UKAGUZI WA VIPAUMBELE VYA IMANI SEH.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 10

  • @JuliusHatari
    @JuliusHatari 3 місяці тому +1

    Kwakweli mimi napenda neno la Mungu sana kuzikiliza na kusoma na watumishi nao wafatilia na kuwaelewa ni pr Semba na mch kenani mwasomola nawakubali sana Munanena ukweli kabisa ,,wengi sikwizi wanaficha sana kanisa WA Adventist wanasuka ,wanavaa vibaya na wanapaka rangi Japo siyo wote Ila asilimia 45 ya kukadiria wamo wasio na Hofu na Neno la MUNGU.. Ubarikiwe sana 🙏🙏🙏

  • @SamuelNdulu-bz7qv
    @SamuelNdulu-bz7qv 8 місяців тому +1

    Waooooo Saf san leo mubashara

  • @molinangoy893
    @molinangoy893 3 місяці тому

    Ubarikiwe sana🙏🏾

  • @stephanomganga9743
    @stephanomganga9743 8 місяців тому +1

    Pr. Seemba na timu yote uliyonayo hapo Itete.......na washiriki wote Mungu aendelee kuwainua,kwa kujifunza Neno ktk siku kumi za maombi

  • @benyavan5774
    @benyavan5774 8 місяців тому

    Yego mlefi uko vizuri tangu enzi zile ukiwa kiongozi wangu wa vijana kule Bunda umekuwa imara hadi Leo kwa ukwel ulio simama, Barikiwa sana pr

  • @LilanLilian-c4l
    @LilanLilian-c4l 8 місяців тому

    Nabarikiwa sana pastor,,karibu Mombasa Kenya.

  • @ronaldhelmott8379
    @ronaldhelmott8379 8 місяців тому

    Amen ....pr Mungu akubariki sanaa pr.

  • @vayaulashedrack5994
    @vayaulashedrack5994 8 місяців тому

    Naendelea kubarikiwa tokea hapa mbeya adventis primary school