walahi anko jay unasaut nzr napnd sn simuliz unazo simuliy saut t Ina mvuto nahisia zakupenda simuliz zako so unajikuta t una miss kufatiya daaah Mungu akupe afya na umri wenye Barak a anko jay wet🙏🙏🙏
Oh my. Anko Jay you remind me of my early good days in primary school. Our teacher told us this story and the song went like " pia ehh pia mama yako ni mbaya sana kanichimbia shimoni pia" the other was noah eh noah baba kaleta viatu noah moja yako moja yangu noah. These are old good moments of my memories
Mm nimekulia kijijini yani asubuhi sakumi na moja uamuke uende maji ukija fagia pika chai enda shule na hivyo kama unaenda shule beba mtungi wamaji ili lunch tym uende nayo lunch unapika kula kisha beba mtungi rudi shule jioni panda nayo .. hayo maji usifikiri niyakunwaa hapana niyakunyunyizia mboga mboga hayo ndomaisha nilikulia jumamosi shamba kama kawa mm na mdogo wangu mama pia. Mm nilikuja kuenda michezoni ashule nikiwa darasa lanane tena hivyoo nimeomba mama sana kuwa nimechukuliwa kukimbia ndoangekubali mana siku zote anakuambia chagua kuenda kwamichezo jioni ulale njaa nauamkie njaa😂😂mm mwenyewe njaa tena awee nakaa. Sasa nikawa nasema huyu mamangu VIP anatutesa lkn kumbe alikuwa akitutengezea maisha mana nguo kazi ndogo niliaza kufanya nikiwa std 5 hadi Leo huwa namshukuru mamangu RIP my mommy
Sina la kusema zaidi ya kuwashukuru sana kwa moyo wa dhati kutoka moyoni mwangu ubarikiwe sana na na wapenda sana anko Jay na timu yote anko Jay family simulizi be blessed all
walahi anko jay unasaut nzr napnd sn simuliz unazo simuliy saut t Ina mvuto nahisia zakupenda simuliz zako so unajikuta t una miss kufatiya daaah Mungu akupe afya na umri wenye Barak a anko jay wet🙏🙏🙏
Oh my. Anko Jay you remind me of my early good days in primary school. Our teacher told us this story and the song went like " pia ehh pia mama yako ni mbaya sana kanichimbia shimoni pia" the other was noah eh noah baba kaleta viatu noah moja yako moja yangu noah. These are old good moments of my memories
Mbona hiyo hadhithi tulisimuliwa na Bibi tukiwa wadogo... mashallah kumbe bado ipo❤
Ankojay hii imejirudia jaman kwangu mimi nilishaisikilizaga kitambo sanna
❤❤ Asante Ankojay kwakutukosha na simulizi nzuri sana
Tamu sana aunt Kelly na Abdul watakuwa Tu wapenzi ❤😂 ankol jay tafadhali part 2 nangoja ❤
Mm nimekulia kijijini yani asubuhi sakumi na moja uamuke uende maji ukija fagia pika chai enda shule na hivyo kama unaenda shule beba mtungi wamaji ili lunch tym uende nayo lunch unapika kula kisha beba mtungi rudi shule jioni panda nayo .. hayo maji usifikiri niyakunwaa hapana niyakunyunyizia mboga mboga hayo ndomaisha nilikulia jumamosi shamba kama kawa mm na mdogo wangu mama pia. Mm nilikuja kuenda michezoni ashule nikiwa darasa lanane tena hivyoo nimeomba mama sana kuwa nimechukuliwa kukimbia ndoangekubali mana siku zote anakuambia chagua kuenda kwamichezo jioni ulale njaa nauamkie njaa😂😂mm mwenyewe njaa tena awee nakaa. Sasa nikawa nasema huyu mamangu VIP anatutesa lkn kumbe alikuwa akitutengezea maisha mana nguo kazi ndogo niliaza kufanya nikiwa std 5 hadi Leo huwa namshukuru mamangu RIP my mommy
Asante sana anko Jay kwa juhudi zako za kila siku kwa kweli bidii unayo tena sana good job congratulations 👏👏👏❤❤❤ love you 💕
No 1 wapi likes zangu😂😂
Hongera sana
Tz
❤❤
Asante ankojay kwa simulizi zko nzuri na zinamfdisho
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 I say thenku Ankojay let me enjoy myself😅❤❤
From Canada ankojay wewe ni balsss
Hidaya mtoto mzuri ❤❤❤❤❤❤nilijelewa laki nimepata kitu dio namalisia❤❤❤❤❤
Asante Anko jy akini nimechelewa mimi .ila nimeipenda sana
❤mashallah anko Jay tupo tusikilize hidaya kitu kipya kitakuwa kitanu maana ujawai kufeli
Jamani nyiee watu hamlali 🥰🥰🥰🥰🥰
Dhoo hidaya good girl❤
Asante sana Ankojay
Ni hadithi ndani ya hadithi asante sana mr anko jay❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Waoooooooooooh nimejuwa kuwahi mashabiki tupo kama wote 💞💞💞💞💞
Sijachelewa sana hâta mim😂😂thx sana Anko j❤❤
This the second time for me listening to this story.
Jamani nafikiri nimesahau kumbe kuna watu wamelala huku haswaa😂😂😂😂 asante anko jay ❤❤
Yan kuogopa kulima Mie kabisaaaaahuyu nikatimkia mjini
Cammie,Cammie,Cammie, haya twende nalo wana ankojay simulizi pamoja sanaaaa
Wangapi tumeboeka twasikiza simulizi za zamani😅🙌🙌
Mzigo mpya huu akojay tuletee miss Abby
Anko tunaisubiri sehemu ya pili kwa hamu ni taaaamu balaaa❤
Ni wa kwanzaa thanks Ankoj ❤❤❤😂😂🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Safi sana
Sina la kusema zaidi ya kuwashukuru sana kwa moyo wa dhati kutoka moyoni mwangu ubarikiwe sana na na wapenda sana anko Jay na timu yote anko Jay family simulizi be blessed all
Love mwaa🌹
Jamaninimecelewa ankojay 😊
JAMANIII HIDAYA ankojay kafanini tena 😮 nasikiliza ili nijuwe anabara gani ili tujifunze kitu kupitia HIDAYA❤
Nakuaminia anko jay asante sana
Hiy nko jay thanks❤❤❤❤❤❤❤
Congratulations anko jay
Chiara 4
Asante ankp j❤❤❤❤
Daha mmenioumbusha mbali
Thanks jay for keeping us busy..pray for us,Kenyans tunaomboleza...
Tuko pamoja dear am a Kenyan citizen tuomboleze uku tukienyoy
@@ashamenza2212 ndio
❤🎉🎉🎉🎉
ASANTE ankojay ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Anko ❤ jamani tuna enjoy aswaa😂i ❤you
Asante sana my brother from another mother
Thanks for watching
Nilikua naota nasikiliza simulizi 😂😂😂😂 kushtuka tu nikaingia UA-cam nakutana na kigongo kipya cha HIDAYA😅😅😅😅Ahsante Anko jay 😊wacha nisikilize sasa
Asante ankojay ❤❤❤❤
Enjoy
4
Inafundisha
1. mama wa kambo si mama.
Tend wema nenda zoko.
3.majuto ni mjukuu
Asante sana Anck jy
Sina la kusema 😂😂😂😂😂anko jay nimefurahi sana nimecheka sana eti mpira umepinga kisilani 😢😢
Niko ndaaani kaa mimba..waiting to learn something new...thanks Anko❤❤❤❤❤❤
Any time
Naomba sehem yapili
@@ankojay_ nataria 😢
Waooo❤
Ank jay naomba namba zako ninashida na ww samahani lakini kwa usumbumbufu, natamani na mmi niwafunze watu jambo
Sehemu ya pili ipo kwel
nitarudi baadae wacha nisikilize kwanza ❤
👏
Hivi ankojay mbona Natalia ya mwisho hatupati au mpaka ulipie
❤❤❤
Kunani huku. Let here from hidaya
🥰🥰🥰🥰
J unaniwezea kweli nimechekae sana😂😂😂😂😂
Nimechoka hapo anapobana miguu
Nakusikiliza
Jamn muna lala muki waza simulizi za ankojay jmn😅😅🎉
Kama kawa ankol j❤❤
😂😂😂😂ahaa yaani nilitamani iendelee tu anko kwasasa sibanduki kwenye simu lizi zako walahi naenjoeee
Aisee mumerauka leo pia😅😊😊
Shani we shani yaan nime cheka Ii simulizi
Hi Anko Jay thanks alot 😊
Thank you too
Anko jay u have sweet stories and educative ones
R5f
Inabidi tuwe tunasikiliza kwanza kisha comments baadae au sio jamani
Mbona Leo sijaketewa notification 😢😢😢
Tupe sehmu ya pili
Akina suu hatuna Bamba Bamba👍
Thanks alot
@@SummyStories 👍
Kawia ufike😂😂
asate anko umetuletea kitukipya ashatusikilize Asante anko wetu 😂😂
Enjoy
Atari sana hidaya kafanya nn
Hello guys mumepoa tuko pamoja anko jay simulizi
Oi hidaya part 2 lini mana daah bonge la simuliz yan
❤❤❤❤❤🎉
Next please ankol☺
Hidaya sehemu ya pili ipo
Sehemu ya pili please anko j
Anko mambo vp jmn
ANKO HIDAYA PART 2 TAFADHARI😭😭😭😭😭
Mmmmmmmm❤❤❤❤ 10
Mambo.
Natalia jamn maan 2naixubil ati.
Eti ht mm naisubr Natalia
R 4
4R⁴
Anko lisa mwala kapotelea wapijaman
Coming Soon
Nilienda likizo kidog ndo naludi ss😂😂
tamil mnoo
❤❤❤❤😂
Simulizi zako nitamu ako j
Huyu kisirani kama asubuhi mbona naona kama ni baba wa hidaya nasijui kwann anamwita mjomba kuna kitu hapo
Jmn ivi Lisa mwalla Yuko Wap jmn
Idaya sehem yapili
Mambo matam
R
Rr
Naixumbil xan abby
Da ximulz n nzur
❤❤❤❤
❤❤❤
4