Kwakweli mimi napenda neno la Mungu sana kuzikiliza na kusoma na watumishi nao wafatilia na kuwaelewa ni pr Semba na mch kenani mwasomola nawakubali sana Munanena ukweli kabisa ,,wengi sikwizi wanaficha sana kanisa WA Adventist wanasuka ,wanavaa vibaya na wanapaka rangi Japo siyo wote Ila asilimia 45 ya kukadiria wamo wasio na Hofu na Neno la MUNGU.. Ubarikiwe sana 🙏🙏🙏
Kwakweli mimi napenda neno la Mungu sana kuzikiliza na kusoma na watumishi nao wafatilia na kuwaelewa ni pr Semba na mch kenani mwasomola nawakubali sana Munanena ukweli kabisa ,,wengi sikwizi wanaficha sana kanisa WA Adventist wanasuka ,wanavaa vibaya na wanapaka rangi Japo siyo wote Ila asilimia 45 ya kukadiria wamo wasio na Hofu na Neno la MUNGU.. Ubarikiwe sana 🙏🙏🙏
Waooooo Saf san leo mubashara
Ubarikiwe sana🙏🏾
Pr. Seemba na timu yote uliyonayo hapo Itete.......na washiriki wote Mungu aendelee kuwainua,kwa kujifunza Neno ktk siku kumi za maombi
Yego mlefi uko vizuri tangu enzi zile ukiwa kiongozi wangu wa vijana kule Bunda umekuwa imara hadi Leo kwa ukwel ulio simama, Barikiwa sana pr
AMINA, OMUKAMA ACIMWE
Nabarikiwa sana pastor,,karibu Mombasa Kenya.
AMINA
Amen ....pr Mungu akubariki sanaa pr.
Naendelea kubarikiwa tokea hapa mbeya adventis primary school