🛑FRIJI BOVU: ZANDAAANI SIMBA IMEFANYA UMAFYA KWA KIZUMBI, TRY AGAIN AMALIZA KILA KITU KUTUA JANUARI
Вставка
- Опубліковано 7 жов 2024
- FRIJI BOVU: ZANDAAANI SIMBA IMEFANYA UMAFYA KWA KIZUMBI, TRY AGAIN AMALIZA KILA KITU KUTUA JANUARI #azamfc #football #wasafi #yanga #footballclub #live #millardayo #simba #simbasc #globaltvonline
# msimu huu wa ligi ya NBC premier Ligue ni msimu ambao unakuja na changamoto kwenye matokea kwenye timu na mpira huu ndio tunaotaka tuone sio kila timu ikicheza na timu inakuwa Tyr imekuja na matokea mkononi nawaomba sana baadhi ya vilabu wakikutana na timu kubwa kubwa wasijiachie kisa wanapata udhamini mgd huu sio mpira na ndio maana vilabu vyengine munakuwa na udhaifu wa hali ya juu mno munafeli km ukimkazia Simba bc na yanga pia mkazie ndio soka letu litazd kugain laa ikiwa Simba ndio mnamkamia bc mtaishia tuy kusikia Kuna Simba day na tutawaalika muje uwanjani❤❤❤❤.....
Friji bovu we ni hatari sana kwa habari napenda habari zako🎉🎉
ww mwamba unachambuaga vizuri
Yanga haiwezi hawana pesa. Tabiya ya yanga .inakusajili .utalipiwa pesa zako mahakamani fifa
Tajili mo ukitushushia kinzumbi na fei toto utakuwa umemaliza kiu yetu hatutokuwa na deni kwako kazi yetu itakuwa kuvaa jezi na kujaza uwanja
Yaani huo ndo UBAYA UBWELA unaendelea
HUWA MNASEMA HVHV UTAONA AMEENDA UPANDE WA PILI. MO MO FANYA UBAY UBERA
Mamaa usiwe na wasiwasi Mo amepoteza funguo ya begi la pesa 😂 yaani atachukua mpaka dhambi za mashabiki wa Simba SC akawape UTOPWAX 😂😂😂
Mwongo huyu.Kizumbi alishamalizana na Africain kwa mkataba wa miaka 2.
Bado ujasema utopolo viongoz wenu wajanja janja
Kinzumbi amepewa nafasi ya kucheza kwa muda club african
Sasa mnaokataa subiriin mwez wa kwanza ndo mtajua kama hamjui