Dosa mm shabik wa Simba kindaki ndaki lkn kiukwel nakupenda ww msema kwel,,,kuanzia leo nakutangaza lasm kati ya wale utopolo wawil wenye akil aliowataja manara na mm nimekuongeza leo 😂😂😂😂😂big up bro
Kaka dosa huo unaitwa mpira kuna siku mpira unakata wewe hujui acha maneno yako ya kushusha viwango wachezaji huyo pacome hachezi peke yake,yanga itaendelea kuwakanda tena kwenye tanuri la moto,Niko pale
Dosa unajichanganya, kama unakybali Bacelona ilifungwa unachoshangaa Yanga kufunga magoli machache ni nini? Zimechezwa mechi nne tu bado 26 na tuna magoli sawa tu na timu zilizo cheza mechi nyingi wewe wasiwasi wako ni nini? Kwani record na statistics zinatofauti gani ? Umejaliwa makelele tu lakini point zako ni dhaifu.
Dosa acha maneno yako yanga Bora daima mbele ilove u yanga
Dosa mm shabik wa Simba kindaki ndaki lkn kiukwel nakupenda ww msema kwel,,,kuanzia leo nakutangaza lasm kati ya wale utopolo wawil wenye akil aliowataja manara na mm nimekuongeza leo 😂😂😂😂😂big up bro
Dosa wemkweli sana katika mashabik wauto ❤❤❤❤❤❤❤
Kweli Bado umenena baba wajitahid
Kaka dosa huo unaitwa mpira kuna siku mpira unakata wewe hujui acha maneno yako ya kushusha viwango wachezaji huyo pacome hachezi peke yake,yanga itaendelea kuwakanda tena kwenye tanuri la moto,Niko pale
Dosa unajichanganya, kama unakybali Bacelona ilifungwa unachoshangaa Yanga kufunga magoli machache ni nini? Zimechezwa mechi nne tu bado 26 na tuna magoli sawa tu na timu zilizo cheza mechi nyingi wewe wasiwasi wako ni nini? Kwani record na statistics zinatofauti gani ? Umejaliwa makelele tu lakini point zako ni dhaifu.
Na wewe dosa wa mwaka Jana sio dosa wa Leo kila jambo nawakati wake