ADC WALAANI MAUAJI YA MZEE KIBAO KADA WA CHADEMA, WATOA WITO KWA RAIS KUUNDWA KWA TUME YA UCHUNGUZI
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►UA-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Jamani Lisu yuko wapi? Usikute ametekwa!!!!
Leo hizi Saa mbov zimesema Ukweli Haya Simatawi Ya Ccm Au Ni Kinafiki Wanazuga T
Unampongeza kwa lipi
Walikuwa kimya watu walopolalamika
Wangechukua hatua mapema hili huenda lisingetokea
Mshakama nazo ni za kulalamikiwa sana
tume kila sku
Wanafiki kwenye ubora wao
Rais hataweza kuunda tume huru kuchunguza mauaji haya.! Mtaniambia. Ameamua kujipa tena Tanganyika. Tanganyika tamu.
Unampongeza kwa lipi sasa ambalo ni geni ,na hv karibuni alitoa kauli tata kuwa utekaji unaofanyika ni Drama?
WELL SAID
4R gani?? wakati Rais Samia alishakataa mapendekezo yote ya vyama vya siasa ikiwemo ya Tume yake aliyounda mwy.. Rais Samia ni mhusika ktk hili hawezi tatua hili tatizo kwani angekuwa na nia hiyo angeshalitatua siku nyingi hili sio tatizo la jana wala juzi
Yajayo yanafurahisha
Na leo mko vyama 13 au peke yenu
😁😁
4R zimeshakufa kifo Cha Asili tuachane nazo tu ilikuwa ni propaganda ya Kisiasa.
Wanafiki nyingi ndio wachawa wa ccm
Jamani tundu lisu Yuko wapi
Tundu Lissu ni mgonjwa kama unavyofahamu.Mara nyingi tusipomuona anakuwa amekwenda kucheki afya au kwenye matibabu yake.
Yupo Mr President hatakiwi kuonekana kila mara