na ushawishi wa kutafuta wachezaji wengi ili Simba iwe na machaguo mazuri ya usajili

  • @تباركالله-ض6ش
    @تباركالله-ض6ش 17 днів тому

    Come to the Egyptian Ismaily Club🟡

  • @rajtwice_Tz
    @rajtwice_Tz Рік тому +1

    Huyu ndie mrithi wa chama kama kwel atakuja Simba 💪💪💪

  • @jessicamamaasha6214
    @jessicamamaasha6214 Рік тому +1

    Huyu bonge moja la mchezaji

  • @abuushaymaatz
    @abuushaymaatz Рік тому +2

    Hii ni machine hatari sana, timu gani?

  • @annurmohamedi9824
    @annurmohamedi9824 Рік тому

    Middle ya kukaba halafu anajua kuondoka na Mali, watu kma Hawa ndo tunawahitaji Simba sio middle mgumu hata kuondoka na Mali hajui

  • @richardmatinde7163
    @richardmatinde7163 Рік тому

    Katika hali ya changamoto na migogoro iliyoanza, tusitegemee kitu cheema kwa sasa.

  • @ramosamos7349
    @ramosamos7349 Рік тому

    Uyu nichama

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide Рік тому

    Jamaa ana u chama mwingi sana akitoa chop passes tu

  • @goodluckmsigwa910
    @goodluckmsigwa910 Рік тому

    Akitua niite mbwaa nimekaaa pale

  • @issamnimbo9990
    @issamnimbo9990 Рік тому

    Fundi wa dimba kweli kweli,

  • @godfreynongastz6912
    @godfreynongastz6912 Рік тому +2

    Welcome Simba sports clb

  • @mikajoseph1125
    @mikajoseph1125 Рік тому

    Usajili wakalenda

  • @franciskanuth1705
    @franciskanuth1705 Рік тому

    Wa kawaida mnoooo..

    • @mihamedyiddy5989
      @mihamedyiddy5989 Рік тому

      Mt2 abakaba na anatoa mipira sahihi unasema wakawaida kweli jamn

  • @peternaaly4081
    @peternaaly4081 Рік тому +1

    Hana maajabu kamzidi mkude kitu kidogo sana

  • @billywilliammyovella2202
    @billywilliammyovella2202 Рік тому

    Muda wa kudanganyana umefika