Serikali tangaza siku ya kufunga na kuomba kila mtu kwa imani yake tukimwomba MUNGU aepushe hasira yake kwa maovu yote tuliyomtenda atusamehe.KANISA(mdo 2:47)Yusimame katika zamu yetu pia (Nya7:13-14)
Tatizo la watu kutokubaliana na mazingira hayo kuwa ni eneo la bwawa hilo ila kwa kuwa wamelisogela lazima wakumbane na mafuriko kipindi cha mvua nyingi kama ilivyo tokea mwaka 1998
Tuwache maasi. Mungu amekasirika . Tutubu na kufanya ibada kama walivyo tueleza mitume . Adha hii ni dunia nzima. Tumabudu yeye TU mwenyezi Mungu. Na sii vinginevyo.
Jamani Madhambi yamezidi tumrudie Mungu wetu Mara Mauaji ,ushoga ,usagaji kufilana, kubaka watoto wadogo hiii Dunia tunakwenda wapi,Ardhi ya Mungu tumeichafua sana ,Eee Mungu tuhurumie utuokoe na majanga haya
Usiseme uongoz wote Kwa pamoja tumuombe mungu Kuna kitu anatukumbusha kabla hajatuletea majaribu makubwa zaidi Uongoz huu wa tz ndio unapeleka mafuriko Dubai na mataifa mengine Dunia nzima tunapaswa kuona namna ya kurudi Kwa mola Toba , maombi mengi kwani hata matukio ya kupatwa Kwa mwezi ,jua ni dalili mbaya Mungu ni mjuzi wa yote
Maonni yangu. Hili bwawa halina paku pumulia. Kinacho takiwa hapa ni kutengeneza mtaro ili maji yakizidi yatoke. Ndio suluhisho. Kitu simple kabisa. Tusisubiri madhara . Tujihami.
Kumbe vyakula tunavyo vya kutosha hii kutaka msaada kutoka malekani ili mashoga waonhezeke mmh selekali.mungu ana waonaa.kama mbunge mmoja anaweza toa gunia miambili haya serekali ina magala mangap adi wapokee misaada ya kishetani
Lakin mungu awasaidie sana ila sifa za wairaq huku mjin mnazijua jaman? Watu uku mjin wanaishi maisha ya kutanua ona sasa mungu alivyomkali anaenda kudhuru wazaz na ndugu yan laana inatembea jaman tuache dhambi au bas tupunguze tu dhambi
Tanzania na dunia nzima Mungu anatukumbusha kuwa yeye ni Mkuuu kuliko vyote duniani nahakuna wakushindananaye hivyo tuombe lehema kwa Mungu mana duniani tunapita tusijisahau tunakufulu sana watu sahizi
iinimikono yetu tunamuas mungu tunazin sana tunaloga sana tunazulumu sana tunapenda sana mipila namiziki kuliko muumba tuna waasi wazazi wote ndoa zetu atutendiak iisasa niukumu zetu tuache maovu ilapoleni
Na tutawaonjesha katika adhabu ndogo ndogo sio ile adhabu kubwa ili wapate warejee. quran 32:21 jamani tusijitoe fahamu maasi yamekua mengi tumtake msamaha mola muumba ili haya mambo yaondoke sio kutoa visingizio kua ni bwawa. sio bwawa ni madhambi yamekithiri.
Tuache maovu. Tunamkwaza Mungu. Sana haya mambo hayaji kirahisi tu kunamahala hatujakaa sawa. Kiimani wapendwa🙏🙏
Kweli kabisa
Zinaa na riba zikizidi bas Allah anashusha adhabu
Mungo tunusulu
ARUSHA,MBEYA,RUFIJI,DAR,DUBAI TUTUBU JAMAN
Ni kweli kabisa maovu yamezidi
Poleni sana ndugu zetu,ata sisi wakenya tunaomba Serikali juu tuko kama nyinyi
Poleni sana Mungu atawasaidia kwa rehma zake.
Subhanalllah duniyanzima mvuwa
Serikali tangaza siku ya kufunga na kuomba kila mtu kwa imani yake tukimwomba MUNGU aepushe hasira yake kwa maovu yote tuliyomtenda atusamehe.KANISA(mdo 2:47)Yusimame katika zamu yetu pia (Nya7:13-14)
😢Mungu atawasaidia muwe wavumilivu haya ni mapito 🤲
Madhambi yamezidi sana! Ushoga, usagaji nk.. Allaah anatuadhibu..
Subhana llah, wawe pole jmn.
Hongera mbuge awaki. Mungu akubariki.
Tatizo la watu kutokubaliana na mazingira hayo kuwa ni eneo la bwawa hilo ila kwa kuwa wamelisogela lazima wakumbane na mafuriko kipindi cha mvua nyingi kama ilivyo tokea mwaka 1998
Wah mungu awasaidie watu wake
inatia moyo kuona kiongozi mhesimiwa anawafariji watu wake..bless him
Pole sana watu manyara
Tuyaonapo haya tujue yakwamba Bwana Yesu Kristo yu mlangoni yatupasa tujiandae.
Polen sana kwa makaz haya yaliyowakuta Allah awafanyie wepes muondokane ha zahama hii
Nawapa pole ndugu zangu wa Karatu. Na mpongeza Kiongozi mbunge wa Karatu
Daah Mungu atuhurumie kwakweli
Poleni sana ndugu zanguni, nawakumbukeni sana Slahhamo, upper kitete, kambi ya simba.....huko kote mvua ikinyesha hakupitiki kabisa
Tuwache maasi. Mungu amekasirika . Tutubu na kufanya ibada kama walivyo tueleza mitume . Adha hii ni dunia nzima. Tumabudu yeye TU mwenyezi Mungu. Na sii vinginevyo.
Subahnallah 😭 😭 😭 allah awape nusra yaarab
Dah poleni sana Wana karatu
Jamani Madhambi yamezidi tumrudie Mungu wetu Mara Mauaji ,ushoga ,usagaji kufilana, kubaka watoto wadogo hiii Dunia tunakwenda wapi,Ardhi ya Mungu tumeichafua sana ,Eee Mungu tuhurumie utuokoe na majanga haya
Tunahitaji kujitafakari watanzania na kuomba toba Sana.
Mh M/Mungu asiwapungukie watu wake
Jamani! Nadhani kuwepo uangalizi wa mara kwa mara kwenye hilo bwawa ili kuondoa huo uchafu unaosababisha kupunguza kina cha bwawa.
Dah!! Poleni jamn..😔😔
🙏🙏🙏
Mungu tusadie
Pole I kwa kweli
Safi mheshimiwa mbung kwa kuwajali watu wako wakat wa shida
Poleni sana jamani
Aisee poleni saana
Mm kila mahala nitasema Mungu anatuadhibu kupitia uongozi uliopo hauna baraka zake
Usiseme uongoz wote Kwa pamoja tumuombe mungu Kuna kitu anatukumbusha kabla hajatuletea majaribu makubwa zaidi
Uongoz huu wa tz ndio unapeleka mafuriko Dubai na mataifa mengine
Dunia nzima tunapaswa kuona namna ya kurudi Kwa mola Toba , maombi mengi kwani hata matukio ya kupatwa Kwa mwezi ,jua ni dalili mbaya Mungu ni mjuzi wa yote
@@NunuKupela nunu kama una hoja lete uwanjani tujadili
Ukisema Dubai yametokea mangapi na kwetu ni mangapi mpaka leo?
Ww Mwenyewe ni sbb ya mafuriko unaisingizia serikali iliyopo madarakani
Unaakili timamu kwel wew
Sio uongozi ni sisi wenyewe tunamuasi ALLAH sana na tusipokaa sw yatakuja zid ya haya ALLAH atunusuru
Hongera sana mbunge
Poleni sana daah😢😢
Maonni yangu. Hili bwawa halina paku pumulia. Kinacho takiwa hapa ni kutengeneza mtaro ili maji yakizidi yatoke. Ndio suluhisho. Kitu simple kabisa. Tusisubiri madhara . Tujihami.
Poleni sana sana ndugú zangu wa karatu wa slahamo orkee loa aree
Hata Noah/Nuhu alishuhudia hasira ya Mungu. Sisi bado sana
Eeee Mungu kumbuka Rehema
Amen
The same situations in kenya 🇰🇪 , mungu atuonekanie
🙏🙏
Poleni
Majanga haya yanatukumbusha kuwa ujio wa YESU KRISTO ukaribu sana...poleni sana wahanga,
Polen sana wandugu
Waaaah kenya na tanzania 😢😢Kuna shida gani yarab
Ni tatizo la kidunia si kenya na Tanzania tu
Goli moja mil 10 waathirika wa mafuriko hata chakula hawan.
Ndugu yangu juma ona viongozi tuliona ni huzuni kubwa😢😢😢😢
Mama huyo anaupiga mwingi wanasema
Hata wewe unaweza kuwasaidia,hujazuiliwa choko wewe.
Nimshangao
Poleni sana ndugu zangu Mungu atunusuru na janga hili
Ushoga maasi dhulma mauwaji yamezidi kwahio tutegemee haya kutoka kwa muumba mbingu na ardhi 😢😢😢
Eti serikal ya ccm ipo makini nikweli mpo makini ila kwenye ufisadi na ujambazi lakn sio uongozi bora
Wew mpuuzi mwenye selikali Yako unamsaada gani
Una taahira ya akili,ccm ndiyo imesababisha mafuriko karatu?
Siasa Na dhoruba Ni wapi Na wapiii aw ukosefu Wa elimu Na akilii kichwanii 🤨
Dhuluma hizo hakuna haki nchi hii
Polen kwa mafuliko
Mahasi ni mengi tumemsahau mungu tutubu
Dah poleni sn wanang wa home
Oooh my God
poleni sana
Poleni sana
Dhambi zimezidi.tupige magot tuombe msamaha
Mungu awasaidie poleni😢
duuu polen san
Uwiiiii
Daah!!! Napajua kabisa huko niliishi sana
Sjui ni kwann cfanyi ibada maana dalili za kihama ndio izi
Yesu Kristo atakutembelea Siku moja na Hapo utaanza Kufanya Ibada Vilivyo,Mwamini Yesu Utauona Ufalme wa Mungu
Kumbe vyakula tunavyo vya kutosha hii kutaka msaada kutoka malekani ili mashoga waonhezeke mmh selekali.mungu ana waonaa.kama mbunge mmoja anaweza toa gunia miambili haya serekali ina magala mangap adi wapokee misaada ya kishetani
Polen San ndugu zetu wa Arusha
Lakin mungu awasaidie sana ila sifa za wairaq huku mjin mnazijua jaman? Watu uku mjin wanaishi maisha ya kutanua ona sasa mungu alivyomkali anaenda kudhuru wazaz na ndugu yan laana inatembea jaman tuache dhambi au bas tupunguze tu dhambi
Tanzania na dunia nzima Mungu anatukumbusha kuwa yeye ni Mkuuu kuliko vyote duniani nahakuna wakushindananaye hivyo tuombe lehema kwa Mungu mana duniani tunapita tusijisahau tunakufulu sana watu sahizi
Watu waache kujenga kwny njia zamaji serekal ihuishe njia za maji nakuboresha miferej mikubwa yaasili
iinimikono yetu tunamuas mungu tunazin sana tunaloga sana tunazulumu sana tunapenda sana mipila namiziki kuliko muumba tuna waasi wazazi wote ndoa zetu atutendiak iisasa niukumu zetu tuache maovu ilapoleni
Africa Kiboko
Polen Sana ndugu zanguni
Mbinguni Kuna makao ya milele
Chineke😢😮
Poleni sana 🙏🙏🙏
Aloo nilihama hapa siku moja kabla yamaji kunifikia
Bwawa la Nyerere limehamia Arusha?
Tumuulize mchungaji mwanamapinduzi
SAFISHENI BASI HILO BWAWA.
Ni mwendo kasi wa maji
Eee Mola tunusuru 😢😢
Miishonya dunia hii
Polen san
Hata sisi mererani maji yame tuvyamia shida tu
Na tutawaonjesha katika adhabu ndogo ndogo sio ile adhabu kubwa ili wapate warejee. quran 32:21
jamani tusijitoe fahamu maasi yamekua mengi tumtake msamaha mola muumba ili haya mambo yaondoke sio kutoa visingizio kua ni bwawa. sio bwawa ni madhambi yamekithiri.
Poreeeeee
Kuna wanasiasa wa arusha walisema rufiji ni bwawa la mwl nyerere limehamia na chuga
Hujajikomboa kifikra bado! Pole brother
Poren😢