Huyo jamaa ni mtu haswa kw namba 6 za bongo anaweza sana ana speed anapokonya mipira kw adui ana assist long passes zake zinafika, Shida ya simba ni kututamanisha tu kisha Timu nyengne zinamsajili😒
Japokuwa usajili ni Kamali nawamini viongozi watafanya sajili nzuri. Nb,naomba kusiwe na danadana nyingi kama sajili ya mwaka jana mpaka wachezaji mnapora na vilabu vingine.
Halafu kunakitendawili kimejificha wakukitegua hayupo mm nataka nikitegue mgunda ni kocha mzuri ila watu wanamuonea choyo wanamharibiya kazi yake. Tena kikulacho kimo shingoni mwako anayemharibiya mgunda kazi ni mtu wake wa karibu pengine wanafanya kazi pamoja , uongozi wa simba atakapo fukuzwa mgunda na matola nae afukuzwe
Huyu mwehu anajua🙌🙌🙌
An ideal midfielder for the Ismaily club in Egypt
Mnatupanga siyo! Tunataka nusufainal ya klabu bingwa na ubingwa tz msimu huu.
Kwa mtazamo ni mchezaji mzuri tatizo wachezaji wetu wanalogwa na upande wa pili kuweni macho viongozi na hilo
Huyu ndie mrithi wa chama kama kwel atakuja Simba 💪💪💪
Huyu asajiliwe haraka sana
Welcome Simba sports clb
Uyu nichama
Come to Ismaily Club in the Egyptian Premier League
Bonge la no 6
Wa kawaida mnoooo..
Mt2 abakaba na anatoa mipira sahihi unasema wakawaida kweli jamn
Jamaa ana u chama mwingi sana akitoa chop passes tu
Fundi wa dimba kweli kweli,
Come to the Egyptian Ismaily Club🟡
Hana maajabu kamzidi mkude kitu kidogo sana
Huyu bonge moja la mchezaji
Ni kweli Chama anahitaji mtu wa kubadilishana ili timu iwe na options hasa wakati inapotokea dharura.
Ni mashine matata afu anafafana na aziz ki huenda wakawa wa nchi moja
🤣🤣🤣🤣 kwel kabisa
Huyu anakata umeme
Huyu jamaa hajui mpira Hana kazi kwanza
Unaye msapoti mkude pumbafu mkunde anann asaaivi mkude kaisha hana inshu bhana wakatafute namba Ihefu
Ina SFTV muendeleze na ushawishi wa kutafuta wachezaji wengi ili Simba iwe na machaguo mazuri ya usajili
Hii ni machine hatari sana, timu gani?
Asante Kotoko
Huyo jamaa ni mtu haswa kw namba 6 za bongo anaweza sana ana speed anapokonya mipira kw adui ana assist long passes zake zinafika, Shida ya simba ni kututamanisha tu kisha Timu nyengne zinamsajili😒
Japokuwa usajili ni Kamali nawamini viongozi watafanya sajili nzuri. Nb,naomba kusiwe na danadana nyingi kama sajili ya mwaka jana mpaka wachezaji mnapora na vilabu vingine.
Huyo jamaa anacheza kama vile cotei mzuri
Uyu jamaa nmeinjoy turn zake tu ama sfa zte za kiungo
Akitua niite mbwaa nimekaaa pale
Middle ya kukaba halafu anajua kuondoka na Mali, watu kma Hawa ndo tunawahitaji Simba sio middle mgumu hata kuondoka na Mali hajui
Usajili wakalenda
Halafu kunakitendawili kimejificha wakukitegua hayupo mm nataka nikitegue mgunda ni kocha mzuri ila watu wanamuonea choyo wanamharibiya kazi yake. Tena kikulacho kimo shingoni mwako anayemharibiya mgunda kazi ni mtu wake wa karibu pengine wanafanya kazi pamoja , uongozi wa simba atakapo fukuzwa mgunda na matola nae afukuzwe
Katika hali ya changamoto na migogoro iliyoanza, tusitegemee kitu cheema kwa sasa.
Muda wa kudanganyana umefika