Mato ni ishara mbaya ishara ya kuteketeza ni ishara ya hadhabu ata kwa shetani kunamoto.... Ndio mana ukifanya mahovu unaambiwa utaendaa Motoni Mungu inusuru Tanzania 🇹🇿
@@selector728 umenielewa aua ujanielewaaa....??? Ilaa ningekausha ningejifunza lini uwa napenda kukosea ili nilekebishwe nijitambue lakini uwa sikosei kwa kutegemea msamaha na sijakuomba unifundishe umejipendekeza mwenyewe kamA uliona hayakuhusu ungekausha pia
Tuendelee kuchekeana,maana saiv ni familia ya makambare kila mtu ana sharubu,mama,baba mpaka watoto,ndo maana mtu anaongea kejeli eti tuhamie Burundi kukimbia tozo za miamala na bado hafanywi chochote
Shida ya shirika la umeme Tanzania wakitaka kukata umeme hawasemi kwa usalama wanatakiwa watangaze watakata umeme kuanzia saa fulani mpaka saa fulani na kuwataadhalisha watu wazime switch pamoja na vifaa vyote vinavyotumia umeme ila Tanesco wanazima na kurudisha umeme kwa wakati wake ilihali wanajua umeme ukikatwa unarudi na nguvu kitu kinachosababisha vifaa vishindwe kubeba umeme unaokuja mkubwa ambao unaweza sababisha vitu kulipuka
Kwaiyo mamb yanayosababishwa na watu wenyew au mungu tu akiketa mitihan imekuwa anamikosi, na ugumu wa maisha yenu pia mkosi wake au, plz watu, watanzaniaaa badiliken, hivi kwenye watu wanokumbw na majanga dunian munaisabika nyinyi, na ao walopita mshahesab yalitokea mangap makubwa walipokuwepo madarakani. Mmh hatar
Utakuta ni mwijaku akakwenda unguza eti wa musingizie mond.etiniwivu jukiba iko na kiwanja uko kariakoo wwe subili tu utasikia H maman akitowa izo habali
Kwani hata hao c walikuwa CCM? Umepata mgao nn.? CCM,CHADEMA,NCCR ,NK NI kitu kimoja sababu ni TAIFA moja ila tuangalie nia na madhumuni ya chama. Mtoto amekuwa kwa baba na mama kanyimwa pesa au kafukuzwa Mara as baba mchawi. Ungesema tsngu mwanxo basi. Ndio siasa zetu
@@kingswebe3251 wanabadirishaga majina kwaajili Ya TRA kama unavyoona Super Feo na Serou zote za mtu mmoja ila wanafanya Hvo sababu ya tozo la TRA linakuwa kubwa.
Akamatwe kwa kosa gani sasa unaambiwa ni shoti ya umeme umeme.ulikatika ukarudi kwa kasi sasa huyo mkaka anahusikaje hapo watu wengine mnapenda kuhukumu.. tu
Mungu tusamehe,sio Hali ya kawaida.
Subhanallah 😳 subhannallah 😳 Astaghfirullahu laadhwimu hivi kuna. Nini
Mama samia atawelewa Watanzani mwenzie alikua makini na anachukua uwamuzi wa hapo kwa kapo ukiwaonyesha upole inchi itakua shamba la bibi kila kona
Kwel kabsa
Daah jaman atari
Mato ni ishara mbaya ishara ya kuteketeza ni ishara ya hadhabu ata kwa shetani kunamoto.... Ndio mana ukifanya mahovu unaambiwa utaendaa Motoni Mungu inusuru Tanzania 🇹🇿
Adhabu sio hadhabu🚮🚮
Kama Kiswahili ni tatizo basi kausha
@@selector728 umenielewa aua ujanielewaaa....???
Ilaa ningekausha ningejifunza lini uwa napenda kukosea ili nilekebishwe nijitambue lakini uwa sikosei kwa kutegemea msamaha na sijakuomba unifundishe umejipendekeza mwenyewe kamA uliona hayakuhusu ungekausha pia
Mambo kama hao hayanishituwi badaa ya mwaka wakiokoka tutasikia ushuhuda kanisani sababu za mwoto huo kama kuna mambo Fulani hayakutimizwa
Hii channel yastahiki pongezi kwa taarifa za uhakika hongereni sana
Subhannallah, mtihani
Hi. ! What the em brought fire over there ,, places gone down Aae risk no .
Mungu tunusuru🙏
Tuendelee kuchekeana,maana saiv ni familia ya makambare kila mtu ana sharubu,mama,baba mpaka watoto,ndo maana mtu anaongea kejeli eti tuhamie Burundi kukimbia tozo za miamala na bado hafanywi chochote
Imeniuma hiyo ya kuambiwe twende Burundi mungu hatamrani
Tuna elekea wapi
Siku zake zinahesabika,watanzania tushikamane kipindi hiki kigum cha kumpoteza raisi wetu kipenzi,mh magufuri,
Mungu utuhurumie
Mizimu ya baba hii Mungu tusamehe huku corona imepamba moto tozo kwa maskini vitu vimependa bei baba tuangalie wanao tuendako siyo salama
Pol ni saana
Tutakoma turishasahau ujinga Kama huu jpm hafai mala dikiteta wache tuungue
Poleni
Jaman Kuna Nini huko?Mungu Mwenyezi tunakuomba ututatulie hili tatizo dah
Hii ni laan ya Makufuli km hajaf kwa uwezo wa Mungu tujuw kabis walichofany sio sahh
😄😄😄
EE MUNGU TUSAMEHE MAHALI TUMEKOSEA TANZANIA TUNAHITAJI NEEMA YAKO BABA TUINDOLEE HILI DHAHMA 🙏🙏🙏😭😭😭😭😭
Daaah rungwe😭😭 biashara ya mabasi ni ttz na hili tena
Mzimu wa magu umemkataa mama na utawala wake
🤣🤣🤣
N kwel
Wacha tuendelee kuisoma namba mbele kwa mbele walishatuambia wenye ccm yao 🙌🙌🙌
Jamanii kwani vp tena mbn mambo mengi
Huwa Cna Chama lakini sasa hapo CCM imehusika vipi? Tujifunze kufikiria kwanza jamani
Kisha mnasema inchi hii ina amani!!!!ukinambia "Amani"yule mtot wa karume hapo nakuelew,ila si hii amani ya utulivu
😂😂😂
Naon saiv tz imekuwa Iraq 😥😥😥
@@aminatanzanya7475 wew upo wapi lov
سبحنا الله يا رب
Polen xan
Hili libibi limejaa laana nuksi na mikosi tupu
Limeshiriki dhambi yakuuwa hilo
Tuombee tu mungu atuepushe na haya
Jaman kuna shida gani? Tanzania yetu?
THE BIGGEST BOSS NASRI
SUBHANNA LLAH alhamdulillah ALLAH AKBAR
Gesi ina utaratibu wake ukisha funga gesi unatakiwa usiwashe kwanza kama ni gesi lakini kama ni umeme TANESCO wajichunguze maana ni nchi nzima
Inategemea sio gesi zote
@@aminatanzanya7475 jua unavyo jua ola kuwa na tahadhari
@@aminatanzanya7475 ges za kuwaka zina utofaut upi?
@@nellywizz9631 huku nilip gesi tofaut na tz
Shida ya shirika la umeme Tanzania wakitaka kukata umeme hawasemi kwa usalama wanatakiwa watangaze watakata umeme kuanzia saa fulani mpaka saa fulani na kuwataadhalisha watu wazime switch pamoja na vifaa vyote vinavyotumia umeme ila Tanesco wanazima na kurudisha umeme kwa wakati wake ilihali wanajua umeme ukikatwa unarudi na nguvu kitu kinachosababisha vifaa vishindwe kubeba umeme unaokuja mkubwa ambao unaweza sababisha vitu kulipuka
Tanesco kwakwel mnazngua leo mmekata umeme Kama mara mbili na hamtaoi taarifa
Na bado yajayo yanafurahisha,Christian Church Movement oyeeeee
Atakufa kama kuku green screen yeye diamond ,take mauti Kuma huko
SubhanAllh
Ndio nini😕😕😕
Jamani Daar es Salam kunanini huko
Nabado tutaongea mengi tu
Kumbukumbu zanguu
Dar punguzeni dhambi
Duuh mama anakosi kweli kila Siku majanga jmn
Mama ako au vip?
@@fettyabiola1389 umeonaeeeh yaani bora aachie tu madaraka
@@faridaessa7844 who?
Kwaiyo mamb yanayosababishwa na watu wenyew au mungu tu akiketa mitihan imekuwa anamikosi, na ugumu wa maisha yenu pia mkosi wake au, plz watu, watanzaniaaa badiliken, hivi kwenye watu wanokumbw na majanga dunian munaisabika nyinyi, na ao walopita mshahesab yalitokea mangap makubwa walipokuwepo madarakani. Mmh hatar
Ana mkosi kwel kwel!
Hatar
Ila aloleta gesi aulizwe mara mbili mbili........😳
Yani sikuizi umeme unakatika katika hata haieleweki Mala wasumbue kununua LUKU da#r. I. P magufuli
Huu mwaka huu aisee.. Tuwe makini
LAANA HII NA BADO
HAMKUTAKIWA KUMUUA YULE MTUME
Kabisa
Mtume gani alouliwa
@@asalkhan9168 Ww humu hapakufai umekuja kishali tumekustukia
@@wangonamuhange8218 ahhh hakun jipyaa yote yashatokea toka awamu zilopita hamjazaliwa
@@wangonamuhange8218 😂😂😂
Mambo mazuri hayo yapo tz tu
Mazuri yapi hapo?
Jamani kariakoo kuna nini????
Utakuta ni mwijaku akakwenda unguza eti wa musingizie mond.etiniwivu jukiba iko na kiwanja uko kariakoo wwe subili tu utasikia H maman akitowa izo habali
Kweli nimeamini mwezi wa Saba sio mwezi mzuri
Kwanini sasa jaman
Mmmmh huyo alietaka kuruka inaonekana ni mpenzi wa movie za blu cee lee
Haha🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
🤣🤣🤣🤣 Japo 😭😭😭😭
🤔🤔🤔🤔
Kinachomuua tembo ni pembe zake.Open your eyes .Fungula masho.Funukulshi mihuu.We will never know with the woman's.
Mungu wangu,kwasasa nimoto kila upande utakao.geuka,corona hamna tena
Uchumi wa kati bada ya muda mfupi tutakua uchumi wa o
Hahaha, nacheka km mazur vile
Kweliii kbsaaaaa
Umeme siku izi wana uzima na kuwasha
KAMA KULIKUW NA WACHEPUKAJI HUMO😂😂😂...NAHISI WALIIKUMBUKA SWALA YA TOBAA
🤣🤣🤣🤣🤣Jamn
. Lucas imenifanya nicheke huku nawaza nn kinafuatia baada ya ajali Za moto sijui walivaa barakoa hahaaa sio mazuri Ila Mungu tusaidie
Lucia wewe
yaan numecheka daaah watu mnawaza jmn khaaaaaaaaah 😜😀😜😜😜
Wa Tanzania tusiwe wanafki wakati magufuli yupo kulikua na matetemeko kila mara mlisema anamkosi saiv mnamkumbuka ????
Endeeleni kuchagua ccm
Haaaaaaa ndowanachoma
Na mbowe naye nimuuwaji sasa sijui mtamchagua nani
Kwani ccm ndio wanaoguza hawapo wafanya biashara ambao Ni CCM hapo daah mawazo kgando
Mbona sijaona kataja ccm au husikii vizur wewe nae ccm.inahusikaje hapo
Kwani hata hao c walikuwa CCM? Umepata mgao nn.? CCM,CHADEMA,NCCR ,NK
NI kitu kimoja sababu ni TAIFA moja ila tuangalie nia na madhumuni ya chama.
Mtoto amekuwa kwa baba na mama kanyimwa pesa au kafukuzwa Mara as baba mchawi. Ungesema tsngu mwanxo basi.
Ndio siasa zetu
Gorofa lazma liwe na ngazi za dharura
Hii hoteli ni ya mzee wa ubwabwa?
hapana, huyu ni mmiliki wa kampuni ya mabasi ya rungwe express ni mtu wa mbeya wilaya ya rungwe
@@kingswebe3251 aliekuwa Mkuu wa majenshi zamani mwamnyange kanunua nyingine pale sinza Africa Sana ilikuwa Inaitwa KING D Sasa Inaitwa Rungwe hotel.
@@MtuSafi sasa hii inaitwa rungwe palace
@@kingswebe3251 wanabadirishaga majina kwaajili Ya TRA kama unavyoona Super Feo na Serou zote za mtu mmoja ila wanafanya Hvo sababu ya tozo la TRA linakuwa kubwa.
@@kingswebe3251 upo sahihi hii ni ya mmliki wa mabasi ya rungwe niliwahi lala on time baada ya promo zake za discount Kwenye gari
Hawezi kuijelezea huyu
Kaeleze wewe mwanakuyaweza
Mm
Wanakaa wahind au
Nop acha ujinga m nna kaa jiran na sio mhind ntake radhi
Nop acha ujinga m nna kaa jiran na sio mhind ntake radhi
@@kingnicky2568 why
Akamatwe huy kaka aloleta gas's aulizweeee
Ushaambiwa shoti yaumeme,yy anahusikaje
Judith Katoto
We nawe¡!¡!!!
Acha ushamba basi we bek 3
Akamatwe kwa kosa gani sasa unaambiwa ni shoti ya umeme umeme.ulikatika ukarudi kwa kasi sasa huyo mkaka anahusikaje hapo watu wengine mnapenda kuhukumu.. tu
KWELI UHURU BILA SHERIA NI FUJO. MKUU NDIO MMEMTOA MNALETA MATAAHIRA HAO POA TU .
Asaaa inausianaa naje na motooo
🤭🤭🤭🤭
Mkudu wewe kwani ccm ndoimechoma
Hahaaa usitukane tuomben duaa
Biila msaada WA Mungu Hakuna llt tumrudie Mungu pekee
Hi. ! What the em brought fire over there ,, places gone down Aae risk no .