Exclusive na KICHECHE a.ka. LAMBA LAMBA ''Mimi huwaga sina akili timamu, nilipelekwa VETA nikaiba''
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Wakati wa Mungu ni wakati sahiihi Mbwa Uncle Samweli😅❤ tunaenjoy sana n comedy zako
Nkurunziza 🇧🇮ni habari njema waburundi uku tunakufagilia tu sana
😂😂😂😂🥷. Huyu kicheche bwana nimoto wa kuotea Mbali Sana 🔥🔥
Mbwa kicheche 😄
Nakukubali sana pumbavu zako!
na nakushaur usipuuzie channel yko maana inakaa sana bila content na huu ndo wakat wa kuikuza zaidi kama Clam
Huyu bro kiboko ya makomedi anajuwa kinoma mno
Jama Kicheche anapendwa sana South Africa
Umeanza lini kuwa msemaji wa wa2 South Africa
Uongo sijapenda 😅😂😂
Mji Gani? Mimi mwenyewe nipo NATAL , sema sisi wageni sana sana waongea kiswahili.
Ad MOZAMBIQUE 🇲🇿🇲🇿
Fanya tour zunguka TZ yote na nchi jirani wanazo kukubali ukusanye maua yako. Maana haya mambo leo upo juu kesho ni tofauti
Hata hiyo interview ni comedy pia😁😁
KICHEHE NI BEST COMEDIAN IN TANZANIA... 🇹🇿
Kicheche Noma sana 🤝🏾 from DRC 🇨🇩 kicheche umbwa ww Congo 🇨🇩 unakubalika broh sana
The best comediant from TZ🇹🇿, you are my favorite, i enjoy his history every weekend. From Mozambique 🇲🇿.
This guy is very talented hata hapa kwetu 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mkaka wangu kicheche atarii😂😂😂
Clam awe makin huyu atamfunika 😅😅😅kama yeye alvyomfunika Mr big big 😅😅😅😅
Sure aisee
Clam kashaachwa hamuezi huyu
Nataka chapati na maharage naongea na wewe naongea na huyuuu 😂😂😂
Tatizo yule utoto mwingi sana ana jisikia Sana kuriko kazi
Kwasasa kicheche weka mbali na watoto
Uncle samweli mbn lingeenda mbal t uliofya bure Ila big up Sana 💪
Umbwa uncle samueli. 🔥🔥💪💪💪 🇳🇦
Kicheche mbwa wewe nakukubali mno mbwa wewe
Mbwa mimi...... pumbavu zenu😂😂💔💔💔
Mbwa kicheche 😂😂😂😂😂😂 nakukubali sana broo
Napenda mie saut ya kicheche 😍😍😍
❤❤❤❤ I love you so much Allah akupe umri bro
Kicheche nakupenda sana kutoka congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🔥💪☝🏾💪💪
Kicheche for life 😂😂
Mmm nampenda sana mist kicheche unanipa raha kweli😂😂😂😂
Jama anaishi ki comedy 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂mbwa yeye...kaiteka comedy kinoma noma
Kicheche were ni shidaaaa🔥🔥
Usimfananishe clam na kicheche! Kicheche ni habari nyingine
Kicheche ilo jina la NKurunziza ni la marehemu president wetu pendwa nchini Burundi!anyways nakukubali kinoma
Kicheche kua seriously bhana
Mbona mnafanana ndugu mtangazaji na kicheche,,au ndugu?
Bro kicheche ww uk kibok san clam umemufunik san mung akubalik san tunakukubal san
Naongea na wewe naongea na huyuuu 😂😂
Kichecheeeeeee! pumbavu zako baba au nigale gale kushoto au kulia
Jama kwel hana hakili timamu
Apana ana akili nzuri2 bari yupo kazini
Namkubali
Nkukubali xana kicheche
Kicheche mbwaa wewe,unaweza kaka na unatia raha sana
👍👍👍
Hivi kavaa Miwan au macho yangu mabovu
Kicheche Hatar
😂😂😂Gonga laiki kwa anko samweli❤❤😂😂😂
Starting makoti 🤣🤣🤣 aka blegedia
Kicheche ni noma
Safi sana kwa kazi nzuri kicheche
Kicheche number moja comedy
Jamaa anajua sana
Jamaa hili nikilicheki mbavu Hadi hua zinauma
Kicheche mbwa mm😂😂😂aka kikofia
😂😂😂mbwa kicheche🤣🤣🤣🤣
Kicheche kweli unapendwa sana sy utani😅😅😅😅😅
Nakupenda kicheche your so comedian
Kijiomoli🇿🇦🔥
Noumaaa sanaa 😆😁😂 uyu Mwamba
Basi katika maisha usisahau njia iliyo kutoa binafsi sipendi comedy lakin wew ni moja kati ya comedian Tanzania wanao nifanya niendelee kuzipenda hizi kitu lakin take note usimsahau kitale ata siku moja.
Kicheche Kiboko
🇨🇩 God wark
Mmmmm nice content
kcheche unatsha kaka mungu akufkishe mbali
Mr Maconfidence
🔥🔥🔥🔥
Ongera kwa lambalamba
Kicheche na mkojani kwa movie moja 😂😂😂😂itakua motooo
NIMESOMA COMENT ZOTE SIJAONA ANAYEMPONDEA HAKIKA UMEKUJA KICHECHE MUDA SAHIHI WATU WAMECHOKA NA KINA MKOJAN KILA SIKU NI VILE VILE
Naipenda iyooo
Natoka.naenda
Namkubar sana kicheche....mbwa kicheche 🤣🤣
Japo bando limepanda lkn unachangia sana kunimalizia bando langu mzee unajua Hadi unaboa
Anatoa uchaw anatoa mzmu anatoa majn
Jambo kitchetche tunataka kutumalizia lamba lamba parka mwicho
😂😂😂Anko samwel❤❤❤
Jamaa huyu kwel kicheche😅😅
Kicheche mbwa mimi
But why Nkurunzinza😂😂😂😂😂
Yani najikuta nimecheka kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mafonia una siku chache 😂😂😂
Arusha hapa
Kicheche mbwa kicheche😂😂
Esko tutafutie na stive mweusi
Sikuzote uki jifananisha na mwana Mke basi shuuri una mwanaume awezi jifanisha na mwana mke
Kicheche umeulizwa kwamba unatuambiaje sisi tunnao taman tuwe kama nyinyi
Umejibu ety TUACHANE NA
HII KAZI NI NGUMU tufuate shughli zingne
Unatukatsha tamaa kaka
Umbwa mim
Big Up #Kich£chE
💯%
Kichehe Yuko izuri kuriko. Uyo shoga clam
Kicheche
Oi huyu mwamba anajua sio powa na enjoy kinyama mbwa wewe
Kicheche Amlish pool 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Nkurunziza tena
Ubwa ww pumbafu Zako😃😃
😂😂😂😂❤❤❤
Mganga wa rioba
huyo anatisha namukubali niko dubai
😂😂 nc
Tatutene muda mzuri mufanye interview kali na uyo jamaa
😁😁😁
Pumbafu Zako mbwa wewe Oman 🇴🇲 tunakupata 100% mbwa wewe mzee wa mzagamuo
Nilisha cheka tayari hata kabla sijasikiliza interview
Anatoa majini
NAKUPA PONGEZI KIJANA UCHUKUE MIKOBA YA MZEE MAJUTO MUNGU AMREHEMU KIJANA HII YA MGANGA KICHECHE KILA MDA NARUDIA😂😂😂😂
Kicheche 🤣🤣🤣🤣
Kicheche unakimbiza
Mkurunziza alkua rais wa burundi😅😅