Uko sure uko sawa kiavya na mdomo imechomeka😢😢,hii akili ni ya ujinga hata sio ya kurogwa,atii unajua nyinyi??sema wewe,so vile mama zetu walituzaa baba zetu wangeuza maini,mbavu,kidney hadi kichwa wapee mama zetu??na wameishi more than 50yrs na wewe ni 4yrs umeanza upuzi
Wewe umerogwa nenda kanisani ukaombewe .mungu hatakufungua na upate way through
Hiyo n bad idea maombi ndiye silaa mungu ampiganie afanye njia pasipo na njia
Washa ünjinga enda JCM apewe mtumba na shiru anjinjenge,unafikiria ukimsomesha mtakuwa pamonja tena😢 pain
Uko sure uko sawa kiavya na mdomo imechomeka😢😢,hii akili ni ya ujinga hata sio ya kurogwa,atii unajua nyinyi??sema wewe,so vile mama zetu walituzaa baba zetu wangeuza maini,mbavu,kidney hadi kichwa wapee mama zetu??na wameishi more than 50yrs na wewe ni 4yrs umeanza upuzi
We ata kiafya ndo ujui kwandika na uko hapa kumjudge have you had about vitiligo and it's treatable anyways God bless you young man
Hiyo n bad idea maombi ndiye silaa mungu ampiganie afanye njia pasipo na njia