Raddi Kwa Dr. Islam Muhammad kwa Tuhuma Zake Dhidi ya Masalafy..🎙Sheikh Abdallah Humeid حفظه الله

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 248

  • @saidimadzumba2266
    @saidimadzumba2266 10 місяців тому +4

    Allah amlinde sheikh Islam! Husda zimweepuke na ampe afya njema!

  • @lASChanel-di7ki
    @lASChanel-di7ki Рік тому +3

    Allahu akuhifath shekh dkt islam na akupe afya njema ama shekh abdallah hueidi Allaah akuongoze maana katika watu alio wataja dkt islam nawe umo na ina sikitisha sana

  • @Hibu730
    @Hibu730 2 роки тому +6

    MashaAllah Dr.Islam yuko sawa.
    Twamuomba Allah atuhifadhi na atuongoze njia iliyosawa pia twamuomba Allah awape busara,hekima na upole baadhi ya masheikh ambao hupendelea zaidi vurugu kuliko busara.

  • @AbuuAbdillah-b2q
    @AbuuAbdillah-b2q 24 дні тому

    Shaikh Humeid uweleweki Allah akukinge na Kibri

  • @shabanedin5633
    @shabanedin5633 2 роки тому +9

    Aty Radii, kwa nani? Amejitakasa aje? Dr. Islam ALLAH amehifadhi anasema haki. Alhamdulilah.

  • @iddinkupe7459
    @iddinkupe7459 2 роки тому +16

    Allah akuongoze kijana mwenzetu umepotea Sana na hicho kibri ulichonacho daah!!unahali mbaya Sana akhy Ila Allah akuongoze

    • @awadhmchaki6567
      @awadhmchaki6567 2 роки тому

      Ww utaenda kuulizwa mbele ya Allah ww unamfikia Elimu Hebu tia mbele ya Sheikh Abdallah Humeid ALLAH AKUHIFADHI SHEKH WETU

    • @OmarAbdalla-ug5yg
      @OmarAbdalla-ug5yg 2 місяці тому

      ​@@awadhmchaki6567Kwanza amjibu MOHAMMAD MAFUTAkuwa ni mwna chama wa ccm....kama kweli mnapenda kheri nyinyi😂

    • @OmarAbdalla-ug5yg
      @OmarAbdalla-ug5yg 2 місяці тому

      Sio mnaraddi wengine tu akofanya ndgu yenu sio kosa ila akifnya mwengne hapana هل انتم معصومين؟

  • @abdulazizmohammad1105
    @abdulazizmohammad1105 2 роки тому +2

    Alhamndulillah shukra shkh abul khatwab kwa kubainisha njia ya wema waliotangulia nmekuelew hakika

    • @Abuu-Ayman148
      @Abuu-Ayman148 2 роки тому

      حفظه الله

    • @YusuphSadiki
      @YusuphSadiki 3 місяці тому

      Akh ujue watu wanamtetea Islam Hali yakua kapinda watakuja kuulizwa mbele ya Allah kiukweli watu hawamchi Allah

  • @ibn_maleeqqeibraheem_188
    @ibn_maleeqqeibraheem_188 2 роки тому +28

    Dr .islam muhammad Allah amukhifadhi yuko sawa kabisa ,very true hamna makosa yoyote hapo

    • @abbasmohammed2321
      @abbasmohammed2321 2 роки тому

      Sioni makosa pia mimi

    • @babauna3458
      @babauna3458 2 роки тому +2

      Dr islam yuko sawa kabisa, Alhamdulillah , Allah atupe mwisho mwema sote sisi watu Ahli sunna wal jamaa . Na wewe Abdulli humeid uko sawa kabisa lakini kuwa mpole katika kuweka watu sawa kam hii clip maneno mazuri.( Quran 16 :125 ) Waite waelekee kwenye Njia ya Mola wako Mlezi kwa hikima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka.

    • @chabunu3367
      @chabunu3367 2 роки тому +1

      Sheikh Islam utatulia tu ukweli maana hapo dalili sio Akili ALLAH akuhifadhi islam

    • @abdulhalim5950
      @abdulhalim5950 2 роки тому

      @@babauna3458 sasa ww upo upande wa nani naona huelewek

  • @Neighborsjiran
    @Neighborsjiran 2 роки тому +11

    MashaAllah Dr Islam Muhammad unafundisha vema Alhamdulilah

  • @officialJauzy
    @officialJauzy 2 роки тому +14

    Wallahy kwa fitina hii hamna cha zaidi unachotaka zaidi ya hizi views zetu na kufarakanisha waisilamu .....hii sio haqq tafuta elimu ya usawa ufundishe waisilamu

  • @karimabdoul7619
    @karimabdoul7619 2 роки тому +7

    Dr islam Allah azidi kumhifadhi. Tuna faidika sana kwa Elimu yake. Na anazungu mziya bidaada sana tu ila yeye hachanganiy madaa kama huyo mwengine

  • @abulhanifah254
    @abulhanifah254 10 місяців тому

    Tazkiyyah aliyokusudiaa Abdhalla Humeid ni ya kujiepusha na Bida'h, Shirk na Dalalat .
    Masalafy hawajitakasi kuwa wao ni wachaa mungu sana.
    Masalafy wajitakasa kutokana na Bida'h,shirk na dalalat.
    Jamaa kuweni na insa'f (fairness) na muache ushabiki .

  • @shebesalim6674
    @shebesalim6674 Рік тому +2

    Mashallah Daktur Islam

  • @JK-um6op
    @JK-um6op 2 роки тому +11

    Doctor Islam spoke the bitter truth wallah, dilele you are taking your faith for granted. May Allah guide us all.. Wallah bro dilele be humble.. this Deen belongs to Allah not individuals.. Deen is advice.. Also Deen belongs to Allah.. He may take his Deen and demote you cos of KIBR (wal 3iyadh Billah).. May Allah guide us All Yaarab..

  • @allykais8478
    @allykais8478 Рік тому +1

    Masha Allah dr islam

  • @alakhy9448
    @alakhy9448 2 роки тому +7

    Abdallah humeyd acha ufinyu wa fikra

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 2 роки тому +2

    بارك الله فيك
    Umeeleza mambo kwa njia nzuri. Shukran

  • @mariamswaleh8209
    @mariamswaleh8209 2 роки тому +5

    Shukran Allah akubarik

  • @babauna3458
    @babauna3458 2 роки тому +23

    Dr islam yuko sawa kabisa, Alhamdulillah , Allah atupe mwisho mwema sote sisi watu Ahli sunna wal jamaa . Na wewe Abdallah humeid uko sawa kabisa lakini kuwa mpole katika kuweka watu sawa kam hii clip maneno mazuri.( Quran 16 :125 ) Waite waelekee kwenye Njia ya Mola wako Mlezi kwa hikima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka.

  • @abuuaminah
    @abuuaminah 2 роки тому +3

    Allah asema 'walaa tuzakkuu anfusakum'
    Humedi amesoma mienzi sita alafu awadogosha maulamaa.

    • @nzeyimanarahma137
      @nzeyimanarahma137 Рік тому

      Mche mola wako .ye humeid alikufata akakwambia kuwa alisoma miezi sita??
      Usimuhukumie mtu aliyakuwa hujamfata kumuuliza uhakika wake

  • @tvstation6472
    @tvstation6472 2 роки тому +5

    Sote tunakubali mmesoma Ila punguzeni ukali humeid na mwenzio ibn bachu,, mnakera sasa

  • @ghaleebahmeed6454
    @ghaleebahmeed6454 2 роки тому +9

    Modern salafi's quote more sheikhs than the prophet and the sahaba. Hakuna mahali inakubalika kujitakasa nafsi wacheni kudanganyana

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad3721 2 роки тому +1

    Hamuwezikuinyamazisha dawatusallafiya nyinyi endeleeni na uadui wenu ila naona mumechelewa tu daawa imekuwa mm mwenyewe allah nishahid masalafi nikiwaona wabaya mno kila mda watu wanatahadharisha na salafy mm nikaamuwa nitie niende darasani kwao wallahi ilikuwa naingia darasani na suti hali ya watu wote wamevaa kanzu ila mm nimeenda kusikiliza uwoubaya wao na nimeenda kuwakebehi wallah maajabu allah katiya hidaya zilesuti ninazo na nimenunuwa bei sijui lini nemezivaa wamenisomesha kwasasa kanzu naipenda sana kuliko vazi jengine na mm bado ni kijana ila kwa daawahii Allhamdulillah dawaimetubadilisha sana tulikuwa waovu sana na ilikuwa tunazania haitafika siku tutaacha ila kweli ELIMU NI NURU YA MAISHA ila sisekula pekeyake na yadini ndo hususa na masalafy wanajitahidi kusomesha wallahi kherikubwa allah awahifadhi na maadui masheikh wetu

  • @mohamedali7544
    @mohamedali7544 5 місяців тому

    Madhhab yapo kwa sababu ya watu lakini dini ipo kwa sababu imeletwa na Allah

  • @mohamedali7544
    @mohamedali7544 5 місяців тому

    Mashekhe tende tuu

  • @abdulshakurwafula4248
    @abdulshakurwafula4248 2 роки тому +12

    Subhanallah. Sina ilmu lakini maneno aliyoyazungumza Dr Islam hayakutaja kikundi chochote ila alikuwa anayataja maneno waziwazi tu.

    • @chabunu3367
      @chabunu3367 2 роки тому +1

      Ndiyo hivo mm mwenye na mshangaa

  • @Team-t6k
    @Team-t6k 2 роки тому +12

    Aliye kata maneno haya sijuwi anataka kufika mu kitu gani ao anataka kupotosha nini maneno ya Dr yako sahihi 100% wala hajataja Mtu yoyote lakini wale waliyokosa elimu na kuvamiya wanapata shida saaana alikata ichi kipande Allah atakuliza na ujipange kujibu kwa dalili tosha maana unatumiya fikra za kupotosha watu kisha usalafi sio kundi ni njiya na muongozo kisha Dr mnasamakama saaana yeye sio masumi asiyokeseya anaweza kukoseya saaana t kumbe wakati mwingine mpe heshima yake ao mumfate mumulize aliyekusudia yani unataka kusema kuwa Dr ana support bid'a alaaaaaa Dunia hiyi utaona mengi

  • @mahmoudkullatein8733
    @mahmoudkullatein8733 2 роки тому +22

    May Allah protect you Abdalla Humeid carry on da’watul Salafiya

    • @Daarul_Ghurabaa
      @Daarul_Ghurabaa  2 роки тому +1

      آمين

    • @abdulhafidhswaleh1174
      @abdulhafidhswaleh1174 2 роки тому

      @@Daarul_Ghurabaa اسلم عليكم sioni kosa kaka nifafanulie tafadhali

    • @ankaldally2734
      @ankaldally2734 2 роки тому

      👊

    • @omarrankstvchannel9917
      @omarrankstvchannel9917 2 роки тому +1

      subahanaAllah hawa masheikhe ni wote Abdallah Humeid,kassim mafuta, Mohammed bachu na Dr Islam ni masalafi ni masheikhe tunawategemea na wasikiliza sna na kuwafwatilia lakini vle wengne wanawakosoa na kuwatoa katika usalafi hainifurahishi kabisa wanatuchanganya kabisa kujua njia sahihi ni ipi,sio sahihi kukosoana kwa njia hii,kujiona ww ni bora kuliko mwngne sio sawa ni vzri kutafuta njia kumwambia hapa umekosea na sio hivi katika mtandao

    • @abdulhafidhswaleh1174
      @abdulhafidhswaleh1174 2 роки тому

      Siku hizi hakuna kurekebishana ama kumtoa makosa imagine mpka dkt islam wamemtoa neema ilioje Allah amejalia hesabu ya waja kwake yy...na neema kubwa ilioje mlango wa kumtoa muislamu katika uislamu ni ngumu...ila hilo masalafi wa zama hizi hawaliwezi

  • @saidishalako
    @saidishalako 2 роки тому +2

    Assalam Aleikum.Alhamdullah.Nimelipata jibu lako Al Akh Suyutwi.Kila Sh. Ana njia ya ufundishaji wake.Nami naamini pia Mashekhe wale wanaokubalia kamera wapo wazuri tu na wanaokemea bida'a kadiri ya uwezo wao.Pia jua namkubali sana Sh Kassim(ALLAH Amhifadhi) na Marjii yangu kwa masala mengi tu.Ila kumbuka zama za Imam Abu Hanifa na Imam Hassan Thauri (Rehmallahu Aleikum)

  • @abuuzwiin1876
    @abuuzwiin1876 2 роки тому +1

    masala FIL FIL ..mzushi huishimu ramadhan..

  • @hamenyimanasalum7289
    @hamenyimanasalum7289 10 місяців тому +1

    Remember one think 🤔 ALLAH ajatuhita sisi masalafi but Ametuhita waislam suratul al Imran sasa teambie wapi Allah ameita uyu umma wa mwisho kwa jina salafiℹ️👂

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene 3 місяці тому

      ALLAH amewaita wapi watu wa bidaa au hawapo?
      Mbona mnajiita masufi, mashia nk?

  • @sahraqaalib902
    @sahraqaalib902 2 роки тому +27

    Namuomba Allaah Subhana Wata'ala amuhifadhi Dr Islam,kwani anatuelemisha saana na tunafaidika nae saaana.

  • @mahmoudkullatein8733
    @mahmoudkullatein8733 2 роки тому +6

    Lion of Kenya

  • @mn-fy7oq
    @mn-fy7oq 2 роки тому +2

    Jamani na wasiokuwa na elimu hzi twawafundisha nini kwa sababu mwenye elimu kama haijakaa vzri utachanganikiwa Mashekh jamani Mcheni Allah

  • @abdallahsalim9265
    @abdallahsalim9265 2 роки тому +30

    Nenda ukae chini ya daktur Islam usome… wacha kutafuta umaarufuu kwa kumpiga vita. Sisi tulioko Tanzania tunamtambua dr Islam ni nanii. Sheikh ameogelea katika bahari ya elimu wewe umeshazama. Allah amuhifadhi Dr Islam.

  • @hamenyimanasalum7289
    @hamenyimanasalum7289 10 місяців тому

    Nimeisha kufatilia clip zako nyingi

  • @muhammad-Swaabir
    @muhammad-Swaabir 2 роки тому +5

    Humeid soma mwanzo huna ilmu unayo toa zaidi ya matusi

  • @tahirissa6579
    @tahirissa6579 2 роки тому +9

    Abdallah Humeid nenda kwanza kwa Dr Islam ukasome
    Hii bahari si saizi yako

  • @saidikabuta4982
    @saidikabuta4982 2 роки тому +3

    Kwani anaekufa na kalimatu tauheed katamka haasa laa illaaha Ila llah muhammadu rrasuulullaah ataigia peponi???

    • @nzeyimanarahma137
      @nzeyimanarahma137 Рік тому

      Point Ni kuijuwa na kuifwata ndo Apo umemaanisha kufa nayo ikiwa mtu atakufa nayo hiyo Kalimatu tauhid Basi ataingia peponi hiyo Ni sahihi kabis Ni Hadithi ya mtume S.A.W
      Kumbe si kila. atakae itamka ataingia peponi lakini kila aliye kufa anaijuwa ujuzi usio kuwa na ujinga Basi ataingia peponi

  • @hassanbinhalkano1616
    @hassanbinhalkano1616 2 роки тому +5

    ماشاء الله

  • @saidhamad9723
    @saidhamad9723 2 роки тому +4

    Acha sifa ww abdallah punguza ria unaonesha izo sifa mbya zilizotajwa unahusika

  • @ibn_maleeqqeibraheem_188
    @ibn_maleeqqeibraheem_188 2 роки тому +3

    humeid duktur sio size yako ilmu,nenda ukafunzwe

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 2 роки тому +3

    Subhaanallah

  • @ramadhanmbwana5718
    @ramadhanmbwana5718 8 місяців тому +1

    MASHAALLAH BAYANI IKO VIZURI MAHIZBIY WATAAMKA HAPO
    LAKINI HAKI ITABAKI KUA NI HAKI
    جزاكم الله خيرا أبا الخطاب

  • @saidihaji3739
    @saidihaji3739 2 роки тому +1

    MAWAHABI WALIKUWA WANAWAGAWA WAISLAMU KWA MUDA MREFU SAANA
    SASA ALLAH ANAWALIPA HAPA HAPA DUNIANI WANAANZA KUTAFUNANA WAO KWA WAO .
    NA HIVI SASA WAKO MAKUNDI CHUNGU MZIMA NA KILA MMOJA ANAJIONA YEYE NDIO SALAFIY WA SAWA .

    • @saidishalako
      @saidishalako 2 роки тому

      Assalam Aleikum. Nakunasihi ndugu yangu usiwe miongoni mwa wale wajinga.Hakuna watu wajiitao au kujinasibisha wahabi.Hili ni neno walitumialo maadui wa Daawa Salafiya kwa njia kejeli na stihizai. Nawe kama waipenda Sunna jiepushe nalo.

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 2 роки тому

      @@saidishalako
      Rudi ktk vitabu utaona mawahabi ni mafuasi wa Muhammad lbn Abdul wahhab nnajdiii ..
      Ambae alidai eti kipindi chake hakuna mwenye kuijua maana ya
      [لا إله إلا الله ۔۔ محمد رسول الله]
      Na Shaafiiyyah ni wafuasi wa lmam shafiiii .
      Maalikiyyah ni wafuasi wa lmam Malik bni Anas.
      ....... Halafu rudi ktk vitabu utakuta mawahabi wenyewe wanalitumia jina la uwahabi kwa kujiita wenyewe.
      ........ ..... Nayo ni daawa ya fitna angalia wafuasi wake kila mmoja anamtoa mwenzake kila siku takriban wanagawana makundi makundi .. Badala ya kuwa pmj.
      Utakuta kuna makundi kibao kama.
      HAJAAWIRA.
      MADAAKHILA.
      SURURUYYAH
      JAAMIYYAH.
      ALBANIYYAH.
      MAJADIIDA.
      MAHIZBIYYAH
      N.K Yapo zaidi ya makundi 20 . Kazi yao ni kuugawa umma tu .
      WA INNAA LILLAH WAINNAA ILAIHI RAJIUUN

    • @saidishalako
      @saidishalako 2 роки тому

      Nishakuelewa ndugu Haji.Ila siku nyingine tutajie jina la Kitabu,kimfano tu .

  • @abdulhafidhswaleh1174
    @abdulhafidhswaleh1174 2 роки тому +4

    Ogopa الله dilele

  • @aishahashim.5079
    @aishahashim.5079 2 роки тому +2

    Abdallah humeid nenda kasome Kwanza Acha kujiinua Hakuna anepinga kuwa mwenendo wa watu wema ndio wajibu wetu kuifuata lakini maradhi ya nafsi ndio Sheikh anayazungumza Acha kujiinua Acha kujiinua Acha kujiinua Acha kujiinua. Tutauona utakasifu wako mwishoni mwa uhai wako

    • @husseinsuleiman614
      @husseinsuleiman614 2 роки тому

      mwanamke wa kiislam unahangaika na sm janja,maneno ambayo hayana adab wayazungumza...mumeo utamuheshim kwa hali hii? hao wote ni daai wa ahlu sunna..waache wawekane sawa wenyewe,,pigia fatwa ya sheikh fauzan..mizozo ya watu daawa..ww swaghiir..achana nayo fanya ibaadat, af cha2 fatwa ya sheikh fauzan kuhus mwanamke na kadhia hizi pamoja na kutumia sm janja..haifai..ww si wakusema abdallah humeid akasome,, abdallah humeid na dr islam wote wamesoma..ALLAH huwalipa kwa daawa..jipime ww unafanya nn kupata thawab? ni ushaur tu ndg yang bint

  • @aliyahya5785
    @aliyahya5785 2 роки тому +7

    Wew achakujisifu wew unaejiita salafi. . Allah anasema "namsijitakase nafsi zenu yeye Allah ndio ajuae alie mchamungu kati yenu" hawa watu wahatari sana ...... Allah awaongoze katka haki

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 2 роки тому +3

    HATA KAFIRI ANOABUDU YESU PIA HUJIONA YUPO SAWA KAMA HUYU HUMEID. HAJUI KUWA UONGOFU ANOONGOZA NI ALLAH SW PEKEAKE.

  • @chemistrymadeeasy7706
    @chemistrymadeeasy7706 2 роки тому +7

    Jamaa mbona mwatuchezea, Doktur amesema Abdallah Humeid aende wakajadili wazi ukweli ujulikane. Sasa mbona yuaogopa? Kama hawezi enda basi acheni kelele.Manhaj Salafiyyah si kujiita Bali ni kufahamu ilmu.

    • @muhammad-Swaabir
      @muhammad-Swaabir 2 роки тому +6

      Wacha yeye hata kasimu mafuta hawezi kaa mbele ya duktrur akapotosha

    • @bahashachembea6922
      @bahashachembea6922 2 роки тому

      @@muhammad-Swaabir ni wengi kumbe

    • @jumasibanilo2912
      @jumasibanilo2912 2 роки тому

      Jamaa angalieni Saaaana masaala haya iwe ni salafiya au haul sunnah Tena nashua na wengine pia tusifuate upenzi kuweka comment s tu bila tafkur kweli tunafuata sunnah au tunashabikia tu kulingana na tarbia zetu na jamii mzima tuliomo, kwa kiswal kisanii tukichanganya na batri nyingi!!!! Haya tulio comment hapa tuna wake wangapi, watoto wangapi, vip sadaqa zetu , vip qyamolei tunasimama??kisha tunaishi Kama waislamu kweli?? Au modern life kisha twasema eeh so waoslaam et mmhhh!!! Hayaaa

    • @awadhtwalal8951
      @awadhtwalal8951 Рік тому

      Ati akae mbele ya daktoor?
      Akae kwanza asome sahihul bukhari kwanzia mwanzo wa kitabu hadi mwisho.
      Kazi matusi na kujitakasa kujiona hamna kama wao kwa usawa...
      Bullshit.
      Iko siku mtazidi kudhihirika kwa upuzi mulokua nao nyinyi watu wa vurugu

  • @suleali4915
    @suleali4915 2 місяці тому

    Mashekh nyinyi mnasababisha dini watu waiyone ngumu pumbavu ww

  • @salhacker7728
    @salhacker7728 2 роки тому +5

    Abdallah Humeid mpaka kufikia kujibu ni waz una sifa hzo

  • @omarbwanaali2871
    @omarbwanaali2871 2 роки тому

    Acha kujitakasa.. Dr. Anaelimisha watu Kwa njia ya usawa.. Yako mambo mengi muhimu ambao waislamu hawayajui wafundishee.. Sio kutoa Raddi Kila kukicha.. wakosoa watu tuu.. Alkamalulillah☝️.. walaa tuzakkuu anfusakum, hua a'alamu bimanittaqaa

  • @IbrahimIsmail-te7mw
    @IbrahimIsmail-te7mw Рік тому

    Dilele we hujielewii

  • @mwarabuwamafia5590
    @mwarabuwamafia5590 2 роки тому +10

    ⚖️MAJIBU YA KIELIMU(رد علمي) KWA KASSIM MAFUTA NA ABDALLAH HUMEID KWA KITENDO CHAO CHA KUMTOA KATIKA SUNNA SHEIKH DR ISLAM BILA HOJA WALA DALILI⚖️
    ▪️Katika Majibu yake Sheikh Kassm alisikika akidai kuwa Sheikh Dr Islam Muhammad Saalim(Allah amhifadhi)eti halinganii Dawaah ya Kisalafu na Sunna kwa Maana analingia Batili na Upotevu !.
    ▪️Ni vizuri kwa Muislamu kujua Maana halisi ya Daawah ya Kisalafi (دعوة سلفية)ni atakudua kuwa maneno ya Kassim kwa Sheikh Islam ni Maneno ya Uongo na Uzushi.
    NI NINI MAANA YA DAAWAH YA KISALAF(الدعوة السلفية )?
    ▪️Ni kuwaliangia na Kuwaita watu kufata Uislamu sahihi alio ufundisha Bwana Mtume Muhammad (Sala lahu alayhi Wasallam),Maswahaba ,na Taabiina na wale wote walio fata kwa wema hadi Siku ya Qiyaama.Vile vile Ulinganio huu unaitwa Daawah ya Ahlu Sunnat Wal Jamaa.
    MISINGI MIKUBWA YA DAAWAH YA AHLU SUNNA
    ▪️Daawah ya Ahlu Sunna imejengwa juu ya Misingi mbali mbali ,Na Miongoni mwa Misingi hiyo:-
    1.KULINGANIA WATU TAUHIID
    ▪️Daawah ya Ahlu Sunna imejikita katika kuwalingia watu katika kumpwekesha Allaah(Taalaa)Katika Matendo yake,Ibaada zake ,Majina na Sifa zake .
    ▪️Daawah ya Ahlu Sunna inapa Tauhiid kipao mbele katika yanja mbali mbali za Daawah ,ikiwemo :-
    (I)Kuifundisha
    (ii)Kundika Vitabu
    (iii)Kueleza katika Majukwaa na Mitandao mbali mbali ya Kijamii.
    2.KUPIGA VITA SHIRKI
    ▪️Daawah ya Ahlu Sunna imejengwa katika msingi wa kupiga Vita Shirki ,Kufur na Washirikana kwa aina zake zote .
    3.KUPIGA VITA BID'AA
    ▪️Daawah ya Ahlu Sunna ni yenye kupiga vita aina zote za Bidaa (Bidaa za Kiitikad,au bidaa za Matendo) vile kupiga vita Makundi yote ya watu Bidaa na kubainisha Upotevu wao ili waislmu watahadhari nao.
    4.KUTILIA UMUHIMU ELIMU
    ▪️Daawah ya Ahul Sunna inahimiza watu kutafuta Elimu , kusoma ,Kufundisha na kuisambaza .
    ▪️Daawah ya Ahlu Sunna haibagui Elimu maadamu Elimu hiyo ina manuufaa kwa watu .
    5.KUHIMIZA TABIA NJEMA
    ▪️Daawah ya Ahlu Sunna inahimiza watu kujipamba na Tabia njema za Kiislamu Mfano Ukweli,Uwadilifu,Uwamifu n.k,kutahadharisha watu na tabia Mbaya mfano Uongo ,Chuki,Khiyana ,Jeuri na n.k .
    ZINGATIA:-
    (i)Daawah ya Ahul Sunna sio Dawaah ya Kutukana watu,Kusambaza Majungu na Fitna,Kuhukumu watu Kwa Dhulma na Ujinga kwasabu ya kutofautina na Mtu Katika mambo ya Kifiqh ambayo yanakubali Ikhitilaaf
    (ii)Msingi gani ambao Sheikh Islamu ameghalifu au jambo gani la Batili ambalo amelilingia Katika Darasa zake ??? Ni wajubu likwe wazi na sio kungea kwa dhana tu .
    (iii)Usalafi sio Ukoo ,wala kabila la Mtu,bali Usalafi ni Kufata Mwenendo wa Mtume Muhammad (Salla Lahu alayhi Wasallam)mtu anaweza kuwa Salaf na wala hajiiti kwakuwa mazingatio ni kufata sio kujiita ,Vilevile sio Sharti la Mtu kuwa salafi katika Ukanda huu wa Afrika Mashariki lazima ashirikiane na Kassim Mafuta au lazima yeye ndio ampitishe kuwa fulani Salaf .
    (iv)Nilio yataja hapo juu ndio anayo yalingania Sheikh Islam kwa mujibu wa Darasa zake kupitia Akauti zake.kwa mtu ambae hana chembe ya Taasubi atembelee Akauti za Sheikh Dr Islam atajua kuwa Sheikh analingia Dawaah ya Ahlu Sunna wala halingii Batili kama anavyo dai Mafuta.
    Allaah atupe Elimu na Uwadilifu
    Inaendelea ...
    وصلى الله وسلم وبارك على نبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين .
    Muandishi :-
    Ally Yahya Al-Qusheiry
    Dar es Salaam ,Tanzania
    📞+255652082775

    • @abuahlaam
      @abuahlaam 2 роки тому +1

      Majibu yako kwa ufupi sana
      Dr islam anashirikiana na watu wa bidaa katika Da'awa yake ... Ahudhuria makongamano ya watu wa bidaa tena wale wenyewe achana na mahzibi mfano wa yusufabd mbali ashirukiana na masufi ... Kwa mfano ashahudhiroa makongamano kadhaa ukumbi wa sh khalifa yalokia yamechanganya moka masufi wakubwa
      Dr islam hawapigi vita wazushi walo jazana katika mji wa mambasa mbali ataka kuonyesha daawa yao ni sawa tu na ndo asema watu wasibainishwe wasipigwe raddi wala wasitajwe kwa majina yao......... yeye hawataji watu wazushi wasanii kama yusufabd au kipozeo jambo ambalo limepelekea umma kuwaona wazushi hawa wako sawa ni watu wa sunna... Da'awa ya sunna akihitajika atajwe mzushi mtu muovu hutajwa tu kama vile Quran imetaja watu waovu kwa majina yao na mtumeﷺ pia kataja
      Dr islam hasomeshi tawhid hana hata kitabu kimoja ashawahi kusomesha cha tawhid na hilo ni kwa sababu ajua wafuasi wake watakimbia akisomesha tawhid na yeye ataka wingi wa watu ...sio usul thalatha wala kitabu tawhid wal qawaidul arbaa hana hata risala moja a Tawhid amesomesha
      Dr islam hana malezi katika Da'awa yake wanachuoni huanza kuwalea watu kwa elim ya chin wakipanda polepole.... dr islam hafanyi hivo ... Watu wengi wanaokaa chin ya dr katika watu wa kawaida hakuna faida wanapata asomesha mambo makubwa kuliko akil zao.... wengi wao hubakia tu kusifu umeskia darsa ya leo ilivokua kali lakn hana alilofaham ...
      Kwa mfano 40 nawawia amesomesha taqriban miaka 4 hio riyaadhu salihiina sjui atasomesha miaka mingapi .. usluubu huo haumnufaishi muislam wa kawaida asojua namna ya iutawadha kuoga janaba kuswali asojua tawhid atakufa bila kujua tawhid .. bali hata wanafunzi wanafatilia hadith moja moka unachoka wengi wao wanatoroka darsa zake unaenda unkaa mwaka mzima ukirud kitabu akijafika popote .
      Dr islam aweza maliza ramadhan nzima darsa ni neno ardhi tu bas ramadhan ikaisha hivo hajatoka hapo ... Suratul qaaf amesomesha saa hii naona ni karbia miaka minne ndani ya ramadhan
      Moinganizi ni yule anaelea umma kwanzia kwa elim ndogo akioanda juu awaam hawajui lolote yeye awapa masala makubwa kuwapotezea mda .... Mimi mwenyewe noimfatilia dr katika kusoma nkaona napoteza mda na sisongi mbele
      Najua haya kwa yule mwenye ushabiki kwa dr hatoelewa lakin atakaeyasoma kwa makin atajua ninachokusudia
      Qasim amafuta mfatilie katika darsa zake utaona faida kubwa sana Quran walalh tarjama yake ndo tarjama ulokua bora mara kumi ya Dr ina faida kemkem wala harefushi kwa namna ya kuchosha kama dr wala hafupishi ufupisho wa kumnyima mtu faida
      Na mimi nazungumza hivi kwa sababu niko na ujuzi na pande zote... kwa mda mrefu noikua mfuasi wa hao mashekhe akina dr. Yusufabdi ambae sasa hivi amekua msanii sh bahero kipozeo nurdin kishki wa kuacti na wengineo ambao hatukuwahi ifaham dini yetu mpka tulipojiliwa na daawa salafiya Allah awahifadhi mashekhe wa Da'awa hii mubarak

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 2 роки тому

      JazakaAllaahu'khayran Sheikh
      Shukran sana kwani Umesema ukweli kabisa
      Alhamdulillah
      Dr Sheikh Islam Muhammad
      Yuko sawa kabisa
      Allaah Atuongoze sote Waislamu.
      Allaah'Maak Sheikh.

    • @مبغضالبدع-ع9ص
      @مبغضالبدع-ع9ص 2 роки тому

      @@abuahlaam barakallahu fiik akhy duh umefungua mambo wazi kabisaa..... anaetaka haki ameelewa, sikai tena chini yake...

  • @zaburionlinetv6245
    @zaburionlinetv6245 2 роки тому +8

    UNATAFUTA VIEWERS AU?
    MAANA HAMNA RADD HAPO NA ATARADIWA VIPI ILIHALI ALICHOSEMA DR ISLAM NI SAHIHI

    • @habibmohaa1733
      @habibmohaa1733 2 роки тому +2

      Huyu amemraddi sheikh Uthaymin Kwasababu dr lslam alimnukuu sheikh Uthaymin na wala hakuongeza neno

  • @saidihaji3739
    @saidihaji3739 2 роки тому +3

    MIMI LEO NAULIZA .. (( KAMA USALAFI NI KUFUATA KITABU NA SUNNA))
    NANI KTK WAISLAMU HAFUATI KITABU NA SUNNA KWA UFAHAMU WA SALAFI ???

  • @jamalsaid7475
    @jamalsaid7475 2 роки тому +1

    Dr Islam Muhammad Allaah Amuhifadhi yuko Sawa kabisa sababu huku uk(Uingereza) pia tuko nao
    Mfano wa hao wanaojiita
    Super Salafi
    Mtihani mkubwa huu
    Allaah Awape Hidaayah na sisi pia
    Dr Islam Amesema ukweli kabisa kuhusu Fikra hizo na kwa Masikitiko makubwa
    Wapo Jamaa wa Ahlus sunnah wa Jamaa wameanzisha groups Mfano wa hizo
    Wengine hata Sheikh Abdallah Swaleh Al Farsy (Rahimahu'Alllaah)
    Wanampiga vita!
    Hatari hii...

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 2 роки тому

      JazakaAllaahu'khayran Dr Islam
      Allaah'Maak Sheikh
      Tunapata faida nyingi sana
      Maa Shaa Allaah
      Alhamdulillah

  • @ahmedkhamis9539
    @ahmedkhamis9539 11 місяців тому

    Sijawahi kuandika comment ila kuna mashekh wengine wanajiona kwamba wako sawa kwa kila jambo

  • @khamisibanikhalifa8332
    @khamisibanikhalifa8332 2 роки тому +12

    jamani kwangu Mimi Dr Islam yupo sahihi Kila mtu abaki na itikadi yake Ila sishangai sana mtume Muhammad rehma na amani ziwe juu yake alisema uma utagawanyika makundi mengi Ila litakalo faulu nilile lililo fwata Qur'an na suna hivi vikundi vya nini

  • @AliAli-lu7or
    @AliAli-lu7or 3 місяці тому

    Ikisha maanswari wazenj anashangaza utakuta msikiti mmoja waonamatabligh wanashirikiana utadhani wakopamoja nahli nyoyozao zikotofaiti nakuthibitisha hilo sheish Omar alifukuzwa na matabligh kwakua anasomesha sharhu sunna (sunna na bid,aa dhwiddan mutanakidhwan)

  • @mwanaimachayoa8217
    @mwanaimachayoa8217 2 роки тому +1

    Sasa kipi umekosoa hapo mbona unafanya vitu vya kipuuz hata asie kua na elmu atakuona mjinga

  • @ر.ج.ب
    @ر.ج.ب Рік тому +1

    Doctor ISLAAM Yuko Sawa

  • @ر.ج.ب
    @ر.ج.ب Рік тому

    Abdullah humeyd sijaona unachotetea kwasababu Sisi NI watanzania na tunasoma dagh'wah zenu hata ww huko Kenya mnayoharibu mengi kuliko

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 2 роки тому +1

    RADD NDIYO FAGIO LA KUONDOA UCHAFU KWA UISILAM,BILA RADD UISLAM UTAJAA TAKATAKA!!

  • @mohammedkhalid9975
    @mohammedkhalid9975 2 роки тому +3

    Sasa Daktur ametaja kundi gani hapo ?? Dr Yuko sawa ….Sheikh Abdallah nakusikiza lakini leo kafail lakini ndo Binadamu alivyo lazima kuna mahali atakosea Shukran

    • @mwarabuwamafia5590
      @mwarabuwamafia5590 2 роки тому +1

      Apigwe raddi na yy kwa uzish wake dhidi ya daktur amezoea kutoa raddi bila hoja za kielem

    • @husnamohamed9448
      @husnamohamed9448 2 роки тому +1

      Dilele hakosei kabisaaa tena sio yeye tu kundi lao Zima liko sawa kabisaaa.Wenye kukosea ni hao masheikh wengine

  • @mohamedalawyi8336
    @mohamedalawyi8336 2 роки тому +4

    Dr Islam uko SAWA . Tunajua MaSheikh wengine kila kitu WAJUA wao . Achana nao .

  • @abuJamal15
    @abuJamal15 2 роки тому +3

    Shida ya huyu ndugu yetu kila anaemfundisha mwisho wake huyo mwalimu anakua hizbi kulingana na hicho Chama chao

  • @johnthumbi2528
    @johnthumbi2528 2 роки тому +10

    Sheikh umesoma lakini omba ALLAH Akuongoze,unabeta ki elimu.sheikh islam anafudisha wenye mumepotesha

  • @muhammadnassibu7706
    @muhammadnassibu7706 2 роки тому +10

    ولا تزكو بانفسكم هو اعلم بمن التقى

  • @didaali4799
    @didaali4799 2 роки тому +2

    Waeza face to face na Dr Islam,wacha kujigamba kijana...kama kweli wajua haki na usawa kuna watu wataka kufikishiwa uislamu nenda vijijini huko

    • @husnamohamed9448
      @husnamohamed9448 2 роки тому

      Kundi Zima la kina humeidy huwa liko mijini wala haliendi vijijini kupeleka dini.Kazi yao kubwa nikukaa mijini na kula wali wakishashiba watafute Kanda za masheikh wengine waangalie kisha wawapige raddi baasi.Mafuta na humeidy jamani raddi sio dini

  • @amnadegneh5328
    @amnadegneh5328 2 роки тому +2

    Asalam aleykum...al akh dilele umezidi....ukijifananisha na Dr islam urongo....alafu ww ndio hizbi maanake una tahazub akhi...kweli manhaj haina makosa lkn ww una makosa maana hujui mfumo wa nasiha....

  • @AliAli-lu7or
    @AliAli-lu7or 3 місяці тому

    Mtuhajiiti mtuwasunna kisha akawa hazipigivita bid,aa nakuhadharisha watu nawatu wabid ,aa isipokua Alwah atamshughulisha nakutafuta dunia au atamuingiza ktk hizo bid,aa kama huku zenj maanswari wengine wameingia ktk jamaat tabligh wenge wamerudi kwenye usufi wengine daaesh wengine kwenye demokras wengine wametafut mashamba wanalima wameacha kusomesha _

  • @qurantajweed3935
    @qurantajweed3935 2 роки тому +7

    😂 Humeid hawezi kamwe kukubali... Always contradict Hadiths by which favours him

  • @abdulhafidhswaleh1174
    @abdulhafidhswaleh1174 2 роки тому +2

    Abdallah humeid wajisahau kisha hujatajwa

  • @halimahussein6792
    @halimahussein6792 Рік тому

    acheni mambo ya Raddi kila mmoja afundishe kile chenye ushahidi ndani ya Qur-an na sunna

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul1701 2 роки тому +3

    Wewe Abdalla Humedi Kwanza umesoma wapi?

  • @mzeerajab9154
    @mzeerajab9154 2 роки тому +4

    Hio manhaj anajaribu kuieleza nani kama si mtu?Hivyo huyo mtu ndie atakaejibiwa,si manhaj.Na Dr.Islam kakosea nini na watu wanatenda na kusema aliyoyasema.Hata sekunde hajaikosoa manhaj.Tumuogopeni Allah,tena ni Allah peke yake ndie anayemjua nana kaongoka na nani kapotea.

    • @abuahlaam
      @abuahlaam 2 роки тому

      Majibu yako kwa ufupi sana
      Dr islam anashirikiana na watu wa bidaa katika Da'awa yake ... Ahudhuria makongamano ya watu wa bidaa tena wale wenyewe achana na mahzibi mfano wa yusufabd mbali ashirukiana na masufi ... Kwa mfano ashahudhiroa makongamano kadhaa ukumbi wa sh khalifa yalokia yamechanganya moka masufi wakubwa
      Dr islam hawapigi vita wazushi walo jazana katika mji wa mambasa mbali ataka kuonyesha daawa yao ni sawa tu na ndo asema watu wasibainishwe wasipigwe raddi wala wasitajwe kwa majina yao......... yeye hawataji watu wazushi wasanii kama yusufabd au kipozeo jambo ambalo limepelekea umma kuwaona wazushi hawa wako sawa ni watu wa sunna... Da'awa ya sunna akihitajika atajwe mzushi mtu muovu hutajwa tu kama vile Quran imetaja watu waovu kwa majina yao na mtumeﷺ pia kataja
      Dr islam hasomeshi tawhid hana hata kitabu kimoja ashawahi kusomesha cha tawhid na hilo ni kwa sababu ajua wafuasi wake watakimbia akisomesha tawhid na yeye ataka wingi wa watu ...sio usul thalatha wala kitabu tawhid wal qawaidul arbaa hana hata risala moja a Tawhid amesomesha
      Dr islam hana malezi katika Da'awa yake wanachuoni huanza kuwalea watu kwa elim ya chin wakipanda polepole.... dr islam hafanyi hivo ... Watu wengi wanaokaa chin ya dr katika watu wa kawaida hakuna faida wanapata asomesha mambo makubwa kuliko akil zao.... wengi wao hubakia tu kusifu umeskia darsa ya leo ilivokua kali lakn hana alilofaham ...
      Kwa mfano 40 nawawia amesomesha taqriban miaka 4 hio riyaadhu salihiina sjui atasomesha miaka mingapi .. usluubu huo haumnufaishi muislam wa kawaida asojua namna ya iutawadha kuoga janaba kuswali asojua tawhid atakufa bila kujua tawhid .. bali hata wanafunzi wanafatilia hadith moja moka unachoka wengi wao wanatoroka darsa zake unaenda unkaa mwaka mzima ukirud kitabu akijafika popote .
      Dr islam aweza maliza ramadhan nzima darsa ni neno ardhi tu bas ramadhan ikaisha hivo hajatoka hapo ... Suratul qaaf amesomesha saa hii naona ni karbia miaka minne ndani ya ramadhan
      Moinganizi ni yule anaelea umma kwanzia kwa elim ndogo akioanda juu awaam hawajui lolote yeye awapa masala makubwa kuwapotezea mda .... Mimi mwenyewe noimfatilia dr katika kusoma nkaona napoteza mda na sisongi mbele
      Najua haya kwa yule mwenye ushabiki kwa dr hatoelewa lakin atakaeyasoma kwa makin atajua ninachokusudia
      Qasim amafuta mfatilie katika darsa zake utaona faida kubwa sana Quran walalh tarjama yake ndo tarjama ulokua bora mara kumi ya Dr ina faida kemkem wala harefushi kwa namna ya kuchosha kama dr wala hafupishi ufupisho wa kumnyima mtu faida
      Na mimi nazungumza hivi kwa sababu niko na ujuzi na pande zote... kwa mda mrefu noikua mfuasi wa hao mashekhe akina dr. Yusufabdi ambae sasa hivi amekua msanii sh bahero kipozeo nurdin kishki wa kuacti na wengineo ambao hatukuwahi ifaham dini yetu mpka tulipojiliwa na daawa salafiya Allah awahifadhi mashekhe wa Da'awa hii mubarak

  • @abumaryam6909
    @abumaryam6909 2 роки тому +1

    Sheikh Islam amezungumzia watu sio dini bado hata wewe hujielewi kama ulivyojiona wewe uko sahihi hata sheikh yuko sahihi kama asingekua sahihi angekua ameshatoka huko alipo tumu ogopeni Allah (s.w)

  • @JK-um6op
    @JK-um6op 2 роки тому +5

    ياشيخ عبدالله حميد اترك الفتنة يأخي.. خليك اديب وحشيم يأخي.. ولا تزكي نفسك زي ما انصحك الدكتور اسلام (حفظه الله) الله يهدينا جميعا

  • @salimuselemani8754
    @salimuselemani8754 2 роки тому +4

    Humeid ninahisi kama uko na Hasad sana. Badilika kwa ajili ya Allah .

    • @husnamohamed9448
      @husnamohamed9448 2 роки тому

      Nakubaliana na wewe mia kwa mia.Humeidy ana shida kidogo naona akilini.Na wafuasi wao pia wakiambiwa twendeeeee hao wenda wala hawahoji.Mtazamo wangu mimi humeidy na mafuta wanadi kundi lao zaidi kuliko kuitangaza dini

  • @shamsuddin4582
    @shamsuddin4582 2 роки тому

    Bainisha haqi ndio ila si kwa vijembe na kejeli bima'ana unawafundisha nn wasio na i'lmu (unawafunza kuwa kejeli ina nafasi ktk dini hali ya kuwa hakuna salafi mwenye kufanya huo ujinga)

  • @abuahlaam
    @abuahlaam 2 роки тому +2

    BAYANA KWA UFUPI kwa yule asofaham uhakika wa jambo
    Dr islam anashirikiana na watu wa bidaa katika Da'awa yake ... Ahudhuria makongamano ya watu wa bidaa tena wale wenyewe achana na mahzibi mfano wa yusufabd mbali ashirukiana na masufi ... Kwa mfano ashahudhiroa makongamano kadhaa ukumbi wa sh khalifa yalokia yamechanganya moka masufi wakubwa
    Dr islam hawapigi vita wazushi walo jazana katika mji wa mambasa mbali ataka kuonyesha daawa yao ni sawa tu na ndo asema watu wasibainishwe wasipigwe raddi wala wasitajwe kwa majina yao......... yeye hawataji watu wazushi wasanii kama yusufabd au kipozeo jambo ambalo limepelekea umma kuwaona wazushi hawa wako sawa ni watu wa sunna... Da'awa ya sunna akihitajika atajwe mzushi mtu muovu hutajwa tu kama vile Quran imetaja watu waovu kwa majina yao na mtumeﷺ pia kataja
    Dr islam hasomeshi tawhid hana hata kitabu kimoja ashawahi kusomesha cha tawhid na hilo ni kwa sababu ajua wafuasi wake watakimbia akisomesha tawhid na yeye ataka wingi wa watu ...sio usul thalatha wala kitabu tawhid wal qawaidul arbaa hana hata risala moja a Tawhid amesomesha
    Dr islam hana malezi katika Da'awa yake wanachuoni huanza kuwalea watu kwa elim ya chin wakipanda polepole.... dr islam hafanyi hivo ... Watu wengi wanaokaa chin ya dr katika watu wa kawaida hakuna faida wanapata asomesha mambo makubwa kuliko akil zao.... wengi wao hubakia tu kusifu umeskia darsa ya leo ilivokua kali lakn hana alilofaham ...
    Kwa mfano 40 nawawia amesomesha taqriban miaka 4 hio riyaadhu salihiina sjui atasomesha miaka mingapi .. usluubu huo haumnufaishi muislam wa kawaida asojua namna ya iutawadha kuoga janaba kuswali asojua tawhid atakufa bila kujua tawhid .. bali hata wanafunzi wanafatilia hadith moja moka unachoka wengi wao wanatoroka darsa zake unaenda unkaa mwaka mzima ukirud kitabu akijafika popote .
    Dr islam aweza maliza ramadhan nzima darsa ni neno ardhi tu bas ramadhan ikaisha hivo hajatoka hapo ... Suratul qaaf amesomesha saa hii naona ni karbia miaka minne ndani ya ramadhan
    Moinganizi ni yule anaelea umma kwanzia kwa elim ndogo akioanda juu awaam hawajui lolote yeye awapa masala makubwa kuwapotezea mda .... Mimi mwenyewe noimfatilia dr katika kusoma nkaona napoteza mda na sisongi mbele
    Najua haya kwa yule mwenye ushabiki kwa dr hatoelewa lakin atakaeyasoma kwa makin atajua ninachokusudia
    Qasim amafuta mfatilie katika darsa zake utaona faida kubwa sana Quran walalh tarjama yake ndo tarjama ulokua bora mara kumi ya Dr ina faida kemkem wala harefushi kwa namna ya kuchosha kama dr wala hafupishi ufupisho wa kumnyima mtu faida
    Na mimi nazungumza hivi kwa sababu niko na ujuzi na pande zote... kwa mda mrefu noikua mfuasi wa hao mashekhe akina dr. Yusufabdi ambae sasa hivi amekua msanii sh bahero kipozeo nurdin kishki wa kuacti na wengineo ambao hatukuwahi ifaham dini yetu mpka tulipojiliwa na daawa salafiya Allah awahifadhi mashekhe wa Da'awa hii mubarak

    • @hadanahadana4205
      @hadanahadana4205 2 роки тому

      Wewe kama huelewi wengine wanaelewa alicokifundisha

    • @halimakassimngare4873
      @halimakassimngare4873 2 роки тому

      wacha ushabikii katika dini wacha kuzungmzia vibaya da'awa za mashekh mujtahidiin,,,, wacha kuftinisha watuu waislam wengi wanafaidika kwao...tafta ya kuzungumza na kama huna unyamazee

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 Рік тому

    Haman daawa mbovu yakujitukuza kama hii

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 2 роки тому

    Mawahabi kwa Mawahabi

    • @abdulisomani2443
      @abdulisomani2443 2 роки тому

      unamjua Muhammad IBN Abdul wahab wewe ..kaa chini usome Allaah akuongoze

    • @halidijuma1884
      @halidijuma1884 2 роки тому

      Abdul somani Bora wewe unaemjuwa ulikaa chini ulisoma nae,,Babaa ,,,hatuwezi kuwa mawahabi kwa staili hiyo ya DHARAU kwa WENGINE,,

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 2 роки тому +2

    Humaidi Wewe ni Simba Wa East Africa
    Wataelewa tuu

  • @Abdul-kadir-u5z
    @Abdul-kadir-u5z 7 місяців тому

    Hii raddi ni ya mtu wa mwisho anapigwa na wa mwanzo . Sikilizeni uzuri

  • @kassimmsuleyman1055
    @kassimmsuleyman1055 Рік тому

    dr upo sahihi sisi wengine hatufat upepo tunapima dalili wallah baadh ya masheikh km utawasikiliza unaweza kuwaingiza moton wote washao tangulia mbele yahooأَسْتَغْفِرُ اللّٰه

  • @saidishalako
    @saidishalako 2 роки тому

    Assalam Aleikum. Nakuomba sh Humeid kinibainishia makosa ya Dr Islam maana nijuavyo yeye hupinga Bidaa Kawa hoja za nguvu . Ama ni kwa sababu ya picha. Ama huenda ikawa ni mix ya kichokozi ya mwenye kuposti. Waislan tuweni makini mitandaoni. Maadui hawalali. Nasaalu الللۀ bi Salama wa Khair.

    • @abuahlaam
      @abuahlaam 2 роки тому +1

      Acha nkusaidie mimi kukujib hili swali
      Majibu yako kwa ufupi sana
      Dr islam anashirikiana na watu wa bidaa katika Da'awa yake ... Ahudhuria makongamano ya watu wa bidaa tena wale wenyewe achana na mahzibi mfano wa yusufabd mbali ashirukiana na masufi ... Kwa mfano ashahudhiroa makongamano kadhaa ukumbi wa sh khalifa yalokia yamechanganya moka masufi wakubwa
      Dr islam hawapigi vita wazushi walo jazana katika mji wa mambasa mbali ataka kuonyesha daawa yao ni sawa tu na ndo asema watu wasibainishwe wasipigwe raddi wala wasitajwe kwa majina yao......... yeye hawataji watu wazushi wasanii kama yusufabd au kipozeo jambo ambalo limepelekea umma kuwaona wazushi hawa wako sawa ni watu wa sunna... Da'awa ya sunna akihitajika atajwe mzushi mtu muovu hutajwa tu kama vile Quran imetaja watu waovu kwa majina yao na mtumeﷺ pia kataja
      Dr islam hasomeshi tawhid hana hata kitabu kimoja ashawahi kusomesha cha tawhid na hilo ni kwa sababu ajua wafuasi wake watakimbia akisomesha tawhid na yeye ataka wingi wa watu ...sio usul thalatha wala kitabu tawhid wal qawaidul arbaa hana hata risala moja a Tawhid amesomesha
      Dr islam hana malezi katika Da'awa yake wanachuoni huanza kuwalea watu kwa elim ya chin wakipanda polepole.... dr islam hafanyi hivo ... Watu wengi wanaokaa chin ya dr katika watu wa kawaida hakuna faida wanapata asomesha mambo makubwa kuliko akil zao.... wengi wao hubakia tu kusifu umeskia darsa ya leo ilivokua kali lakn hana alilofaham ...
      Kwa mfano 40 nawawia amesomesha taqriban miaka 4 hio riyaadhu salihiina sjui atasomesha miaka mingapi .. usluubu huo haumnufaishi muislam wa kawaida asojua namna ya iutawadha kuoga janaba kuswali asojua tawhid atakufa bila kujua tawhid .. bali hata wanafunzi wanafatilia hadith moja moka unachoka wengi wao wanatoroka darsa zake unaenda unkaa mwaka mzima ukirud kitabu akijafika popote .
      Dr islam aweza maliza ramadhan nzima darsa ni neno ardhi tu bas ramadhan ikaisha hivo hajatoka hapo ... Suratul qaaf amesomesha saa hii naona ni karbia miaka minne ndani ya ramadhan
      Moinganizi ni yule anaelea umma kwanzia kwa elim ndogo akioanda juu awaam hawajui lolote yeye awapa masala makubwa kuwapotezea mda .... Mimi mwenyewe noimfatilia dr katika kusoma nkaona napoteza mda na sisongi mbele
      Najua haya kwa yule mwenye ushabiki kwa dr hatoelewa lakin atakaeyasoma kwa makin atajua ninachokusudia
      Qasim amafuta mfatilie katika darsa zake utaona faida kubwa sana Quran walalh tarjama yake ndo tarjama ulokua bora mara kumi ya Dr ina faida kemkem wala harefushi kwa namna ya kuchosha kama dr wala hafupishi ufupisho wa kumnyima mtu faida
      Na mimi nazungumza hivi kwa sababu niko na ujuzi na pande zote... kwa mda mrefu noikua mfuasi wa hao mashekhe akina dr. Yusufabdi ambae sasa hivi amekua msanii sh bahero kipozeo nurdin kishki wa kuacti na wengineo ambao hatukuwahi ifaham dini yetu mpka tulipojiliwa na daawa salafiya Allah awahifadhi mashekhe wa Da'awa hii mubarak

    • @Hussein-Abu-Fathiyyah
      @Hussein-Abu-Fathiyyah 2 роки тому

      @@abuahlaam MashaAllah

  • @shariffhabshy6770
    @shariffhabshy6770 2 роки тому +6

    Sasa huo nduo ujinga wako wagawanya watu kwa lazima na hiyo ndio tazkiya na wakataa.

    • @awadhtwalal8951
      @awadhtwalal8951 Рік тому

      Fadhali uwaambie.
      Wamekosa kazi.
      Kazi kujitakasa na kujiona hamna kama wao.

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529
    @alhamdulillahalhamdulillah7529 2 роки тому

    Mhhhh mnaparurana nyinyi kwa nyinyi sasa

  • @macmilanisaac1708
    @macmilanisaac1708 2 роки тому +3

    Shekhe wewe wamtoa mwenzako makosa? Kama hujamuelewa kwanini usimfuate ukamuliza uwazi wake badala kuleta fitna katika mitandao. ..

    • @bahashachembea6922
      @bahashachembea6922 2 роки тому +1

      Swadaqta

    • @rahmasaleh1984
      @rahmasaleh1984 2 роки тому

      Ni kweli kabisa kama mtu ana makosa unamfuata lkn haya mambo ya kusema kwa mitandio si ktk uislam wakweli na inaonesha wazi huyo shekh anachuki na mashekh wenzake kwaajili video zake nyingi ni kuwakashifu mashekh wenzake na yy anajiona yuko perfect sasa huo ni uislam kweli,?

    • @husnamohamed9448
      @husnamohamed9448 2 роки тому

      Wana tabia ya kujiona wao ni mitume haswaaaa mafuta na huyo mwenziwe humeidy

  • @aliraso1129
    @aliraso1129 2 роки тому +1

    Endelea Sheikh usichoke kuwaweka sawa hao tsalafu

    • @iddinkupe7459
      @iddinkupe7459 2 роки тому +2

      Daah!! Wew unafuata tu Kama mkia Allah akuongoze

  • @awadhgugu317
    @awadhgugu317 Рік тому

    Sasa hapa waislam ni vita ??? Au ni kuelekezana ??? Wote nyinyi mnakosea mnafanya bidaa kwa kupigana vita!!! Ivo ndio mmi nitasema na naona Allah awaongoze

  • @yousufmbarak9745
    @yousufmbarak9745 8 місяців тому

    Endelea kufanya daawa salafiyya Abdallah

  • @mmn595
    @mmn595 2 роки тому +2

    muwe waadilifu ikiwa mtu amesom fatawa ya shekh ibn baaz kisha muchukuwe maneno ya dr islam ndio muyape kipaumbele

  • @mohamedasaid7910
    @mohamedasaid7910 2 роки тому +1

    Dai alipoanza raddi alisema "hawa mahizbi .Kwa hivo Dr Islam ni hizbi.
    Mumenoa ndugu zangu.Baada muda mutakimbiwa .Daawa yenu ya matusi,kejeli ,kujinaki haifuati Sunnah ya Mtume wetu Swallah Allah alehi wasalam.Hio itatosha kuweka Waislamu mbali na nyinyi.
    Kuna vijana watawaunga baadae itafifia.Labda murudi kutoa daawa kwa kufuata sunnah sawa sawa.

    • @husnamohamed9448
      @husnamohamed9448 2 роки тому

      Mimi tayari nishaona haki na nishalikimbia hilo kundi

  • @shabanijuma4162
    @shabanijuma4162 2 роки тому +5

    hakika manhaj salafiyaah imekingwa na makosaa

    • @salhacker7728
      @salhacker7728 2 роки тому

      Man haj imekingwa vp watu wake?!

    • @shabanijuma4162
      @shabanijuma4162 2 роки тому

      siasema watu wake nimesema manhaj kama manhaj

    • @shabanijuma4162
      @shabanijuma4162 2 роки тому +1

      usahihi ni kwamba ukifuataa manha unafuata njiaa sahih isiyonamashakaa ndani yake kwasabbu ni mafunzo ya uhakika lkn haimaanishii kuaa ukiwa unafuata dhambi hukosei katika makosaa ya kibiinaadamu hakuna binadamu asiekosea naa ukifuata manhaj ukakosea katika jambo ladini manhaj yenyewe inakurudishaa katka mrengo sahihi Allah mjuzi zaid

    • @salhacker7728
      @salhacker7728 2 роки тому +2

      @@shabanijuma4162 vzur nimekuelewa. Haya hyo jeuri na kibri kinacho fanywa na baadhi ya wanao jinasibisha na kujiona kwamba hyo njia ni yao na sio ya watu wengine na kujifadhilisha dhid ya wengine, na kutumia vpim ambavyo yanaenda kinyume na njia ya Mtume na maswahaba zake

    • @mahirjamir8528
      @mahirjamir8528 2 роки тому

      Naam

  • @aishaalizubeir7964
    @aishaalizubeir7964 2 роки тому +1

    Haifai kujiita salafi kma vile haifai kujiita mimi ni mchamungu kasababu Allah ndyie anae mjua muongofu...she unakwama wapi???+

    • @مبغضالبدع-ع9ص
      @مبغضالبدع-ع9ص 2 роки тому

      Na muislamu itafaa mama? Sababu pia ni kama wajisifu! Umejuaje umekubaliwa uislamu wako?

  • @hassanlahm577
    @hassanlahm577 2 роки тому +3

    hapa ndio penye matatizo kwel ujitukuze nafs yako wakat allah anasema musijitukuze nafs zenu allah ndio anajua nan anafaa kutukuzwa