Wee hapo kinachotakiwa hapo ni kuwapa mrejesho wa Kiasi ambacho kimetumika kama gharama vitu vingine gavisaidii na wala havitii moyo hata kama ni ml 100 sema tuu usiwaze
Kazi nzuri sana, samahani nina swali hivi mbona kuna unyevuunyevu huko ndani chini kwenye kuta je huko mbeleni kuna kitu kitawekwa kuzuia huo unyevunyevu? asante
Broo kazi m nzurii sanaa ila tunaombaa bei tafadhali ili tujue ,,, tujipange taratibu mm na wish ipo siku na mm utaijenga yangu hebu uwe unatoa bei basi naombaaa
nyumba iko vizuri sana hasa hizo nguzo za kwenye kona kwa maeneo hayo hilo ni muhimu na lazima
Kaz nzur keep up
Safi sana
Wee hapo kinachotakiwa hapo ni kuwapa mrejesho wa Kiasi ambacho kimetumika kama gharama vitu vingine gavisaidii na wala havitii moyo hata kama ni ml 100 sema tuu usiwaze
Masha allah 🎉🎉🎉good job broh
🙏🙏🙏
Nimekubali zaidi ulivyoweka nguzo kwenye kila kona ya nyumba zimenyooka mpaka juu kwenda kushika lenta.yani kiufupi umesuka nyumba 🎉
Nashukuru kwakuliona Hilo
Mbona imekuwa fupi sana
Kanzi nzuri Bro, Bonge ya Ramani hope mtu akitaka kupunguza vitu pia inawezekana
Nyumb kali... plumbing imefanywa tayar sio mpk nyumb inaisha wanavunja tiles...keep up the good work
Kazi nzuri sana, samahani nina swali hivi mbona kuna unyevuunyevu huko ndani chini kwenye kuta je huko mbeleni kuna kitu kitawekwa kuzuia huo unyevunyevu? asante
Mashaailah mashaailah kazi mnzuri
Broo kazi m nzurii sanaa ila tunaombaa bei tafadhali ili tujue ,,, tujipange taratibu mm na wish ipo siku na mm utaijenga yangu hebu uwe unatoa bei basi naombaaa
Mashaallah ❤❤❤❤
Mashaa Allah ❤❤
Asalam.aleikum.kali.sana
KAZI NZURI SANA MR HOUSE
Nyumba nzur lkn mbona inapandisha maji juu Yani ikipigwa finshingi italeta fangas bro
Kazi nzuri kaka angu, na mimi ntakutafuta inshallah
Inshallah
❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉 HONGERENI SANA KWA KAZI MNZURI
Safiii🎉
Mimi nko Kenya 🇰🇪 nitakupataje
Niaje Mr house hchi kitu nimekipenda, makadirio bajet yake yapoje
Gharama mpaka hapo ni ngapi
❤❤❤❤
🎉🎉🎉
❤❤❤