BILL NASS: NANDY ANA MIMBA YANGU / HAMISA MOBETO KANI BLOCK / NIMEPIMA TENA UKIMWI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024
  • Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
    / lilommy
    / lilommy

КОМЕНТАРІ • 292

  • @joxiahmendez1325
    @joxiahmendez1325 5 років тому +213

    Kama unamiss cheko la nguvu la Nandy weka likes chini apa!..

  • @gastolazaro470
    @gastolazaro470 5 років тому +175

    Kama unaikubali caple ya billnandy gonga like.

  • @issanaseeb7699
    @issanaseeb7699 5 років тому +102

    Kama unamuelewa MVP lil Ommy kwa maswali yake ya kibabe honga like👊👊👊✊kizazi sanaaa

  • @michaelikayo2570
    @michaelikayo2570 5 років тому +19

    Nandy Viva and billanass BIG UP

  • @Aaron_Sanga
    @Aaron_Sanga Рік тому +3

    Who came here after these two got married?

  • @bonephasbenjamin4848
    @bonephasbenjamin4848 5 років тому +8

    The baddest interview ever msani huwa mpaka ajipange akikutana na lllly ommy

  • @lowasamollel9852
    @lowasamollel9852 5 років тому +23

    #Tambeeeee,utabaki juu kileleni,Ila naimiss uwepo wa Nandy

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 5 років тому +122

    Kama unaikubali hii couple ya #billnas na #nandy tujuane na kama unaikubali #bugana Please tujuane

  • @danielmagutu
    @danielmagutu 5 років тому +26

    kama unaamini nenga bado yupo kwenye mahusiano na#Nandy gonga like twende sawa

  • @rozeypwizzy6472
    @rozeypwizzy6472 5 років тому +11

    MVP king of the INTERVIEW

  • @patricemacky1164
    @patricemacky1164 5 років тому +58

    Kama umesikia nenga ajui kutongoza gonga like hapa twende sawa.😂😂😂😂😂😂

    • @keenausten3986
      @keenausten3986 5 років тому

      Itongwa Makyambe m mwenzake na nenga kwenye swala lakutonhoza haafa

    • @patricemacky1164
      @patricemacky1164 5 років тому

      @@keenausten3986 pole sana domo zege.😂😂😂😂😂

  • @njiwajr4238
    @njiwajr4238 5 років тому +63

    Kama unaikubal #bugana billnass gonga like hapa

  • @kambikashama4619
    @kambikashama4619 5 років тому +11

    MVP 🙌🙌🙌🙌🙌 Kweli Wewe King 👑 God Bless Brother from China 🇨🇳

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 5 років тому +7

    Kama umegundua Bill nanga alikuw ananunua Malaya kwa kutumia pesa ndo maan hawez kutongoza. Gonga like

  • @aggyparty2990
    @aggyparty2990 5 років тому +143

    Kama unamuona billnenga muongomuongo ila anakula mzigo kavaa na miwani kabisa aongope🙄🙄🙄 yaan kale katabasamu kawiziwizi

    • @jssaa4733
      @jssaa4733 5 років тому

      😀😀😀😀😀😀

    • @rahelmasiga1503
      @rahelmasiga1503 5 років тому +1

      Halafu mhuni kapitapita kwa wasanii

    • @nasryshabany7204
      @nasryshabany7204 5 років тому +1

      eti ruge alimzulumugu huyu manzi

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 5 років тому

      Kkkkkkk

    • @aggyparty2990
      @aggyparty2990 5 років тому +2

      Rahel Masiga` saaanaaaa halafu kimyakimya anajifanya kama innocent vile kumbe mtaalamu wa kufunua na kupakua nyapu

  • @alphonceinnocent3394
    @alphonceinnocent3394 5 років тому +6

    Wabongo bwana!!! Nyimbo imechelewa kuingia hata 42 on trending. Lakini interview imeingia.

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 5 років тому +7

    Billnass namkubali 2 sana.... Most MVP half man Leo baharia kapatikana kwa Maswali Haruki... .. Much love from 🇶🇦 🇶🇦

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana4612 5 років тому +7

    Nandy angekuwa interview ingekuwa tamu sana kizazi sana Ommy

  • @rehemahussein748
    @rehemahussein748 5 років тому +41

    Billnass yuwatafuna maneno 😂😂😂😂that's means yote anayoyasema ni yakujipanga! U can't run from lov! Bado wanapendana

  • @aminamwangile1047
    @aminamwangile1047 5 років тому +10

    Mi nayapenda mahusiano yko na nandy bhn..... Kama mmerudiana kweli nafurahi......!!!!

  • @neemamabele8451
    @neemamabele8451 5 років тому +11

    Msela ana mashauzi kichizi kam umeona nenga anaringa gonga likes twende sawa👍👍

  • @sadanassor7966
    @sadanassor7966 5 років тому +29

    Hiy intev haikunog kwasabab tumemis chek la nandy

  • @moullaommywayneofficial1199
    @moullaommywayneofficial1199 5 років тому +6

    Love from 257👌🇧🇮

  • @aggyparty2990
    @aggyparty2990 5 років тому +42

    Mabaharia kama nenga wanaojifanyaga wapo cool ndiyo wanaongozaga kubutua nyapu na watalaamu wa kupanga msululu anajifanya kama hawezi kuongea ila ndiyo mtaalamu wa matukio 😂😂😂😂 ila daaah ommy ujua kumvua Nguo mtu siyo kwa tbt hiyo😂😂😂

  • @tausingomeni2568
    @tausingomeni2568 5 років тому +67

    Hapo angekuwepo na nady ingenoga sana😂, na umbea ungekuw mtamu

  • @hawakhamis5122
    @hawakhamis5122 5 років тому +6

    Tatzo wambea wengi wanapenda kujua mambo ya watu hata #billnass akisema uongo haki yake maana mmezid kupenda ubuyu

  • @phostinemulongo9051
    @phostinemulongo9051 5 років тому +7

    Love th interview,

  • @amanimachibya6169
    @amanimachibya6169 5 років тому +15

    Hiyo inahitaji maelezo, hapo ndo nmeelewa zaid.

  • @jeniphalyimo5385
    @jeniphalyimo5385 5 років тому +28

    Kama unawakubali gonga like

  • @alimussa2655
    @alimussa2655 5 років тому +10

    Ber upo pow na hunaubabaishaji upo rily nakukubali sana tu

  • @qmedia2171
    @qmedia2171 5 років тому +5

    Unajiumauma sana Billnas....

  • @yudatadeshayo4434
    @yudatadeshayo4434 5 років тому +27

    Mabaharia.....kama hawa huwa wanakulaga mademu sana,halafu wanajifanya hawajui kutongoza

    • @jumalihumbo8937
      @jumalihumbo8937 5 років тому

      Snaaa t

    • @yudatadeshayo4434
      @yudatadeshayo4434 5 років тому

      @@jumalihumbo8937
      Mademu wengi wanapenda wanaume wenye aibu wakidhani ni maboya kumbe ndo wanaingia king

  • @judithnzunda6891
    @judithnzunda6891 5 років тому +3

    Billnass napenda nyimbo zako

  • @festomapanga4720
    @festomapanga4720 5 років тому +11

    Kama Unaamini #Bugana ndo hit song kwa sasa Gonga like hapa!!

  • @tausingomeni2568
    @tausingomeni2568 5 років тому +31

    Nimechek hapo kweny ndoa Haw wataoana tu🤣🤣🤣🤣

    • @tausingomeni2568
      @tausingomeni2568 5 років тому

      @Ali Ali umetumwa nn, shoga ww

    • @tausingomeni2568
      @tausingomeni2568 5 років тому

      @H&P Life Journey huyu anaonekan shoga so kosa lake, halaf hata silijui linaleta shobo shobo kweny coment za watu

    • @hasnaabduly4945
      @hasnaabduly4945 5 років тому

      @@tausingomeni2568 ndo lilivo me siio mara yakwanza kuona anaandika matusi hata mimi alishawahi nitukanana sijui anamatatizo ya akili

    • @tausingomeni2568
      @tausingomeni2568 5 років тому

      @@hasnaabduly4945 aah kumbe ndio tabia yake kitakuw shoga hili so bure maan mwanaume aliyetimia awez kuwa hvi

  • @bijumakassim3697
    @bijumakassim3697 5 років тому +3

    Eti mambo ya kutongoza huwezani Bro aise hiyo kali 😁😁😁nime cheka vibaya sana

  • @akramsayjr591
    @akramsayjr591 5 років тому +11

    Nyie wasanìii ni waongo sana. Mdanganya mbele ya media ...Mobetto alidanganya na hawa nao waongo. Sasa na wanasiasa wakiwa waongo linakuwa taifa la Waongo...Tzmpya

  • @aggyparty2990
    @aggyparty2990 5 років тому +15

    Umemfichia siri sema tu nandy binti mlokole katoa mimba😭😭

    • @maryalex4915
      @maryalex4915 5 років тому

      mm simba hahaha kamakatoa mimna siomlokole

    • @aggyparty2990
      @aggyparty2990 5 років тому +1

      Mary Alex sasa anaulokole gani pale kwa mambo yake si mavazi siyo nyimbo anazoimba na bado katoa mimba 😢 na kunakipindi wakati yupo na marehemu walisema mjamzito ila ghafla wakamuona hospital na mimba ikayeyuka kanandy ni kamama kwa marehemu 😂

  • @user-gt9pq6tb6x
    @user-gt9pq6tb6x 5 місяців тому

    Nakukubali san billnas cos ni kijana mmoja unaejielewa na uko smart sana ya huna bay na wife wako jaman nawaombea mung awalinde na maneno ya wanadam msije achan

  • @kenedymbena2274
    @kenedymbena2274 5 років тому +6

    Nakukubari xana lily ommy kwer we ni king

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 5 років тому +22

    Iyo mimba mliichokonoa chokonoa uko ☺ billinas ukiwa unaongea uwe n kumbukumb y naneno

  • @kibwanahassanmohammed5720
    @kibwanahassanmohammed5720 5 років тому +6

    Billnass Mola akupe umri mwana yani nakukubali kishenzi,please subcribe to my channel,show love jamani

  • @allimanyakia2795
    @allimanyakia2795 5 років тому +4

    Bro unayumba haujibu vizur maswal yako unajikuta haupo kwa nandy kumbe unamkubali acha kuzingua

  • @lwimikomwambene
    @lwimikomwambene 5 років тому +12

    huyu baharia ni noma hadi kwa Lina kapita

  • @elizabethkeng7036
    @elizabethkeng7036 2 роки тому +1

    Congratulations 👏🎉

  • @amoceissaya9034
    @amoceissaya9034 5 років тому +5

    daaaa umenichekesha ulipomuwekea seat nand harafu man fongo akaja kusema muhuni unazingua 😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁

  • @luciachacha8385
    @luciachacha8385 5 років тому +2

    Wewe bilinas ulimtolea nandy mimba mungu anakuona

  • @marcellotto6985
    @marcellotto6985 5 років тому +3

    Nenga kaguna pale alipo ulizwa ma swali ya yess or kuhusu kumuoa😀😀😁

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah7083 5 років тому +2

    Nenga Nenga sawa mungu anakuona

  • @dorismamf7404
    @dorismamf7404 5 років тому +2

    Angekuwepo nandy pangenogaje

  • @ryshuseni7476
    @ryshuseni7476 5 років тому +2

    Nenga apreciate u broo

  • @kabuta_8379
    @kabuta_8379 5 років тому +4

    Nakubali👊🏿👊🏿

  • @revocatusmichael1137
    @revocatusmichael1137 5 років тому +8

    Billnas umerekodiwa tena kwakani tutakuwekea tena ulichokuwa unaongea

  • @vffvff6317
    @vffvff6317 2 роки тому +2

    kumbe umekuwa domo zege 🤣🤣🤣👌

  • @namuyindhamiim7083
    @namuyindhamiim7083 2 роки тому +1

    Congratulations ❤️❤️❤️❤️

  • @norafrowin1748
    @norafrowin1748 5 років тому +4

    Nenga mdomo wako unavyouweka Kama unatumia kubeli Sana au umekuwa affected na kutumia kubeli au ugolo vile

  • @arvinhabibu5238
    @arvinhabibu5238 5 років тому +8

    Mh xi waweke waz2 waoane jmn

  • @binamubinamu1151
    @binamubinamu1151 3 роки тому

    Kati ya watangazaji nawwkubal lilommy na ammygirl pia mssnii namkubali nikiwepewa nafasi nimpe neno billnass amrudie Mandy bado nawakubali nawapenda sana

  • @luckyvenance4576
    @luckyvenance4576 5 років тому +3

    Hawa wanabust ngoma tu tushawajua wasanii nyie kwan hamjawajua tu, na alivyocoment kwenye picha ya nandy baada ya mama mzazi inaeleza wazi walikuwa wanafanya ngoma na ndo maana hata kwenye hii ngoma yao hayo maneno yapo baada ya mama mzazi siunafata ww, sasa hapo swali silinajijibu tayar

  • @sossyforreal814
    @sossyforreal814 5 років тому +5

    Interview Nzima ni Uongo Na Umbea!

  • @rehemasalim513
    @rehemasalim513 5 років тому +15

    Madem wa Bongo washakusikia Bilnas jiandae kukatiwa na mashori sasa ama muulize Chibu akupe Technicals

  • @petermark9831
    @petermark9831 5 років тому +4

    Baharia mwenzetu umetuumiza sana

  • @dennokasiwotoi1258
    @dennokasiwotoi1258 5 років тому

    kama unaona billnandy inaweza wpiga like

  • @michaeleustach8742
    @michaeleustach8742 5 років тому +2

    Watu kma hawa n hatar cna wanapiga kimya kimya

  • @janekikoti6131
    @janekikoti6131 5 років тому +1

    Mh Billnasi Unatujaza siku ya Graduation yako Nandy hakuwepo Tanzania umepuyanga Mzee baba😂😁😂😀

  • @romanticofficiallytv7785
    @romanticofficiallytv7785 5 років тому +4

    kufana kawaida kuna jamaaa apa #₹ockcity sura hadi sauti na kama Bilnenga

  • @nancyruoruo1025
    @nancyruoruo1025 5 років тому +3

    Nandy namis kicheko chako😂😂😂😂😂😂.....true or false

  • @kalistimarley1924
    @kalistimarley1924 5 років тому +3

    MVP half man half amazing 🔛🔛🔛

  • @pamanyango8917
    @pamanyango8917 2 роки тому +1

    Hapo kwa ndoa bilnass alihitaji maelezo zaidi, hakuwa anatakakusema hapana, kachanganyikiwa

  • @joitvshowonline2554
    @joitvshowonline2554 5 років тому +3

    Nengaa kivurugee

  • @bobramaphyno4610
    @bobramaphyno4610 5 років тому +2

    Gonga like kwa Ammy gal

  • @naseemahmed4128
    @naseemahmed4128 5 років тому +2

    mabaharia bhana 😂😂😔😂 kazingua sana #tambwe your the best bro lit 🔥

  • @joitvshowonline2554
    @joitvshowonline2554 5 років тому +2

    Bill nass ni balaaa wanangu

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 5 років тому +5

    Shida ya wasanii ndo hapo kwenye mahusiano hawadumu😏😠

  • @maryalex4915
    @maryalex4915 5 років тому +5

    unaaibu wapi we mschoyako yachini chini malayatu ww

  • @johnmwangi2435
    @johnmwangi2435 5 років тому +1

    Ya kizazi sana namkubali sana 💯 ✅ 🔥

  • @jumalihumbo8937
    @jumalihumbo8937 5 років тому +4

    We nenga baharia mby sn

  • @joharindaro7235
    @joharindaro7235 5 років тому +4

    mmh nenga ni kivuruge kwa lina umepita pia

  • @saadakiyungi6437
    @saadakiyungi6437 5 років тому +3

    we hukumpenda Nandy hadi umemtoa mimba nyooooo.

  • @pinahoscar6735
    @pinahoscar6735 5 років тому +4

    #lilOmmy kizazi sana ila #nenga acha kujilambalamba midomo we ni mtoto wa kiume😎😎😎

  • @fredgomes8639
    @fredgomes8639 4 роки тому +1

    Bill nass yuko na utu wakibinadamu anjali hisia za wengine sio kama wasanii wengi vile wanafanya kuchezea hisia za wanawake na wanaume kwa udanganyifu wa kimapenzi.

  • @mtamwajr1893
    @mtamwajr1893 5 років тому +3

    Ha ha wanaume wa KINO hawawezi kutongozaaaaa

  • @djfarmo5333
    @djfarmo5333 5 років тому +15

    Hii interview imekuwa na uongo mwingi sana

  • @reinhardmichael8317
    @reinhardmichael8317 5 років тому +5

    Hujui kutongoza tena ndug yng

    • @alfanm.8221
      @alfanm.8221 5 років тому

      Umesikia hapo hajui kutongoza lkini wakati wakula bata yupo kwenye jukwa na habanduki.

  • @zakayomoshi1270
    @zakayomoshi1270 5 років тому +3

    Billinas sio ajabu ulmpa nandy dawa ya kutoa mimba asee kwa nini usingempeleka hospital mpewe uxhauri kuliko w kugoogle na kutafuta dawa peke ako? Una Deni kubwa sana hapa kichaa wangu

    • @lilianlilian2793
      @lilianlilian2793 5 років тому

      Jamani huyu hatamuoa Nancy n shetan kumbe alimtoaga Mandy mimba dahhhh

  • @vickymateru3313
    @vickymateru3313 5 років тому +7

    Ki saikolojia nand na bilnas wanamahusiano mazuri tu.

  • @jonaswingodmushi2608
    @jonaswingodmushi2608 5 років тому +3

    Huzituzingue wewe sie watu wazima we are not child like you. Mbona kuulizwa swali la kuoa umeguna mzee Bugana😂😂

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 5 років тому +4

    Billnas hajuh kujieleza

  • @moeforexacademy4353
    @moeforexacademy4353 5 років тому +2

    Kwan bill umeenda hapo kuzungumzia mahusiano

  • @fintaniferx9535
    @fintaniferx9535 5 років тому +3

    Bukoba ulikuwa nae tulikuona sana

  • @happywinn5077
    @happywinn5077 5 років тому +2

    kiongoo iki kipuuz...

  • @kassimally1803
    @kassimally1803 5 років тому +2

    Oy nenga xaf baharia lazima ujifanye hujui kutongoza zen akijileta unalamba adi mwenyewe anakua haamini zen we unakuwa cool again

  • @user-lc8cd3cw2m
    @user-lc8cd3cw2m Рік тому

    ❤❤❤❤

  • @allyndossa4637
    @allyndossa4637 2 роки тому

    Saan

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 5 років тому +2

    Hawa nao washamba kama hawaishi mjini??? Mnachokataa ni nini wakati mmerudiana?? Sema kwa ushauri tu Nandy kuwa makini Bilnass hakupendi utakuja kulia ukishazaa

    • @sophiajoseph1279
      @sophiajoseph1279 5 років тому

      Hahahahaaaa

    • @MaaneML
      @MaaneML 2 роки тому

      Eti Ehhh. Wameoana 16 July, 2022. Tunasikilizia.

  • @pendonassary5016
    @pendonassary5016 5 років тому +2

    Nan kamuelew bill kuwa hatak tena kuwa public

  • @levinamwaila7847
    @levinamwaila7847 5 років тому +4

    Billnass haendani na nandy kabisaa😉

  • @allyking324
    @allyking324 5 років тому +2

    Wataoana hao

  • @hassanissa4792
    @hassanissa4792 5 років тому +2

    billnass ulidhamiria aise

  • @semykaaya1607
    @semykaaya1607 5 років тому +1

    Nampenda ammygal