Hii team kwann isichukue tunzo ya short clip Yani kazi yao zinafunza sana mm binfsi from Zanzibar nawakubali ila neno Malaya punguzeni kweli mna mpk watoto huku ni shabiki zenu mungu awajalie Kila l kheri
Hichi mlichoigiza ni kitu ambacho kipo kabsa mimi niliachana na mchumba wangu mtalajiwa kwasababu na yeye aliachana na mtu wake lakini jamaa alikuja kumwambia wewe ni wangu tu na Mwanamke akaniambia kuwa na mpenda sana mzazi mwenzangu daaah.
Kiukweli vay anajua sana kuigiza nampenda sana tena sana iclam naomba unikutanishe na vay plz mana wew nimeanza kukufatilia kitambo sana mpaka leo hii namjua vay kupitia wew
Mwendelezo tupatieni Maswali kwa VAI & BYELAM ivi nyie ni wanandoa mbona mov zenu ni za kweli san duu nami ni mwigizaji huwa nafuatilia kazi zenu na huwa darasa kwangu hongelen san na Mungu awape miaka mingi na kipaji zaidi
Huyu dada namkubali sanaaah yaan anajua kisha anajua tena 🔥🔥🔥
Sio anajua tu huyo dada mkali bana
Mii hua namupendaga juu anafulahisha kila kukicha 🥰🥰🥰🥰🔥🔥🔥
Hakika
Kabisa,nampenda bure yani
Ana jua Sana huyu bint 🔥🔥
Bailam na vay muko talented nawapenda 🥰🥰👌👌na kicheche pumbavu zake 🥰🥰🥰🥰🥰👌👌👌👌siwezi wamaliza majina nyote nawapenda
Wanao unga mkono hii team kwa kazi nzuri wanao ifanya tujuwane kwa 👍. Merry Christmas kwa team na kwa mashabiki wa team yetu kipenzi.
Mungu awalinde.
Kaz nzuri San
Nai unga mkono ,kicheche umbwa yeye ananipa burudani kutoka Bujumbura
Umbwa sana kicheche
Mbwa kicheche😂😂😂😂
Afadhali leo mmetupumuzisha na neno MALAYA. Big yes mmefanya kazi nzuri sana
Nampenda uyu dada mwenye kijola Anaweza mno sana
Anaitwa vai
Hapa hamna comedy,bonge la bongo movie 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Baby wangu Vai leo kapigwa mpaka naumia. Pole bby.
Bregadia atakukumbuka
C'est trop touchant mon frère
Vai is more than actress and I really like her diction when she acts.She and Bailam have a perfect chemistry.
Absolutely positive
I really appreciate what they do
kicheche bailam nahuyo dada na malaya ndoige wanajua
Much respect ma fancee,,, Vai, big up xana
Hii team naikubali sana. ZAIDI BAILAM,VARIET,QUEEN,KICHECHE
M
Kicheche we unajua sana zaidi ya sana kiujumla wote mko vizuri
hahahaha pumbavu zangu mbwe weewe kicheche noma
Hii team kwann isichukue tunzo ya short clip Yani kazi yao zinafunza sana mm binfsi from Zanzibar nawakubali ila neno Malaya punguzeni kweli mna mpk watoto huku ni shabiki zenu mungu awajalie Kila l kheri
Uyu vailet nampnd sana Kwa Kazi yake dah ,, ilove vailet
Vai jina kama la mdogo wangu nakupenda bure Mungu aendeleee kubariki kazi yako 💕
VAI NKUPENDA WEE MDADAA 🥰🥰🥰NA UNAJUA SANA ADI RAHA🔥🔥🔥
Akii Vai unajua mpaka nashindwa kuelezea mpenziy 💕💞💞
Wapi kelele ya team KICHECHE😍😍🥳🥳, angusha like za kicheche jamani tujuane mbwa sisi😅😅🙌🙌
Ndohiyo pumbavu zetu😂🤣
Pumbavu zetu🤣🤣🤣🤣
Wajinga sisi🤣🤣
😂😂 mbwa dayana
@@othmantv2654 mbwa Mimi nimecheka kama mshenzi 😅😅 Mimi. Much love from Qatar 🇶🇦
hii team ni 🔥🔥🔥🔥🔥 kama unawakubal like tuwe sawa
Yani ilianza kama comedy ila mtaa unawaelewa NYIE jamaa bring it for our country 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kicheche ndie mwamba pumbavuzake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila kicheche akili zake anazijuwa mwenyewe 🤣🤣🤣
Vailet I love you mwaa njoo acha mbwa izooo 😂😂😂 kicheche makofia mbwa mie nakupenda sana
I love kicheches movies they are so amazing,feel supported from Kenya by kenyans
Huyu sista manze unimaliza sana.naeza pata namba yake jo niko doha Qatar now baby ur so beautiful
Naipenda Sana hiii team❣️❤️km ww unaipenda like
Ilaa Kiukweli kabxaa kwny story mko pow sanaa... na Actin pia mko pow sanaaaa yaaaaan
lidada ili lina juwa ku jikiza adi raha big up good job
Kicheche ni bonge la star!!!
Mbwa mapenzi Mbwa kicheche....Pumbavu zake
Hongera xana mnaweza Ila naomba kujua jina la huo wimbo bora nibaki mwenyew 🔥🔥🔥
Duuh uyo mwanamke imeniuma sana 😥😥
Vailet nimekupenda bure ningekuwa Tz ningekuowa lakini nipo Mozambique 🇲🇿🇲🇿
Senhor kkk
Tujuane
Nakupenda hii team tengezeni filamu ndefi
I like this team especially kicheche he is 💥💥
😂😂😂His outstanding
my vai & bailam their perfect combination without forgetting umbwaa kicheche their vibes comes at one place 👌👏👏👌💜
Namimi namupenda kicheche,ok kaka kicheche ni kongo🇨🇩
Vaiii mzurii 😍
😭😭 Yaaaani ukimwaangalia Hawa Watu Wana kitty Kikubwa Sanaa walianza Kama comedy Lakini Hawa niwalimu ukiwafatilia fisuri utawaelewa sanna 🔥🔥🔥💯💯🙏🙏
Tunapenda kazi zenu,na tumeanza kuwafatlia ktambo,ila kwenye hii y leo.MMEZINGUA MWISHONI.
Wamezingua kivipi bro, lete correction tuelewe, because we learn through mistake basi tueleze.
Sema nakukubali sana Bailam huwa unafaa kuigwa kwa msimamo wako
Ivi wanaume wana nini...mi cijui kama ntaja penda tena...MUNGU nisaidie tu nilee watoto wangu.
If you Let it Go.. its possible to LOVE agan
Nakubali sana , punguzeni neno malaya, iyi Safi sana
huyu dada NI noma ana kipaji utahisi kama kweli hivi 🔥🔥🔥🥰🥰
Vai ni bonge la mwanamke nakubali sana💘💘
Naipendaa Sanaa hii timu mwajuma ,vai ,kicheche nyieee
Huyu Dada Asma sijui ndio ndoige anajua sana kwanza mimi nakataa siku zote huyu dada ni actress mzuri sana na sio comedian.
Umeona eeh
nakupenda xana wewe Malaya ndoige coz unajua kuigiza shikilia tu hapo but punguza ku heart break wanaume poa but kenya mnapendwa❤❤❤❤❤❤❤💖💕💓💓🌺💞💓❣️👌
Kumekucha 😀😀😀😀😀😀bailam ww,yani kicheche yupo makini 😀😀😀😀 kwa uchawa
Kicheche much love from that country🙏🙏🙏🇷🇼🇷🇼🇷🇼
VAI MUCH LOVE FROM KENYA MAMA.NAKUPENDA BURE KIPENZI
Asanteni sana Vai na Bailam, you are the best.
Kicheche nakukubali Sana👏👍
Huyu dada alofkuzwa jina lake nani...anajua sana kuigiza nampenda hatari
Vai
Vailet
Hichi mlichoigiza ni kitu ambacho kipo kabsa mimi niliachana na mchumba wangu mtalajiwa kwasababu na yeye aliachana na mtu wake lakini jamaa alikuja kumwambia wewe ni wangu tu na Mwanamke akaniambia kuwa na mpenda sana mzazi mwenzangu daaah.
1
Pole
@@catherinescott9113 Asante japo bado hata sijapoa kivile
@@andrewkilave3532 ukitaka umesahau uwe bizee na kazi na kusikiliza nyimbo mbalimbali na usiwe unakaa pkee ako pkee ako
@@catherinescott9113 Asante sana kwa ushauri wako nitaufatilia
Kiukweli vay anajua sana kuigiza nampenda sana tena sana iclam naomba unikutanishe na vay plz mana wew nimeanza kukufatilia kitambo sana mpaka leo hii namjua vay kupitia wew
Vai hii movie umeuaaaaaa♥️♥️♥️♥️♥️😘mbwa kicheche 😂😂😂🏃
Daaaah yaaan Vai ni mzuri aise unafanan kabisa na x Wang
Kazi nzury 🙌😍
Vaileti njo Kenya to much love mbwa mm❤
Nimewafuatilia hawa watu hii collabo ya vai na bairam ni hatari sana,,, wote mna filling 😥😥 kali sana za kuect 👋👋
Vaai nakupenda ❤️uko vizur sister 😊
Daah wewe Vai unaweza kupafom vzr hongera Sana
Leteni nyingine Basi I wish I marry Christmas
Napenda hii song ya humu❤
Inaitwaje, naomba jina
Nawakubali sans VAI na BAILAM. nyinyi ni Waigizaji wazuri Sana.
Nampenda Vai jamn hata sijui niseme anajuwa paka anajuwa tenaa
cograts vai,, then nataman nijue nyimbo inayoimba mwishon nan kaimba( bora nibaki na stress) kipande ikoo
Huu wimbo wanan naunaitwaje anaye jua aniambie
Neria
Huyu Vai. Hahaha. Hana zari
Nampenda kicheche jaman....muse mnaigiz na cawina
Kicheche nakukubali mbwa wewe😂😂 like ya kenya hii
Huyu ni broo wangu kabisa na wifi
Nawakubar kinoma❤
Kichecheeee big up my brother
Huyu vailet ningepewa awe wangu duh mbwa Mimi ningetulia tuli
Hahahaaaaa mbwa ww umenivunja mbavu pumbavu zako😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣mbwa mm ndo bligidia mwenyewe pumbavu zangu hizo
@@evelynoscar5104🤣🤣🤣🤣🤣
Nyinyi wanaume nawachukia nawachukia,nawachukia tena ila mungu anisaidie
hii team ndoinge nawapenda pure pumbavu zangu
Nyimbo ilotumika ni nzuri mashallah❤
Asante..hii ipo vizuri saanaaa
Naupenda huo wimbo mwisho... mwenye kuujua aniambie guyz
Uyu dada anaeliaga anaitwa nan asee ni anajua mpaka anajua tena siku lamata akimuona mta enjoy zaidi na mtaona ukubwa wake zaidi
From 🇰🇪 am in Love with that lady mwenye analia aki someone anifanyie connection please Kicheche nipee huyo
Vaileth nyota yako inang'aa sana nakuombea ufike mbali
Nampenda sana huyu vaileti hakika huyu anakipaji chahali yajuu wakati anaigiza wengne machozi yanatoka kwamanyanyaso naukatili anao fanyiwa hakika anakipaji chahaliyajuu
Mupo vizuri. Wabunifuaa mafunzo poa
🔥 sanaa mko good sanaaa
Some one kiss my comment pls mbwa kicheche🤣🤣🤣🤣 watching from qatar
Vai nampendag saan wallah anajua had anajua ten❤️😍🇧🇮
Kicheche njo wangu kabisa
Leo ameact vizurii vaii akiii nakukubali kama niya chrismas shuaaa
kwakwel Hawa jamaa wanajua wadaue gongen ❤❤❤❤😅
Waaah mwanaume mpaka uniambie huna hisia na mim waaah nasubir nin jamanii naenda 2
Mbwa zake aka bregedia,I love you😂😂
Mumetisha sana
Unaweza dada big up
Huyu dada anajua saana.. anajua mnooo
Hongereni sana mmeigiza vizuri sana
Mbwa ss watching from Nairobi ❤❤
Nakupenda kicheche unapenda kusema ukweli baba
Dah uyo dada anajuwa kuigiza
Mwendelezo tupatieni
Maswali kwa VAI & BYELAM ivi nyie ni wanandoa mbona mov zenu ni za kweli san duu nami ni mwigizaji huwa nafuatilia kazi zenu na huwa darasa kwangu hongelen san na Mungu awape miaka mingi na kipaji zaidi
dah vai ikovizuri sana
Jmn huyu dada mbn anafanana Sana na Lulu wa majay