Mabaharia kama nenga wanaojifanyaga wapo cool ndiyo wanaongozaga kubutua nyapu na watalaamu wa kupanga msululu anajifanya kama hawezi kuongea ila ndiyo mtaalamu wa matukio 😂😂😂😂 ila daaah ommy ujua kumvua Nguo mtu siyo kwa tbt hiyo😂😂😂
Nyie wasanìii ni waongo sana. Mdanganya mbele ya media ...Mobetto alidanganya na hawa nao waongo. Sasa na wanasiasa wakiwa waongo linakuwa taifa la Waongo...Tzmpya
Mary Alex sasa anaulokole gani pale kwa mambo yake si mavazi siyo nyimbo anazoimba na bado katoa mimba 😢 na kunakipindi wakati yupo na marehemu walisema mjamzito ila ghafla wakamuona hospital na mimba ikayeyuka kanandy ni kamama kwa marehemu 😂
Nakukubali san billnas cos ni kijana mmoja unaejielewa na uko smart sana ya huna bay na wife wako jaman nawaombea mung awalinde na maneno ya wanadam msije achan
Kati ya watangazaji nawwkubal lilommy na ammygirl pia mssnii namkubali nikiwepewa nafasi nimpe neno billnass amrudie Mandy bado nawakubali nawapenda sana
Hawa wanabust ngoma tu tushawajua wasanii nyie kwan hamjawajua tu, na alivyocoment kwenye picha ya nandy baada ya mama mzazi inaeleza wazi walikuwa wanafanya ngoma na ndo maana hata kwenye hii ngoma yao hayo maneno yapo baada ya mama mzazi siunafata ww, sasa hapo swali silinajijibu tayar
Bill nass yuko na utu wakibinadamu anjali hisia za wengine sio kama wasanii wengi vile wanafanya kuchezea hisia za wanawake na wanaume kwa udanganyifu wa kimapenzi.
Billinas sio ajabu ulmpa nandy dawa ya kutoa mimba asee kwa nini usingempeleka hospital mpewe uxhauri kuliko w kugoogle na kutafuta dawa peke ako? Una Deni kubwa sana hapa kichaa wangu
Hawa nao washamba kama hawaishi mjini??? Mnachokataa ni nini wakati mmerudiana?? Sema kwa ushauri tu Nandy kuwa makini Bilnass hakupendi utakuja kulia ukishazaa
Kama unamiss cheko la nguvu la Nandy weka likes chini apa!..
Kama unaikubali caple ya billnandy gonga like.
Ya tunawakubal
Kumbe anamkubal na mauwa
Hii ilikuwa ya muda
Kama unamuelewa MVP lil Ommy kwa maswali yake ya kibabe honga like👊👊👊✊kizazi sanaaa
Nandy nakukubali sana couple yenu nzur mung awabark
Ndo maan nandy kanenepa
@@happymrisho1478 ndio zimekolea et😋😂😂
J
Baharia pambana na kazi
Nandy Viva and billanass BIG UP
Who came here after these two got married?
The baddest interview ever msani huwa mpaka ajipange akikutana na lllly ommy
#Tambeeeee,utabaki juu kileleni,Ila naimiss uwepo wa Nandy
Kama unaikubali hii couple ya #billnas na #nandy tujuane na kama unaikubali #bugana Please tujuane
Bombaaa
kama unaamini nenga bado yupo kwenye mahusiano na#Nandy gonga like twende sawa
MVP king of the INTERVIEW
Kama umesikia nenga ajui kutongoza gonga like hapa twende sawa.😂😂😂😂😂😂
Itongwa Makyambe m mwenzake na nenga kwenye swala lakutonhoza haafa
@@keenausten3986 pole sana domo zege.😂😂😂😂😂
Kama unaikubal #bugana billnass gonga like hapa
Ipo gud sana bugana
MVP 🙌🙌🙌🙌🙌 Kweli Wewe King 👑 God Bless Brother from China 🇨🇳
Kama umegundua Bill nanga alikuw ananunua Malaya kwa kutumia pesa ndo maan hawez kutongoza. Gonga like
Kama unamuona billnenga muongomuongo ila anakula mzigo kavaa na miwani kabisa aongope🙄🙄🙄 yaan kale katabasamu kawiziwizi
😀😀😀😀😀😀
Halafu mhuni kapitapita kwa wasanii
eti ruge alimzulumugu huyu manzi
Kkkkkkk
Rahel Masiga` saaanaaaa halafu kimyakimya anajifanya kama innocent vile kumbe mtaalamu wa kufunua na kupakua nyapu
Wabongo bwana!!! Nyimbo imechelewa kuingia hata 42 on trending. Lakini interview imeingia.
Billnass namkubali 2 sana.... Most MVP half man Leo baharia kapatikana kwa Maswali Haruki... .. Much love from 🇶🇦 🇶🇦
Nandy angekuwa interview ingekuwa tamu sana kizazi sana Ommy
Zabibu Nduwimana true coz kanaongea
Billnass yuwatafuna maneno 😂😂😂😂that's means yote anayoyasema ni yakujipanga! U can't run from lov! Bado wanapendana
Mi nayapenda mahusiano yko na nandy bhn..... Kama mmerudiana kweli nafurahi......!!!!
Msela ana mashauzi kichizi kam umeona nenga anaringa gonga likes twende sawa👍👍
Hiy intev haikunog kwasabab tumemis chek la nandy
Love from 257👌🇧🇮
Mabaharia kama nenga wanaojifanyaga wapo cool ndiyo wanaongozaga kubutua nyapu na watalaamu wa kupanga msululu anajifanya kama hawezi kuongea ila ndiyo mtaalamu wa matukio 😂😂😂😂 ila daaah ommy ujua kumvua Nguo mtu siyo kwa tbt hiyo😂😂😂
mm simba kunywa soda ntakuja kulipa
Zuhura Mohamed hahaaaa watu wa hiv balaa kabisa 😂
mm simba nawajua sana tu
mm simba ni kweli simba mwenda pole
Hapo angekuwepo na nady ingenoga sana😂, na umbea ungekuw mtamu
Tausi Ngomeni hahahaha
Tatzo wambea wengi wanapenda kujua mambo ya watu hata #billnass akisema uongo haki yake maana mmezid kupenda ubuyu
Love th interview,
Hiyo inahitaji maelezo, hapo ndo nmeelewa zaid.
Kama unawakubali gonga like
Ber upo pow na hunaubabaishaji upo rily nakukubali sana tu
Unajiumauma sana Billnas....
Mabaharia.....kama hawa huwa wanakulaga mademu sana,halafu wanajifanya hawajui kutongoza
Snaaa t
@@jumalihumbo8937
Mademu wengi wanapenda wanaume wenye aibu wakidhani ni maboya kumbe ndo wanaingia king
Billnass napenda nyimbo zako
Kama Unaamini #Bugana ndo hit song kwa sasa Gonga like hapa!!
Og
Nimechek hapo kweny ndoa Haw wataoana tu🤣🤣🤣🤣
@Ali Ali umetumwa nn, shoga ww
@H&P Life Journey huyu anaonekan shoga so kosa lake, halaf hata silijui linaleta shobo shobo kweny coment za watu
@@tausingomeni2568 ndo lilivo me siio mara yakwanza kuona anaandika matusi hata mimi alishawahi nitukanana sijui anamatatizo ya akili
@@hasnaabduly4945 aah kumbe ndio tabia yake kitakuw shoga hili so bure maan mwanaume aliyetimia awez kuwa hvi
Eti mambo ya kutongoza huwezani Bro aise hiyo kali 😁😁😁nime cheka vibaya sana
Nyie wasanìii ni waongo sana. Mdanganya mbele ya media ...Mobetto alidanganya na hawa nao waongo. Sasa na wanasiasa wakiwa waongo linakuwa taifa la Waongo...Tzmpya
Umemfichia siri sema tu nandy binti mlokole katoa mimba😭😭
mm simba hahaha kamakatoa mimna siomlokole
Mary Alex sasa anaulokole gani pale kwa mambo yake si mavazi siyo nyimbo anazoimba na bado katoa mimba 😢 na kunakipindi wakati yupo na marehemu walisema mjamzito ila ghafla wakamuona hospital na mimba ikayeyuka kanandy ni kamama kwa marehemu 😂
Nakukubali san billnas cos ni kijana mmoja unaejielewa na uko smart sana ya huna bay na wife wako jaman nawaombea mung awalinde na maneno ya wanadam msije achan
Nakukubari xana lily ommy kwer we ni king
Iyo mimba mliichokonoa chokonoa uko ☺ billinas ukiwa unaongea uwe n kumbukumb y naneno
Billnass Mola akupe umri mwana yani nakukubali kishenzi,please subcribe to my channel,show love jamani
Bro unayumba haujibu vizur maswal yako unajikuta haupo kwa nandy kumbe unamkubali acha kuzingua
huyu baharia ni noma hadi kwa Lina kapita
Congratulations 👏🎉
daaaa umenichekesha ulipomuwekea seat nand harafu man fongo akaja kusema muhuni unazingua 😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁
Wewe bilinas ulimtolea nandy mimba mungu anakuona
Nenga kaguna pale alipo ulizwa ma swali ya yess or kuhusu kumuoa😀😀😁
Nenga Nenga sawa mungu anakuona
Angekuwepo nandy pangenogaje
Nenga apreciate u broo
Nakubali👊🏿👊🏿
Billnas umerekodiwa tena kwakani tutakuwekea tena ulichokuwa unaongea
kumbe umekuwa domo zege 🤣🤣🤣👌
Congratulations ❤️❤️❤️❤️
Nenga mdomo wako unavyouweka Kama unatumia kubeli Sana au umekuwa affected na kutumia kubeli au ugolo vile
Mh xi waweke waz2 waoane jmn
Kati ya watangazaji nawwkubal lilommy na ammygirl pia mssnii namkubali nikiwepewa nafasi nimpe neno billnass amrudie Mandy bado nawakubali nawapenda sana
Hawa wanabust ngoma tu tushawajua wasanii nyie kwan hamjawajua tu, na alivyocoment kwenye picha ya nandy baada ya mama mzazi inaeleza wazi walikuwa wanafanya ngoma na ndo maana hata kwenye hii ngoma yao hayo maneno yapo baada ya mama mzazi siunafata ww, sasa hapo swali silinajijibu tayar
Interview Nzima ni Uongo Na Umbea!
Madem wa Bongo washakusikia Bilnas jiandae kukatiwa na mashori sasa ama muulize Chibu akupe Technicals
Rehema Salim
Baharia mwenzetu umetuumiza sana
kama unaona billnandy inaweza wpiga like
Watu kma hawa n hatar cna wanapiga kimya kimya
Mh Billnasi Unatujaza siku ya Graduation yako Nandy hakuwepo Tanzania umepuyanga Mzee baba😂😁😂😀
kufana kawaida kuna jamaaa apa #₹ockcity sura hadi sauti na kama Bilnenga
Nandy namis kicheko chako😂😂😂😂😂😂.....true or false
MVP half man half amazing 🔛🔛🔛
Hapo kwa ndoa bilnass alihitaji maelezo zaidi, hakuwa anatakakusema hapana, kachanganyikiwa
Nengaa kivurugee
Gonga like kwa Ammy gal
mabaharia bhana 😂😂😔😂 kazingua sana #tambwe your the best bro lit 🔥
Bill nass ni balaaa wanangu
Shida ya wasanii ndo hapo kwenye mahusiano hawadumu😏😠
Zenna Kailo true
777777
@H&P Life Journey InshaAllah
unaaibu wapi we mschoyako yachini chini malayatu ww
Ya kizazi sana namkubali sana 💯 ✅ 🔥
We nenga baharia mby sn
mmh nenga ni kivuruge kwa lina umepita pia
we hukumpenda Nandy hadi umemtoa mimba nyooooo.
#lilOmmy kizazi sana ila #nenga acha kujilambalamba midomo we ni mtoto wa kiume😎😎😎
Daaah slow kinoma hahahaha
Bill nass yuko na utu wakibinadamu anjali hisia za wengine sio kama wasanii wengi vile wanafanya kuchezea hisia za wanawake na wanaume kwa udanganyifu wa kimapenzi.
Ha ha wanaume wa KINO hawawezi kutongozaaaaa
Hii interview imekuwa na uongo mwingi sana
Farmo Fidel kabisa
Haswa!!!!
Hujui kutongoza tena ndug yng
Umesikia hapo hajui kutongoza lkini wakati wakula bata yupo kwenye jukwa na habanduki.
Billinas sio ajabu ulmpa nandy dawa ya kutoa mimba asee kwa nini usingempeleka hospital mpewe uxhauri kuliko w kugoogle na kutafuta dawa peke ako? Una Deni kubwa sana hapa kichaa wangu
Jamani huyu hatamuoa Nancy n shetan kumbe alimtoaga Mandy mimba dahhhh
Ki saikolojia nand na bilnas wanamahusiano mazuri tu.
Huzituzingue wewe sie watu wazima we are not child like you. Mbona kuulizwa swali la kuoa umeguna mzee Bugana😂😂
Billnas hajuh kujieleza
Kwelii kbs nandy yupo vzr kujieleza
Kwan bill umeenda hapo kuzungumzia mahusiano
Bukoba ulikuwa nae tulikuona sana
kiongoo iki kipuuz...
Oy nenga xaf baharia lazima ujifanye hujui kutongoza zen akijileta unalamba adi mwenyewe anakua haamini zen we unakuwa cool again
❤❤❤❤
Saan
Hawa nao washamba kama hawaishi mjini??? Mnachokataa ni nini wakati mmerudiana?? Sema kwa ushauri tu Nandy kuwa makini Bilnass hakupendi utakuja kulia ukishazaa
Hahahahaaaa
Eti Ehhh. Wameoana 16 July, 2022. Tunasikilizia.
Nan kamuelew bill kuwa hatak tena kuwa public
Billnass haendani na nandy kabisaa😉
Levina Mwaila kwel kbs
Wataoana hao
billnass ulidhamiria aise
Nampenda ammygal