Je yafaa kusoma maulid? Msikize Izzudin

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 гру 2024

КОМЕНТАРІ • 27

  • @mubirirashidi
    @mubirirashidi 2 роки тому +2

    Mashaaallah ❤️❤️❤️

  • @aktarabdul8591
    @aktarabdul8591 Рік тому +5

    Ww shehe unawapotosha watu, ashura na maulidi vitu viwili tofauti, lete daleel sahih

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 3 роки тому +8

    Shekhe elewa kwanza mtume aletewa wahyi na ndo kiigizo chetu baada ya kufa mtume atakaeanzisha kheri nyingine ambayo hakuitambua mtume na maswahaba zake hiyo sio dini utabaki nalo mwenyewe..

    • @ibnumarwaonlinetv4456
      @ibnumarwaonlinetv4456 2 роки тому +1

      Tatizo nyinyi kazi yenu ni kupinga tuuuuu mwisho mtajinga wenywe. Mawahabi someni msikimbilie jambo bila ufahamu, hatao mola anasema فاسألوا أهل الذكر إكنتم لا تعلمون

    • @shilingi-Ahmadi
      @shilingi-Ahmadi Рік тому

      Hatuwachi yambo ambalo halikukatazwa ili iwe haifai lete makatazo

    • @ustadhikhatwibukibaraza
      @ustadhikhatwibukibaraza Рік тому

      على الحقيقة أن المولد من أسباب ذكر الله ومدح رسوله الكريم

  • @eddieeddie2755
    @eddieeddie2755 Рік тому +4

    Makhurafi kweli wamekosa dalili ya maulidi, inasikitisha sana wanalazimisha lkn wapi, ni sawa kutaka maji ya bahari yawe tamu.

  • @abdullahijma2073
    @abdullahijma2073 10 місяців тому +1

    Astaghfirullah...Wallahi hawa mashekhe wanapoteza watu..hiyo sio defence kabisa. Mtume akitenda jambo ndio inaitwa Sunnah sio sisi kujitengezea yetu na kuyaita kheri..na pia basi Maswahaba hawakuona ni kheri wakafanya? Lasabaquuna ilayna. (wangetutangulia)

    • @Ahmad.ali1-r9o
      @Ahmad.ali1-r9o 2 місяці тому

      Jazakallah kheyr

    • @darajanida
      @darajanida 2 місяці тому

      wahabi fahamu shekh avo sema usikurupuke

  • @عمرأحمد-ص9ل4ش
    @عمرأحمد-ص9ل4ش 2 роки тому +3

    dah sheikh izuddin Allah akuhifadhi lakini usitetee batil kwa kila njia

  • @husseinvarvani9823
    @husseinvarvani9823 Рік тому +1

    Ni ukosefu wa imani rudi usome dini tena haya yote ni uzushi

  • @positivevibez001
    @positivevibez001 Рік тому +1

    Hawa kuaanza mayahudi
    Aliye funga ni Nabi Musa ndo mayahudi wakamfuataa

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Рік тому

    Umechemsha hapo ust

    • @shilingi-Ahmadi
      @shilingi-Ahmadi Рік тому

      Wewe usochemsha una ushahidi upi wa kuwa ni haram?

  • @aishahussein1634
    @aishahussein1634 3 роки тому

    😳🙄🙄🙄🙄

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn 3 місяці тому

    AMA KWELI KITU UKIKOSA DALILI KINACHOBAKIA NI POROJO TU NA MIFANO AMBAYO HAYAINGII AKILINI KWA WENYE AKILI

  • @abeidkhamis6130
    @abeidkhamis6130 2 роки тому

    Hapo kwa hilo umechemsha umekosa hoja sheikh badala ya kusema sisi twasoma kivyetu na mamrisho ya mtume wala ma swahaba kueni wa kweli maneno yenu yanarekodiwa na Yana athari ima ya kupoteza au kuongoza watu.

  • @AishaOmar-df7ux
    @AishaOmar-df7ux Рік тому

    Wacha tendekeza wewe, izzudin jikazanishe mtoto wa kiume, umelegea sana.

  • @doktahajejia
    @doktahajejia Рік тому

    Shukraan shekh izudin

    • @KhamisiMulusi
      @KhamisiMulusi 5 днів тому

      Shukran ni wewe mlaji birian na pilau ya maulid tumbo kutangulizwa badala ya dini

  • @mzeemmwinyihajihatibuhatib9331

    Ujahil huo hata mfano huo hauambatani kabisa na kujuuzisha maulidi
    Kwahivyo wewe nyie mbora kuliko maswahaba ambao wao hawakuanzisha????

    • @darajanida
      @darajanida 2 місяці тому

      kwaiyo na nyinyi mukifanya nashindano ya kur ani huwa nibora nyinyi kuliko maswahaaba ambao hawakufanya