WASOMA MAULIDI WANAJUWA KUKATA MBUNO TU SHEIKH SALUM MSABAH

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 68

  • @omarsima2763
    @omarsima2763 11 місяців тому +10

    Shekh wewe ni phylosofer mzuri na msomi mzuri wa kufuatwa. Allah sw akujalie uzidi kutuelimisha.

  • @user-rf3mg3bh9j
    @user-rf3mg3bh9j 11 місяців тому +2

    Mwanachuni mzuri na msomi sana mashalllah

  • @MohamedMohamed-ge8fi
    @MohamedMohamed-ge8fi 11 місяців тому +1

    AL hamdulillah hayo ndio Mawaidha Insha Allah akuzidishe Elimu zaidi

  • @user-xk8yt7lg4f
    @user-xk8yt7lg4f 11 місяців тому

    Shukran Sheikh Musabah kwa kuwapa maneno wajue... Siasa iliingzwa katika Dini

  • @shebbythespyro5393
    @shebbythespyro5393 11 місяців тому +5

    Uislamu ilikwepo tangu adam(A.S) ila uliwafikia wa kwanza kwa wakati wao ni bi khadijah(R.A)

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 11 місяців тому +1

    MASHAALLAH

  • @HijasSaidy-ke2tm
    @HijasSaidy-ke2tm 11 місяців тому +2

    Sheikh hao unaewapa ilmu hii, wametia Pamba ktk masikio, wamechificha kwenye dini,

  • @fay9687
    @fay9687 11 місяців тому +1

    Sijui kama kitana kinaingia kwenye hizo nywele subhanallah unaonekana kama chokoraa fulani

    • @ameirmanzi2684
      @ameirmanzi2684 11 місяців тому +1

      Iyo subuhanawah ya nn apo wakati wewe umemchunguza wakat nikosa kuchunguzana

    • @elhelaaltraders7233
      @elhelaaltraders7233 6 місяців тому +1

      Chokoraa ni wew usiejielewa

  • @IssaSalimu-gi7zz
    @IssaSalimu-gi7zz 5 місяців тому

    Mungu akubariki wemkweli ☝️☝️☝️❤️❤️❤️✌️

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 11 місяців тому

    Shukran sheikh kwa kuhimiza watu wasome

  • @imranihussen5764
    @imranihussen5764 11 місяців тому +2

    👏👏

  • @SamsungA14-wz4fg
    @SamsungA14-wz4fg 11 місяців тому +1

    Sisemi hivi kwa Majigambo lkn muhimu Tusiwazugushe waislamu..wakawa wanabeb ufahamu usio sahihi..Allah s.w atusamehe tunapokosea..

  • @ramadhankheir4793
    @ramadhankheir4793 11 місяців тому +3

    Maulid uzushi tu tusizungushane sana

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 11 місяців тому

      Hujalazimishwa

    • @ramadhankheir4793
      @ramadhankheir4793 11 місяців тому

      @@aliabdalla9297 ata ww pia hujalazimishwa kuacha ww endelea kufuata

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 10 місяців тому

      AKILI HUNA WEWE.
      MTUME HAKUPANDA GARI MBONA WEWE UNAPANDA.

  • @rashid3562
    @rashid3562 11 місяців тому +2

    Huyu ni genius

  • @feisalhanafi7332
    @feisalhanafi7332 11 місяців тому +1

    Kwa komedi upo vizuri.

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 11 місяців тому +2

    Duh mashehe wengi sikuizi

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 11 місяців тому +3

    Kwa wanawake muislam wa kwanza ni mama khadija na kwa mwanamume ni abubakar

  • @showshowtv1854
    @showshowtv1854 11 місяців тому

    Ww sheikh wangu sio vzur sheikh kuwa na manywele kama hio

    • @BTVBATTAWY
      @BTVBATTAWY  11 місяців тому

      kama ulikuwa hujuwi mtume alikuwa na nyewele yeye zake alizilaza

  • @WajihiAbdalla
    @WajihiAbdalla 11 місяців тому +1

    Asalamu alaikum sheh umeshapima kati ya nashid na maulid jeep nashid sio uzushi

  • @SamsungA14-wz4fg
    @SamsungA14-wz4fg 11 місяців тому +1

    kwanza kawatovekea adabu walimu wake..kw kusema kua anajua kua anaburuzwa kw hivo anawasikiliza kisha anawaachia wenyewe..hii sio adabu..la pili anajidhihirish zaidi kua kasoma kwa watu sio wenye elimu za uhakika..ndio mana kawez kusema :NAWACHIA WENYEWE MENGINE MAZURI ANAYACHUKUA..hivo ata yeye hawezi kuaminiwa kua Ana elimu iliyo sahihi.ndio mana akawa anafetuwa akipatia sawa .hakupatia aachiwe mwenyewe..Huu ndio mtihan wa KUTOKUSOMA KWA WANAZUONI .

    • @omadal1
      @omadal1 11 місяців тому

      Yaani weyee katika hili darasa umeona kasoro tu hujapata manufaa yoyote? Tuwache tabia za kukosowa wakati hatujamfahamu Kwa sababu ya ukosefu wa elimu

    • @IsmailIsmail-ix1yd
      @IsmailIsmail-ix1yd 11 місяців тому

      ALKAMALU LLAHI WAHDAHUU. TAFUTA ELIMU UTUMIE NA MAARIFA.

  • @HusseinOmar-lx2wt
    @HusseinOmar-lx2wt 5 місяців тому

    hamtaki kuambiwa ukweli

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 11 місяців тому +1

    Wakati unasom kwa mashekhe wengi, mengine unasema unawaachia wenyewe unapoon wanakudanganya hii qauli niyasawa hii, waliokua wana kusomesh walikua nasifa gani mpak uchukua uamzi huo!!

  • @SamsungA14-wz4fg
    @SamsungA14-wz4fg 11 місяців тому +1

    leo ndio nimemjua huyu salum msabbah kua Porojo analo jingi kichwani

    • @mrfix6596
      @mrfix6596 11 місяців тому

      Unamaanisha hujamuelewa au umemuelewa sana?

  • @HusseinOmar-lx2wt
    @HusseinOmar-lx2wt 5 місяців тому

    shida hamtaki kuambiwa ukweli

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 11 місяців тому +1

    Sio 40 miaka ya mama khadija bali 38 ndo sahihi zaid

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 11 місяців тому

      Hata 38 sio sahihi, usahihi ni kati ya miaka 29 na 31

    • @saidsobongo912
      @saidsobongo912 11 місяців тому

      ​@@sautikuu212qawli enye nguvu 28

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 11 місяців тому

      Nyie mbona mnang'ang'ania vitu ambavyo mwanachuoni wamegongana kimawazo na kimapokeo...
      Nyie ndo mnaoleta FUJO katika dini...
      Hayo majibu kila mtu yupo sahihi katika mapokeo

    • @saidsobongo912
      @saidsobongo912 11 місяців тому

      @@sadiqselengu4197 hyo nisawa akhy hakuna alio pinga mtu akisema 28 saw akisema 40 saw lkn hua kna qawli enye imezungumzwa na wanachuoni wengi ndio hua enye ngvu akhy lkn hkn kubishana

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 11 місяців тому +1

      @@saidsobongo912 Changamoto inakuja unamwambia mtu MUONGO ukizingatia ni sheikh na msomi huo ni ukosefu adabu kama mtu unajua ni ikhtilafu kila mtu anayo anayoitegemea KWAHYO TUHESHIMIANE ndio dini inavyotakiwa

  • @muhsinsalim6257
    @muhsinsalim6257 11 місяців тому

    Kanye nywele zako kwanza zimejaa chawa huna ilimu yoyote ww fujo tu mm naona kama ww kabla yakuzungumz unavutabangi

  • @JK-um6op
    @JK-um6op 11 місяців тому +1

    Angalau sisi marasta tuwe na shehe wetu.. Songa rasta shehe 😂😂😂

    • @hamisisalimu6908
      @hamisisalimu6908 11 місяців тому

      Fanya Adabu na masheikh zetu

    • @showshowtv1854
      @showshowtv1854 11 місяців тому

      Afu ww kuwa na adab

    • @user-cf9zy5xr1j
      @user-cf9zy5xr1j 10 місяців тому

      Hhhhhhhhhhhh

    • @JK-um6op
      @JK-um6op 10 місяців тому

      @@user-cf9zy5xr1j aaaa kusema shehe asonge rasta ni kukosa adabu..? Eeeeh jamani mbona siwa fahamu..? shehe wangu namfwata darsa zake mbona..

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 11 місяців тому

    Huyu ni Naga bawa wa india

  • @JK-um6op
    @JK-um6op 11 місяців тому +1

    Mwalimu songa rasta bora.. 😂😂😂

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 11 місяців тому

    Aisee huu kweli mtihani, mbona wewe hujulikan ukowap, watu wamaulidi unawaponda, wanaopinga maulidi unawaponda,

    • @mwarabuwamafia5590
      @mwarabuwamafia5590 11 місяців тому

      Yupo upande wa wafuga nywele Na kucha

    • @BTVBATTAWY
      @BTVBATTAWY  11 місяців тому

      kufuga nywele ni sunna hata mtume alikuwa na nywele ndefu alizilaza kuhusu kucha huyu alipokuwa anakunywa pombe figo zilikaribia kufeli hivyo kuweka kucha ni moja ya matibabu ya figo zikioza kucha figo linakuwa na tatizo

  • @asiahsaidsaid1388
    @asiahsaidsaid1388 11 місяців тому

    Kumbeeee niwale wale

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 10 місяців тому

    Unasema GONGO HALIKO KTK UTARATIBU. MTUME ALIKUWA ANAPIGA PASI NGUO. MBONA NYINYI MNAPIGA PASI

  • @sautikuu212
    @sautikuu212 11 місяців тому +1

    Ama kweli uongo ukizungumzwa kwa muda mrefu hatimaye huonekana kanakwamba ni ukweli. Ukweli ni kwamba mtume anapomuoa bibi Khadija hakuwa na miaka 40,

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 11 місяців тому

      Nyie mbona mnang'ang'ania vitu ambavyo mwanachuoni wamegongana kimawazo na kimapokeo...
      Nyie ndo mnaoleta FUJO katika dini...
      Hayo majibu kila mtu yupo sahihi katika mapokeo

    • @alwiyiynmission2820
      @alwiyiynmission2820 День тому

      UONGO ukitungwa pia hua na Malengo.
      Je UONGO huo Ulikua na Malengo Gani!?

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 11 місяців тому +1

    At hathibitishi wala hapingi 😅😅😅😅

  • @fay9687
    @fay9687 11 місяців тому

    Jamani uislaam ni nadhifu mbona hata nywele huchani tobaa

  • @AllyNgale
    @AllyNgale 11 місяців тому

    Huyu Shekh kashindwa kuwafundisha haki jamii balialichokionahaki ni kuwatusi Watu wa Maulidi eti ni wakata mbuno hayawewe lako ni lipi mbonayaonyesha wewe hatakujiswafisha hujui na ushekh wako? Maana minyweli
    كأنك الشيطان
    Mtume hakua hivyo

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 11 місяців тому

      ni kweli wa maulidi ni wakata viuno ndio maana mtume akasema BIDAA zote maisho wake ni upotevu na akakemea sana juu ya bidaa.

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 11 місяців тому

      ​@@medimisi6930kinachokukera ni hayo maulid tu huna jengine utasingizia kila baya

    • @ismailgumbo289
      @ismailgumbo289 11 місяців тому +2

      Ww wamtusi muislam tena msomi wadin kama huyo wamuita shetan kwasababu yanywele zake alizofuga? Hakika ww nimuovu namajibu yako utayabata kwa Allah kwakumtusi msomi.

    • @HappyAlpineVillage-rt2jw
      @HappyAlpineVillage-rt2jw 9 місяців тому

      Kijana ukitaka kumuhukumu mtu Kwanza jua ukweli wake. Shauri yako

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 9 місяців тому

      @@HappyAlpineVillage-rt2jw mh, na ww ni wa kukata mbuno nini, tufuate haki ishallah