HAJIRA KIDOTI AMLIPUA STEVE MWEUSI, HATAKI KUOA, HANA MKE WALA MCHUMBA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 144

  • @OmarNyota
    @OmarNyota 9 місяців тому +7

    Safi sana ndugu yetu Stivu kwa kujilinda na uchafu wazinaa hivyo ndivyo inavyotakiwa tuwe mpaka utakapooa achana na hayo maneno yawazinifu wao wanaita eti mahusiano washenzi hao wanamuasi Mwenyez Mungu. Mwenyez mungu amekataza uzinifu tusizini mpaka tutakapooa

  • @Ramadhan6115
    @Ramadhan6115 9 місяців тому +41

    Uyu dada muulizaji napendaga sana kufata interview zake kwasababu amejuwa kazi kabisa ❤

    • @VitalBalemba
      @VitalBalemba 9 місяців тому +6

      ❤❤❤❤❤❤ unapendeza dadangu

    • @ZaharaniAlmahadi
      @ZaharaniAlmahadi 9 місяців тому +4

      Semeni ukweli

    • @Ramadhan6115
      @Ramadhan6115 9 місяців тому +3

      @@ZaharaniAlmahadi ndo hukweli huyo

    • @mohamedsheealom8745
      @mohamedsheealom8745 9 місяців тому

      Anakuwa mzuri sababu anapeana mda wa muulizwaji ajibu alichouliza ila kuna wanahabari wanauliza hadi wanakera mic🎤 kwa muulizwaji sekunde mara sekunde kwake hadi anaeulizwa anakereka huyu anauliza maswali ya maana na anapeana mda...sio ile wewe unakula eenh nakula ww unapenda eenh napenda wewe unaenda choo eenh na..wewe unapiga luku eenh napi..wewe una yani hata hajamaliza unauliza😂

  • @alfredkasololo5242
    @alfredkasololo5242 9 місяців тому +7

    Dada Kidoti anaweza na unzuri yake pamoja na hekima yake anapozungumuza anaweza akawa Mama wa Taifa🙏💟🇨🇩

  • @aflahabdula4084
    @aflahabdula4084 9 місяців тому +6

    Hakta mzuri mashaallah nakupenda unavaa vizuri lakini usiengezeke baada ya hapo au ikiwezekena jipunguze kidogo love you ❤

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 9 місяців тому +20

    Dada ni mzuri hafu yuko smart kichwani, (huyu ndio kipenzi cha waoaji sasa) alie mchumbia atakula mema ya nchi, kanivutia sana infact namtaka kama huyu👏👏👏👏👏

    • @OscarDzombo
      @OscarDzombo 9 місяців тому +3

      Wallah tena mwenye aliwahi huyu binti alibahatika sana ,urembo, imani yaan kila kitu yupo vizur

    • @KiongoziMwandamizi
      @KiongoziMwandamizi 9 місяців тому +4

      @@OscarDzombo Yaani wazungu wanaita beauty with brain, yaani she is just perfect fit kua mke. Anajielewa, anajua kujielezea, ana maono hafu sio mkurupukaji kujibu, ni mzuri hafu hajioni/kunata... Shida wadada kama hawa sisi tuliotulia hatuwezi pata unakuta umekutana na senior bandit daaah kulanina😳😳😳😂😂😂🤣🙌🙌🙌

    • @OscarDzombo
      @OscarDzombo 9 місяців тому +1

      @@KiongoziMwandamizi eti senior bandit 😄 🤣 alafu utapata jamaa mtto mzur kma huyo tena hatoshek yuaenda kuchepuka na kinyanya yaan hta sijui nini hua inatusumbua wanaume cjui ni tamaa ama kurogwa

    • @KiongoziMwandamizi
      @KiongoziMwandamizi 9 місяців тому +1

      @@OscarDzombo Tamaa za fisi tu sasa mtoto cute km huyo nikachepuke hafu upwiru wake atoe nani, its unfair kumcheat mwanamke kama huyu. Mi nikipata km huyu watu watahisi kanipa limbwata coz nitampa muda wote baada ya kutoka kutafuta vijisent Sema kuna wale visirani ukichelewa rudi ulikua kwa mwanamke mwingine ukiwahi vp leo hujapitia inakera, kwakifupi mi home boy sana sinaga muda wa kuzurura kwahio itakua km mapacha😂😂😂😳😳🤣🤣🙌🙌👏

    • @selemanmaganga-le4zg
      @selemanmaganga-le4zg 9 місяців тому +1

      Alafu anajistili saana, sijawai kumwona akiwa kichwa ata akiwa anaigiza

  • @BenemuluBillyado-ji4ze
    @BenemuluBillyado-ji4ze 9 місяців тому +8

    Huyu mlembo nambali sana kwani Siku hizi mbona simonie kwa Steve 🇧🇮🇰🇪👍👏👏

  • @chantalharakandi2576
    @chantalharakandi2576 9 місяців тому +12

    Masha Allah alhamndulillah mzuri uyu dada alafu anakili sana

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 9 місяців тому +8

    Ukiwa mzoefu na kazi huipendayo kila kitu ua chepesi kwa kweli huyu mdada anajua kuinterview watu,na hajra umependeza kwa kweli waaah❤❤❤😢.jameni andikeni jina la hajra vizuri acheni kuliandika vibaya.hajira ni malipo ya kazi fulani hulofanya,na hajra ndio jina la mtu.2 thiings remember.

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 9 місяців тому +7

    Nimekubal Xan Mdad Kasema Ukweli Mtupu🎉🎉🎉

  • @Mpe12339
    @Mpe12339 9 місяців тому +6

    Unasema kweli dada asante ni M-pesa kutoka RD Congo lubumbashi 🇨🇩

  • @WakusiziboyBarakaGodfrey
    @WakusiziboyBarakaGodfrey 9 місяців тому +8

    I love you kidot juu ameongea true

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 9 місяців тому +4

    Kama watu wengine wanavoamini ukipanda ndege tu kwenda nje kutafta maisha ushakuwa milioniya

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 9 місяців тому +8

    Nampenda huyu dada ni mkweri halafu Hana mambo mengi

  • @silassimwamusa4171
    @silassimwamusa4171 9 місяців тому +4

    Mimi natoka Kenya jamani huyo Dada ambaye anamuhoji hajira Aki nampenda sana angalau anipe namba ya simu

  • @Mary_sup
    @Mary_sup 9 місяців тому +4

    Hajra kweli mzuri,tupe siri anakula nini manaake kila kukija azidi kunawiri, boyfriend yake anafaidi

  • @NzabiFaustingabo12hb
    @NzabiFaustingabo12hb 9 місяців тому +1

    Nashukuru Sana kwa interview Yako dada, Ila sijuwe kama naweza Pata numba yauyo dada nimupongeze , namkubali Sana, nawefwata toka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @Wigoz_puppy
    @Wigoz_puppy 9 місяців тому +5

    MTANGAZJ sikuiz unapiga make up ushapata jiko au ndo unaji promote 🎉🎉🎉🎉😂😂😂

  • @kevy254
    @kevy254 9 місяців тому +4

    Hajira kwn aliendaga wapi simeuoni for long 😊

  • @shukranikasereka716
    @shukranikasereka716 9 місяців тому +7

    Nasi pia tunakupenda sana 👈🇨🇩👈

  • @JonathanKibandja
    @JonathanKibandja 9 місяців тому +8

    Wewe uolewe naye ❤❤

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 9 місяців тому +5

    Nampenda uyu dem.mm ni arab from dubai.nitapata wapi no yake Hajra.

    • @dubabaxakatv2993
      @dubabaxakatv2993 9 місяців тому

      😂😂😂😂 Arab wa huko wanapenda wazungu ww labda mkenya. ...wewe wataka kumcon tupu yke tu....tunawajua nyinyi

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 9 місяців тому +4

    Hajra nampenda Sana kumbe upo kwenye mahusiano

  • @fatumakidoa4006
    @fatumakidoa4006 9 місяців тому +5

    Huyu steve ataoa nani clam vevo ataoa amwache hapo 😂😂😂😂😂

  • @BonithNimpagaritse
    @BonithNimpagaritse 9 місяців тому +4

    Nakupenda bule hajra kidoti❤

  • @OVMTV1773
    @OVMTV1773 9 місяців тому +5

    Nitamkujia😊❤❤❤

  • @DjShalom-uw6sk
    @DjShalom-uw6sk 9 днів тому

    Uyu dada kipenzi changu namkubali sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 9 місяців тому +5

    Huyu mwanamke huwa nampenda sana.

  • @JosephuPatrick94
    @JosephuPatrick94 6 місяців тому

    Yuko good sana❤

  • @JamesKhisa-yl2br
    @JamesKhisa-yl2br 9 місяців тому

    Wee 🎉 baby girl mm hua nakupenda tu sana walai nipee nafasi mama kwakweli nakupenda na nitakutekesa Kama mwanamke na nidakulea kaa mke wangu kipenz changu ja roo

  • @congratulationmayunga3833
    @congratulationmayunga3833 9 місяців тому +4

    Muoane wenyewe kwa wenyewe msiwe na limitations mfano Steve akikuoa hajiraaa kazi itaendelea vizuri kuliko uolewe na Mimi Sanaa lazima uacheeee😂

  • @YunusBakar-lf3bi
    @YunusBakar-lf3bi 9 місяців тому +4

    Nakupend san ❤ ww hajra❤

  • @RuhuneKabose
    @RuhuneKabose 5 місяців тому +1

    Atra
    Unajuwa
    Valasana
    Dada
    Tenaukomuzurisan❤❤

  • @kudoson_tz
    @kudoson_tz 9 місяців тому +9

    Dada kasem kweli

  • @BushurJoel-t4f
    @BushurJoel-t4f 9 місяців тому +4

    aka ka dada nakapendaga jaman tangazaji aka ka Reina natamani nione naye cku2

  • @hafidhali4336
    @hafidhali4336 9 місяців тому +4

    Mimi ndo bwana wake uyo mke wangu mtarajiwa uyo

  • @stitore2388
    @stitore2388 2 місяці тому

    Mashalla upendeza sana 💯💯✅✅✅⚘🌷💐🌺🌹🥀❤❤❤❤❤

  • @jameskenny1808
    @jameskenny1808 9 місяців тому +4

    Kazi nzuri ila tuna itaji contact yenu MBENGO TV

  • @mwajumakweli
    @mwajumakweli 9 місяців тому +3

    Haji Manala sijui ajamuonae Uyu Hajila

  • @faidhacute
    @faidhacute 9 місяців тому +8

    Reina ❤❤❤

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 9 місяців тому +7

    Uyu dad nampendaga laaans

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 9 місяців тому +5

    Kijana anatafuta pesa mapenzi yanachanganya sana

  • @elikanaernesti8440
    @elikanaernesti8440 9 місяців тому +3

    Stev tumuombee na yeye tumuombee saa ukijumlisha hapo unapata jibu

  • @SaidyKaoneka
    @SaidyKaoneka 2 місяці тому

    Nakupenda unavyo ongea mashallah huna majigambo umependeza

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 9 місяців тому +1

    MIMI KATIKA MAISHA YANGU SIWEZI OWA MSANII KAZI YAWO UMALAYA KUZINI ETI MAHUSIANO NAWASHAURI MUOLEWE ACHENI UPUMBAVU HONGERA STEVE

  • @VictorBugobola
    @VictorBugobola 9 місяців тому +4

    amlipua😂mbn sion mabomu Steve nmwanaume wa dar

  • @TegemtataChambanenje
    @TegemtataChambanenje 9 місяців тому +2

    Steve unawewaka wafanyakaziwako matatani kaka but sio mbaya tuna kukubali kak

  • @SabrinaWiliam
    @SabrinaWiliam 9 місяців тому

    Kidoti mzuri pia yupo na khekima mpka Raha♥️♥️🥰

  • @KALULUALLI
    @KALULUALLI 9 місяців тому +5

    HAJRA MWAAA VERY NICE

  • @AmooTena
    @AmooTena 9 місяців тому +8

    Kweli kabisa

  • @mancargo_99
    @mancargo_99 9 місяців тому +6

    Hajira natamani nikuone ukifanya kazi na steve tena....

  • @kdpretoria780
    @kdpretoria780 9 місяців тому +6

    Steve bado anambo yakitoto sana hawez kuwaza kuoa 😅

    • @DaudAshery-ie2pf
      @DaudAshery-ie2pf 9 місяців тому +1

      Ana mambo ya kitoto ndo style yake ya kutafta ridhik

  • @MsabaaMwenebokyo
    @MsabaaMwenebokyo 9 місяців тому

    Hajira na Steve wamemuch sn mimi nilikua naomba hajira aolewe na steve please✅

  • @DamarisKerubo-cm5df
    @DamarisKerubo-cm5df 9 місяців тому +3

    Mwambie Steve Niko hapa 😂😂

  • @EvansNeavy-xv3tv
    @EvansNeavy-xv3tv 9 місяців тому +5

    Shida ya watanzania ni mdomo Kenya tuko bele kuwaliko

    • @fatmamusa2757
      @fatmamusa2757 9 місяців тому

      Wenawe pumba kumetajwa mkenya hpo ama wanaongea mambo Yao ujinga Tu ndo uko nao

    • @ElishaSolomoni-kc4zk
      @ElishaSolomoni-kc4zk 9 місяців тому

      Imbwa impesa imbwa ww jinga kabxa nyokomwana sana.

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 9 місяців тому +1

    Nakupenda cn hajra❤❤❤

  • @kassimukipingu7917
    @kassimukipingu7917 9 місяців тому +2

    Wewe ndio weefy acha kujificha

  • @jamalibaruti7126
    @jamalibaruti7126 9 місяців тому

    Sister wa mbengo TV namkubali kazi yake big up

  • @GabrielSadiki-t8f
    @GabrielSadiki-t8f 17 днів тому

    Je vous en courage mes frères et sœurs un jour je serais là

  • @haruniaisha5905
    @haruniaisha5905 9 місяців тому +3

    Sasa si akuoe mwenyewe ajira

  • @AdrienMathayoadrison
    @AdrienMathayoadrison 6 місяців тому

    Asante sana ila mwanamke msaniii atari kbs

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 9 місяців тому +2

    Steve mwenywe anasemaje😅😅😅

  • @ramadhanabdul2297
    @ramadhanabdul2297 8 місяців тому

    Mimi nipo tayari kumuoa kidoti nampenda sanaaaa

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 9 місяців тому +3

    Kapendeza kweli yan

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re 9 місяців тому

    Huyu demu namkubali huyu❤❤❤

  • @Njunwa-DK
    @Njunwa-DK 9 місяців тому

    Line nakupendaaaa saan unakitu🎉🎉🎉

  • @michaelkitundu1489
    @michaelkitundu1489 7 місяців тому

    Naomba connection mrembo huyo.

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 9 місяців тому +8

    Ata akisema nimuoe leo nipo tayari,😂😂

  • @caissemalatinho252
    @caissemalatinho252 9 місяців тому

    Uyu dada mtangazaji anapendeza sana akiva mwanaume, lakini kwa leo huuuuuuuuu

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt 8 місяців тому

    Wow Dada mzuri huyu

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 9 місяців тому

    Salaam zangu kwa Hajira Mwalimu

  • @hamisisalim
    @hamisisalim 9 місяців тому +1

    Kidoti MashaAllah uko vizuri

  • @SaidyKaoneka
    @SaidyKaoneka 2 місяці тому

    Mashallah hajira Mashallah

  • @MELOPHILEBOY-oj8uy
    @MELOPHILEBOY-oj8uy 8 місяців тому +1

    Steve owa

  • @NorahMatto
    @NorahMatto 2 місяці тому

    Steve bwana kuchekesha tu kuoa aaaah

  • @Liliana-mc2su
    @Liliana-mc2su 9 місяців тому +3

    😁😁😁stev kavurugwa antk pesa

  • @FarhatSuleiman
    @FarhatSuleiman 9 місяців тому +2

    Hajra kapendeza jmn

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 9 місяців тому

    Kumbe hata kwenye ndoa madanga utayapata siyo ? Ok sawa..😅

  • @Ramyyosy
    @Ramyyosy 9 місяців тому

    Hajira mmmmhh sawa nimekupata

  • @alfredkasololo5242
    @alfredkasololo5242 9 місяців тому +1

    Na sisi mpia kutoko CongoRDC tunakufata, dada Hadjira. Na sema kama tunakupenda vile vile. Ila Nakuomba utujulishe ao utuonyeshe yule aliyo chukuwa roho yako ya mapenzi. Ili tumuite shemeki. Sababu ya unzuri wako, atalipa mail Tanzania na Congo kwa sisi wenye.
    .

  • @HarrisonKatana-yv7ee
    @HarrisonKatana-yv7ee 4 місяці тому

    Aiii mbna hajira hatukuoni tna kw Steve n nn mbya

  • @JosiasFidele-dz8fg
    @JosiasFidele-dz8fg 9 місяців тому

    Namu penda hajira ❤

  • @KayagoAziza
    @KayagoAziza 9 місяців тому +3

    ❤❤❤❤

  • @Hesbonmswahilitv
    @Hesbonmswahilitv 9 місяців тому

    Uyo wacha hakupali kuorewa na steve mweusi Uyo wanaendana na steve 😊

  • @EreukaErasto
    @EreukaErasto 7 годин тому

    Hajira ana pendeza sana

  • @EmmanuelLupoja
    @EmmanuelLupoja 2 місяці тому

    Mzuri sawa ila kuolewa sasa

  • @JosephOsanya-ik7bk
    @JosephOsanya-ik7bk 8 місяців тому

    Niko kenya huyo demu ni mali safi bana

  • @YusufuLashidi
    @YusufuLashidi 9 місяців тому +2

  • @MagidaFafa
    @MagidaFafa 9 місяців тому +2

    Alafu kizuri bala

  • @kladahmad3333
    @kladahmad3333 9 місяців тому +7

    😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @husseinjums5404
    @husseinjums5404 9 місяців тому +3

    Hajila kwanini usiolewe angalia usizeheke bila mtoto hajila inatakiwa update mtoto kwanini usimzalie sivu Mana tunafaham Kama uko namausiano nae inafahamika fanya Ivo

  • @DanielOkisai-i1n
    @DanielOkisai-i1n 9 місяців тому +2

    Dada kazi poa

  • @bobboris4859
    @bobboris4859 9 місяців тому

    Tivu wetevu mwingi demu hujawaonyesha nyumban kwa Familia

  • @ashabady9616
    @ashabady9616 9 місяців тому +3

    😂😂😂😂Hahaha

  • @festobabely7444
    @festobabely7444 9 місяців тому

    Hongereni

  • @AdabetErenest
    @AdabetErenest 9 місяців тому +2

    Ft

  • @JoseMdam-d9c
    @JoseMdam-d9c 9 місяців тому +2

    Stive sakapesa

  • @Riziki-e8h
    @Riziki-e8h 2 місяці тому

    Mm nataka ilo gauni nitalìajw

  • @WAIGIZAJIBRAND-l9t
    @WAIGIZAJIBRAND-l9t 8 місяців тому

    Pao

  • @HabibaBb-d3s
    @HabibaBb-d3s 2 місяці тому

    Mashallah❤❤❤❤😂

  • @Mr-VOCHAchannel
    @Mr-VOCHAchannel 9 місяців тому

    Anahekima sana huyo dada