Lowassa afunguka, ampongeza Rais Magufuli kuhusu ripoti ya Madini
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- Siku moja baada ya Rais Magufuli kupokea ripoti ya Kamati ya Uchunguzi wa madini yaliyo kwenye makontena yenye mchanga unaosafirishwa nje ya nchi lee June 13, 2017 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Edward Lowassa amekutana na wandishi wa Habari na kutoa ushauri kuhusu ripoti hiyo…
sela za ccm.ambazo nawe ulihusika kuziandaa;rais wenu huyoo ambae nae rais wake ni magufuli..
Kweli kabisa naye anahucka namadudu haya yamadini awadanganye wajinga.
tatzo la huyu mzee ni nini hapo mbna sijawaelewa ,,,,,povu lina watokaaa
bila sababu ya msingi
makeke%vp
Hongera sana,Mtu asiye haki na Ache mawazo yake,na Mungu atamsamehe.JPM piga kazi
wewe ndo ulikua kene uongozi sasa unasema wapinzani waliongea wakakataliwa ni pamoja na wewe ulikuwa mmoja wapo mpinga hayo
Alexnder Makoko ulipokuwa wazir mkuu mbona uliwaponda wapinzan,,,,ndo walio liamsha la Rich Monduli,,,,Richard mtoto waako,,,,,,sasa hvi ni kidole na pete....Mwalimu kusema mpinzan wa ukweli hatatoka ccm ndo Magufuli huyo....
Ilitosha sana kumpongeza tuu Jembe JPM, Jamaa anapiga kazi na yuko vizuri
Nmekuelewa sn Lowasa
Mwenyez mungu akulinde
duuu nice mzee
MY PRESDAR..... ASANTE SANA MH LOWASA.
Lowasa uko vizuriii mpongeze mwenzako Kwa mazuri anayo yafanya mwenzako huo ndio umojaa
Emmanuel mwinguluka..... kama uoni siwezi kuzamisha uone lakini wenye akili timamu tunaona ni mkombozi wetu..... poleee sana.......
my president God be with you
lowassa maneno maneno hatutaki mwache mkombozi wetu apige kazi... hiyo kazi usingeiweza wewe ni mpiga dili sana nani asiyekujua unafiki atuutaki kbsa!!!!
choko ww hakuna mema ndani ya ccm leo mnatumia Ilana ya upinzani
Juliana Masunga labda ni mkombozi wa familia yako kama ni mkombozi kwanini bidhaa ziwe bei juu ukianzia na sugar
hehehe Mungu atusaidie Watanzania kwakweli duh
jaman siasa itabaki kuwa siasa.
mzeee lowasa anamuelew Mr president.... congratulation
Hapo zamani alikuwapo Huyu; naye Huyu alikuwapo kwa waleee, na Huyu alikuwa....... kila kilichofanyikaaaa; Hata Katiba mpya aliipinga.
hata magufuli mpaka leo anaipinga katiba kashasema hakuwahi kunadi sera ya katiba
Mapoudo designer magufuli nikatiba tosha. acha aikomboe. nchiyetu
congratulations honourable Lowasa you are our political model.
Lazima ampongeze kwasababu haitamuacha salama...
George Waya
Amenoa haya akijikomba JPM lazima awatumbue mawaziri wakuu 2 yeye na mwenzake. Anajijua.
Juma Makuri kweli kabisa,hakuna jiwe litabaki juu ya jiwe
George Waya haponi kwenye mziki wa Jpm,,,,ataamini,,,alafu na sumaye haponi haponi,,,,wote tumbo moto,,,,sasa Jpm akilikumbushia la Richmond,,,,hapo simu yangu macho,,,yangu jicho
Joshua Nyonyi kweli kabisa kaka,tusubiri tuone mwisho wake
Joshua Nyonyi kweli pamoja na kikwete na mkapa apo uko vema
lowasa yuko sawa nakupenda Mzee wangu wacha magu atekeleze sela za ukawa
Mzee busara yako ni nzuriiii hongeea
safi mzee wangu nimekuelewa sana
katika maisha ni vibaya sana kuwa mnafiki. unafiki huo utapotea na wengi
huyu Mzee nimemuelewa sana kuliko TL anaejenga hoja zake kwa kejeli!
EL kaeleza namna tunavyoweza kuepuka kuingia kwenye matatizo!!! safi sana babu!!
kwakweli mweshimiwa Lowasa nakupenda kwa Busara ulizonazo..kwenye ukweli unasimamia kweli kweli
amesema ukweli wake wote aliposema tatizo ni sera za ccm. maana sera ndio chama. mind you! wanapopita kuomba kura huwa wananadi sera za chama, sera hizo ndizo hutumika watakapounda serikali. unfortunately sera zetu kama nchi kwa sasa zimesimamiwa na zimekuwa zikisimamiwa na ccm maana wao ndio sera zao inasemekana huwa zinashinda kwenye uchaguzi kwa miaka 50+.
Sasa yeye ni mpinzani maanake yupo nje ya sera za ccm. Hana kinga yoyote maana hayupo serikalini.
Ametaka iwe collective responsibility yeye akiwemo kama atapatikana na hatia.
Hii vita sio ya chama ni vita ya watanzania, inatupaswa kusimama na kusema lugha moja sote. Ndio iwe ndio na Hapana Hapana.
#katiba Mpya. Tanzania Mpya#
jaman mzee wa watu hana makuu na watu lakin wanaslccm wanamchafua tu
Abel mwanshinga nimependa Sana ukweli wako lowassa mungu akubariki
Walau wewe ukizungumza huwa nasikiliza maana kama ni kukosoa unakosoa kwa njia sahihi na kupongoza unapongeza kwa dhati pasipo kujali jambo limetendwa na kiongozi gani, cha muhimi ni Utanzania wetu na maslahi ya taifa letu. Mungu akubariki
Tunamshukuru Mungu, ww Mzee kupigwa chini kwenye uchaguzi!vinginevyo baada ya Richmond, nchi ingeuzwa.
hivi kweli wewe ndio ili kuwa uwe raisi??? Namshukuru Mungu alietuepusha kwa hilo. we needed a strong man (kwenye maamuzi na kiafya) kama magufuli. wewe pumzika tu. huo ushauri wako ulishindwa kumpa kikwete ndio leo hii umshauri magu? leo hii ndio unazungumzia mikataba? eti ni sera za CCM,we si ulikuwa huko? hatutaki unafki saa hizi..
hujasikia akisema wabunge huwa wanapiga kura kutimiza sera za chama lawama wapi Sasa hongera lowasa
Uzalendo haujifichi"""
huyu ndio kiongozi,hana bifu na MTU Lowassa safiii,
aaaaaaaah,huyu mzee aache ujinga bhana,unafiki mwingi
safiiiiii
Watu wanaanza kujihami mapemaaa , Siku zote ushauri huo uliuficha kwa nini ,Au na wewe ndo wale waliotajwaaaaaa ..
safi sana
AAA jamani Mimi amenifurahisha kumpongeza Rais .....walau anaonyesha uzalendo sio Li Lisu limeniudhi Mimi haya sasa wenzie wote wapo kinyume naye....Lowasa mwaya rudi nyumbani tufanye kazi
Hata sijui. Sasa nitasema nini!?
Mzee wa busara Mungu akubariki xana
wewe many we theboss @Usiseme rais wetu kipenzi wa watanzania sema rais wako wewe na mke wako. uache ushabiki.
hauna busara unafiki tu
hapo unafki upo wapi kama kampongeza mwenzie .......................katoa ushauri tusirudi kwenye lile tatzo kama la samaki
Alexnder Makoko
Hivi Lowasa ni Mpinzan jamn??? Au Ccm B??
umeishiwa ww lowassa huna uchungu na nchi hii
Ndo maana naichukia siasa kwakweli
Ndo maana naichukia siasa kwakweli
Mie napita tu mzee
kumbe hajaelewa
Ibrahim Khamis
Watanzania kwenye mpira wao ndo makocha wamidomo kwenye siasi pia yani kila mtu anajua kuliko mwenzie ndomana nchi aiendelei 7bu ukisikia tu unaanzisha zogo kisa umesikia na hutaki kueleweshwa....sasa kuna kuna watu wamejitokeza kupinga na kukosoa kauli ya lowassa na kuna wengine wanapinga uwamuzi wa Rais ndo nyie mnae panga kikosi cha mpira kwenye vijiwe kila kitu mnakijua acheni izo mambo
kwa mara ya kwanza namuelewa mr liwassa hapo ndo ukongwe wa siasa unapo onekana HONGERA BABA
Eti anayewajibika ni rais..? Umesema waziri mwenye dhamana "analishawishi" baraza la mawaziri ili likubali yanayoelezwa na waziri nusika, sasa ni hivi; rais anafanya kazi kwa kushauriwa na hao wote aliowataja Lowasa. Kwa kuwa Rais anafanya kazi kwa kushauriwa na baraza la mawaziri so 98% chochote alichofanya rais juu ya hayo ni kutokana na kushawishiwa na baraza lake na kwa hivyo anayewajibika kwa hili si rais tena ni baraza la mawaziri pamoja na idara nyingine za sheria. Watu wasimuingize Kikwete katika hili kwa ujanja wa kutaka kutuaminisha kuwa ni jambo gumu, hapa kikwete hausiki kwani yeye hakuwa anafanya kazi kama MFALME. Mawaziri waliohusika ni lazima wale matapishi yao...!! Rais si mtaalam wa madini, rais si mtaalam wa sheria, rais si mtaalam wa Uchumi wa taifa, rais si maraika mwenye jicho la unabii ambapo angeweza kuona akila baya na jema lijalo mbeleni pasina kusaidiwa na idara zake husika. Pumzika KIKWETE, sisi tutapambana na hawa waliokupeleka chocho. #Tuna Muda Mfupi wa kukiona kijani kikavu, bali tuna muda mrefu wa kukiona kijani kibidhi kilicho nawili. VIVA JPM
Mwanadamu ni mnafki sana.
watu wamewahi kushika nyadhifa za juu na hawakufanya chochote
wewe siulikuwa waziri mkuu, mungu tusaidie. rais walete maraisi wote wawojiwe
wazamani.tukopamoja.
Wakati karamagi anasaini mkataba na Buzwagi Uengereza Erdward alikuwa Uengereza na alilala hoteri moja na Karamagi na akae ajue JPM tutamuongezea vipindi vitamo vya miaka mitano mitano
na bado ninyi nyote ni ccm bila kujitambua mnafanya ushabiki tu Wa chadema "CCM"Juu
😂😂😂😂 hili Sunami litakwenda na wengi vip kupanic?
We ndo ulikua huko mda mrefu huko ccm kwa hiyo huna lakuongea
thats gud man
Uyu mtu anaakili sana kuvunja mkataba kuna gharama zake ,na kila jambo utaratibu lazima ufuatwe
Tukaneni sana ile magufuli hana mpinzani huyu ni mkombozi 2020 mtashuhudia
Lowasa utaendelea kupongeza tu, mpaka hapo utakapotumbuliwa, umepona almas na dhahabu bado Tanzanite, wanyamapori na misitu, hata huko ukawa utatumbuliwa tu.
Muwe mnaelewa Wazir hawez kusain mkataba wowote bila Rais wa Inchi na ndio maana mnaona hata mikataba ya ndege barabara flyover yote hiyo haiko waz, wakulaumiwa ni marais co mawazir.
Mr prizidenti anacheza ngoma ya ukawa pembenpemben namshauri asione aibu aingie kati alisakate ngoma la ukawa linachezeka kwa staili uiwezayo iwayo yote
Jamani tuckurupuke hapa kuna jambo mm naangalia tu..wacha tuone na tuombe kheri
mtakubali tu magufuli ni jembeeeee sema pamoja nagusia yote haya anko magu MAISHA magumu sana kitaaa
yeye anajitoa eti duh tz Kuna vivutio vingi sana vya utalii
Huyo ndo LOW-AS-SA.
mzee kali hali mbaya...umemsahau hata Tundu Lissu?
Jamani, #Lowassa kanena yamsingi...
Naona unatafuta kiki kwa mweshimiwa unataka ukuu wa mkoa nini
peoples power skitak hata kukisikia chama cha wachaga viongoz wote Wa juu ni wachaga du hataree xana
Jamani panapo takiwa kupongeza, pongezi sio kila jambo kupinga huo ndo ukomavu wa kisiasa, mtu akifanya vizuri opongezwe, haijalishi ni wa ccm au chadema, mtakomaa lini kisiasa jamani.
lowassa mzee wa busara miaka mia ntakukubali....anayekukataa hana akl....anahitaj elimu elimu elimu
Mh, mbona hatukuelewi kipindi madudu haya yanafanyika ulikuwepo tena ulikuwa mtendaji mkuu wa selikari mbona haukuyasema haya unayoyasema ulifanya nn kuzuia yasitokea au ndo kutafta kick!!!!!
Achaunafiki ulikua waziri mkuu mbona hujawahi hats kusonta kwa kidole Leo unajifanya kuongea ujinga nyinyi ndio mnae mtesa magufuli kwakufanya kazi ngumu mngekua wazalendo hii nchi isingekua hivyo
Hamiss Rajabu magufuli jembe werowasa,tundulisu wajingatu ulikua wazili mkuu inamaana,ulikua haupi ushauli jk?au umbea!!watanzania tume wachoka,upinzani bilayaakili si upinzani!!amakweli nimeamini kama huna akili zakuzaliwa,hatausome wapi buretu'.!
Ramadhan Athuman sasa wewe ramadhani kati ya wewe na lowassa nani mjinga? maana wewe atakuandika tu nishida! umeunganisha maneno yaan duh!!!!!
May God bless him pakusifia unasifia pakukataa unakataa simple mathematics tatizo wajinga baadhi huwa hawaoni wao ni kelele za vyura madenge...
lowasssssa viva
sawa lowasaaa
katiba mpya ndio solution ya haya yote
sela za Ccm na ww ulikuwa ccm we mzee ww
katoka wapi we we mbaba tyu use riport
mmmh Lowassa!!!!!!
saws baba
Lowasa umemtuma Lisu apinge ili uone upepo wakutokea? Lisu tumemgomea sasa umetokea lango la kumpongeza Rais !!!!! unaakili sana Ila Lisu umemweka rehani ....ss tuko na Magufuli toka 5/11/2015
ndugu mlifanya nini kipindi cha jk..?
mzeee mbona unaleta mrorongo au unapongeza magufuli alisema kama mtu umemkuta na kosa live hizo protocal za nini mzeee
aaaaaa lowasa unataka katiba mpya wew......umenichekesha san
Chacha Marwa ww unapenda sana katiba inayoruhusu mikataba mibofu
Chacha Marwa ww unapenda sana katiba inayoruhusu mikataba mibofu
Guilty of consciousness.
kweli rais akifanya vizir pongezi zinamuhusu poa baba umekomaa angekua mwingine angepinga pia
Lowasa hana busara yoyote yeye ndiye mpiga deal wa 1. Haya hii mikataba anahusika hata kwa kushawishi kusainiwa. Huu ni umbea tu hana lolote, hafai hata kuigwa.
ashasema mpelekeni mahakamani sio kuimba taarabu kila siku
hana busara kivip n nn kibaya kaongea hapo
Chris Comedian
Anaongea umbea tu, amekuwa madarakani muda wote wa maisha yake tena top figure. Tena nahisi kichefuchefu.
Kweli kabisa mwanangu .anabusala gani huyu.amejaa tamaa kilasekta.
ha ha ha haya bwana maana naona hamjamuelewa huyu mzee
wapinzani tunawajua sio ww, ulipochujwa ccm ndo ukajua chadema wapo!!!
raisi tumbua huyo asijipendekeze fanya kazi yako kuazia Leo nahamia kwa mangu
Msimukumu mtu bila kujua au kwa kuskia.
😂😂😂😂 ni bora ungekaa kimya katiba mpya ulishika bango kuikataa leo hii kawa mkavuuu shikamoooo JPM
ndo siasa hyo mjomba wafuate na hata mazuriii
Anae muunga mkono uyu mzee aneitwa wa hekima, kwa 100% atakuwa na mapungufu... Uyu mzee amekuwa ndani ya chama cha green toka ujana wake woote mpk leo anapoitwa mzee wa hekima.. Leo hii ako opposite amekuwa ni mkosoaji... "sera za ccm" ndio unaziona mapungufu yake leo baada ya kusaliti? SHAME ON YOU.
Katika hili wa kulaumiwa ni sisi wenyewe wananchi kwani kila baada ya miaka mitano wanakuja na doti zao za khanga, then tunawapa kura wanaenda kumega keki kipande kwa kipande... sasa keki imebaki robo eti tunamtafuta mchawi... haya sasa adhabu yenu kafukieni mashimo yalioachwa.
mimi napita cna cha kuongea
ulishajichokea kalale monduli mwache magufuli achape kazi wewe ni mmoja wa watuhumiwa wa ufisadi Tanzania ccm ni pamoja na wewe uliyezeekea huko na katiba Mpya wewe ndiyo uliyeongoza kuipinga Leo unatuambia mini tens unyamaze aibu wewe
hahahahaahahaha et hii vita haita muacha salama
Watuache kwanza watu wapo since 1980s kwenye serikali hawakuyaona haya leo analaumu
Kwa mda huu magufuli ataonekana ndio mkombozi kwasbb yy ndio driver tunawalaumu kina Lisu na kusema nimpiga kelele tu lkn hiyo ndio kazi yake ashapiga kelele sana na wenzake kuhusu hili lkn hana hawakuwa na maamuzi wenye maamuzi walikaa kimya ila saiv muamuzi ndio kataka kutekeleza sera na kelele za wapinzani
Hiyi vita haita muacha salama hilo alijuwe
Mh kajiunge shilawadu nakushauri
mi staki wawekezaji bwana, tuchimbe madini kwa sururu hadi tupate hela ya kununua mitambo ila kama mtu anataka madini aje anunu dar sokoni, ni hasira tu hizi
Hunaishuu
yeye mzee lowasa aludi tu.
ha ha mmanyika
lindu ndio nani ahoo nisaidien