Richard Boadu |Goals, Skills & Assists | Welcome to Ismaily Club
Вставка
- Опубліковано 28 вер 2024
- Richard Boadu Goals, Skills & Assists | Karibu Simba Sports Club
.
🎥 Jisajili kwetu kwenye UA-cam:
📸 Tufuate kwenye Instagram: / simba_fan_tv
👤 Tufuate kwenye Facebook:
💬 Tufuate kwenye Twitter:
📲 Tufuate kwenye TikTok:
🛍 Nunua Bidhaa za Simba Fan TV:
🖥 Tembelea tovuti yetu:
🔴 SimbaFanTV ndio mtandao mkubwa zaidi wa mashabiki wa soka Tanzania! Kwa upendeleo kuelekea Klabu ya Soka ya Simba Sports Club, sisi ndio mahali ambapo maoni ya shabiki ambayo hayajadhibitiwa yanaweza kusikilizwa kabla, wakati na baada ya filimbi kupulizwa. Jiunge nasi na utufuate kwa muhtasari wa kandanda, mechi mubashara, mawazo ya mashabiki, podikasti na zaidi. Hapa ndipo sauti ya shabiki inasikika!
🙋 Je, una pendekezo la maudhui ambayo ungependa kuona kwenye AFTV?
➡️
⚠️ KANUSHO: Kandanda ni mchezo mzuri na mashabiki wana shauku. Lugha ya rangi wakati mwingine hutumiwa, na maoni yenye utata yanatolewa. Maudhui mara nyingi hutiririshwa moja kwa moja, na huwa hatuwezi kuhariri au kuhakiki nyenzo mapema. BUSARA YA MTAZAMAJI INASHAURIWA. Mawazo, maoni na maoni yaliyotolewa ni ya wachangiaji na si lazima yawe au kuakisi yale ya SimbaFanTV.
#SimbaFanTV #SimbaSportsClub #Soka
An ideal midfielder for the Ismaily club in Egypt
Mnatupanga siyo! Tunataka nusufainal ya klabu bingwa na ubingwa tz msimu huu.
Huyu asajiliwe haraka sana
Kwa mtazamo ni mchezaji mzuri tatizo wachezaji wetu wanalogwa na upande wa pili kuweni macho viongozi na hilo
Ni mashine matata afu anafafana na aziz ki huenda wakawa wa nchi moja
🤣🤣🤣🤣 kwel kabisa
Huyu anakata umeme
Ni kweli Chama anahitaji mtu wa kubadilishana ili timu iwe na options hasa wakati inapotokea dharura.
Japokuwa usajili ni Kamali nawamini viongozi watafanya sajili nzuri. Nb,naomba kusiwe na danadana nyingi kama sajili ya mwaka jana mpaka wachezaji mnapora na vilabu vingine.
Huyo jamaa anacheza kama vile cotei mzuri
Huyu jamaa hajui mpira Hana kazi kwanza
Uyu jamaa nmeinjoy turn zake tu ama sfa zte za kiungo
Unaye msapoti mkude pumbafu mkunde anann asaaivi mkude kaisha hana inshu bhana wakatafute namba Ihefu
Halafu kunakitendawili kimejificha wakukitegua hayupo mm nataka nikitegue mgunda ni kocha mzuri ila watu wanamuonea choyo wanamharibiya kazi yake. Tena kikulacho kimo shingoni mwako anayemharibiya mgunda kazi ni mtu wake wa karibu pengine wanafanya kazi pamoja , uongozi wa simba atakapo fukuzwa mgunda na matola nae afukuzwe
Huyu mwehu anajua🙌🙌🙌
Bonge la no 6
Come to Ismaily Club in the Egyptian Premier League
Huyo jamaa ni mtu haswa kw namba 6 za bongo anaweza sana ana speed anapokonya mipira kw adui ana assist long passes zake zinafika, Shida ya simba ni kututamanisha tu kisha Timu nyengne zinamsajili😒
Ina SFTV muendeleze na ushawishi wa kutafuta wachezaji wengi ili Simba iwe na machaguo mazuri ya usajili
Come to the Egyptian Ismaily Club🟡
Huyu ndie mrithi wa chama kama kwel atakuja Simba 💪💪💪
Huyu bonge moja la mchezaji
Hii ni machine hatari sana, timu gani?
Asante Kotoko
Middle ya kukaba halafu anajua kuondoka na Mali, watu kma Hawa ndo tunawahitaji Simba sio middle mgumu hata kuondoka na Mali hajui
Katika hali ya changamoto na migogoro iliyoanza, tusitegemee kitu cheema kwa sasa.
Uyu nichama
Jamaa ana u chama mwingi sana akitoa chop passes tu
Akitua niite mbwaa nimekaaa pale
Fundi wa dimba kweli kweli,
Welcome Simba sports clb
Usajili wakalenda
Wa kawaida mnoooo..
Mt2 abakaba na anatoa mipira sahihi unasema wakawaida kweli jamn
Hana maajabu kamzidi mkude kitu kidogo sana
Muda wa kudanganyana umefika