NAY wa MITEGO afunguka KUTUKANA/ AWACHANA wasanii wanaosifia SERIKALI/ AFUNGIWA wimbo WAKE?
Вставка
- Опубліковано 27 вер 2024
- Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe UA-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Wew ndo mzalendo nambie moj Tanzania big up brooooo
Basata wote ni mashoga
😂😂😂😂
Rais wa kitaa
hiv mnao post habari huwa mnasikiliza kwanza au mnapost to maana sauti zinakatika katika hovyo hata huelewi vizuri dar wario kerwa na hili tujuane hapa
Kuandika changamoto
Ney my brotherhood nipo nawe mm ni hip hop faza sitaweza kunyamaza ,sitaogipa watoto wa mama nipeni mzigo wa lawama,naomba nipige kolabo na ww ngoma kijiko ya jikoni, aksantum
Nay na Roma tuwape nch
Tukopamoja kaka
Uyu jamaa ni gentleman yupo real xn haogopi kukosoa kwa yanayoendelea nchini fanya interview kaka ukiwa kwenye gari ukishuka tu wanakukamata
Kweli kabisaa
We mwandishi kumanina ww uwe unareekenisha mitambo yako ndo unahoji watu
Nyimbo za matus wana penda ila za Ukweli 😢😢Subhanallah 😢
Kweli Baba
Hata wakikufungia ila ujumbe umefika.
Media zakipumbafu sana .tunasikilizaMALEMA wapili anaye tetea w'afrika wenzake nini muko munaharibu kilakitu t
one love kwa ney
Tuzie iyo media inakushinda
Mwanangu mwenyewe nakukubali sana chuma kweli kweli.....
Wale wazee wa kusifia kila kitu eti mara anaupiga mwingi mara ni mlezi mara kaifungua nchi kwaiyo nchi ilikuwa imefungwa kumbe😆😆😆
Wananchi wote tunakuelewa kasoro viongozi2
Endapo Tanzania itaruhusu mgombea huru, Ney ndiyo Rais wa wanyonge
Ney wa mtigo ila usjali maana mungu yupo tutakuombea adi uchinde hyo gemu maana Kuna wengene wataka kuongea ila anaogopa kuongea 😅😅😅😅
NAY kabisa muzalendo namba moja kabisa.ukweli unaumiza.🇨🇩
Yan mungu akuongesee miaka ya kuichi dunian ney wa mtigo tuko pamoja😂😂😂😂
Mnakera sauti
Kweli mwana🫡🫡
Kabisa ney Mungu akutunze kaka hakuna mkaskazini muoga ndio maana wanaburuzwa mahakamani kila siku
Upo sahihi
kweli brother
Rekebisha sound system mzee
Kweli Kaká🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 nakukubali sana Mimi kutoka Moçambique
Mbona sauti inakata kata vip
Poapoa
We jamaa boresha mifumo ya media yako....inakatika katika hadi inaudhi ase...rekebisha
Kabisa anazingua..
Vitu vya muhimu havisikiki kama vile na yeye anatumiwa
Umeona yaan ovyo sana
@@fridoliusrushunju9093 hadi inakera ase ...
@@Kambanga_Jr anazingua
Imma anajitoa sana yani
dah ushauri wangu.. rick media tuwe seriously.. camera inacheza sana, sauti zinakwaruza na kupotea sometime.. ila big up kwa hicho tulichokipata🤒
U will loose credibility soon
Unajifunza kingereza?Ao unakurupuka tu kuandika?
@@salehrwigemagisa81 mwambie huyo itakuwa kashaliwa na P Didy! jitu alijui hata matumizi/Maana ya credibility.
Natamani ningekuwa kama ww bro hakika ningekusaidia but good luck 🤲🤲🤲🤲
Pamoja sana brother ney tuko pamoja na tunakuelewa sana Mimi nimtanzania halisi ingawa naishi Zambia lakini krip zako tunazifwatilia vizur sana
Dar ila ney mungu aendelee kukupa maisha malefu na kukuzidishia balaka Yani wewe kweli uko upande wote mda wote na wala ujawayi kutuwacha nyumba na ningiwe kama vile wakina bakhresa nilikuwe tayali kukupa ata billion 1 mana mmm unatupenda sana Mimi sio mu Tanzania Mimi mu malawi ila nakukubali sana
Wasanii wengine mashoga tu na ndo maana walipelekewa moto na pidy
Rick media hua mnazngua sana kwenye swala la sound tutawakimbia na ku unscribe
tunaendeleaaa kuchangaa mpakaa tuateee nilioni miaa basata wabaki na uanazu wao wa hovyooo
Nyie mnabana sauti ya nini ndo upumbavu wa waandishi wetu wa kibongo
BASATA ni mashoga,na ccm polisccm wote
Waki mfugia wanamuonea2 yuposawa nay🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙋
Weeee jama mpuuzi Habari njema media ujinga mtupu😂😂
Rick brooo habar zakoo hovyo vifaaa😂 hauna saut haitok
Huyu jamaa tumchague awe rais wa nchi na si wa kitaa tena
Manaume wakwel wako real sana ...maneno yamenyooka
Nakwelewasana ney wamitego nikopamoja nawewe
Yan uyu kaka anaoneka ana elimu sna kuzid wasanii wote
Nyie vip sauti inakatakata vifaa vyenu vibovu au
Apewee maua yake huyu mshkaji
..pamoja sana ney,,raisiiii🙌🙌
Mnazingua,mnakata kata maneno ndo nn
Rick mnazingua sauti inakatika katika
Kiukwel akupe moyo
MWAMBA HUYU HAPA! BIG UP NEY!
Basata matailaaaaaa kenge nyie
Tunakulewa sana raisi wakitaa
Ilaaa nay nakukubaliii sanaaa
No one like u my brother bigger up
Big up ney uposahihi sana 🎉🎉🎉🎉
Mungu akulinde brooo
Rick media amu wezi kaki
Umeongea vzr san
Tuko pamoja kaka ney
Pambana baba tuponyuma
Semakwel kk tupopamoj
Bey for president ❤❤🫶🏿
Nakubali ney
The true boi in tha buildin
Ney wa Mitego ana uelewa mkubwa sana alipaswa kupewa Udaktari wa Heshima katika kutetea jamii yake. Bahati mbaya PhD hizo wanapewa machawa na vilaza tu fulani
Bachela man
Kabisaa yaani 🙏🙏🙏
Nay yuposawa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙏
Basata 😢😢
Media murekebishe ina shida ina kera
Bravo sna brother
Dah 👊👊👊
🙏🙏🙏
🎉🎉🎉
Nyie ni makum ban na maik zezu feki
Kabisa umeongea point ndugu
Sisi tuna kuelewa
Rais kasema
Big up bro
Nakkubari ney mtetezi Wawa nyonge
JAMANI TUNAANZA LINI KUWATEMA WASANII AMBAO WANASHINDWA KUTUSEMEA SIE ILA WAO KWENYE MAMBO YAO TWASHOBOKA. TWAONEKANA WANGESE SANA KWA KUWABEBA WASANII WASIOTUBEBA NA WAKIUMWA SIE NDO WATOA MICHANGO WAKUBWA
Tanzania nzima hakuna msanii kama Ney cz nyimbo zake zinafungua akili zilolala
Msanii anaejitambua Ney uko sawa siyo kusifia kila kitu hata kama hakiko sawasawa
Hizi online media mbona hazina ubora ...sauti zinakatakata...yaani hatumsikii msanii wetu vizuri ....kuweni makini basi
Yanajua tu kuweka maiki kutulia Aaaaahh
Nakubali ney
Big up brother.
𝙃𝙞𝙞 𝙢𝙚𝙙𝙞𝙖 𝙞𝙣𝙖𝙗𝙤𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖 𝙢𝙣𝙖𝙥𝙤𝙨𝙩 𝙗𝙞𝙡𝙖 𝙠𝙪𝙘𝙝𝙪𝙣𝙜𝙪𝙯𝙖 𝙨𝙖𝙪𝙩𝙞
𝕄𝕚𝕔 𝕫𝕖𝕟𝕦 𝕞𝕓𝕠𝕧𝕦 𝕨𝕒𝕟𝕒 𝕙𝕒𝕓𝕒𝕣 𝕚𝕟𝕥𝕖𝕣𝕧𝕚𝕖𝕨 𝕚𝕟𝕒𝕜𝕒𝕥𝕜𝕒𝕥𝕒 𝕜𝕞𝕒 𝕞𝕟𝕒𝕠𝕘𝕠𝕡𝕒 ,𝕚𝕝𝕒 𝕓𝕚𝕘 𝕦𝕡 𝕥𝕣𝕦𝕖 𝕓𝕠𝕪