Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Big up mzee wetu wa kusimamia haki
Safi sana mwabukusi point zimeeleweka🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwabukusi kwa confidence uliyonayo unadeserve kbs kuwa national president. Congratulation🎉
Jamaa kapoa sana yale tulio tegemea kutoka kwake kiukweli hayapo tena. Katiba mpya ,Tume huru ya uchaguzi ajagusia hata kdgo
Huyu naye anazingua mbn hajakazia katika tendo la utekaji
Hakupaswa kua rais wa wanasheria anapaswa kua rais wa nchi
nchi ya wapi hiyo sasa!!!!!!
Yuko vizuri sana jamaa
ALMIGHTY Akubaliki sana Mwambukusi wewe jasiri sana na unazungumza kwa fact sana.
Alf bikubw kamuelew sana😂😂
Umelamba asali hukuzungumzia katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
Hoja nzito
Mwabukusi wewe ni kiboko, unafaa kuwa Rais wa nchi
Kutowa elimu kwa uma ni bora sababu wengi hatujuwi na kufata hakizetu na kusababisha unyonyaji na ubadhirifu wa aina mbalimbali .
huyu sio Mwambukusi kabla ya TLS
Hiliii jamaaa lichapeee kaziiii baaadae liwe likuuu la nchi
Katiba mpya
huyu ndio anatakiwa awe mgombea kupitia chadema
HOTUBA NZURI SANA
Duuuu mwamba unajua kuwasemea watanzania na tls wenzako hio ndio maana halisi ya muwakilishi
Unashindwaje kuwa fluent unaposoma hotuba mbele ya wageni wazito kama Rais ndugu Mwabukusi? Usomaji wako unakatakata kama vile uko kwenye low frequency na ni kama umeandikiwa tu hiyo hotuba bila kwanza kuipitia kabla kuja kuisoma!
Una shidah Binafsi na jamaa huyu maana hoja yako ni mfu kabiisa
Big up mzee wetu wa kusimamia haki
Safi sana mwabukusi point zimeeleweka🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwabukusi kwa confidence uliyonayo unadeserve kbs kuwa national president. Congratulation🎉
Jamaa kapoa sana yale tulio tegemea kutoka kwake kiukweli hayapo tena. Katiba mpya ,Tume huru ya uchaguzi ajagusia hata kdgo
Huyu naye anazingua mbn hajakazia katika tendo la utekaji
Hakupaswa kua rais wa wanasheria anapaswa kua rais wa nchi
nchi ya wapi hiyo sasa!!!!!!
Yuko vizuri sana jamaa
ALMIGHTY Akubaliki sana Mwambukusi wewe jasiri sana na unazungumza kwa fact sana.
Alf bikubw kamuelew sana😂😂
Umelamba asali hukuzungumzia katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
Hoja nzito
Mwabukusi wewe ni kiboko, unafaa kuwa Rais wa nchi
Kutowa elimu kwa uma ni bora sababu wengi hatujuwi na kufata hakizetu na kusababisha unyonyaji na ubadhirifu wa aina mbalimbali .
huyu sio Mwambukusi kabla ya TLS
Hiliii jamaaa lichapeee kaziiii baaadae liwe likuuu la nchi
Katiba mpya
huyu ndio anatakiwa awe mgombea kupitia chadema
HOTUBA NZURI SANA
Duuuu mwamba unajua kuwasemea watanzania na tls wenzako hio ndio maana halisi ya muwakilishi
Unashindwaje kuwa fluent unaposoma hotuba mbele ya wageni wazito kama Rais ndugu Mwabukusi? Usomaji wako unakatakata kama vile uko kwenye low frequency na ni kama umeandikiwa tu hiyo hotuba bila kwanza kuipitia kabla kuja kuisoma!
Una shidah Binafsi na jamaa huyu maana hoja yako ni mfu kabiisa