Kutana na Mama Ntilie Marekani @swahilispot_bayarea Angalia anavyopiga pesa kwa kuwa Mama Ntilie tu.

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 51

  • @Laizer3
    @Laizer3 5 місяців тому +1

    Dada apo safi sana maana wanawake wenginee nikupamba kucha tuu na nyweleee,jifunzeni kwa dada hapa

  • @walterngowi5835
    @walterngowi5835 2 роки тому +3

    Sawa Bwashee mpaka Marekan flag inapepea Gud job 🤙🤙🤙

  • @augustinejohn1835
    @augustinejohn1835 3 роки тому +2

    Kiteeee, thanks a lot kwa kituhabarisha kutoka USA. Mola akulinde urejee salama. Amin

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Рік тому +1

    Allah ayibarika kaziyako dada 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 3 роки тому +5

    Mama ntilie wa kishua, pilau elfu 40.

  • @shaniseif1830
    @shaniseif1830 Рік тому

    Nimemfulaia uyo dada ajivungi❤❤

  • @fatemaligalawa1918
    @fatemaligalawa1918 3 роки тому +2

    Ubunifu sqfisaana 💕💕💕

  • @shimbaalex8837
    @shimbaalex8837 2 роки тому +1

    Big up my sister prisila mkenda

  • @frankbunini9898
    @frankbunini9898 2 роки тому

    Fantastic 💯💯💯💯

  • @flavianchuwa4370
    @flavianchuwa4370 3 роки тому +2

    Noma sanaaa

  • @thomasronniemashele6445
    @thomasronniemashele6445 Рік тому

    Dada shujaa mpambanaji wabongo hatujawahi kushindwa labda enzi za mababu sio dunia ya leo.big up sister

  • @edwinkarani5593
    @edwinkarani5593 2 роки тому

    Love this.

  • @peterokalo9632
    @peterokalo9632 2 роки тому

    Congratulations 👏🏽

  • @TheMkwatis
    @TheMkwatis 3 роки тому +3

    Priscilla big up 👍

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 2 роки тому

    Good on you dada!

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk 4 місяці тому

    Dada hongera,naomba unahitaji mdada wakitanzania nahitaji napenda kupika chakula

  • @bretengood5038
    @bretengood5038 3 роки тому

    Xenks Bro

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 2 роки тому

    Asante sana

  • @vigezo
    @vigezo 2 роки тому +2

    Ungetuonesha au kutest chakula kidogo ingependeza

  • @issamohamed375
    @issamohamed375 3 роки тому +9

    Kaka kitenge please naomba namba za uyo Dada ili nipate kujua thamani ya iyo gar ili na mm nifanye hapa home

    • @emmanuelshayo4703
      @emmanuelshayo4703 3 роки тому +9

      Ndugu biashara inaenda sambamba na ubunifu huhitaji mpaka uwe na gari hiyo hiyo ndio uweze kufanya hiyo biashara......... Unaweza nunua gari aina nyingine ukapeleka gereji na kuiunda kama unavyotaka wewe mwenyewe

    • @mankacharles4559
      @mankacharles4559 2 роки тому +1

      Mmh agiza hayo ni maono yako anayeona kuliunda kwa fundi aunde,ila kuagiza ndio safi

  • @sadih5333
    @sadih5333 3 роки тому

    Sawa

  • @kingnicky2568
    @kingnicky2568 3 роки тому +2

    Kitumbua Gani hi ho Cha 8000 au ndo like walichokua wanaimba wasanii

    • @mohamedaden5881
      @mohamedaden5881 2 роки тому

      Mwee jamani kitumbua elfu 8000🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @boanergesd2858
    @boanergesd2858 2 роки тому

    Hii nimeikubali. Video zako nzuri sana na zina mchango mkubwa sana

  • @raheemahamees6410
    @raheemahamees6410 Рік тому +1

    Posipti tunazo
    Tupe michongo dada

  • @PiusAmbros-gh9fk
    @PiusAmbros-gh9fk 3 місяці тому

    kitenge nimeona mama nterie uko marekan mm ni mpishi nakuomba uniunganishie nifanye nayo kazi nitapata ?

  • @raheemahamees6410
    @raheemahamees6410 Рік тому

    Tupe namba
    Tuje kufanfa kz

  • @josephjohnmagesa8256
    @josephjohnmagesa8256 3 роки тому +2

    Kumbe anaongea kiswaili

  • @AraAra-fs7tg
    @AraAra-fs7tg 10 місяців тому

    Kitumbua dollar 2..
    Elf 4

  • @Nickojunior
    @Nickojunior Рік тому +1

    kipindi kizuri,,, natamani kufanya naye kipindi

  • @wivetv7867
    @wivetv7867 2 роки тому

    Niumbey kazi kwa maman nitilie

  • @dorcasbyobala4698
    @dorcasbyobala4698 2 роки тому +1

    Naweza pata number ya dada huyu tafadhali.

  • @ayoublupande3987
    @ayoublupande3987 3 роки тому +2

    Duuh dolla 17 pilau kitumbua dolla 2 aisee kina pesa km kibongo bongo

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 2 роки тому +3

      anauza hvyo kutokana na thamani ya hela mzee

  • @oscarakyoo4815
    @oscarakyoo4815 2 роки тому

    Ukisikia mama anaupiga mwingi ndo huyu sasa

  • @Maxpaul-oi8pw
    @Maxpaul-oi8pw 10 місяців тому

    Dada mchaga

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 2 роки тому +2

    Pilau moja shilingi arobaini🤣

  • @bikilamngashabani3263
    @bikilamngashabani3263 3 роки тому +1

    Sasa wateja wanapotaka kula wanakaa ndani? Au?

    • @pmt79
      @pmt79 3 роки тому +2

      Take away only mzee

    • @alvinsafi2733
      @alvinsafi2733 2 роки тому +2

      Foodtrack huitaji kula hapo hapo Just take away .Ghana wenzetu wanafanya hii huko accra

  • @amanimusenyi8217
    @amanimusenyi8217 3 роки тому

    Duuuh kitumbua kimoja 4000

  • @deborakasambula7431
    @deborakasambula7431 Рік тому

    Dada na mm naomba kazi