sai unaenda kupoteza tu uchambuzi wako ulikua Bora vip fei kipnd anaachana na yanga akufanya usaliti dube ndo anaonekana msaliti na uku yanga ulikua adi kimataifa @mfalme wa soka? usifate usimba na uyanga ama kiki utaaribu ubora wako
Azam hawafanyi kiprofeshno. Wangefanya kiprofeshno wasingefanya uhuni waliofanya kwa Fay
Kaka una jitetea sana kama umeandika kubali tu yaishe acha mambo mengi
Baazi ya wachambuzi wanahalibu soka letu wanazitia joto timu na wachezaji wakati wa usajili
Unatafuta kazi kwa mo dewj
Mshabiki wa Simba hiyu
Ila FEI naye aliwasaliti wepi???? Mbona ni mulemule😅😅😅
Mtakua waongo hatutawaangalia kwenye media zenu
Pasco fei hajawakosea yanga kwani si azam waliyoyafanya yanga ndo waungwana juu fei amatolewa bure
Nyie wachambuzi wote mpk mnatia kinyaa....!! Friji bovu wewe mwnyewe umeshasema mara nyingi kuwa Chama Yanga kishasaini !acheni upumbavu
Huyu nae dishi limeyumba😂 eti mo akiamua aamue mara ngapi??? Kaamua na ameshindwa kufika dau...mara njoo Dubai mara namtuma mtu Lusaka. Jana pia watu wamemsubiri airport lakini wapi😅😅 Shida tajiri kutoa hela hadi aombe kwa ndugu zake😂😂😂😂
😅😅😅 hy kweli huyo friji
Hivi mwandishi wewe umekosa kazi kumhoji huyo ana hana taaluma ya uchambuzi
Chama akibaki Simba atajuta mbereni ataanza kuchareweshewa maripo yake kwssababu warikuwa hawamtaki ira wamemchukua
Tofautisha R na L then nd uandike maana naona kama mganga ajae, wakat bado ww kijana
Watu mmeanza lini kuwa wanajumu?Nini kinafanya useme atacheleweshewa malipo akibaki simba hali hajawahi fanyiwa hivyo wapi atawahishiwa?Maadamu yuko simba na hajawahi kucheleweshewa hapo ndio kwenye uhakika kwingine nikubeti tu.
wandishi wa tz ni wajinga sana
Uwa hukumbuki unaongea nini
Kweli chama si mwamba tu wa lusaka!na tanzania pia,sasa inatakiwa tuunganishe lusaka na dar,tupate tupate jina moja kisha tumpe chama.
Lusadar
Huna lolote fala we leo unajitoa unawaja wenzio maneno yanakutoka mengi kwa aibu