UCHAMBUZI: USAJILI WA ELIA MPANZU SIMBA/ VIGOGO SIMBA WATOA MAPANGA
Вставка
- Опубліковано 25 сер 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
presentors wenye weledi ;bravo guys
🔥 🔥 🔥
Nawakubar sana
Naomba tuongelee timu zote Za nyumbani 🇭🇹
🎉
Tupo pamoja kaka
Crown yamoto
Baada ya Aubin Cramo kutolewa kwa mkopo Simba bado ina nafasi 2 za Wachezaji wa kigeni. Kwahiyo Mpanzu akipatikana bado Onana atakuwa na nafasi.
Simba au Yanga haiwezi kuwekeza kwa mtazamo wa timu ya Taifa bro,mpira ni biashara,sera za kujenga timu ya taifa hiyo haiwahusu Gov.iwajibike.
Waooo
Hata mimi namkubali sana Onana. Ni game changer. Angalia anavyoingia hizo dakika chache za mwisho anachofanya. Lazima watamkwatua ipigwe penati au free kik. Aliwanyanyasa sana Wydad. Ni mchezaji ambaye anastahili kupewa support na kutiwa moyo. Inawezekana hakuonesha makali kwasababu kwanza alichelewa preseason na pili makocha hawakugundua kipaji chake mapema na kumpa muda wa kutosha. La mwisho timu nzima ya Simba msimu uliopita hakuna aliyekuwa na workrate kubwa labda Kibu tu na hawa vijana aliowachezesha Mgunda. Kwahiyo kosa la timu nzima tusimlaumu Onana. Msimu ujao atafanya maajabu mpaka mtashangaa. Lakini Mpanzu angepatikana basi ningekubali Onana ampishe kama nafasi zimejaa.
Kuna umuhimu wa kuwa na salary cap per season ili timu ndogo ziweze kupata wachezaji wazuri na kuongeza ushindani.
Vilevile kila ninaposikiliza uchambuzi ni Yanga, Simba na Azam. Ligi ni pana sana.
team zingine hawana vitu vya kuongelea. ukiongea juu ya team fulani ya chini leo kesho huna cha kuongea but hizo team 3 kila siku wana habari na updates.
Soka Alina swala Hilo kaka
Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiii.......!!
Simba ipo pea😮😅😅
Tatizo Hans wewe hujui una mzungumzia mchezaji huyo ktk uhalisia na ukweli. Tatizo Geofray na Mkai ni usimba!!!
Nikiwa Johannesburg naburudika kabisa
Kiwango cha weredi katika uchambuzi kinaridhisha endeleeni hivyo Crown
Kwa mm naungana na wales
Hayo ni maneno 2 maendeleo ya mpira wa vijana hautayaona sababu kule hamna hela mwekezaji hautaona.
Kwa hiyo mmeiua wasafi arena hahahahah hii Noma sn
Corruption inatudondosha
Jaman naona mnanichanganya tu naomba jibu moja tu la.ukweli sio la kutafuta followers na viewers Je ni kweli Mpanzu kasajiliwa Simba 2024/25?
Nikiwa south Africa munatupa raha kabisa
ni suala la muda sasa uwekezaji ktk soka la vijana liwekwe sawa, halafu ule udhamin uliopo ktk ligue kuu ujaribu kushushwa ht kwa nusu budget kwa ligue ya vijana hii itasaidia kupunguza gharama kwa timu husika na matokeo yake wadhamin wanapewa nafasi ya kuzibeba hizi timu. then kuhusu kutumia wachezaji wa maeneo mengine kupunguza gharama hii ni shida itokayo na usajili tu, ni muda sahihi timu za vijana ziingie ktk usajili na wachezaji walipwe mishahara na sio posho tu.
Kibu kamwaga wapi
what's wrong with Jeff? isn't it very obvious with Onana? technically brilliant and skillful...he's got lack of concentration in the game as well as consistency throughout games. period!!!
We jeff muongo kuna mchezaj yupo ihef tamim kama sikosei amecheza nigeria africon hii
V
Nakubar akai niko Zanzibar
🔥 🔥 🔥